Kashinje Zacharia

394. BHALEKAGI BHAGWIILANGAGA BHATINA SHIGA UKO BHAJILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka b’ananzengo, abho bhalimulegendo lo gushiga haleb’e. Abhanhu bhenabho bhatali uguimana chiza inzila iyo idulile gubhashisha ukobhajile.

Kuyiniyo lulu, achibhab’o bhagayihub’ilaga nzila yiniyo bhalondeja iyo yilolile kungi. Hunagwene abhanhu abho bhayideb’ile inzila yiniyo, bhagayombaga giki, ‘bhalekagi b’agwilangaga b’atina shiga uko b’ajile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhakenaguji bhajikolo ja hakaya. Abhanhu bhenabho bhadina ndilili ya gujilanghana chiza isabho jinijo.

Abhoyi bhikolile nu munhu uyo alina nzwili, ulu ujimoja agusaga ni pala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’alekaji b’agwilangaga b’atina shiga uko b’ajile.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujilanghaha chiza isabho jab’o, na gubhalela chiza abhana bhab’o, kugiki nabho bhadule ugujilanghana jisoga isabho jinijo.

Mathayo 6:19-20.

KISWAHILI: WAACHENI WANAJIFUNZA HAWAJAFIKA KULE WAENDAKO.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya wanakijiji, ambao wako katika safari ya kwenda sehemu fulani. Watu hao bado hawajaihafamu vizuri njia ya kuweza kuwafikisha kule waendako. Kwa hiyo, hali hiyo hupelekea kwa baadhi yao kupotea njia kwa kufuata njia nyingine. Ndiyo maana wale wanaoifahamu njia hiyo, husema kwamba, ‘waacheni wanajifunza hajawafika kule waendako.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao ni waharibifu wa vitu vya nyumbani kwao. Watu hao hawana hali ya kuzijali mali za kwenye familia yao.

Wao hufanana na mtu mwenye nywere kichwani, akizinyoa atabaki na upaa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘waacheni wanajifunza hajawafika kule waendako.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuzilinda vizuri mali zao, na kuwapa malezi mema watoto wao, ili nao waweze kuzitunza itakiwavyo mali hizo.

Mathayo 6:19-20.

maasai-tribe

ENGLISH: LET THEM LEARN, THEY HAVE NOT REACHED THEIR DESTINATION.

The source of the above saying comes from the lives of the villagers who are traveling somewhere. Those people have not yet figured out exactly how to reach their desired destination. Thus, the situation leads some of them to get lost on the way. Those who are familiar with the way to reach that destination can tell the lost fellows that ‘let them learn, they have not reached their destination.’

The saying can be compared to people who destroy their household items. Such people are not in a position to care for their family’s belongings. They are like a person whose head after shaving becomes balded. This is why such people are being warned by the saying that ‘let them learn, they have not reached their destination.’

The saying teaches people how to properly protect their property and give good care to their children so that they can take proper care of their properties.

Matthew 6: 19-20.

393. NKUGI HU MAGI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhukugi bho ndimu iyo ichile. Indimu yiniyo yigab’agagwa, kugiki yingijiwe indili yayo, huna yutinagulwa. Aliyo lulu umunhu uoguyib’aga inyama yiniyo, owilagwa nuyo oikugaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkugi hu magi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ogumanaga mhayo nheb’e. Umunhu ng’wunuyo, huyo agubhiza nkaniji ogo. Uweyi adeb’ile ubhunghana bho mhayo gunuyo, hinguno ya guwilwa akanile. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga abhalomele umo agumanilile umhayo gunuyo, kunguyo bhamanile igiki, ‘nkugi hu magi.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhuyomba chiza ubhunghana, umukikalile kabho, kugiki bhadule ugubhalumanya chiza abhanhu bhabho.

Mathayo 9:30.

Luka 10:2.

KISWAHILI: MUOKOTAJI NDIYE MCHUNAJI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uokotaji wa mnyama poli aliyekufa. Mnyama huyo huchunwa kwa lengo ya kuindoa ngozi yake, ili waweze kuikataka vizuri nyama yake.

 Lakini basi, mtu aliyemuokota mnyama poli huyo, ndiye yule ambaye huambiwa amchune mnyama huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘muokotaji ndiye mchunaji.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amelifahamu neno fulani linalohitaji ushahidi. Mtu huyo huwa ndiye shahidi wa nelo hilo, kwa sabahu yeye afahamu ukweli wa  jambo hilo vizuri kuliko wenzake. Ndiyo maana watu humwambia awaeleze ukweli wa jambo hiyo, kwa sababu wao wanaelewa kwamba, ‘muokotaji ndiye mchunaji.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kusema ukweli pale wanapotakiwa kufanya hivyo, ili waweze kuwaunganisha vizuri watu wao.

Mathayo 9:30.

Luka 10:2.

dik-dik-

maasai

ENGLISH: THE ONE WHO PICKS UP IS THE SKINNER.

The source of the above proverb comes from the collection of a dead animal. Such a dead animal, in order to be roasted, it has to be skinned first. And the person who picked up the dead animal is the one who has to skin it. This scenario is always described by the proverb that ‘the one who picks up is the skinner.’

The proverb can be compared to someone who has witnessed something. Such a person becomes the witness of the case because he/she knows the truth better than anyone else. He/she can tell the truth about what he/she witnessed.

The proverb teaches people to tell the truth when they have to. This can help people to be faithful enough in dealing with societal issues.

Matthew 9:30.

Luke 10: 2.

392. GULYA NYAGOKO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukalille ka jiliwa, ka ngoko. Ingoko yiniyo, igalyaga ijiliwa bho gujisesagula na gujisalambanya, ijiliwa jinijo.

Igajibalasanyaga jab’iza guti jashilaga nulu jilijingi. Hunagwene abhanhu ulu bhumhona unii ojiliwa uyo alilya chiniko, bhagang’wilaga giki atogilwe ‘gulya nyagoko.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalyaga ijiliwa ukunhu ujisondola, kugiki achagule ijiliwa ijisoga. Umunhu ng’wunuyo agajidimagulaga ijiliwa jinijo guti ujidosaga ijingi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, uweyi atogilwe ‘gulya nyagoko.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gujidimagula sagala ijiliwa ulu bhalilya, kugiki bhadule gujilya ijiliwa jinijo, ni nikujo ukubhichabho.

1 Wakorintho 11:27 – 30.

Tito 1:12.

KISWAHILI: KULA KIMTINDO WA KUKU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye mtindo autumiao kuku alapo chakula. Kuku huyo, hula chakula kwa kukisambaza akitumia miguu yake.

Hukisanmbaza chakula hicho, mpaka kinaonekana kama kimeisha hata kama kilikuwa kingi zaidi. Ndiyo maana watu wakimuona mlaji wa chakula ambaye hula kwa mtindo huo, humwambia kwamba yeye apenda ‘kula kimtindo wa kuku.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hula chakula kwa kukichambua kwa lengo la kutafuta kile kilicho kizuri zaidi. Mtu huyo hukishikashika chakula hicho kama amekidharau kile kingine. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, yeye apenda ‘kula kimtindo wa kuku.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kukishishika chakula wanapokula, ili waweze kukila kwa heshima, na kuwaheshimu pia wenzao.

1 Wakorintho 11:27 – 30.

Tito 1:12.

chickens

 

eat-chips

ENGLISH: TO EAT LIKE CHICKEN.

The source of the above saying comes from chicken eating style. The chicken will eat the food by spreading it on its feet. It spreads the food to the extent of making it appear as if it is finished, but in actual fact, they eat by sorting out some of the unwanted things. In describing people with this kind of behaviour, people can use this saying that ‘to eat like chicken.’

The saying can be compared to a person who eats food by sorting out some of the unwanted things thus looking for the best incredients of food. Such people are always looked at as someone who dislikes food and thus described by the saying that ‘to eat like chicken.’

The saying teaches people to stop bad eating habits when they eat. They need to respect the food they eat and the people who prepared it.

1 Corinthians 11:27 – 30.

Titus 1:12.

391. GULYA GWA NKANI LELO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukalile ka jiliwa ka jisunva ijo jigajibhonaga ijiliwa jinijo, jinonu gulebha ijo jab’ita. Ijisunnva jinijo jigalyaga bhuli lushigu, na jihayile gujimala bhuli jiliwa ijo jilinhiwa, kunguno jigajibhonagaga jinonu kuleb’a ijaigolo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gulya gwa nkani lelo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalyaga jiliwa jinonu bho nduhu ugub’izuka abhiye. Umunhu ng’wunuyo agiizukaga weyi duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘gulya gwa nkani lelo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’adilila na bhichab’o ulu bhalilya ijiliwa jabho, kugiki bhadule gwiguta pye  abhose.

Mathayo 6:8-11.

 1 Wafalme 17: 8-16.

KISWAHILI: KULA KILA SIKU HASA LEO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula wa kiumbe ambacho hukiona chakula hicho kuwa kitamu kipita kile cha siku iliyo pita.

Kiumbe hicho, hula chakula kila siku, na hutaka kukimaliza kila chakula kipewacho, kwa sababu ya kukiona chakula hicho, kuwa kitamu kupita kile cha jana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kula kila siku hasa leo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hula chakula kitamu bila kuwakumbuka wenzake. Mtu huyo hujikumbuka yeye mwenyewe tu. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘kula kila siku hasa leo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwajali wenzao wakati wanapokula chakula chao, ili waweze kushiba wote.

Mathayo 6:8-11.

 1Wafalme 17: 8-16.

EATING

vintage3

 

ENGLISH: EATING MORE THAN PREVIOUS DAYS.

The source of the above saying comes from food intake of an organism that considers the food to be sweeter than the previous day. Such a creature that is used to eat everyday will want to finish every food given because it will find the food always sweeter than the one given other times. The eating habit of such a creature can be described by the saying that ‘eating more than previous days.’

The saying can be compared to someone who eats sweet food without considering his/her colleagues. That person only remembers himself/herself. The behaviour of such people can be described by this saying that ‘eating more than previous days.’

The proverb teaches people to care for others when they eat their food. This wil help them to have a good relationship built on care and love.

Matthew 6: 8-11.

1Kings 17: 8-16.

390. GULYA JILYANI.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ubho bhuli bho kihamo. Ulu bhanhu bhali na kajile kawikole, bhagatogagwa gwikala halumo, na gulya jiliwa jabho halumo, kugiki bhikale bhaguhoyaga kumakanza malihu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gulya jilyani.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazenganwa abho b’itogilwe. Abhanhu bhenabho bhagalyaga jililwa jabho halumo, kunguno ya witogwi bhobho b’unub’o.

 Abhoyi bhagiyambilijaga nu gutumama imilimo yabho halumo. Bhadeb’ile ugubhalanga nab’ichab’o, ahigulya ya gulya na gutumama halumo, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagab’awilaga abhanhu bhikomeje ‘gulya jilyani.’

Akahayike kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na witogwi na bhazenganwa bhab’o, kugiki bhadule gutumama milimo yabho halumo, na ‘gulya jilyani.’

Marko 4:8.

 Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

KISWAHILI: KULA UJIRANI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula ambao ni wa pamoja. Watu wakiwa na maisha yanayofanana, hupenda kuishi wakiwa pamoja, na kula chakula chao kwa pamoja, ili wakae wakiongea kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kula ujirani.’

Msemo huo hulinganishwa kwa majirani wanaopendana. Watu hao hula chakula chao kwa pamoja kwa sababu ya upendo walio nao kati yao.

Wao husaidiana hata kufanya kazi zao kwa pamoja. Wanafahamu namna ya kuwafundisha pia wenzao jinsi ya kula na kufanya kazi zao hizo kwa pamoja. Ndiyo maana watu hao huwahimiza wenzao kwa kusema ‘kula ujirani.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo kwa majirani zao, ili waweze kufanya kazi zao kwa pamoja, na ‘kula ujirani.’

Marko 4:8.

Mathayo 4:32.

 Kutoka 12:4.

eat

ENGLISH: TO EAT IN THE NEIGHBORHOOD.

The source of the above saying comes from communal food eating style. People with similar life standards can tend to live together; eat their meal together and therefore, they are able to have long conversations about their society. Such a strong bond among people in the nearbourhood is described by the saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying can be compared to nearbours who love one another. These people eat their meals together. They also help each other to do their jobs together and they know how to teach their fellows how to eat and do their jobs together. This is why people are encouraged to maintain togetherness by using this saying that ‘to eat in the nearbourhood.’

The saying teaches people about loving their neighbours so that they can work together and love each other.

Mark 4: 8.

Matthew 4:32.

 Exodus 12: 4.