sayings

479. UKULI WEYI UONGUZU JAFUMA JILIWA, UKULI WEYI UYO AGAJILWA BHUGAFUMA BHUNONU.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile munhu uyo alinimi. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga inguzu jakwe, bho gulima mpaga jigela jiliwa. Ijiliwa jinijo, abhanhu bhagajilyaga bhapandika bhunonu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ukuli weyi uonguzu jafuma jiliwa, ukuli weyi uyo agajilwa bhugafuma bhunonu.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agigulambijaga uguitumama imilimo yakwe, mpaga opandika matwajo mingi. Amatwajo genayo, gadulile gugalucha kikalile kahakaya yakwe, gufumila mubhugayiwa bho sabho, mpaga mubhupandiki bhojo. Umunhu ng’wunuyo, alina bhukamu bhutale ubho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo.

Uweyi agalenganijiyagwa nu nimi uonguzu, uyo agapandika jiliwa ja gulwa abhanhu bhakwe, kunguno nu weyi agapandikaga matwazo mingi agagufumila umubhutumami bhokwe, bhunubho. Amatwayo genayo, gagayinhaga sabho ikaya yakwe. Hunagwene abhanhu, bhagang’wilaga giki, ‘ukuli weyi uonguzu jafuma jiliwa, ukuli weyi uyo agajilwa bhugafuma bhunonu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wigulambija bho guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwazo mingi, ayo gadulile gujimalila bhuhabhi, ikaya jabho.

Mathayo 26:26-28.

Yahane 6:5-14.

KISWAHILI: KWAKE YEYE MWENYE NGUZU KILITOKA CHAKULA, KWAKE YEYE MWENYE KUKILA ULITOKA UTAMU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mtu ambaye ni mkulima. Mtu huyo, huzitekeleza kazi zake kwa kutumia nguvu zake, mpaka kinapatikana chakula. Chakula hicho, huliwa na watu, ambao hupata utamu wa kutoka kwenye chakula hicho.  Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kwake yeye mwenye nguvu kilitoka chakula, kwake yeye mwenye kukila ulitoka utamu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, hujitahidi kufanya kazi kwa bidii kubwa, mpaka hufaulu kupata mafanikio mengi maishani mwake. Mafanikio hayo, huweza kupadilisha maisha ya familia yake, kutoka kwenye umaskini hadi kwenye utajiri. Mtu huyo, ana bidii kubwa yiwezayo kumsaidia katika kuzitekeleza vizuiri kazi zake hizo.

Yeye hulinganishwa na mkulima, yule mwenye nguvu, aliyepata chakula cha kutosha kuwalisha watu wake, mpaka wakapata mafanikio mengi yaliyobadilisha maisha ya familia yake. Mtu huyo, naye alipata mafanikio yaliyoiondoa familia yake kutoka kwenye umaskini hadi kwenye utajiri. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kwake yeye mwenye nguvu kilitoka chakula, kwake yeye mwenye kukila ulitoka utamu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mafanikio mengi yawezayo kuziondolea umaskini familia zao.

Mathayo 26:26-28.

Yahane 6:5-14.

nimi o madoke

ntanzania nimi o madoke.jpg

ENGLISH: TO HIM WHO HAS ENERGY COMES FOOD, TO HIM WHO HAS EATEN COMES SWEETNES.

The source of this saying is a farmer and his/her strength to produce food stuff.  The farmer carries out his/her duties of farming to make sure that he/she harvests for consumption. It is the eater of the food that will appreciate the sweetness of the food produced by the farmer. That is why people use the saying that ‘to him who has energy comes food, to him who has eaten comes sweetness’ to mean the way the two people depend on each other in the whole process of food production.

The saying can be compared to a person who works hard to the point of success; until you achieve great success in life. That success can change his/her family’s life, from poverty to wealth. The saying can also be compared to a powerful man/woman who has enough food to feed his/her people. The consumption of his/her produce can change his/her family’s life. These changes can include the shift from poverty to wealth.

The saying teaches people about being diligent. People have to carry out their duties in a manner that enables them to have good harvest in future for the betterment of their families.

Matthew 26: 26-28.

John 6: 5-14.

474. NAHAYIMANILA BHITULA BHANDEKA.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola bhanhu abho bhalwaga mubhulugu, umugulwa ng’wenumo, uluganda ulumo lupela. Uluganda lunulo, lugapelaga kunguno ya guhewa, umubhulugu bhunubho. Hunagwene uyo obhahebhaga agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo utumamaga milimo mingi iyo ilimitale. Umunhu ng’wunuyo, alina nguzu na bhukamu bhutale bho guitumama imilimo yiniyo, mpaga uyimala chiza.

Uweyi agalenganijiyagwa na munhu, uyo obhapyenaga bhanishi bhakwe umubhulugu bhunubho, mpaga bhupela, kunguno nu weyi agayitumamaga milimo mingi na mitale, mpaga uyimala chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga na bhiye uguitumama imilimo yiniyo, bhobhukamu bhutale mpaka guyimala. Hunagwene uweyi, ulu oyimala imilimo yiniyo, agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bhutale ubho bhudulile gubhambilija ijinaguitumama imilimo imingi na mitale, na guyimala chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

KISWAHILI: NIMESHTUKIA WAMETAWANYIKA WAMENIACHA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia watu ambao wako vitani, ambamo kundi moja huzidiwa, mpaka kufikia hatua ya kukimbia. Kundi hilo, hukimbia kwa sababhu ya kuzidiwa nguvu. Ndiyo maana yule aliyelishinda kundi hilo, husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, na kubwa mpaka kuzimaliza, maishani mwake. Mtu huyo, ana nguvu na bidii kubwa ya kumwezesha kuzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho.

Yeye hulinganishwa na mtu yule aliyewashinda maadui zake vitani, mpapa wakakimbia, kwa sababu naye huzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho, ambazo ni nyingi na kubwa.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuzitekeleza vizuri kazi hizo, kwa bidii kubwa mpaka kuzimaliza. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii kubwa ya kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi nyingi na kubwa, mpaka kuzimaliza, ili waweze kupata maendelea makubwa maishani mwao.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

isoko

worker1

ENGLISH: THEY HAVE SUDDENLY RUN AWAY LEAVING ME ALONE.

The essence of this saying is groups of people at war where one group, after being overpowered, escapes. This group runs away to escape death or being captured as captives. The remaining group can describe this situation by using the saying that ‘they have suddenly run away leaving me alone.’

The saying can be compared to a person who does the most and greatest works in his/her life. Such a person has power and effort to enable him/her to carry out those tasks to the end. The saying can also be compared to a man/woman defeated in his/her struggle and decides to run away from competition, leaving others to move on.

The saying teaches people about having a greater effort to enable them to carry out more and more tasks and to finish them. This will enable them to have good life in future.

Luke 4: 1-13.

Matthew 26:55 – 56.

John 8: 1-11.

473. WINGA BHO MISHANGO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile wingi bho ng’wa munhu, ubho bhuli bho mishango, nulu bho wangu wangu.  Uwingi bhunubho, bhudulile gubhiza bho guja akunhu alipela, nulu bhoguja agusiminzaga. Uwingi bhunubho, hubho bhuli bho mishango. Hunagwene abhanhu abho obhaleka, bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo, ‘winga bho mishango.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo otabhanyiyagwa mhayo, nulu nimo uyo guli ndito, wiyangula gwinga hoyi. Umunhu ng’wunuyo, agadumaga umowitile, hunagwene agiyangulaga gwinga hoyi, kunguno ogulemelagwa umhayo, nulu unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu abhanganhayaga giki, ‘winga bho mishango.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guchola nzila ja gugamala chiza, amakoye ayo bhalinago, gutinda ugugapela, kugiki bhadule gujibheja chiza, ikaya jabho.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

KISWAHILI: AMETOKA MKIKIMKIKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uondokaji wa mtu ambao ni wa kazi kutoka sehemu aliyokuwepo. Uondokaji huo, waweza kuwa wa kukimbia, au wa kutembea kwa haraka. Uondoka wa anina hiyo, ndio unaoitwa wa mkikimkiki. Ndiyo maana watu wale aliowaacha mtu huyo, husema, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ameelemewa na tatizo au neno fulani, ambalo ni zito kwake, mpaka akaamua kuondoka. Mtu huyo, hushindwa kugundua njia nyingine ya kulitatulia tatizo hilo. Hali hiyo, husababisha kwake kufikia uamuzi wa kutoka kwa kazi, kwa sababu ya kulemewa na tatizo au kazi hiyo. Ndiyo maana, watu husema juu ya mtu huyo, kwamba, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kutafuta njia za kuyatatua vizuri matatizo waliyonayo, badala ya kuyakimbia, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

bhalindi bha bhabhumbi

male1

ENGLISH: ONE HAS LEFT HERE HASTLY.

The origin of the above saying is the forced departure of a person from a certain place. The departure can be through running or walking. This forced departure of an individual can make people describe it using the saying that ‘one has left here hastly.’

The saying can be compared to a person who is burdened with a problem or word, which is too heavy for him to bear until he decides to quit from it. This person might be unable to find ways to solve it as a result he/she can force himself/herself to quit the place.

The saying teaches people about having patience in order to allow them to find ways to better solve their problems. Running away from them does not help to solve them.

Matthew 2: 13-15.

Exodus 2:11 – 15.

Genesis 27:41 – 45.

472. DALI NAWE HAHA DUHU WINGA KAB’ALAKA.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile munhu uyo alihoya na bhiye kihamo. Umunhu ng’wunuyo, ulu winga kakanza kadoo ukunhu alisendamila gushoka ahabhiye henaho, agahayiyagwa giki, wingaga kab’alaka. Hunagwene  abhiye abho olinabho bhenabho, bhagayombaga giki ‘dali nawe haha duhu winga kab’alaka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho kihamo, na bhowiyigwi bhutale. Abhanhu bhenabho, bhagilagaga ulu umo obho uhaya gwinga hoyi.

Abho obhalekaga, bhaganindilaga bho wisagiji ung’wichabho ng’wunuyo, kunguno, bhamanile igiki agushoga duhu umumilimo yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, ‘dali nawe haha duhu winga kab’alaka.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kugutumama milimo yabho kihamo, na gulindila bho wisagiji, amafumilo ga milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

Yohana 16:16 – 20.

KISWAHILI: TULIKWA NAYE AMEONDOKA HIVI KARIBUNI.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwa mtu aliyekuwa anaongea pamoja na wenzake, akaondoka kwa muda. Mtu huyo akiondoka kwa dharua huku akitegemea kurudi baadaye, huelezewa kwamba, ameondoka hivi karibuni. Ndiyo maana wenzake aliowaaha hapo, husema kwamba, ‘tulikuwa naye ameondoka hivi karibuni.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao kwa pamoja, na kwa uelewano mkubwa. Watu hao, huagana endapo mmoja wao akitaka kuondoka hapo.

Wale aliowaacha humsubiri kwa matumaini, kwa sababu wanaelewa kwamba, atarudi ili waweze kuendelea na majukumu yao pamoja. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘tulikuwa naye ameondoka hivi karibuni.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa umoja, na kusubiri kwa matumaini, matokeo ya kazi zao hizo, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Yohana 16:16 – 20.

bhakima walitumama milimo

african-woman-

ENGLISH: WE WERE WITH HIM; HE HAS LEFT JUST NOW.

The source of the saying is coming from a person who was talking with his colleagues then left for a while. When the person leaves the scene with an expectation to return later, it is explained that he has left just now. That’s why his/her friends will say, ‘we were with him; he has left just now.’

The saying can be compared to those people who do their jobs together and with great harmony.

Those he/she has left will wait for him/her with hope, because they understand that he/she will return soon to carry on their responsibilities together. That’s why those people can say, ‘we were with him; he has left just now.’

The saying teaches people about doing their jobs together. This can enable them to finish their works on time and in a successful manner.

John 16:16 – 20.

466. NDILO IGIKUBHAGA MINZI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile ndilo iyo igikalaga muminzi. Indilo yiniyo, igabhizaga guti ilikubha, umuzingi genayo, kunguno yigigushaga moyi na bhuyegi.

Aliyo lulu, ulu gukama aminzi genayo, igazongaga noyi, kunguno ya guduma uguweshema, mpaga nose nulu gushigila gucha, ulu gadigelaga minzi. Hunagwene abhanhu bagayomgaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alinsabhi. Umunhu ng’wunuyo adayungayungaga ukubhanhu, kunguno ya jikolo jakwe jinijo. Aliyo lulu, ulu jushila ijikolo jinijo, agabhizaga na soni, nulu guja ng’wa ng’wiye agadumaga.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa na ndilo, iyo igikubhaga minzi, kunguno nang’hwe agikalaga hakaya yakwe, ayegile na sabho yakwe, ahajitali ughushila. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘ndilo igikubhaga mingi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadosa abhahabhi, ahikanza lya bhupandiki bhobho. Igelelilwe bhikale na bhanhu bhose, bho nduhu ugubhadalaha, kunguno ya bhuhabhi bhobho.

Yohane 15:5.

KISWAHILI: SAMAKI HUOGELEA MAJINI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia samaki anavyohuishi majini. Samaki huyo, huwa anaogelea kwenye maji hayo, kwa sababu ya yeye kujisikia kuwa na furaha ndani ya wingi wa maji hayo.

Lakini basi, maji hayo yakikauka, yeye huhuzunika sana, kwa sababu ya kushindwa kupumua. Hali hiyo, yaweza hata kupelekea kifo chake, endapo maji yatakawiya kuja. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘samaki huogelea majini.’

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri. Mtu huyo huwa hatembeyi sana kwa wenzake, kwa sababu ya mali zake hizo. Lakini basi, mali hizo zikiisha hujisikia aibu, hata kwenda kwa wenzake.

Mtu huyo hulinganishwa na samaki aogeleaye majini, kwa sababu naye huishi nyumbani kwake, akizifurahia mali zake hizo, wakati bado hazijamwishia. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘samaki huogelea majini.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau maskini, wakati wao wana mali. Yafaa waishi na watu wote vizuri, bila ubaguzi wa kuangalia mali.

Yohane 15:5.

channel-catfish

trout ndilo

ENGLISH: FISH SWIMS INTO WATER.

The source of this saying is the life of fish and how it enjoys swimming into deep water. The fish likes swimming in water because it enjoys that kind of life. When water dries, its survival can be very difficult. It can die. This is why people say ‘fish swims in water’ to indicate the absence of another life for fish out of water.

The saying can be compared to rich people who are very proud of their richness. They live in their spacious houses and every service is in their reach. But, when they run bankrupt, they suffer to the extent of seeing hell in their life. They appear like a fish that has been forced to live out of water.

The saying teaches people about how to stop despising the poor. They need to understand that possession of properties is not a permanment state rather it can change any time. Therefore properties should not separate people.

John 15: 5.