sayings

407. OFUJAGA NTWE OTULA MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutuji bho magulu ga ndimu, bho ng’wa munhu uyo oliahayile atule ntwe. Ulu bhanhu bhalilinga ndimu ng’wipolu, bhagatulaga kuntwe, kugiki indimu yiniyo idule gucha wangu. Hunagwene ulu munhu ugufuja untwe utula magulu, bhagayombaga giki, ‘ufujaga ntwe otula magulu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ogayombaga mhayo bho gugufuja umo gulili. Uweyi agaguyombaga heke umo gudilili.

Umunhu ng’wunuyo agadumaga ugubhushisha ub’ung’hana bho mhayo gunuyo ukubhiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ofujaga ntwe otula magulu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhuyomba ubhung’hana bho mihayo yabho, ukubhichab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umuwikaji bhobho.

Yohana 21: 4-6.

Yohana 8: 4-11.

Susana 1: 52-62.

UMEKOSA KICHWA UMEPIGA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upigaji wa mnyama poli kwenye miguu badala ya kichwani. Watu wakiwa wanawinda wanyama poli, hulenga kuwapiga kichwani, ili waweze kufa mapema.  Ndiyo maana mtu akimkosa kumpiga kichwani mnyama na badala yake akampiga miguu yake, husema kwamba, ‘umekosa kichwa umepiga miguu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea neno kwa kuukosea ukweli wake ulivyo. Mtu huyo hushindwa kuufikisha ujumbe wenye ukweli kwa wenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umekosa kichwa umepiga miguu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuusema ukweli uwezao kuwasadia wenzao, katika kuishi kwa amani maishani mwao.

Yohana 21: 4-6.

 Yohana 8: 4-11.

Susana 1: 52-62.

legs

ENGLISH: YOU HAVE HIT THE LEGS INSTEAD OF THE HEAD.

The source of the above saying comes from killing wild animals where the target is always on hitting their heads in order to make them die easily. If it happens that the hunter misses the target and hits the legs instead then he/she runs the danger of not killing the targeted animal. Such a hunter can be described using the saying that ‘you have hit the legs instead of the head.’

The saying can be compared to a person who is used to erroneous speaking. Such a person can fail to communicate messages to his/her intended audience in a manner that is required.

The saying teaches people about speaking the truth that can help others to understand well and respond accordingly. In so doing, they create a good and peaceful society that abides by principles of truthfulness.

John 21: 4-6.

John 8: 4-11.

Susana 1: 52-62.

406. IKUMGU ILI GUFUGA SUBHI.

Imbuki ya kahayile kenanko yingilile kujifub’o ja gujiyomba ginhu jigongwa numa jajo. Ijifub’o jinijo jolechije gub’ona ginhu, ijo  jili jilihu. Ilinilo hi likungu ilo lyufugaga sub’i. Ulu munhu ubhona sub’i adulile guhaya giki, obhonaga nhanga. Hunagwene abhanhu abhenabho ulu bhubhona ginhu jilihu, bhagayombaga giki, ‘ikungu ili gufuga Sub’i.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalangaga bhanhu bho gutumila mihayo ya mbisila, nulu ya jifubho. Umunhu ng’wunuyo adeb’ile ugub’alela chiza abhanhu b’akwe bho nduhu ugubhogohya. Hunagwene agayomgaga giki, ‘ikungu ili gufuga Sub’i.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’alela abhanhu bhabho bho nduhu ugubhogahya, kugiki bhadule ugujilela chiza ikaya jabho.

1 Samweli 16: 6-13.

Isaya 10:33.

KISWAHILI: ENEO HILI KUFUGA CHUI.

Chanzo cha msemo huo yatokea kwenye fumbo la kukiongelea kitu kinyume chake. Fumbo hilo, laonesha kuona kitu ambacho ni kirefu. Hilo ndilo eneo lifugalo chui. Mtu akiona chui, kwa mfano, aweza kusema kwamba, ameona kanga. Ndiyo maana watu hao wakiona kitu kirefu husema kwamba, ‘eneo hili kufuga chui.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye  hufundisha watu kwa kutumia mafumbo yawezayo kuufikisha vizuri ujumbe unaotakiwa kwa watu wake. Mtu huyo, aelewa kuwalea vizuri watu wake, bila kutumia maneno ya kuwatisha. Ndiyo maana husema kwamba, ‘eneo hili kufuga chui.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwalea vizuri watu wao bila kutumia maneno ya kuwatisha, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

1 Samweli 16: 6-13.

Isaya 10:33.

leopard

 

ENGLISH: LEOPARDS ARE KEPT IN THIS PLACE.

This saying comes from the parable of telling something to the contrary. The parable shows something that is long in length comparable to leopards. If one sees a leopard, for example, he/she might say that he/she has seen a kitten. That is why when people see something that is long in length they can say ‘leopards are kept in this place.’

The saying can be compared to a person who teaches people by using metaphors that can effectively convey the message that is required to his/her people. Such a person understands how to properly care for his/her people without intimidating them.

The saying teaches people how to properly nurture their people without intimidating them. This can help people to have morally upright families.

1 Samuel 16: 6-13.

Isaiah 10:33.

405. ULAFULWA LYA NG’WIPOLU NA MAPEMBE GALYO.

Imbuki ya kahayile  kenako yingilile kubhubolwa bho jisumva na lilimu lya ng’wipolu na mapembe galyo. Ijisumva jinijo jigalyaga noyi ijiliwa. Aliyo lulu jidigutaga wangu.

Ijoyi jigikikumbagwa nulu gulilya lilimu igima kihamo na mapembe galyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ,’ulafulwa lya ng’wipolu na mapembe galyo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinlaku o gulya jiliwa. Umunhu ng’wunuyo adigutaga ulu bhang’winha ijiliwa, mumo alile. Hamo ulu utengelwa ilimu lya ng’wipolu lizugile na mapembe galyo ulya, adulile gwiguta. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘’ulafulwa lya ng’wipolu na mapembe galyo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho gulya jiliwa, umuwikaji bhobho, kugiki bhadizub’ahaga abhichabho, ulub’alilya ijiliwa jinijo.

marko 8: 36-37.

Wagalatia 5:19-21.

KISWAHILI: UTAGONGWA LA POLINI NA PEMBE ZAKE.

Chanzo cha msemo huo chaangalia kugongwa kwa kiumbe na mnyama poli mwenye pembe zake. Kiumbe hicho hula sana chakula. Lakini basi, huwa hakishibi. Chenyewe hutamani hata kula mnyama poli pamoja na pembe zake, ambaye ni mkubwa sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utagongwa la polini na pembe zake.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa kula chakula. Mtu huyo huwa hashibi wanapompatia chakula. Labda wakimtengea mnyama poli na pembe zake, aliyepikwa na kumla pengine atashiba. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utagongwa la polini na pembe zake.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha ulafi wa kula chakula, ili wasiwapunje wenzao walapo chakula hicho.

Marko 8: 36-37.

Wagalatia 5:19-21.

bufalo

 

ENGLISH: YOU WILL BE KNOCKED BY A HORNED-WILD ANIMAL.

The origin of the above saying is a knock between a certain creature and a horned-wild animal. The creature eats a lot of food with no satisfaction. It even desires to eat big horned-animals for satisfaction. Such a creature is being warned by the proverb that ‘you will be knocked by a horned-wild animal.’

The saying can be compared to a greedy person who doesn’t get satisfaction in his/her eating.

The saying teaches people to stop being greed. They need to be considerate when eating by thinking about others that they also need to eat.

Mark 8: 36-37.

Galatians 5: 19-21.

392. GULYA NYAGOKO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukalille ka jiliwa, ka ngoko. Ingoko yiniyo, igalyaga ijiliwa bho gujisesagula na gujisalambanya, ijiliwa jinijo.

Igajibalasanyaga jab’iza guti jashilaga nulu jilijingi. Hunagwene abhanhu ulu bhumhona unii ojiliwa uyo alilya chiniko, bhagang’wilaga giki atogilwe ‘gulya nyagoko.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalyaga ijiliwa ukunhu ujisondola, kugiki achagule ijiliwa ijisoga. Umunhu ng’wunuyo agajidimagulaga ijiliwa jinijo guti ujidosaga ijingi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, uweyi atogilwe ‘gulya nyagoko.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gujidimagula sagala ijiliwa ulu bhalilya, kugiki bhadule gujilya ijiliwa jinijo, ni nikujo ukubhichabho.

1 Wakorintho 11:27 – 30.

Tito 1:12.

KISWAHILI: KULA KIMTINDO WA KUKU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye mtindo autumiao kuku alapo chakula. Kuku huyo, hula chakula kwa kukisambaza akitumia miguu yake.

Hukisanmbaza chakula hicho, mpaka kinaonekana kama kimeisha hata kama kilikuwa kingi zaidi. Ndiyo maana watu wakimuona mlaji wa chakula ambaye hula kwa mtindo huo, humwambia kwamba yeye apenda ‘kula kimtindo wa kuku.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hula chakula kwa kukichambua kwa lengo la kutafuta kile kilicho kizuri zaidi. Mtu huyo hukishikashika chakula hicho kama amekidharau kile kingine. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, yeye apenda ‘kula kimtindo wa kuku.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kukishishika chakula wanapokula, ili waweze kukila kwa heshima, na kuwaheshimu pia wenzao.

1 Wakorintho 11:27 – 30.

Tito 1:12.

chickens

 

eat-chips

ENGLISH: TO EAT LIKE CHICKEN.

The source of the above saying comes from chicken eating style. The chicken will eat the food by spreading it on its feet. It spreads the food to the extent of making it appear as if it is finished, but in actual fact, they eat by sorting out some of the unwanted things. In describing people with this kind of behaviour, people can use this saying that ‘to eat like chicken.’

The saying can be compared to a person who eats food by sorting out some of the unwanted things thus looking for the best incredients of food. Such people are always looked at as someone who dislikes food and thus described by the saying that ‘to eat like chicken.’

The saying teaches people to stop bad eating habits when they eat. They need to respect the food they eat and the people who prepared it.

1 Corinthians 11:27 – 30.

Titus 1:12.

391. GULYA GWA NKANI LELO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukalile ka jiliwa ka jisunva ijo jigajibhonaga ijiliwa jinijo, jinonu gulebha ijo jab’ita. Ijisunnva jinijo jigalyaga bhuli lushigu, na jihayile gujimala bhuli jiliwa ijo jilinhiwa, kunguno jigajibhonagaga jinonu kuleb’a ijaigolo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gulya gwa nkani lelo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalyaga jiliwa jinonu bho nduhu ugub’izuka abhiye. Umunhu ng’wunuyo agiizukaga weyi duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘gulya gwa nkani lelo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’adilila na bhichab’o ulu bhalilya ijiliwa jabho, kugiki bhadule gwiguta pye  abhose.

Mathayo 6:8-11.

 1 Wafalme 17: 8-16.

KISWAHILI: KULA KILA SIKU HASA LEO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula wa kiumbe ambacho hukiona chakula hicho kuwa kitamu kipita kile cha siku iliyo pita.

Kiumbe hicho, hula chakula kila siku, na hutaka kukimaliza kila chakula kipewacho, kwa sababu ya kukiona chakula hicho, kuwa kitamu kupita kile cha jana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kula kila siku hasa leo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hula chakula kitamu bila kuwakumbuka wenzake. Mtu huyo hujikumbuka yeye mwenyewe tu. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘kula kila siku hasa leo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwajali wenzao wakati wanapokula chakula chao, ili waweze kushiba wote.

Mathayo 6:8-11.

 1Wafalme 17: 8-16.

EATING

vintage3

 

ENGLISH: EATING MORE THAN PREVIOUS DAYS.

The source of the above saying comes from food intake of an organism that considers the food to be sweeter than the previous day. Such a creature that is used to eat everyday will want to finish every food given because it will find the food always sweeter than the one given other times. The eating habit of such a creature can be described by the saying that ‘eating more than previous days.’

The saying can be compared to someone who eats sweet food without considering his/her colleagues. That person only remembers himself/herself. The behaviour of such people can be described by this saying that ‘eating more than previous days.’

The proverb teaches people to care for others when they eat their food. This wil help them to have a good relationship built on care and love.

Matthew 6: 8-11.

1Kings 17: 8-16.