sayings

390. GULYA JILYANI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ubho bhuli bho kihamo. Ulu bhanhu bhali na kajile kawikole, bhagatogagwa gwikala halumo, na gulya jiliwa jabho halumo, kugiki bhikale bhaguhoyaga kumakanza malihu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gulya jilyani.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazenganwa abho b’itogilwe. Abhanhu bhenabho bhagalyaga jililwa jabho halumo, kunguno ya witogwi bhobho b’unub’o.

 Abhoyi bhagiyambilijaga nu gutumama imilimo yabho halumo. Bhadeb’ile ugubhalanga nab’ichab’o, ahigulya ya gulya na gutumama halumo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagab’awilaga abhanhu bhikomeje ‘gulya jilyani.’

Akahayike kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi na bhazenganwa bhab’o, kugiki bhadule gutumama milimo yabho halumo, na ‘gulya jilyani.’

Marko 4:8.

 Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

KISWAHILI: KULA UJIRANI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula ambao ni wa pamoja. Watu wakiwa na maisha yanayofanana, hupenda kuishi wakiwa pamoja, na kula chakula chao kwa pamoja, ili wakae wakiongea kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kula ujirani.’

Msemo huo hulinganishwa kwa majirani wanaopendana. Watu hao hula chakula chao kwa pamoja kwa sababu ya upendo walio nao kati yao.

Wao husaidiana hata kufanya kazi zao kwa pamoja. Wanafahamu namna ya kuwafundisha pia wenzao jinsi ya kula na kufanya kazi zao hizo kwa pamoja. Ndiyo maana watu hao huwahimiza wenzao kwa kusema ‘kula ujirani.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo kwa majirani zao, ili waweze kufanya kazi zao kwa pamoja, na ‘kula ujirani.’

Marko 4:8.

Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

eat

ENGLISH: TO EAT IN THE NEIGHBORHOOD.

The source of the above saying comes from communal food eating style. People with similar life standards can tend to live together; eat their meal together and therefore, they are able to have long conversations about their society. Such a strong bond among people in the nearbourhood is described by the saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying can be compared to nearbours who love one another. These people eat their meals together. They also help each other to do their jobs together and they know how to teach their fellows how to eat and do their jobs together. This is why people are encouraged to maintain togetherness by using this saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying teaches people about loving their neighbours so that they can work together and love each other.

Mark 4: 8.

Matthew 4:32.

 Exodus 12: 4.

389. JISINZA JILYA B’IYE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile jisinza na bhuli bhojo. Ijisinza jinijo, jilinhu jidamu ijo jidulile gub’alya ab’ichajo, alijoyi jusaga mumo jilili. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘jisinza jilya b’iye.’

Akahayile kenako kagalenganijniyagwa kuli munhu uyo atogilwe gulya jiliwa ja b’iye, alijakwe alemile uguliwa na b’iye b’enabho.

Umunhu ng’wunuyo adatogilwe ugub’akalib’usha abhiye ahakaya yakwe, kunguno ya gogoha gumajiwa ijiliwa jakwe. Abhanhu abho bajideb’ile inhungwa jakwe jinijo bhagang’wilaga giki, ‘jisinza jilya b’iye.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka wiming’holo, kugiki bhadule ugub’itila abhichab’o iyo bhatogilwe ugutilwa abhoyi, umuwikaji b’ob’o.

Luka 11:46.

Daniel 2:40.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:19.

KISWAHILI: CHUMA HULA WENZAKE.

Chanzo cha msemo huo chaangalia chuma na ulaji wake. Chuma hicho ni kitu kilicho kigumu ambacho kinauwezo wa kula wenzake, chenyewe kikabaki kama kilivyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘chuma hula wenzake.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hupenda kula kwa wenzake, lakini kwake hataki wenzake hao wale kwake. Mtu huyo hapendi kuwakaribisha wenzake kula chakula chake nyumbani kwake, kwa sababu ya kuogopa kukimaliza chakula chake hicho. Watu wale ambao wanaifahamu tabia yake hiyo, humwambia kwamba, ‘chuma hula wenzake.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uchoyo maishani mwao, ili waweze kuwatendea wenzao yale ambayo wao wenyewe, hupenda kutendewa na wao.

Luka 11:46.

Daniel 2:40.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:19.

saw

tools-

 

ENGLISH: IRON EATS ITS FELLOWS.

The origin of the above saying is how metals survive by feeding on fellow metals. There are some metals that are hard enough and they are capable of feeding on other metals. In describing such metals people can say ‘iron eats its fellows.’

The saying can be compared to a person who likes eating food from others but doesn’t entertain others to eat his/her food. Such a person is likely to deny others from visiting his/her home for fear of eating his/her food. People of this behaviour are being warned by telling them that ‘Iron eats its fellows.’

The saying teaches people to stop being selfish in their lives rather they need to treat others in a way that they would themselves want to be treated.

Luke 11:46.

Daniel 2:40.

Matthew 5: 27-32.

Joshua Bin Sira 9:19.

388. B’UJIKU B’ONNIA NOKO NUB’EB’E B’ULAGULYA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile lufu lo myaji. Ulufu lunulo lolechije giki nu ng’wana o myaji ng’wunuyo, nang’hwe alacha. Hunagwene abhanhu b’agang’wilaga ung’wana ng’wunuyo giki, ‘bhujiku b’onnia noko nub’eb’e b’ulagulya.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adadililaga mayange ga lufu ga bhaduguye. Umunhu ng’wunuyo adajaga ukumayage ga bhiye bhenabho. Ulu bhamilinga giki agambilije ugubhajike abhiye, uweyi agajaga kumilimo yakwe duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘bhujiku b’onnia noko nub’eb’e b’ulagulya.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na b’umo bho gwiyambilija umumayange, kunguno, b’uli ng’wene alacha.

Mwanzo. 3:19.

 Ruth 1:17.

1Wafalme 2:37.

KISWAHILI: USIKU ULIMLA MAMA YAKO NA WEWE UTAKULA.

Chanzo cha msemo huo chaangalia kifo cha mzazi. Kifo hicho chaonesha kwamba, kila mmoja akiwemo mtoto wa mzazi huyo, atakufa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘usiku ulimla mama yako na wewe utakula.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hajali misiba ya ndugu zake. Mtu huyo huwa hahudhulii kwenye misiba hiyo ya ndugu zake hao. Wakimwalika kwenda kuwazika, yeye huenda kwenye kazi zake tu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘usiku ulimla mama yako na wewe utakula.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kuwawezesha kusaidiana katika misiba mbalimbali, kwa sababu kila mmoja atakufa.

Mwanzo. 3:19.

 Ruth 1:17.

1Wafalme 2:37.

hands-team

serve-

 

ENGLISH: THE NIGHT ATE YOUR MOTHER WILL ALSO EAT YOU.

The source of the above saying looks at the death of a parent. The death of the parent indicates that everyone, including the child, will die. That is why people can tell someone that ‘the night ate your mother will also eat you.’

The saying can be compared to a person who doesn’t care about the tragedies of his/her relatives. Such a person does not attend his/her relatives’ problems. If invited, he/she ends up giving a lot of excuses while in actual fact, he/she is busy with his/her own doings. Such people are being warned by telling them that ‘the night ate your mother will also eat you.’

The saying teaches people about being united enough to help one another in different problems. Everyone has to know that death is a final destination for every living creature.

Home. 3:19.

Ruth 1:17.

1Kings 2:37.

385. B’ANANGWA B’ALYA NA MBOZU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukikalile ka b’anangwa. Ikale bhaliho b’atongeji ab’o b’itanagwa b’anangwa. Ulu munhu wiliwa b’ujiku olalaga hali ng’wanangwa. Mumo agab’izila umunhu ng’wunuyo, nulu ab’ize alina mbiji, adupejiwa. Hunakub’iza kahayile igiki, ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adakomanyaga abhanhu aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agab’abokelaga pye abhanhu na gub’agola chiza bho gub’achumbela majiliwa. Uweyi agalyaga na b’iza na bhab’i. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki. ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gub’akomanya abhanhu, kunguno  ya kigelele kab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

KISWAHILI: WAJUMBE WALA NA VILIVYOOZA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maisha ya wajumbe wa vitongoji. Zamani walikuwepo viongozi waliojulikana kama wajumbe. Mtu akifika usiku kwenye kitongoji hicho, alilala kwa wajumbe hao. Watu wa aina mbalimbali walilala, hata na wale wenye ukoma walilala kwa wajumbe hao. Ndiyo ukawa msemo kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye habagui watu nyumbani kwake. Mtu huyo huwakaribisha wote na kuwatunza kwa kuwapatia chakula kizuri. Yeye hula na wazuri na wabaya pia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hufundisha watu juu kuacha tabia za kubagua watu kwa sababu ya muonekano wao mbaya, ili waweze kuishi kwa amani wa wenzao maishani mwao.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

 

racial-segregation

migration

 

ENGLISH: CHIEFS EAT WITH EVERYONE.

This saying has its origin in village where chiefs used to receive people of different calibers. These chiefs used to receive guests who visited them and they could eat together without considering their differences in terms of social classes. It included rich, poor and leper visitors. When this was happening, people could describe this scenario that ‘chiefs eat with everyone.’

The saying can be compared to someone who does not discriminate people in his/her home. Such people can welcome others and take care of them by providing them with all necessities for their stay in the compound.

The saying teaches people to stop discriminating others because of their appearance. In so doing, they will be able to live a decent life without quarreling with others.

Matthew 11:28.

Acts 10:34.

382. KALYA KANITUMBUKILA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku jisumva ijo jigalyaga jiguta na kundosa uyo ojilishaga. Ijisumva jinijo jigatub’aga na gwandya kulomba jiliwa ja gulya kubhichajo. Aliyo lulu, ulujinhiwa ijiliwa jinijo, julya mpaga jiguta, jigandosaga uyo ojilishaga b’o gwandya gundukila sagala. Hunagwene uyo ujilishiga agayombaga giki. ‘kalya kanimbukila.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atina bhulumbi ukubhanhu abho bhagang’wambilijaga. Umunhu ng’wunuyo uyo wambilijiwa mpaga winga umumakoye, agandyaga gung’witila ya bhub’i uyo ong’wambilijaga, kihamo na gung’wima ginhu josejose ung’wambilija okwe ng’wunuyo. Hunagwene umunhu uyo ong’wambilijaga agayombaga giki, ‘kalya kanitumbukila.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na b’ulumbi ukub’anhu abho bhagab’ambilijaga ugwinga umumakoye gabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 21:24.

 Zaburi 9:4.

 Yohane 13:18.

KISWAHILI: KAMEKULA KAKANITUKANA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho hulishwa chakula na kumtukana yule aliyekilisha chakula hicho. Kiumbe hicho hushikwa njaa sana kiasi cha kufikia hatua ya kuomba chakula hicho kwa wale walicho nacho. Lakini baada ya kupewa chakula hicho kikala na kushiba, huanza kumtukana yule aliye kisaidia. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘kamekula kakanitukana.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana shukrani kwa watu waliomsaidia, mpaka akatoka kwenye matatizo yaliyokuwa yakimsumbua. Mtu huyo huusahau wema aliotendewa ambaye huanza kumtukana mtu aliyemsaidia, hata humunyima chochote amombacho yule aliyempatia msaada huo. Ndiyo maana mtu huyo, humwambia yule aliyekosa shukrani kwamga, ‘kamekula kakanitukana.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na shukrani kwa watu waliowasaidia maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mithali 21:24.

 Zaburi 9:4.

kneeling

 

ENGLISH: EATEN AND ABUSED THE COOK.

This saying originates from people who get food and in return abuse the cook. It is built in the context that someone, who is hungry enough and in need of food but after having eaten to his/her satisfaction, he/she turns against the cook and abuses him/her. Such people can be warned by this saying that they have ‘eaten and abused the cook.’

The saying can be compared to a person who is ungrateful to the people who helped him/her. Such people tend to forget easily the help they get from others.

The saying teaches people about being thankful to the people who helped them in their lives so that they can live in peace with others.

Proverbs 21:24.

Psalm 9: 4.