sayings

338. WANG’WIMA NG’WIYO NUB’EB’E ULAGUB’ONA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulombi bho ginhu na wimiwa bhojo. Olihoyi munhu uyo olina makoye, uyo agaja gujulomba wambilijiwa kuli ng’wiye. Ung’wiye ng’wunuyo agang’wima uyo olina makoye. Abhanhu aho b’igwa igiki ong’wimaga uyo oyunombaga, bhagang’wila giki. ‘wang’wima ng’wiyo nub’e’be ulagub’ona.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiming’holo. Umungu ng’wunuyo agab’imaga abhiye abho b’agajaga gujunomba. Kuyiniyo lulu, ulu nang’hwe uja gujulomba agwimiwa, kunguno nuweyi agab’imaga abhiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wang’wima ng’wiyo nub’eb’e ulagub’ona.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza b’izang’holo umuwikaji bhobho, kugiki nabho ulu bhalalombe ginhu bhambilijiwe, kunguno nabho bhagabhambilijiaga abhichabho.

Luka 16:38.

KISWAHILI: UMEMNYIMA MWENZIO NAWEWE UTAONA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uombaji wa kitu na kunyimwa. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa na matatizo, ambaye alienda kuomba msaada kwa mwenzake. Huyo mwenzake alimnyima yule aliyekuwa na matatizo. Watu walioelewa kwamba amemnyima mhitaji huyo, walimwambia kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mchoyo maishani mwake. Mtu huyo huwanyima wenzake waendao kumuomba msaada wake. Kwa hiyo basi, akienda kuomba msaada naye atanyimwa kwa sababu naye huwanyima wenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umemnyima mwenzio na wewe utaona.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa wakarimu maishani mwao, ili nao waweze kusaidiwa watakapohitaji msaada kutoka kwa wenzao, kwa sababu nao huwasaidia wenzao hao wanaohitaji msaada wao.

Luka 16:38.

poor-kids

 

 

ENGLISH: YOU HAVE REFUSED TO HELP YOUR FELLOW, YOU ALSO SHALL SEE IT.

This saying stems from objection and deprivation. There was a person who had problems and went to seek help from his/her friend, but he/she was refused. People who knew that the needy person was refused from being helped they told him/her that, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying can be compared to someone who is greedy in his/her life. It is likened to a person who refuses to help his/her fellows. Such a person is likely not to be helped when he/she seeks for a help whenever he/she faces problems. This is why people say, ‘you have refused to help your fellow, you also shall see it.’

The saying teaches people to be generous in their lives so that they can be helped when they need help from their fellows.

Luke 16:38.

335. MHUNDU JILIGILING’HANYA HA KAWINGA KA NHYEHU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’utuji bho mhundu hawinga bho bhanhu bhalyehu. Ulu munhu uyo alitola alinhyehu, abhanhu nabho bhagayegaga bhayutula na mhundu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhundu jiligiling’hanya ha kawinga ka nhyehu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga chiza na bhichabho. Uwikaji bho bhanhu bhenabho bhulisawa na winga, ubho bhuli na bhuyegi bhutale, kunguno yabhoyi gwikala na b’uyegi bhunubho. Ubhunubho hu winga bho nhyehu, uyo agabhizaga na bhuyegi bhutale umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhundu jiligiling’hanya ha kawinga ka nhyehu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhulyehu ubhogudula gwikala chiza na bhanhu, umukikalile kabho.

Ufunuo 19:7=9.

Matendo ya mitume 2:46.

KISWAHILI: VIGELEGELE VINASIKIKA KWENYE HARUSI YA MPOLE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upigaji wa vigelegele kwenye harusi ya watu wapole. Mtu anayeoa akiwa mpole, watu nao hufurahia sherehe yake kwa kupiga vigelegele. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vigelegele vinasikika kwenye harusi ya mpole.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huishi vizuri na wenzao. Maisha hayo ni sawa na harusi yenye furaha kubwa, kwa sababu ya wao kuishi kwa furaha na watu wao. Hiyo ndio harusi ya mpole, ambaye huwa na furaha kubwa maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vigelegele vinasikika kwenye harusi ya mpole.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upole wa kuwawezesha kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Ufunuo 19:7=9.

Matendo ya mitume 2:46.

black-and-white wedding

couples

 

ENGLISH: JOYFUL VOICES ARE HEARED AT A GENTLE’S WEDDING

The source of this saying is wedding ceremony where couples are presumed to be gentle in terms of their behaviour. When a gentle man/woman marries people enjoy his/her wedding by singing joyful songs. This is why people say, ‘joyful voices are heard at a gentle’s wedding.’

Such a saying can be compared to people who live well with their neighbours. This kind of life can be likened to happy marriage because they live happily with their neighbours.

This saying teaches people about being gentle enough in order to be able to live peacefully with others.

Revelation 19: 7 = 9.

Acts 2:46.

331. LYALAGILWE MPELANU MOKONO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukalagilwe ka ng’waka na mpelanu. Ung’waka gunuyo gugab’izaga go nduhu mbula. Ulu mbula gukija utula ng’waka ngima, abhanhu bhagiganikaga giki, Uwelelo uyo ugulaga ung’waka gunuyo oliapelanile. Gashinaga imyaka igab’izaga guti giki igalagagwa na Welelo nayiza. Hunagwene abhanhu ulu ng’waka gub’iza gub’i, uyo mbula gukija gutula, bhagayombaga giki, ‘lyalagilwe mpelanu mokono.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile gutumila nzila ningi ija gwipandikila jiliwa. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na jiliwa, nulu ng’waka guga’biza gu’bi, ugo nduhu mbula gutula. Uweyi agalangaga na bhiye bhadizusendamila mbula duhu umilimo yab’o, bho gubhawila giki, ‘lyalagilwe mpelanu mokono.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gumana milimo mingi ya gubhapandikila ijiliwa, na guitumama kugiki, bhadizucha na nzala, ahikanza lya nduhu mbula.

Mwanzo 41:30-31.

Mwanzo 42:5.

Luka 4:25-26.

KISWAHILI: LIMEAGWA NA MWENYE HASIRA MWAKA HUU

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kuagwa kwa mwaka na mwenye hasira. Mwaka huo huwa hauna mvua. Mvua ikiacha kunyesha mwaka mzima, yule aliyeuaga hufikiriwa kama ni mwenye hasira. Kumbe miaka huwa na inaagwa na yule aiagizaye kuja. Ndiyo maana mwaka ukiwa mbaya, watu husema kwamba, ‘umeagwa na mwenye hasira mwaka huu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu afahamuye kutumia njia mbalimbali za kujipatia chakula. Mtu huyo huwa na chakula cha kutosha, hata kama mwaka ukiwa mbaya ambao hauna mvua. Yeye hufundisha hata wenzake juu ya kutokutegemea mvua pekee, kwa kuwaambia kwamba, ‘umeagwa na mwenye hasira mwaka huu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuelewa kazi mbalimbali ziwezazo kuwapatia mahitaji yao, yakiwemo yale ya chakula, na kuzitekeleza ili wasife kwa njaa kwa sababu ya kutegemea mvua pekee, kwenye kazi zao.

Mwanzo 41:30-31.

Mwanzo 42:5.

Luka 4:25-26.

seller banana

ENGLISH: THIS YEAR HAS BEEN ORDERED BY THE ANGRY ONE

This saying comes from the unfortunate year that is believed to be ordered by the angry one. In such a year the rain does not rain throughout the year. When it happens so, people will always say, it is a bad year and therefore labeled as being ordered by the angry one.

The saying can be compared to a person who knows how to cultivate a variety of foods. Such a person is likely to have enough food to eat, even if the year is bad; with no rain. Such a farmer can even teach his/her colleagues about not relying on rain alone by telling them that ‘this year has been ordered by the angry one,’ as a way to encourage others to look for other alternatives of getting food rather than waiting for rain.

Genesis 41: 30-31.

Genesis 42: 5.

Luke 4: 25-26.

330. UDALYAGE B’ULA B’UGWIGONZOLA UWINGA

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho b’ula bho mitugo. Ikale  yalihoyi migilo ya b’anakale ya kuleka gulya b’ula nulu b’utumbo, abho b’atali bhadoo. Ub’ula bhunub’o b’alyaga b’agikulu iki b’adinamino. Ab’ado yaliyaya ugulya kunguno b’adudila gulwa. Hunagwene abhanakale bhab’awilaga abhadoo giki, ‘udalyage b’ula b’ugwigonzola uwinga.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalina malange gagub’alanga abhanhu bhab’o kugiki bhab’one gub’akuja ab’atale b’ab’o. Abhanhu bhenabho bhagab’utumilaga ub’umani bhob’o bho gubhalekela nhungwa niza ija gudula gwikala na bhanhu chiza. Hunagwene bhagab’awilaga abhanhu bhabho giki, udalyage b’ula b’ugwigonzola uwinga.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’alanga abhichab’o gwikala nikujo ukubhanhu bhab’o. Akikalile kenako kagubhambilija ijinakubhalanghana chiza abhatale bhabho.

KISWAHILI: USILE UTUMBO HARUSI ITASUASUA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa utumbo wa mifugo. Zamani ilikuwepo miiko ya watu wa zamani, ya vijana kutokula utumbo. Utumbo huo uliliwa na vikongwe kwa vile hawana meno. Vijana hawakuruhusiwa kula kwa ya kuepuka kuolea mbali. Waliambiwa kwamba, wakila wataolea mbali. Ndiyo maana watu wa zamani waliwaambia vijana kwamba, ‘usile utumbo harusi itasuasua.’

Msemo huo hufananishwa kwa watu ambao wana malezi mema ya kufundisha watu wao namna ya kuwaheshimu wakubwa wao. Watu hao hutumia uelewa wao vizuri katika kuwaachia watoto wao, malezi ya kuwa na tabia njema za kuwawezesha kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu wao huwaambia hivi, ‘usile utumbo harusi itasuasua.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri watu wao, kwa kuishi nao kwa heshima. Maisha hayo yatawasaidia watu wao katika kuwatunza vizuri wazee wao.

uganda

 

ENGLISH: NEVER EAT OFFALS/ INTESTINE, YOUR MARRIAGE WILL HAVE PROBLEMS

The source of this saying is eating animal offals/intestines. In the past there were taboos forbidding young people from eating offals/intestines. The offals/intestines were eaten by the elderly people who are toothless. The people warned young people against eating offals/intestines by saying, “never eat offals/intestines, your marriage will have problems.”

The saying is similar to people who have good morals for teachimg their young people to respect their elders. These people use their knowledge to teach their people good morals so as to enable them to get along well with other people. That is why they tell their people that, “never eat offals/intestines, your marriage will have problems.”

The saying teaches people how to respect others. This will help children to take good care of older people

328. WELELO NHALE YANHYA NA KULI NG’WIWE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kujisumva ijo jigitanagwa kuli, na bhutale bho ng’wa Welelo. Ikuli yiniyo igikalaga ng’wiwe, aliyo Iweleolo igaisolaga kihamo nugwib’isa goyo, ung’wiwe linilo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiganikaga giki adulile gung’wib’isa Uwelelo, guti kuli iyo igikalaga ng’wiwe. Kuyiniyo lulu, abhanhu bhenabho bhagahayaga giki bhadalacha, kunguno bhadabhumanile ubhutale bho ng’wa Welelo.

Abhanhu abho bhab’udeb’ile ub’utale bho ng’wa Welelo, bhagab’awilaga abhichabho bhenabho, giki, Uweyi adib’isagwa kunguno alintale noyi. Ulu uhaya gunsola munhu oseose, agunsola duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhuzunya ubhutale bho ng’wa Welelo na gwiyangula gwikala gitumo atogelilwe weyi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:8-13.

Yona 1:15-17.

KISWAHILI: MUNGU NI MKUBWA AMEMLA NA MJUSI KWENYE JIWE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho huitwa mjusi, na ukuu wa Mungu. Mjusi huyo huishi kwenye jiwe. Lakini Mungu alimchukua pamoja na kujificha kwake kwenye jiwe hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufikiri kwamba aweza kujificha mbele ya Mungu, kama yule mjusi aishiye kwenye jiwe. Kwa hiyo basi, watu hao husema kwamba hawatakufa, kwa sababu ya kutokuufahamu ukuu wa Mungu.

Hali hiyo huwalazimu wale waufahamuo ukuu wa Mungu, kuanza kuwaeleza juu ya ukweli huo. Hakuna awezaye kujificha mbele ya Mungu, kwa sababu ya ukuu wake. Yeye akitaka kumchukua mtu yeyote, humchukua tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutoa malezi mema kwa watu wao juu ya ukuu wa Mungu maishani mwao, na kuamua kuishi kama atakavyo Yeye.

Mwanzo 3:8-13.

Yona 1:15-17.

lizard

 

ENGLISH: GOD IS GREAT, HE HAS EVEN TAKEN THE LIZARD’S LIFE

The source of this saying is the greatness of God and the life of lizard. The lizard lives in rocks. But God took its life.That is why people say, “God is great, he has even taken the lizard’s life.”

The saying is compared to a man who thinks that he can hide from the presence of God like the lizard does in rocks. So, these people do not know the greatness of God and they think that they will not die.

The people who know the greatness of God tell those who are ignorant about Him that no one can hide from God because He is great. If He wants to take anybody He will do so. That is why people say, “God is great, he has even taken even the lizard’s life.”

The saying teaches people about acknowledging God’s greatness and deciding to live as God wants them to be.

Genesis 3: 8-13.

It is 1: 15-17.