myth

477, KALAGU – KIZE. ULU UBHUCHA ABHANA BHAKWE ADADULILE GUBHICHA:- LINDEGE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola lindege, ilo ligabhuchaga abhana bhalyo pye amakanza. Ilindege linilo, ulu lyuhegela bhana lidadulile ugubhicha, mpaga munhu wize abhinje, ulu aligakobhola amandege genayo ahitina. Hunagwene abhanhu bhagayomgaga giki, ‘ulu ubhucha abhana bhakwe adadulile gubhicha:= lindege.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalabhilaga chiza abhana bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhalekanijaga abhana bhakwe bhenabho, kunguno agikomejaga ugubhatongela mpaga bhakula nilange lya wiza, guti numo ligabhabhukijaga abhana bhalyo, ilindege linilo.

Umungu ng’wunuyo, agabhalangaga nabhiye ahigulya ya gubhalabhila chiza abhana bhabho, mpaka bhashikana ugutumama imilimo yabho bhoyi bhinikili. Hunagwne abhanhu bhagayombaga giki, ‘ulu ubhucha abhana bhakwe adadulile gubhicha:= lindege.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhalabhila chiza abhana bhabho, kugiki bhadule gubhiza nilange lya wiza, umuwikaji bhobho. Abhabyaji yigelelilwe, bhoye ugubhalekanija abhana bhabho.

Yohana 6:68.

Zaburi 36:8.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

AKIBEBA WATOTO WAKE HAWEZI KUWASHUSHA: – MHINDI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mhindi, ambao hubeba watoto wake, kwa muda wote bila kuwashusha. Mhindi huo, ukibeba watoto wake, huwa hauna uwezo wa kuwashusha, mpaka hufikia muda ule ambayo mtu huenda kuvuna mahindi, ndipo anawatoa watoto wake hao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘akibeba watoto wake hawezi kuwashusha: – mhindi.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalinda na kuwatunza watoto wake, kwa kuwalea vizuri. Mtu huyo, hawatelekezi watoto wake hao, kwa sababu kujibidisha katika kuwaelekeza mpaka waweze kukua katika malezi mema. Yeye huwa pamoja na watoto wake hao, kama vile mhindi unavyobeba watoto wake.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake namna ya kuwalea vizuri watoto wao, mpaka wanafikia hatua ya kujitegemea wao wenyewe, kwa kufanya kazi zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘akibeba watoto wake hawezi kuwashusha: – mhindi.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuwalea watoto wao vyema, ili waweze kukua wakiwa na malezi yawezayo kuwasaidia katika kuishi vyema na wenzao, maishani mwao.

Yohane 6:68.

Zaburi 36:8.

mandege

woman2

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WHEN SHE CARRIES HER BABIES SHE CANNOT BRING THEM DOWN – MAIZE.

The source of this riddle is maize and the way the maize straw can carry cobs till harvesting time. The maize straw cannot let its cobs down until the harvestor comes to harvest them. This is why people can describe this situation using the riddle that ‘when she carries her babies cannot bring them down – maize.’

This riddle can be compared to a person who protects and cares for her/his children by raising them properly. It can be also compared to people who take care of their families. This is why people are warned against not taking care of their children by encouraging them to learn from plants like maize straw that ‘carries her babies without putting them down’ to communicate tolerance and care for children.

The riddle teaches people how to properly nurture their children until they reach the point of being independent by doing their own jobs. In so doing, children will be behaving in a good manner because of passing through a good nurturing system from their parents.

John 6:68.

Psalm 36: 8.

476. KALAGU – KIZE. NG’WANISHI DANYAMIJAGA ALIYO DUDUNDUJA: -LIMOTO.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola bhanhu abho bhalijinya libhupi. Ubhupi ulu bhubhaka, umoto gugabhizaga ntale noyi. Nulu bhagagunyamanija bhanhu bhingi, gugubhaduducha duhu, kunguno gulimoto ntale uyo bhadadulile ugugujimya. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ng’wanishi danyamijaga aliyo dudunduja: – limoto.’

Ikalagu yiniyo, yilenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga ginhu guti moto, bho nduhu gubhiza na witegeleja. Umunhu ng’wunuyo, adebhile isolobho ya moto, iyo ilikihamo na guzugila jiliwa, ulu gutumilwa umoto gunuyo na witegeleja.

Aliyo lulu, uweyi adamanile igiki, umoto gunuyo, ulu gudatumililwe na witegeleja, gudulile gwenha makoye matale, ayogalikihamo na gukenagula sabho, ijo jigabishiagwa umlibhupi liniyo. Ubhupi ulu bhubhaka bhugatabhanyaga ugubhujimya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wanishi danyamanijaga aliyo dudunduja: – limoto.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bhutale, ulu bhaligutumila umoto gunuyo, kugiki gudizubhakenaguja isabho jabho, umuwikaji bhobho

Mathayo 3:11.

KISWAHILI: KITENDAWILI  –  TEGA

ADUI TUMEMZINGIRA LAKINI HATUMWEZI: – MOTO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia watu wanaozima moto uliowaka katika maeneo yao. Moto huo, huongezeka kuwapa mpaka kufikia hatua ya kuwazidi uwezo wale wanaouzima, kwa sababu ya wenyewe kuwa mkubwa sana.

Watu wanaouzima hata wauzingile kwa wingi kiasi gani, huwa unawashinda kuuzima, kwa sababu ya moto huo kuzidi kuwa mkubwa, mpaka kufikia hatua ya kuwashinda kuuzima. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘adui tumemzingira lakini hatumwezi: -moto.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu, yule ambaye hutumia vitu kama vile moto, bila kuwa  na uangalifu wenye umakini. Mtu huyo, aelewa juu ya faida za moto huo, ambazo ni pamoja na kupikia, endapo moto huo utatumiwa kwa uangalifu.

Lakini basi, yeye haelewi kwamba, moto huo, ukitumiwa bila kuwa na umakini, unaweza kuleta madhara makubwa, ambayo ni pamoja na kuteketeza mali zao, kwa kuunguzwa na moto huo. Moto huo, ukiwaka, hushindikana kuzimwa na watu.  Ndiyo maana, watu hao husema kwamba, ‘adui tumemzingira lakini hatumwezi: -moto.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuwa na uangalifu mkubwa kila watakapo kuutumia moto huo, ili waweze kujiepusha na madhara yanayoweza kuletwa na moto usiotumiwa kwa umakini, na uangalifu huo, maishani mwao.

Mathayo 3:11.

moto2

moto

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WE HAVE SURROUNDED THE ENEMY BUT WE CANNOT OVERCOME IT – FIRE.

The source of the riddle is a group of people who teamed up to blaze off the fire in their place. The flame is too high for people to extinguish it. Much as people struggle to get rid of the fire their efforts end in vein. This is why people can describe this scenario using the riddle that ‘we have surrounded the enemy but we cannot overcome it – fire.’

This riddle can be compared to a person, the one who uses such things as fire, without being careful. He/she can understand the benefits of fire, including cooking, but if not used carefully it can cause danger to people, including destruction of their property and burning them.

This riddle teaches people to be extra careful whenever they use fire. In so doing they can avoid harmful effects that are likely to come out because of fire.

Matthew 3:11.

475. KALAGU – KIZE ULU NAMANHYA NU NG’WANISHI WANE NIHONDELA: – BHUSATU.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola munhu uyo alinsatu. Ubhusatu bhunubho, bhuganzonjaga umunhu ng’wunuyo, kunguno umili gokwe gugamalaga inguzu. Isata yigenhaga bhusunduhazu, ukulinsati ubho gugayiwa ulubhango. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki, ‘ulu namanhya nu ng’wanishi wane nihondela: – bhusatu.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agagulang’hanaga chiza umili gokwe, kugiki adule gubhiza alimhola. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho makanza malihu, kunguno ya wilang’hani bhokwe ubho bhugang’wambilijaga gubhiza alimhola, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, nulu agasata aganguhaga guja kusitali, kugiki adule guping’wa, na gupandika bhugota, ubho bhudulile gumpija wangu. Hunagwene ulu osata agayombaga giki, ‘ulu namanhya nu ng’wanishi wane nihondela:- bhusatu.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuilang’hana chiza imimili yabho, na gwanguha guja kusitali ulu bhasata, kugiki bhadule gwikala mhola na gwendelea kutumama milimo yabho chiza.

Luka 5:12-16.

Luka 5:30-32.

Luka 7:1-10.

Luka 8:40-56.

KISWAHILI: KITENDAWILI  –  TEGA

NIKIKUTANA NA ADAUI YANGU MWILI UNANYONG’ONYEA: –  UGONJWA.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mtu ambaye ni mgonjwa. Mtu huyo, huhuzunika kwa sababu ya mwili wake kukosa nguvu za kumwezesha kuzitekeleza vizuri kazi zake. Ugonjwa huo, humletea huzuni ya kufikia hatua ya kukosa raha. Ndiyo maana, mtu huyo husema kwamba, ‘nikikutana na adui yangu mwili unanyong’onyea: – ugonjwa.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutunza kwa kuuangalia vizuri mwili wake, ili uweze kuwa salama. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa muda mlefu, kwa sababu ya mwili wake huo, kuwa na matunzo mazuri, yauwezeshao kuwa salama, maishani mwake.

Mtu huyo, hata kama akiuugua, huwahi kwenda hospitalini, kwa ajili ya kwenda kupimwa, na kupatiwa matibabu, yawezayo kumponya haraka.  Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nikikutana na adui yangu mwili unanyong’onyea: – ugonjwa.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuilinda kwa kuitunza miili yao vizuri, na kuwahi kwenda hosipitalini, wanapougua, ili waweze kupata matibabu yawezayo kuwaponya haraka.

Luka 5:12-16.

Luka 5:30-32.

Luka 7:1-10.

Luka 8:40-56.

bhugota

women

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME

WHEN I MEET MY ENEMY MY BODY BECOMES WEAK- SICKNESS.

The source of this riddle is human body and sickness. Sickness makes people feel weak physically and therefore not able to perform their daily activities. It brings grief to the point of restlessness. That is why people can say ‘when I meet my enemy, the body becomes weak – sickness’ to communicate how sickness pulls down individual’s working abilities.

This riddle can be compared to a person who takes care of his/her body by ensuring that it is safe all the time. He/she makes sure that his/her body is cared for, hospitalized in case of any abnormality, treated well and fed well with nutritious food stuff. In so doing, one’s body will avoid from meeting an enemy who can weaken it.

This rriddle teaches people about protecting their bodies from diseases by taking good care of them. This includes going to hospital in case there is any sign of sickness and feeding them well. This will enable them to be healthy all the time and thus productive for the wellbeing of the family and society in general.

Luke 5: 12-16.

Luke 5: 30-32.

Luke 7: 1-10.

Luke 8: 40-56.

474. NAHAYIMANILA BHITULA BHANDEKA.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola bhanhu abho bhalwaga mubhulugu, umugulwa ng’wenumo, uluganda ulumo lupela. Uluganda lunulo, lugapelaga kunguno ya guhewa, umubhulugu bhunubho. Hunagwene uyo obhahebhaga agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo utumamaga milimo mingi iyo ilimitale. Umunhu ng’wunuyo, alina nguzu na bhukamu bhutale bho guitumama imilimo yiniyo, mpaga uyimala chiza.

Uweyi agalenganijiyagwa na munhu, uyo obhapyenaga bhanishi bhakwe umubhulugu bhunubho, mpaga bhupela, kunguno nu weyi agayitumamaga milimo mingi na mitale, mpaga uyimala chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga na bhiye uguitumama imilimo yiniyo, bhobhukamu bhutale mpaka guyimala. Hunagwene uweyi, ulu oyimala imilimo yiniyo, agayombaga giki, ‘nahayimanila bhitula bhandeka.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bhutale ubho bhudulile gubhambilija ijinaguitumama imilimo imingi na mitale, na guyimala chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

KISWAHILI: NIMESHTUKIA WAMETAWANYIKA WAMENIACHA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia watu ambao wako vitani, ambamo kundi moja huzidiwa, mpaka kufikia hatua ya kukimbia. Kundi hilo, hukimbia kwa sababhu ya kuzidiwa nguvu. Ndiyo maana yule aliyelishinda kundi hilo, husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, na kubwa mpaka kuzimaliza, maishani mwake. Mtu huyo, ana nguvu na bidii kubwa ya kumwezesha kuzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho.

Yeye hulinganishwa na mtu yule aliyewashinda maadui zake vitani, mpapa wakakimbia, kwa sababu naye huzitekeleza vizuri kazi hizo mpaka mwisho, ambazo ni nyingi na kubwa.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuzitekeleza vizuri kazi hizo, kwa bidii kubwa mpaka kuzimaliza. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘nimeshtukia wametawanyika wameniacha.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii kubwa ya kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi nyingi na kubwa, mpaka kuzimaliza, ili waweze kupata maendelea makubwa maishani mwao.

Luka 4: 1-13.

Mathayo 26:55 – 56.

Yohana 8:1-11.

isoko

worker1

ENGLISH: THEY HAVE SUDDENLY RUN AWAY LEAVING ME ALONE.

The essence of this saying is groups of people at war where one group, after being overpowered, escapes. This group runs away to escape death or being captured as captives. The remaining group can describe this situation by using the saying that ‘they have suddenly run away leaving me alone.’

The saying can be compared to a person who does the most and greatest works in his/her life. Such a person has power and effort to enable him/her to carry out those tasks to the end. The saying can also be compared to a man/woman defeated in his/her struggle and decides to run away from competition, leaving others to move on.

The saying teaches people about having a greater effort to enable them to carry out more and more tasks and to finish them. This will enable them to have good life in future.

Luke 4: 1-13.

Matthew 26:55 – 56.

John 8: 1-11.

473. WINGA BHO MISHANGO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile wingi bho ng’wa munhu, ubho bhuli bho mishango, nulu bho wangu wangu.  Uwingi bhunubho, bhudulile gubhiza bho guja akunhu alipela, nulu bhoguja agusiminzaga. Uwingi bhunubho, hubho bhuli bho mishango. Hunagwene abhanhu abho obhaleka, bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo, ‘winga bho mishango.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo otabhanyiyagwa mhayo, nulu nimo uyo guli ndito, wiyangula gwinga hoyi. Umunhu ng’wunuyo, agadumaga umowitile, hunagwene agiyangulaga gwinga hoyi, kunguno ogulemelagwa umhayo, nulu unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu abhanganhayaga giki, ‘winga bho mishango.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guchola nzila ja gugamala chiza, amakoye ayo bhalinago, gutinda ugugapela, kugiki bhadule gujibheja chiza, ikaya jabho.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

KISWAHILI: AMETOKA MKIKIMKIKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uondokaji wa mtu ambao ni wa kazi kutoka sehemu aliyokuwepo. Uondokaji huo, waweza kuwa wa kukimbia, au wa kutembea kwa haraka. Uondoka wa anina hiyo, ndio unaoitwa wa mkikimkiki. Ndiyo maana watu wale aliowaacha mtu huyo, husema, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ameelemewa na tatizo au neno fulani, ambalo ni zito kwake, mpaka akaamua kuondoka. Mtu huyo, hushindwa kugundua njia nyingine ya kulitatulia tatizo hilo. Hali hiyo, husababisha kwake kufikia uamuzi wa kutoka kwa kazi, kwa sababu ya kulemewa na tatizo au kazi hiyo. Ndiyo maana, watu husema juu ya mtu huyo, kwamba, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kutafuta njia za kuyatatua vizuri matatizo waliyonayo, badala ya kuyakimbia, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

bhalindi bha bhabhumbi

male1

ENGLISH: ONE HAS LEFT HERE HASTLY.

The origin of the above saying is the forced departure of a person from a certain place. The departure can be through running or walking. This forced departure of an individual can make people describe it using the saying that ‘one has left here hastly.’

The saying can be compared to a person who is burdened with a problem or word, which is too heavy for him to bear until he decides to quit from it. This person might be unable to find ways to solve it as a result he/she can force himself/herself to quit the place.

The saying teaches people about having patience in order to allow them to find ways to better solve their problems. Running away from them does not help to solve them.

Matthew 2: 13-15.

Exodus 2:11 – 15.

Genesis 27:41 – 45.