legacy

942. NENE NG’WENUYU NALYA WIYAB’I.

Olihoyi munhu uyo wigalulaga bho gutumila wiyab’i bhutale. Nzenganwa okwe agamuja, “nibhuli ugusiminzaga ugambalile chiniko?” Uweyi agashosha, “nagutumilaga wiyabhi bhone.” Unzenganwa okwe agashosha, “ulu ubhutumila shib’i uwiyabhi bhoko bhunubho ugupandika makoye, umukikalile kako.” Uweyi agashosha, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga shib’i uwiyab’i bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyagalulaga bho gubhaluhya abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ubhuyi. Uweyi agidumaga na bhiye kunguno ya wiyagaluji bhokwe bhunubho, ubho bhugenhaga makoye ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyaga wiyabhi bho gusiminza agimbalile, umukikalile kakwe, kunguno nu weyi agiyagalulaga mpaga obhenhela makoye obhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumia chiza uwiyab’i bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

KISWAHILI: MIMI HUYU NIMEKULA UHURU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwa kutumia uhuru mkubwa. Jirani yake alimuuliza, “kwa nini unatembea kwa kujipanga hivyo?” Yeye alijibu, “nautumia uhuru wangu.” Jirani yake akajibu, “ukiutumia vibaya uhuru wako utapata matatizo katika maisha yako.” Yeye alijibu, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vibaya uhuru wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahia kwa kuwatesa wenzake kwa sababu ya dharau yake kwao. Yeye hukosana na wenzake kwa sababu ya kuutumia vibaya huo uhuru wake, unaoleta matatizo kwa watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula uhuru wake kwa kutembea kwa majigambo, katika maisha yake, kwa sababu naye huutumia vibaya uhuru wake mpaka unaleta matatizo kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuutumia vizuri uhuru wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

african-woman1

underground-

 

boy-1

 

ENGLISH: I HAVE EATEN FREEDOM.

There was one man who lived by enjoying great freedom. His neighbor asked him, “Why are you walking all the way?” He replied, “I exercise my freedom.” His neighbor replied, “If you abuse your freedom you will have problems in your life.” He replied, “I have eaten freedom.”

This saying is compared to a person who abuses his freedom, in his life. This man, however, rejoices in torturing his fellow men because of his contempt for them. He quarrels with his colleagues because he abuses his freedom, which causes him problems to his people, in his life.

This person is like the one who ate his freedom by walking proudly, in his life, because he also abuses his freedom by causing problems to his fellows, in his life. That is why he says that, “I have eaten freedom.”

This saying teaches people on how to be wise enough to make the best use of their freedom, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-16.

John 8: 31-36.

939. KALAGU – KIZE. AGWITAGA MBIYU NINGI ALIYO UGUZWA NDUHU – MAMOTO GA MBULA.

Ikalagu yiniyo, iholile mamoto ga mbula. Amamoto ga mbula genayo, gali mizilo ga mingi ahikanza lya gutula mbula. Agoyi gagikolaga nu mhib’i o mbiyu ijo jidazwaga kunguno ulu yutula imbula igenhaga mingi duhu ayo gagahumaga gaja. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “agwitaga mbiyu ningi aliyo uguzwa  nduhu – mamoto ga mbula.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nguzu ningi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agib’egejaga ng’winikili bho gwandya kulima wangu ahikaza lya mbula ja gwandya. Uweyi agagatumilaga chiza aminzi ga mbula jinijo mpaga opandika jiliwa ja mbika ningi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nu wingi bho mamoto ga mbula, kunguno nu weyi agikomejaga kutumama milimo yakwe bho nguzu ningi ijo jigampandikilaga sabho ningi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agwitaga mbiyu ningi aliyo uguzwa  nduhu – mamoto ga mbula.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikomeja kutumama milimo yabho bho nguzu ningi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ja gwikoma kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 24:13.

Waruma 12:1.

Wagalatia 9:6.

Yohana 16:21-22.

Ufunuo 2:10.

Luka 9:62.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI  –  TEGA.

ANAMWAGA MBEGU NYINGI LAKINI KUOTA HAKUNA – MATONE YA MVUA.

Kitendawili hicho, huongelea matone ya mvua. Matone hayo ya mvua, ni mapitio ya maji wakati mvua hiyo inanyesha. Yenyewe hufananishwa na mmwagaji wa mbegu ambazo hazioti kwa sababu inaponyesha mvua hiyo, huleta maji tu ambayo hutiririka na kwenda zake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “anamwaga mbegu lakini kuota hakuna –  matone ya mvua.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa nguvu nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujitegemea mwenyewe kwa kuanza kulima mapema wakati wa mvua za mwanzo. Yeye huyatumia vizuri maji hayo ya mvua mpaga anapata chakula cha aina nyingi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wingi wa matone ya mvua, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza kwa nguvu majukumu yake hayo ambayo humpatia mali nyingi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “agwitaga mbiyu ningi aliyo uguzwa  nduhu – mamoto ga mbula.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza kwa nguvu nyingi majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 24:13.

Waruma 12:1.

Wagalatia 9:6.

Yohana 16:21-22.

Ufunuo 2:10.

Luka 9:62.

raindrop-

rainy-day-

clover-drops

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

“HE POURS OUT MANY SEEDS BUT THERE IS NO GERMINATION – RAINDROPS.”

The overhead riddle looks at raindrops. These raindrops are a review of water when it rains. It is likened to a bath of seeds that do not germinate because when it rains, it brings only water that flows and goes away. That is why people tell each other that, “he pours out many seeds but there is no germination – raindrops.”

This riddle is paralleled to the man who performs his deeds with great force, in his life. He is self-sufficient in early plowing during the early rains. He makes good use of this rainwater and gets plenty of food in his life.

This man is like the raindrops, because he also strives to carry out his responsibilities, which give him a lot of wealth, in his life. That is why people say to him that, “he pours out many seeds but there is no germination – raindrops.”

This riddle teaches people on how to work hard enough to fulfill their responsibilities, so that they can earn enough money for running well their families.

Matthew 24:13.

Romans 12: 1.

Galatians 9: 6.

John 16: 21-22.

Revelation 2:10.

Luke 9:62.

761. UNINDI O SHILI HUNI O SHILI.

Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kuli munhu uyo olindaga shili mungunda. Unindi ng’wunuyo ojilindaga ishili jinijo bhuli lushigu, aliyo lulu, ishili jinijo jamanaga jushila duhu.
Nose bhuyibhuja giki, ‘nibhuli jigumanaga juliwa ishili jiniji?” Umo obho uyomba, “ditagi bhukengeji kugiki dudule gudebha chiza.” Aho bhakengela chiza bhubhona giki, gashinaga umunhu uyo olijindaga ishili jinijo, huyo ojilyaga. Hunagwene bhagayomba giki, “unindi o Shili huni o shili.”
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe bho weyi ng’winikili, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajimalaga isabho jakwe bho gujitumamila sagala na gujilekanija. Uweyi agajimalaga isabho jinijo aliyo unindi ojo nu weyi ng’winikili.
Umunhu ng’wunuyo, agikilolaga nu nindi o shili uyo ojikamala ishili ijo ojilindaga, kunguno nu weyi agajikenagulaga sagala isabho jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “unindi o shili huni o shili.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kudebha gujilanghana chiza isabho jabho bho guleka gujikenagula sagala, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Yohana 18:2-5.

KISWAHILI: MLINZI WA KUNDE NDIYE MLAJI WA KUNDE.

Chanzo cha methali hiyo kilitokea kwa mtu aliyekuwa akilinda kunde shambani. Mlinzi huyo wa kunde alikuwa akilinda kila siku, lakini kunde hizo zilikuwa zikiendelea kuisha tu.
Mwishowe walijiuliza kwamba, “kwa nini kunde hizi zinaendelea kuisha?” Mmoja wao alisema, “tufanye utafiti vizuri ili tuweze kufahamu.” Walipofanya utafiki huo, waligundua kwamba, kumbe mtu aliyekuwa akizilinda kunde hizo ndiye aliyekuwa akizila. Ndiyo maana walisema kwamba, “mlinzi wa kunde ndiye mlaji wa kunde.”
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huiharibu mali yake mwenyewe kwa kuitumia vibaya, katika maisha yake. Mtu huyo, huzimaliza mali zake mwenyewe kwa kuzitumia hovyo. Yeye badala ya kuzitunza mali hizo huziharibu kwa kuzitelekeza na kupangia matumizi mabaya.
Mtu huyo, hufanana na mlinzi wa kunde aliyekuwa akizimaliza kunde hizo kwa kuzila mwenyewe, kwa sababu naye huiharibu mwenyewe mali yake hiyo kwa kuitumia vibaya. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mlinzi wa kunde ndiye mlaji wa kunde.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzitunza vizuri mali zao, kwa kuacha kuzitumia kwenye matumizi ya hovyo, ili waweze kupata maendeleo mengi zaidi maishani mwao.
Yohana 18:2-5.

kunde string-beans

peas-

munhu o bhuganda

ENGLISH:  THE GUARD OF THE COW-PEAS IS THE ONE WHO EATS THEM.

The origin of the above proverb came from a man who was guarding a field of legumes. He was guarding it daily, but the legumes were still running out.

Finally they wondered, “Why do these legumes continue to run out?” One of them said, “Let us do a good research so that we can understand what is going on.” When they did such research, they discovered that the person who was guarding the legumes was actually eating them. That is why they said, “the guard of the cow-peas is the one who eats them.”

The proverb is likened to a man who destroys his own properties by abusing them, in his life. He, in effect, squanders his resources on wasteful usage. Instead of safeguarding them, he destroys them by abandoning and plundering them.

Such man is like the caretaker of the legumes who was eating them himself, because he was also destroying his own properties by abusing them. That is why people say to him that, “the guard of the cow-peas is the one who eats them.”

This proverb teaches people on how to have good care of their possessions, by stopping not misusing them, so that they can make more progress in their lives.

John 18: 2-5.

760. LISO TALA YA MILI.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile nimo go liso ugo gugutimila imili. Iliso linilo, ligagutimilaga umili bhogubhona ginhu jose jose ijo jilihabhutongi bholyo. Ulu munhu ulitumila chiza iliso lwakwe umili gokwe gugwikala mhola.

Aliyo lulu, umunhu uyo ulitumila bho gubhola mihayo mib’i, umili gokwe gugupandika makoye kunguno imihayo yiniyo yigagutulaga mugiti umili. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “liso tala ya mili.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumililaga chiza amiso gakwe bho gubhona mihayo misoga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayegaga ulu oyibhona imihayo iyo ili miza, kunguno igang’wenhelala matwajo gagujibheja chiza ikaya ja bhanhu bhakwe. Uweyi agagalemejaga amiso gakwe ugubhona imihayo imib’i, kunguno igenhaga makoye umukikalile ka bhanhu.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhiye inzila ja gugatumila chiza amiso gabho bho gubhona mihayo miza iyo igenhaga matwajo miza, umukikalile kabho kugiki nabho bhikali mulisana. Hunagwene uweyi agabhabhilaga abhanhu giki, “liso tala ya mili.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gugatumamila chiza amiso gabho bho gubhona mihayo miza na guyileka imib’i, umukikalile kabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 20:15.

Luka 2:30.

Luka 11:34.

2 Wakorintho 3:7.

KISWAHILI: JICHO NI TAA YA MWILI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia kazi ya jicho katika kuumulikia mwili. Jicho hilo, huumulikia mwili kwa kuangalia kitu chochote ambacho kiko mbele yake. Mtu atayelitumia jicho lake vizuri mwili wake utakuwa salama.

Lakini basi, mtu huyo akilitumia vibaya jicho lake kwa kuona vitu vibaya, mwili wake utapata matatizo, kwa sababu vitu hivyo huuweka mwili gizani. Ndiyo maana watu husema kwamba, “jicho ni taa ya mwili.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatumia vizuri macho yake kwa kuona vitu vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahi akiona kitu kizuri kwa sababu kitu hicho huleta maendeleo kwenye familia za watu wake. Yeye huyazuia macho yake kuona vitu vibaya kwa sababu vinaleta matatizo kwenye maisha ya watu kwa kuiweka miili yao gizani.

Mtu huyo, huwafundisha wenzake namna ya kuyatumia vizuri macho yao kwa kuona vitu vinavyowaletea maendeleo katika maisha yao, ili miili yao isiishi gizani. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “jicho ni taa ya mwili.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatumia vizuri macho yao kwa kuangalia vitu vizuri na kuyazuia kuangalia vitu vibaya, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao kwa kuishi katika mwanga, maishani mwao.

Mathayo 20:15. “Je, sina haki yangu kufanya kile nitakacho na mali yangu mwenyewe? Au unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’”

Luka 2:30. “Kwa maana macho yangu yameuona wokovu Wako,…”

Luka 11:34. “Jicho lako ni taa ya mwili wako. Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote umejaa nuru. Lakini kama jicho ni bovu, mwili wako wote umejaa giza.”

2 Wakorintho 3:7. “Basi ikiwa ile huduma iliyoleta mauti, ile iliyoandikwa kwa herufi juu ya jiwe ilikuja kwa utukufu hata ikawa Waisraeli hawawezi kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya ule utukufu wake, ingawa ulikuwa ni wa kufifia,…”

eyes girl

Eyes child-

eyes african-child

ENGLISH: THE EYE IS THE LIGHT OF THE BODY.

The essence of the above proverb looks at the function of the eye which is to illuminate the body. The eye illuminates the body by looking at anything that is in front of it. A person who uses his eye well, his body will be safe.

But if a person misuses his eye by looking at evil things, his body will suffer, because those things keep the body in the darkness. That is why people say that, “the eye is the light of the body.”

Such proverb is likened with a person who makes good use of his or her eyes to make them see good things in his life. Such person is happy to see something good because it brings development to the families of his people. He keeps his eyes away from seeing evils because they bring trouble to people’s lives as they keep their bodies in darkness.

This person teaches his colleagues on how to make good use of their eyes by seeing the things that can bring them progress in their lives, so that their bodies do not live in darkness. That is why he tells people that, “the eye is the lamp of the body.”

This proverb teaches people on how to use their eyes properly by looking at good things and preventing them from watching evil things.

Matthew 20:15.

759. LISO LIDAB´ISAGA MIHAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhutumami bho liso. Iliso linilo, ligabhonaga ginhu jose jose, jibhize jisoga, nulu jib’i. Ulu lyubhona mihayo misoga, lyuguyeja noyi kunguno imihayo yiniyo yigagulungujaga umoyo.

Aliyo lulu, iliso linilo ulu lyubhona mihayo mib´i, lyugusunduhaja kunguno imihayo yiniyo yigawinjaga ubhuyegi ubho bhulihoyi umu moyo goko. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “liso lidab’isaga mihayo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumililaga chiza amiso gakwe bho gubhona mihayo misoga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayegaga ulu oyibhona imihayo iyo ili miza, kunguno igang’wenhelala matwajo gagujibheja chiza ikaya ja bhanhu. Uweyi agagalemejaga amiso gakwe ugubhona imihayo imib’i, kunguno igenhaga makoye umukikalile ka bhanhu.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhiye inzila ja gugatumila chiza amiso gabho bho gubhona mihayo miza iyo igenhaga matwajo miza, umukikalile kabho. Hunagwene uweyi agabhabhilaga abhanhu giki, “liso lidab’isaga mihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gugatumamila chiza amiso gabho bho gubhona mihayo miza na guyileka imib’i, umukikalile kabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 20:15.

Luka 2:30.

Luka 11:34.

2 Wakorintho 3:7.

KISWAHILI: JICHO HALIFICHI MANENO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia utendaji kazi wa jicho. Jicho hilo, huona kitu chochote kiwe kizuri au kibaya. Likiona kitu kizuri litakufurahisha sana kwa sababu kitu hicho hufariji moyo.

Lakini jicho hilo, likiona kitu kibaya, hukuhudhunisha kwa sababu kitu hicho, huyiondoa furaha iliyomo moyoni mwako. Ndiyo maana watu husema kwamba, “jicho halifichi maneno.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatumia macho yake kwa kuona vitu vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahi akiona kitu kizuri kwa sababu kitu hicho huleta maendeleo kwenye familia za watu. Yeye huyazuia macho yake kuona vitu vibaya kwa sababu vinaleta matatizo kwenye maisha ya watu.

Mtu huyo, huwafundisha wenzake namna ya kuyatumia vizuri macho yao kwa kuona vitu vinavyowaletea maendeleo katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “jicho halifichi maneno.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatumia vizuri macho yao kwa kuangalia vitu vizuri na kuyazuia kuangalia vitu vibaya, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 20:15. “Je, sina haki yangu kufanya kile nitakacho na mali yangu mwenyewe? Au unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’”

Luka 2:30. “Kwa maana macho yangu yameuona wokovu Wako,…”

Luka 11:34. “Jicho lako ni taa ya mwili wako. Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote umejaa nuru. Lakini kama jicho ni bovu, mwili wako wote umejaa giza.”

2 Wakorintho 3:7. “Basi ikiwa ile huduma iliyoleta mauti, ile iliyoandikwa kwa herufi juu ya jiwe ilikuja kwa utukufu hata ikawa Waisraeli hawawezi kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya ule utukufu wake, ingawa ulikuwa ni wa kufifia,…”

eyes boy-

eyes people-of-uganda

ENGLISH: AN EYE DOES NOT HIDE WORDS.

The foundation of the above saying looks at the functions of an eye. The eye sees anything whether it is good or bad. Seeing something good will make you happy because it makes you feel good.

However, when the same eye sees something wrong, it bothers you because that thing, takes away the joy that is in your heart. That is why people say, “An eye does not hide words.”

The saying is likened with a man who uses his eyes to see good things in his life. He is happy to see something good because that thing brings development to people’s families. He keeps his eyes away from looking at things that are bad because they bring trouble on his people’s lives.

This person teaches his colleagues on how to make good use of their eyes by seeing the things that improve their lives. That is why he tells people that, “an eye does not hide words.”

This proverb teaches people how to use well their eyes by looking at good things and preventing them from looking at the evil ones.

Matthew 20:15.

Luke 2:30.

Luke 11:34.

2 Corinthians 3: 7.