proverbs

369. ULALILE BHULI?

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuli munhu uyo alalile. Umunhu ng’wunuyo adigwaga ginhu josejose kunguno ya gub’iza alimutulo jakwe jinijo. Uweyi agab’izaga alalile ahamakanza ayo yigelelilwe abhize ali miso. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, ‘ulalile b’uli.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agab’izaga adadeb’ile ijo jilendeleya aho ali uweyi. Jidulile nulu gwigela jito jitale aho ali umunhu ng’wunuyo, aliyo uweyi agub’iza adajideb’ile. Kukikalile kenako agab’izaga guti alalile aho ali henaho. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, ‘ulalile b’uli?’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwita bhukengeji bho gudeb’a iyo ilendelea aho bhali, kugiki bhadule gub’ambilija abhichabho abho bhali mumakoye.

Luka 24:18.

Luka 22:45-46.

Zaburi 44:23.

KISWAHILI: KWA NINI UMELALA?

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya mtu aliyelala. Mtu huyo huwa hasikii kitu chochote kile kwa sababu ya kuwa na usingizi wake huo. Yeye huwa amelala hata wakati ule atakiwapo kuwa macho. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, ‘kwa nini umelala?’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwa haelewi kile kinachoendelea pale alipo. Chaweza hata kutokea kitu kubwa ambacho hutakiwa kuwa amekielewa, lakini yeye huwa hakielewi. Maisha hayo hulingana na mtu aliyelala pale alipo. Nidyo maana watu humuuliza kwamba, ‘kwa nini umelala?’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya utafiti wa kuwawezesha kuelewa kile kinachoendelea pale walipo, ili waweze kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo.

Luka 24:18.

Luka 22:45-46.

Zaburi 44:23.

boy

 

 

ENGLISH: WHY HAVE YOU SLEPT?

The source of the above saying comes from someone who appears to be asleep. Such a person usually does not hear anything because of his/her sleep. He/she is always asleep even when he/she has to be awake. Such people are always being asked: ‘why have you slept?’

This saying can be compared to a person who does not understand what is going on around him/her. Something might happen that he/she should have understood, but he/she does not understand it. The saying can also be likened to a lazy person who does not want to work.This is why people can ask such a person ‘why have you slept?’ to mean that he/she has to wake up.

The proverb teaches people about doing research that can enable them understand what is going on around them. This will help them have good life.

Luke 24:18.

Luke 22: 45-46.

Psalm 44:23.

368. JALALA NGWAJE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulaji bho mitugo ng’waje. Imitugo jinijo jilina nyango, aliyo gudalugalgwa. Abhanhu ulu bhub’ona gudalugalilwe unyango gunuyo bhagayombaga giki, ‘jalala ng’waje.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajidililaga chiza ijikolo, nulu isabho jakwe. Isabho jinijo nulu jigajimila, uweyi adajisadagwa. Umunhu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala duhu kunguyo ya gugayiwa bhudiliji bho sabho jakwe bhunubho. Hunagwene abhanhu ulu bhajibhona jilekanijije chiniko, bhagayombaga giki, ‘jalala ng’waje.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kujilang’hana chiza isabho jabho, kugiki jidizujimila sagala.

2 Mambo ya Nyakati 10:16.

Luka 16: 4- 12.

1 Timotheo 6:17.

KISWAHILI: IMELALA WAZI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulalaji wa mifugo bila kufungiwa mlango. Mifugo hao huwa na mlango wake lakini mlango huo haufungwi. Watu waunapo mlango huo ukiwa wazi, husema kwamba, ‘imelala wazi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwa haijali vizuri mali yake. Mali hiyo hata ikipotea yeye huwa hajali. Yeye huitelekeza mali hiyo kwa sababu ya kutokujali kwake. Ndiyo maana watu waionapo mali yake hiyo iliyotelekezwa husema, ‘imelala wazi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutunza vizuri mali zao ili zisije zikapotea hovyo.

2 Mambo ya Nyakati 10:16.

Luka 16: 4- 12.

1 Timotheo 6:17.

maasai-herdsman

sheep-hut

 

ENGLISH: THEY HAVE SLEPT WHILE THE DOOR IS OPEN.

The source of the above saying comes from sleeping animals in their kraal without protecting them by closing their entrance door. Kraals always have doors that need to be locked when animals are in for security reasons and for limiting them moving out before being allowed to do so. This is why when people see the kraal’s door is open while animals are in can say, ‘they have slept while the door is open.’

This saying can be compared to someone who is not taking good care of his/her property. Even if the property is lost he/she does not care. He/she is someone who forsakes the property because of his/her negligence. This is why when people see such a person can say, ‘they have slept while the door is open.’

This proverb teaches people to take good care of their property.

2 Chronicles 10:16.

Luke 16: 4- 12.

1 Timothy 6:17.

367. IYILALILE IGANYELAGWA NI YIMILILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwikaji bho mitugo.  Imitugo jinijo ulu jilimulugutu lojo, ijingi jigabhizaga jilalile, ijingi jimilile. Ijo jimilile jigajinyelaga ijo jilalile. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘iyilalile iganyelagwa ni yimilile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alilembekejiwa limhayo ilo adalitumamile, kugiki wipije uyo olitumama. Umunhu uyo olitumama ilimhayo linilo, agiyejaga duhu ukubhanhu, kugiki bhamone munhu owiza, aliyo gashinaga ali munhu nomolomo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘iyilalile iganyelagwa ni yimilile.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gub’ilembekeja bhanhu ubhuhub’i ubho bhadawitile, kugiki bhalikalane ililagilo lya ng’wa Mulungu ilya kanane, ilo lilemejije uguyomba ubhulomolomo.

Yakobo 3:2-12.

Zaburi 36:3-4.

KISWAHILI: ILIYOLALA HUNYEWA NA ILIYOSIMAMA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya mifugo. Mifugo hao wakiwa zizini mwao, wengine huwa wamesimama, na wengine huwa wamelala. Wale waliosimama huwanyea wale waliolala. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala hunyewa na iliyosimama.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule aliyesingiziwa neno ambalo hakulifanya, ili yule aliyelifanya ajiokoe. Mtu huyo aliyetenda kitendo hicho hujiosha tu kwa watu, ili aonekane kuwa ni mtu mwema, lakini kumbe ni muongo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala hunyewa na iliyosimama.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kusema uongo, ili waweze kuiishi amri ya nane ya Mungu, ikatazayo kusema uongo.

Yakobo 3:2-12.

Zaburi 36:3-4.

cows

 

moose

 

ENGLISH: THE STANDING ONES WILL DEFALCATE ON THEIR SLEEPING COUNTERPARTS.

The source of this proverb comes from animal life. When animals are in their kraal, some will be standing while others are sleeping. Those that are standing can defalcate on the sleeping ones. This is why people can say, ‘the standing ones will defalcate on their sleeping counterparts.’

This proverb can be compared to a person who is insinuated to have done something while not. This is done in order to save someone from being given a negative label in the society.

Such a person who has done such a bad thing (might be a leader or someone who is highly respected in the society) would like to fool people around him/her by appearing smart all the time while in actual fact he/she is not. This is why one can warn such people by telling that ‘the standing ones will defalcate on their sleeping counterparts.’

This proverb teaches people to stop lying so that they can live the eighth commandment of God which prohibits people from lying.

James 3: 2-12.

Psalm 36: 3-4.

1 Timothy 6:17.

366. BHUSUMABHU YALALILAGA LUGOYE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile kabhana b’usumab’u. Abhanhu bhenabho bhali bha tarafa ya b’usumab’u, Wilaya ya Kwimba, umu Nkoa go Ng’wanza. Abhana b’usumab’u bhali bhasala bha gub’ub’isa ubhung’hana. Ulu munhu ubhabhuja ginhu bhayombaga giki, bhadamanile. Gashinaga bhamanile aliyo bhalib’isa, guti gulalila lugoye. Hunagwene abhanhu ulu bhumhona munhu alib’isa ginhu, bhagayombaga giki, ‘b’usumab’u yalalilaga lugoye.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adab’uyombaga ubhunghana, umukikalile kakwe, Umunhu ng’wunuyo agab’ub’isaga ubhunghana ubho bhalitogwa gubhumana abhiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’usumab’u yalalilaga Lugoye.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kubhawila bhunghana abhichabho, ubho b’udulile gub’ambilija ijina gwikala bho mholele nabho, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 27:16-21.

Mithali 20:19.

Mithali 25:19.

KISWAHILI:  B’USUMAB’U IMELALIA KAMBA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya wale watokao busumabu. Watu hao ni wa tarafa ya Busumabu, Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza. Watu hao walikuwa wajanza wa kuuficha ukweli. Mtu akiwauliza jambo fulani, wao walijibu kwamba, hawalifahamu. Kumbe wanalifahamu, lakini wao hulificha kama kulalila kamba. Ndiyo maana watu wakimuona mmoja anaonekana kuwa na hali ya kuficha kitu, husema, ‘busumabu imelalia kamba.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule asiye sema ukweli maishani mwake. Mtu huyo huwaficha wenzake ukweli ule watakao kuufahamu, ambao utawasaidia maishani mwao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘busumabu imelalia kamba.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwaambia watu wao ukweli uwezao kuwasaidia katika kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 27:16-21.

Mithali 20:19.

Mithali 25:19.

rope

hammock

 

ENGLISH: BHUSUMABHU HAS SLEPT ON THE ROPE

The source of the above saying comes from the lives of people who come from a place known as Bhusumabhu; a division in Kwimba District, Mwanza Region.

Those people were clever enough to hide truth from other people. When they were asked about something their reply would always be ‘I don’t know/understand.’ But, in fact, they know/understand it. Rather, they hide it like sleeping on a rope. This is why when people see someone who appears to be clever enough to hide truth from others they can say ‘bhusumabhu has slept on a rope.’

The proverb is likened to a person who does not tell the truth in his/her life. Such a person hides truth from others, which, in so doing, can deny them success in life. This is why a person can warn such people by telling that ‘bhusumabhu has slept on a rope.’

The proverb teaches people about telling truth that can help them live in peace with their neighbors in their lives.

Joshua Bin Sira 27: 16-21.

Proverbs 20:19.

Proverbs 25:19.

364. ILALILE IDABHINZAGWA NKILA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuleki bho guyib’inza nkila iyo yilalile. Ubhub’inzi bho nkila bhunubho, bhulisawa na guyimisha, kunguno ulu gugondwa unkila gunuyo, igusatya mpaga yumisha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ilalile idab’inzagwa nkila.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alembelile hanhu. Umunhu ng’wunuyo idichiza ugunhadikija gwita ginhu, ijo uweyi adujihayaga. Gashinaga lulu, ilichiza umunhu ng’wunuyo wiyangule ng’winikili ugugutumama unhimo uyo aligudula weyi bho nduhu uguhadikijiwa na bhanhu. Hunagwene abhanhu ulu b’umhola munhu adudililaga mhaho uyo aligubhona, bhagayomba giki, ‘ilalile adab’inzagwa nkila.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumila wiyabhi bhobho ijinagwikala, nulu ijinagugutumama unhimo uyo bhaligutogwa bhoyi. Gashinaga lulu, yigelelilwe kuleka ugubhahadikija abhichabho guyita iyo b’adayitogilwe, umuwikaji bhobho.

Ayubu11:19.

Mithali 3:24.

Yeremia 51:57.

Marko 14:41.

KISWAHILI: ILIYOLALA HAIVUNJWI MKIA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uachaji wa kuvunja mkia wa ile iliyolala. Uvunjaji huo wa mkia uko sawa na kuiamusha hiyo iliyolala, kwa sababu ya kupata maumivu yatokanayo na kukunjwa kwa mkia huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala haivunjwi mkia,’ kwa sababu ikikunjwa itapata maumivu ya kuiamusha haraka.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ametulia sehemu fulani. Mtu huyo haipendezi kumlazimisha kufanya kitu ambacho yeye hataki kukifanya. Kumbe basi, ni vizuri kwa mtu huyo kumuacha aamue yeye mwenyewe kile apendacho kukitekeleza, au kazi ambayo yeye apenda kuifanya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala haivunjwi mkia.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutumia uhuru wao vizuri, katika kuishi maisha wayachaguayo, au kufanya kazi waonayo kuwa wao itawasaidia, katika kuyaendesha maisha yao, ili mladi hawavunji sheria za nchi, au za maisha yale waliyoyachagua wao wenyewe.

Ayubu11:19.

Mithali 3:24.

Yeremia 51:57.

Marko 14:41.

cow

 

ENGLISH: A TAIL OF THE SLEEPING ONE IS NOT BROKEN.

The source of the above saying comes from failing to break the tail of a sleeping animal, for example, ship. The breaking of the tail is the same as forcing the sleeping animal to wake up and respond promptly. This response can be due to pain the animal can go through. This is why people say ‘a tail of the sleeping one is not broken’ because if it is twisted it will have the pain that can force the animal to move away as quickly as possible.

The saying can be likened to a quiet person. Such a person does not like to be forced to do something he does not want to do. It is better to leave people have freedom to decide on what things they would like to do in their lives.

The saying teaches people how to exercise their freedom by living the life they choose, or to do the work that they think will benefit them in running their lives in a manner that does not violate the laws of their nations or of their own chosen life.

Job 11:19.

Proverbs 3:24.

Jeremiah 51:57.

Mark 14:41.