390. GULYA JILYANI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ubho bhuli bho kihamo. Ulu bhanhu bhali na kajile kawikole, bhagatogagwa gwikala halumo, na gulya jiliwa jabho halumo, kugiki bhikale bhaguhoyaga kumakanza malihu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gulya jilyani.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazenganwa abho b’itogilwe. Abhanhu bhenabho bhagalyaga jililwa jabho halumo, kunguno ya witogwi bhobho b’unub’o.

 Abhoyi bhagiyambilijaga nu gutumama imilimo yabho halumo. Bhadeb’ile ugubhalanga nab’ichab’o, ahigulya ya gulya na gutumama halumo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagab’awilaga abhanhu bhikomeje ‘gulya jilyani.’

Akahayike kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi na bhazenganwa bhab’o, kugiki bhadule gutumama milimo yabho halumo, na ‘gulya jilyani.’

Marko 4:8.

 Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

KISWAHILI: KULA UJIRANI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula ambao ni wa pamoja. Watu wakiwa na maisha yanayofanana, hupenda kuishi wakiwa pamoja, na kula chakula chao kwa pamoja, ili wakae wakiongea kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kula ujirani.’

Msemo huo hulinganishwa kwa majirani wanaopendana. Watu hao hula chakula chao kwa pamoja kwa sababu ya upendo walio nao kati yao.

Wao husaidiana hata kufanya kazi zao kwa pamoja. Wanafahamu namna ya kuwafundisha pia wenzao jinsi ya kula na kufanya kazi zao hizo kwa pamoja. Ndiyo maana watu hao huwahimiza wenzao kwa kusema ‘kula ujirani.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo kwa majirani zao, ili waweze kufanya kazi zao kwa pamoja, na ‘kula ujirani.’

Marko 4:8.

Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

eat

ENGLISH: TO EAT IN THE NEIGHBORHOOD.

The source of the above saying comes from communal food eating style. People with similar life standards can tend to live together; eat their meal together and therefore, they are able to have long conversations about their society. Such a strong bond among people in the nearbourhood is described by the saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying can be compared to nearbours who love one another. These people eat their meals together. They also help each other to do their jobs together and they know how to teach their fellows how to eat and do their jobs together. This is why people are encouraged to maintain togetherness by using this saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying teaches people about loving their neighbours so that they can work together and love each other.

Mark 4: 8.

Matthew 4:32.

 Exodus 12: 4.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.