Riddles

503. KALAGU – KIZE. BHALI LINHA HIGULYA NA MAGODI MASOGA GAPE NA GAPI:- BALABABU.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile jisumva ijo jigitanagwa balababu. Ijisumva jinijo jigikalaga jisoga kulwagubhiza na mimili yape na yapi, ijo jigalalaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘bhalilinha higulya na magodi masoga gape na gapi’ bhashosha giki ‘balababu’.

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bhingi bho gujilanija nabho chiza. Umunhu ng’wunuyo adebhile igiki, bhuli munhu aliheke guti umo obyalilwa, kunguno abhanhu bhadikolaga pye abhose, nulu bhagabhiza bhali bha myaji umo.

Umugubyalwa na myaji umo chiniko, umo obho adulile gubhiza nihanga lingi ilo lidikolile na bhiye. Umunhu ng’wunuyo, agabhalanjaga abhiye gwikala halumo chiza, kunguno, pye abhose bhali bhanhu ng’wa Mulungu. Hunagwene bhagiganilaga abhanhu giki, ‘bhalilinha higulya na magodi masoga gape na gapi’ bhashosha, ‘balababu.’

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu guyegela gwikala halumo, nulu amakobha gabho gagabhiza galiheke chiniko, kugiki bhadule gwiyambilija ugujibheja chiza ikaya jabho umuwikaji bhobho.

(Wagalatia 5:16-26; Mathayo 25:31-46; Mathayo 13:24-30).

KISWAHILI: KITENDAWILI   –   TEGA: WANAPANDA JUU NA MAKOTI MAZURI MEUPE NA MEUSI – VIPEPEO.

Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia viumbe waitwao vipepeo. Viumbe hao huruka na wengi wao huwa na rangi nzuri nyeupe na nyeusi. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘wanapanda juu na makoti mazuri meupe na meusi’ na kujibu, ‘vipepeo.’

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu aishiye na watu wengi vizuri. Mtu huyo anaelewa kwamba kila mtu hutofautiana na mwingine kama alivyozaliwa, kwa sababu watu huwa hawafanani wote, hata kama wamezaliwa na mzazi mmoja.

Watu hao hutofautiana katika kuzaliwa huko; wengine wanaweza kuwa na sura ambazo hazifanani na wenzao. Mtu aliye na sura tofauti huwafundisha wenzake kuishi vizuri katika umoja, kwa sababu wote ni watu wa Mungu. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘wanapanda juu na makoti mazuri meupe na meusi’ na kujibu, ‘vipepeo.’

Kitendawili hicho chafundisha watu kufurahia kuishi katika umoja wao vizuri, pamoja na kuwepo kwa tofauti za sura na rangi zao, ili waweze kusaidiana katika kuzindeleza vizuri familia zao maishani.

(Wagalatia 5:16-26; Mathayo 25:31-46; Mathayo 13:24-30).

 

 

butterfly-balababu

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: ‘THEY CLIMB HIGH WITH BEAUTIFUL WHITE AND BLACK COATS – BUTTERFLIES.

The origin of this riddle come from the creatures called butterflies. These creatures fly and most of them have beautiful white and black bodies. That’s why people pose a riddle, ‘They climb high with beautiful white and black coats and reply, ‘butterflies.’

The riddle is comparatively used with reference to a person who lives well in company of many people. Such a person understands that everyone is different; even those who are born from the same parents are never the same.

Such individuals are differing in their births and upbringing; among them, others may have features that are not the same as their siblings. These teach others to live in unity, because they are all God’s people. That is why people pose a riddle that, ‘they climb high with beautiful white and black coats’ and reply, ‘butterflies.’

This riddle, teaches people to enjoy living in harmony, despite their racial differences, so that they can help each other in their families’ well-being.

(Galatians 5: 16-26; Matthew 25: 31-46; Matthew 13: 24-30).

502. KALAGU – KIZE. AMANILE UGOLA ALIYO ADAMANILE IJOALOLA:- NGOKU.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile kasiminzile ka ngoku. Ingoku ulu ilisiminza igalekaga bholange umo ilibhitila. Hangi nu lugendo loyo, lulilogwigondagonda, kunguno ludasululaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘amanile ugola aliyo adamanile ijoalola’ bashosha giki ‘ngoku’.

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agalekaga jigemelo ja wiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalungujaga chiza abho bhali mumakoye. Uweyi agatumamaga milimo yakwe, bho nduhu uhadikijiwa, nulu gulindila gwizukijiwa na ungi, kunguno aidebhile ingelelo ya milimo yakwe.

Uweyi agikolaga ni ngoku, kunguno nanghwe agolaga ginhu jilebhe, ijo abhiye bhagilangaga gutumama milimo yabho, chiza gubhitila wikaji bhokwe. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu giki, ‘amanile ugola aliyo adamanile iji alola’ bhashosha, ‘ ngoku.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu  kuwalekela abhanhu bhabho, meng’ho ja gudula gubhakomeleja guitumama imilimo yabho, bho bhuyegi bhutale, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho.

(Zaburi 23:1-4. Mathayo 11:25-30. 1Petro 5:8-11)

 

KISWAHILI: KITENDAWILI    –   TEGA: ANAJUA KUCHORA LAKINI HAJUI AKICHORACHO – KONOKONO.

Chanzo cha kitendawili hiki ni utembeaji wa konokono. Konokono akitembea, huchora mchoro anamopitia. Pia mwendo wake ni wa kupindapinda; si ule ulionyooka. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba ‘anajua kuchora lakini hajui akichoracho’ na kutoa jibu la ‘konokono’.

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, huacha mfano mzuri wa kuishi vizuri na watu, kupitia maisha yake. Mtu huyo, huwafariji vizuri wale walioko kwenye matatizo mbalimbali. Yeye pia hutekeleza majukumu yake, bila kulazimishwa wala kusubiri kuambiwa na mwingine, kwa sababu anayaelewa vizuri, yalivyo, na namna ya kuyatekeleza.

Mtu huyo, hufanana na konokono achoravyo kwa bidii, kwa sababu naye huchora kitu fulani ambacho wenzake, hukiona na kujifunza namna ya kuyatekeleza majukumu yao vizuri, kupitia maisha yake. Ndiyo maana yeye huwahadithia watu wake kwamba, ‘anafahamu kuchora lakini hajui kile anachokichora’ na kujibu, ‘ konokono.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu  kuacha alama za kuwahimiza wenzao kuyatekeleza majukumu yao, kwa furaha kubwa, kupitia maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Zaburi 23:1-4. Mathayo 11:25-30. 1Petro 5:8-11.

 

ngoku

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: HE KNOWS HOW TO DRAW BUT DOESN’T KNOW WHAT HE DRAWS – A SNAIL.

The origin of this riddle is the snail walk. As the snail walks, it leaves drawings along its passage. Also, its motion is not a straight one. That is why people pose a riddle, ‘He knows how to draw but doesn’t know what he draws‘ and reply ‘a snail’.

This riddle, compared to the individual, leaves a good example of how to live well with people, through his life. The person, in turn, comfort those in distress. He also carries out his duties, without being forced or waiting to be told by another, because he understands them well, what they are, and how to carry them out.

The man is like a hard-working snail, because he also draws on something his colleagues see, and learn how to carry out their duties, through his life. That is why he tells his people that, ‘it knows how to draw but it doesn’t know what it draws: – a snail.’

This riddle, teaches people about leaving markers to encourage their peers to carry out their responsibilities, with great joy, through their lives, so that they can better their families.

(Psalm 23: 1-4; Matthew 11: 25-30; 1Peter 5: 8-11)

498. KALAGU – KIZE. MBULUGUTWA TUNDE:- NGOKO ILOGA.

Imbiki ya kalagu yiniyo, ililola bhogi bho ngoko. Ingoko yiniyo, igogaga bho gubuluguta mu mabhu, nulu mumasalu amanogoleku. Iyoyi igacholaga aha soga hunayogela hoyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘mbulugutwa tunde:- ngoko iloga.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagulang’hanaga chiza umili gokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga ni kujo umuchalo jakwe, kunguno ya akikalila kakwe. Adipondaga soni bho sagala, kunguno ulu uhaya gwita mhayo nhebhe, acholaga aha soga, guti ni ngoko iyo igacholaga aha bhogelo ubhusoga.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalanjaga nabhiye ahigulya ya kuilang’hana chiza imimili yabho, kugiki bhadizita mihayo iyo idulile gubhaponda soni, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu bhakwe giki, ‘mbulugutwa tunde:- ngoko iloga.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuidebha na kuilang’hana chiza imimili yabho, bho gwikala nikujo umuwikaji bhobho, kugiki bhadiziita imihayo iyo idulile gubhaponda soni, umukikalile kabho.

Yana 3:4-10.

Yoeli 2:12-17.

Luka 15:18-19.

KISWAHILI: KITENDAWILI    –   TEGA

KUGAAGAA KWAKWE ARDHINI:- KUKU ANAOGA

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia uogaji wa kuku. Kuku huoga kwa kujigalagaza kwenye majivu, au kwenye mchanga laini. Yeye huwa anatafuta sehemu nzuri ya kuogea. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kugaagaa kwake aridhini:- kuku anaoga.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, huutunza vizuri mwili wake, bila kupoteza heshima yake katika jamii. Mtu huyo, huendelea kuheshima kijijini mwake, kwa sababu ya mwenendo wake mzuri wa kuishi kwa kuwaheshimu pia wenzake.

Yeye hutekeleza yale yawezayo kutunza heshima yake kwa kuwaheshimu wale anaoishi nao. Hajiaibishi hovyo, kwa sababu, akitaka kutekeleza jambo fulani, hutafuta pale linapofaa kufanyika, kama vile kuku atafutavyo, sehemu nzuri ya kuogea kwake.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kutunza vizuri miili yao, kwa kutunza heshima yao katika jamii, ili wasije wakafanya mambo ya aibu maishani mwao. Ndiyo maana yeye huwahadithia watu kwamba, ‘kugaagaa kwake aridhini:- kuku anaoga.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuitunza vizuri miili yao, kwa kuheshimiana katika maisha yao, ili wasije wakajivunjia heshima, kwa kufanya mambo ya aibu, katika jamii.

Yona 3:4-10.

Yoeli 2:12-17.

Luka 15:18-19.

ngoko iloga

ngoko jiloga

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

 A MOTHER HAS FEET BUT A CHILD HAS NO FEET – A CHICKEN EGG.

The source of this riddle is the chicken and its eggs. Chickens have legs but they lay eggs which do not have legs. It is the care of the mother-chicken that can make eggs eventually develop legs and walk like mother-chicken. This scenario of chicken and egg relationship can be described using a riddle that ‘a mother has feet but a child has no feet – a chicken egg.’

This riddle can be compared to a person who protects his/her children well. This person knows well how to raise his/her children in good behaviour. This person is likened to a hen that cares for eggs until they are hatched into chicken and continue taking care of chicken till they become full independent chicken.

This riddle teaches people about having the patience to nurture their children so that they can understand how to live better with other people as they themselves understand what to do and not to do in life.

Isaiah 10: 14-15.

Matthew 1: 18-25.

497. KALAGU – KIZE. MAYU MUNHU ALINA MAGULU LELO UMYALWA ADINA MAGULU:- LIGI LYA NGOKO.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola jisumva ijo jigibyalaga bho gunya magi, guti ngoko. Ingoko ilina magulu, aliyo lulu, ulu yunyela amagi gayo, gadina magulu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mayu munhu alina magulu lelo umyalwa adina magulu:- ligi lya ngoko.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agabhalanhanaga chiza pye abhana bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugubhakuja chiza abhana bhenabho, mpaka bhajimana inhungwa ija wiza, ijo ajidebhile uweyi.

Uweyi agikolaga ni ngoko, iyo igabyalaga bhana abho bhadi na magulu, aliyo igagalang’hana amagi gayo, mpaga bhafuma moyi bhana, abho bhali na magulu guti ni yoyi, kunguno nuweyi, agabhalanjaga nhungwa jabhiza abhana bhakwe, mpaga bhiikola nang’hwe, umukikalile akawiza. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu giki, ‘mayu munhu alina magulu lelo umyalwa adina magulu:- ligi lya ngoko.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumulija bho gubhalanga nhungwa ja wiza abhana bhabho, kugiki bhadule gudebha ugwikala na bhanhu bho mholele, gitumo bhagikalilaga abhoyi.

Isaya 10:14-15.

Mathayo 1:18-25.

KISWAHILI: KITENDAWILI   –  TEGA.

MAMA MTU ANA MIGUU BALI MZALIWA HANA MIGUU:-  YAI LA KUKU.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia viumbe ambavyo kuzaliana kwa kutaga mayayi, kama kuku. Kuku ana miguu lakini basi, akitaga mayayi yake, hayana miguu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mama mtu ana miguu bali mzaliwa hana miguu:- yai la kuku.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalinda vizuri watoto wake. Mtu huyo, anafahamu kuwakuza katika maadili mema watoto wake hao, hadi huwafikisha kwenye hatua ya kuyaelewa malezi hayo mema, kama anavyo yaelewa yeye.

Yeye hufanana na kuku atagaye mayayi yasiyo na miguu, na kuyatunza hadi wanapatikana watoto wenye miguu kama yeye, kwa sababu naye, huwafundisha maadili mema watoto wake, hadi kufikia hatua ya kufanana naye, katika mwenendo wa kuishi. Ndiyo maana huwahadithia watu kwamba, ‘mama mtu ana miguu bali mzaliwa hana miguu:- yai la kuku.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwakuza katika maadili mema watoto wao, ili waweze kuelewa namna ya kuishi vizuri na watu, kama wanavyoelewa wao wenyewe.

Isaya 10:14-15.

Mathayo 1:18-25.

ngoko

chicken-eggs

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

 A MOTHER HAS FEET BUT A CHILD HAS NO FEET – A CHICKEN EGG.

The source of this riddle is the chicken and its eggs. Chickens have legs but they lay eggs which do not have legs. It is the care of the mother-chicken that can make eggs eventually develop legs and walk like mother-chicken. This scenario of chicken and egg relationship can be described using a riddle that ‘a mother has feet but a child has no feet – a chicken egg.’

This riddle can be compared to a person who protects his/her children well. This person knows well how to raise his/her children in good behaviour. This person is likened to a hen that cares for eggs until they are hatched into chicken and continue taking care of chicken till they become full independent chicken.

This riddle teaches people about having the patience to nurture their children so that they can understand how to live better with other people as they themselves understand what to do and not to do in life.

Isaiah 10: 14-15.

Matthew 1: 18-25.

496. KALAGU – KIZE. WITANDULA TANDULA KULWA LUTUGA LOKWE:- MADUTU GIDOKE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola linti ili ligitanagwa idoke. Ilinti linilo, lilinogoleku noyi, kunguno, ulu guyemba unyaga, amadutu galyo gatitulanyaga, na gayiyongeja ugusanaguka. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘witandula tandula kulwa lutuga lokwe:- madutu gidoke.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli myaji, uyo abhagabhakenagulaga abhana bhakwe, kunguno ya inhungwa jakwe ijo jililabhubhi. Umyaji ng’wunuyo, agabhalekanijaga abhana bhakwe, bhabhiza na kajile kabhi, kunguno ya kikalile kakwe ako kadinilange ilya gwikala na bhanhu chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nituga lidoke ilo ligatandulwa na luyaga, aliyo nunina ogo alihaho, kunguno nuweyi, agabhakenagulaga abhana bhakwe, kunguno ya gugayiwa nhungwa ja wiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘witandula tandula kulwa lutuga lokwe:- madutu gidoke.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni lange lya wiza, ukubhana bhabho, kugiki, bhadule gukula bhali nilange ilya gwikala chiza na bhanhu, uwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-7.

Luka 21: 34-38.

Wagalatia 3:1-6.

Warumi 5:12-14.

KISWAHILI: KTENDAWILI:  –  TEGA.

KUJICHANA CHANA NI SABABU YA WEHU WAKE:- MAJANI YA MGOMBA.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mti unaoitwa mgomba. Mtu huo, ni mlaini sana, kwa sababu, ukipulizwa na upepo, majani yake huanza kugongana, na kujiongeza kujichana chana. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kujichana chana ni sababu ya wehu wake:- mgomba.’

Kitendawili hicho, chalinganishwa kwa mzazi, yule ambaye huwaharibu watoto wake, kwa sababu ya mfano mbaya wa maisha yake wanauona. Mzazi huyo, huwatelekeza watoto wake, na kuwaonesha mfano mbaya wa mwenendo wake, ambao hauna maadili ya kuishi vizuri na watu.

Mtu huyo, hufanana na wehu wa mgomba uliowachana chana watoto wake, kwa sababu naye, ametelekeza watoto wake, kwa kuonesha mfano mbaya wa maisha, ambao hauna maadili mema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kujichana chana ni sababu ya wehu wake:- mgomba.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuwa na malezi mema kwa watoto wao, ili waweze kukua wakiwa wamejengeka vizuri katika maadili ya kuwawezesha kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-7.

Luka 21: 34-38.

Wagalatia 3:1-6.

Warumi 5:12-14.

banana leave

banana ni doke

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME

HE/SHE HAS CUT HIMSELF/HERSELF BECAUSE OF HER/HIS CRAZINESS- BANANA TREE.

The source of this saying is a banana tree that appears to be soft and because of its softness, when the wind blows, it cuts off its branches. That is why people can say ‘he/she has cut himself/herself because of his/her craziness – banana tree’ to communicate how the softness of banana branchs makes them to swing around when the wind blows that result into them being cut into pieces.

This riddle can be compared to a parent who destroys his/her children because of the way he/she lives with other people around him/her. Such a parent can set a bad example to his/her children. It can also be compared to a person who abandons his/her children, a behaviour that demonstrates bad parenting system to his/her children.

This saying teaches people about caring for their children so that they can grow up to be well-grounded in values ​​that enable them to live well with people in their lives.

Genesis 3: 1-7.

Luke 21: 34-38.

Galatians 3: 1-6.

Romans 5: 12-14.