Kashinje Zacharia

399. BHULAMANZUKU BHULI BHUBHI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujisumva ijo jigikalaga jisangab’alile. Ijisumva jinijo jigitaga yombo nhale aho jili. Jigab’ayoganijaga abhichajo mpaga bhaganogaga ugujidegeleka. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘bhulamanzuku bhuli bhubhi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga uyomba mamihayo wilaka lyahigulya. Umunhu ng’wunuyo agafunyaga mbisila ja bhiye, kunguno ya guyomba mihayo iyo idinasolobho. Agalisanyaga bhanhu bho kuyomba mihayo ya b’ulomolomo.  Alinsigani noyi umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhulamanzuku bhuli bhubhi.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gighulya ya kuleka nhungwa ja bhuyombagani bho nyalomolomo, kugiki bhadule goya gubhalisanya abhichab’o. Yigeleliwe abhanhu bhenabho, bhabhize na b’ulyehu bho gudula gwikala na bhanhu chiza.

Zaburi 34:14.

 Yakobo 3:16.

1 Petro 3:10.

KISWAHILI: UPAYUKAJI NI MBAYA.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia kiumbe ambacho hupiga kelele sana pale kilipo. Kiumbe hicho huendelea kuongea kwa sauti kubwa kule kiendako, mpaka wale wanaokisikiliza hukerwa nacho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upayukaji ni mbaya.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anaongea maneyo kwa sauti ya juu. Mtu huyo hutoa siri za watu kwa sababu ya uongeaji wake huo wa maneno mengi. Huchonganisha watu kwa kusema maneno ya uongo. Yeye husengenya watu pia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upayukaji ni mbaya.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kupayuka maneno ya uongo maishani mwao, ili waweze kuacha kuwagombanisha wenzao. Yafaa watu hao wawe na upole wa kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao.

Zaburi 34:14.

 Yakobo 3:16.

1 Petro 3:10.

burundi-

 

ENGLISH: TOO LOUDLY TALKING IS BAD.

The source of the above proverb is looking at a creature that screams very loudly where it is. Such a creature keeps talking loudly in the direction it goes, until those listerning to it feel offended. That is why people can say ‘too loudly talking is bad.’

The proverb can be compared to a person who speaks loudly. Such a person is likely to affect other peoples’ privacy, antagonize others through false words. Such a person can be warned by telling him/her that ‘too loudly talking is bad.’

This proverb teaches people to avoid the habit of lying. They should not cause chaos to others rather be gentle enough to make people lead their lives in a peaceful manner.

Psalm 34:14.

James 3:16.

398. WIZA BHO BHULABHU BHUDALAMAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwiza bho bhulabhu. Ub’ulab’u bhunubho jiliginhu ijo jigazwaga jab’iza na b’ulab’u wiza, ulu litali likanza lya dilu, niyo jigalabhaga noyi. Aliyo lulu, ulu lyushiga iliknza ilya mhindi jigikunaga jab’ipila. Hungagwene abhanhu bhabayombaga giki. ‘wiza bho bhulabhu bhudalamaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo atali nyanda, nulu ng’waniki. Umunhu ng’wunuyo agab’izaga nab’u noyi. Aliyo lulu, ulu unamhala nulu, ulu ugiguluha, agoyoga ugulab’a. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wiza bho bhulabhu bhudalamaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gudilila wiza bho nhungwa ja ng’wa munhu kuleb’a, ubhulab’u bhokwe, ulu bhalihaya gwitola.

Ayubu 14:1-2.

1Petro 1:24.

KISWAHILI: UZURI WA UA HAUDUMU.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uzuri wa ua. Ua hilo ni kitu ambacho huota na kutoa ua ambalo hung’ara sana wakati wa asubuhi. Lakini ukifika muda wa jioni, huinama na kuwa baya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzuri wa ua haudumu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye bado ni kijana. Mtu huyo huwa anang’aa kwa maana ya kuwa na sura nzuri sana. Lakini akiwa mzee atakoma kung’aa, badala yake atainama na kuonesha sura mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzuri wa ua haudumu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kujali uzuri wa tabia  ya mtu zaidi, kuliko ule wa sura yake, ili waweze kuwaelewa vizuri wenzao, hasa wale wanaotaka kuoana.

Ayubu 14:1-2.

1 Petro 1:24.

flowers

 

ENGLISH: THE BEAUTY OF FLOWER DOES NOT LAST.

The source of the above proverb comes from the beauty of the flower. It is a flower that grows and produces a flower that shines brightly in the morning. But when it is evening time, it withers up and becomes ugly. That is why people say ‘the beauty of flower does not last.’

The proverb can be compared to a person who is still a teenager. Such person is usually glowing in the sense of being handsome/beautiful. But when he/she is old he/she will stop shining, instead he/she will become ugly. That is why people say, ‘the beauty of flower does not last.’

The proverb teaches people that beauty is in one’s character, not in physical appearance. People, especially those planning for marriage, need to understand that in choosing a marriage partiner they have to consider their behaviour than beauty.

Job 14: 1-2.

1 Peter 1:24.

397. NGOKO JALEKANILA MAZUNZE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kumazunze ayo gali mawe gagung’wisija ngoko mingi. Amazunze genayo, gali mashimu gagudula gulang’hana minzi mingi. Ingoko ijo jigagang’welaga amazunze genayo, ulu jikenya jigalekanaga amang’welo gajo, kunguno jiditogagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingoko jalekanila mazunze.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhaludugu lumo. Abhanhu bhenabho ulub’iduma bhagoyaga nulu gwigisha. Hunawene bhagalenganijiyagwa ku ngoko ijo jikenya, bho guyomba giki, ‘ngoko jalekanila mazunze.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka widumi, kugiki bhadule gwikala na b’ichabho b’itogilwe na bho mholele, umuwikaji bhobho.

1 Wakorintho 11:17-34,

Mathayo 10:34.

KISWAHILI: KUKU WAMEACHANIA MAWE YA KUNYWEA MAJI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye mawe ya kunyweshea kuku maji. Mawe hayo yana kina kirefu cha kutosha kutunzia maji hayo ya kuku. Kuku hao ambayo hunywea maji kwenye mawe hayo, wakigombana, hutengana hata sehemu hizo za kunywea maji kwa sababu hawapendani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kuku wameachania mawe ya kunywea maji.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao wanaundugu mmoja. Watu hao wakikosana huacha hata kusalimiana wakutanapo. Ndiyo maana watu huwafananisha na kuku waliogombana, kwa husema kwamba, ‘kuku wameachania mawe ya kunywea maji.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha ugonvi ili waweze kuishi pamoja na wenzao kwa upendo na amani, maishani mwao.

1Wakorintho 11:17-34,

Mathayo 10:34.

hens drinking

ENGLISH: CHICKEN HAVE GIVEN UP SHARING THEIR DRINKING WATER STONES.

The source of the saying comes from chicken that stopped from sharing water drinking stones. The stones are deep enough to hold water for chicken to drink. The chicken sharing the water drinking stone can quarrel as a result they separate because they no longer like each other. In describing this scenario one can use the saying that ‘chicken have given up sharing their drinking water stones’ to communicate enemity among chicken.

The saying can be compared to those people within the family who quarrel to the extent of not greeting each other. To describe such people one can use this saying that ‘chicken have given up sharing their drinking water stones.’

The saying teaches people to stop fighting in order to bring about love and peace in families.

1 Corinthians 11: 17-34.

Matthew 10:34.

396. WANEKA MHINDI KUNUMA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujito cha ng’wa munhu guneka Mhindi kunuma. Umhindi lili lina lwa nkima uyo akalekwa numa nu ngoshi okwe.             Gashinaga ulu, umunhu uyo atolile ideb’elaga uguneka numa nkima okwe. Hunagwene abhanhu ulu bhumona munhu onekaga numa umkima okwe, bhagayombaga giki, ‘waneka Mhindi kunuma.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alifundi ogub’eja ginhu jileb’e. Aliyo lulu, ufundi ng’wunuyo agajilekaga kunuma ijitumamilo jakwe, usiminza makono duhu. Umunhu ng’wunuyo, agadumaga ugutumama chiza imilimo yakwe, kunguno ya gujileka kunuma ijitumamilo jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘waneka Mhindi kunuma.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwikala kihamo ni jitumamilo jabho, kugiki bhadule uguitumama chiza imilimo yabho.

Yohane 11:32 – 36.

Kutoka 32:1- 6.

KISWAHILI: UMEMUACHA MHINDI NYUMA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kitendo kwa mtu kumuacha Mhindi nyuma. Mhindi ni jina la mtu wa kike aliyeachwa nyuma na mume wake. Kumbe mtu akiwa na mke wake haipendezi kumuacha nyuma mke wake huyo. Ndiyo maana watu wakimuona mtu ambaye amemuacha nyuma mke wake, humwambia kwamba, ‘umemuacha Mhindi nyuma.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni fundi wa kutengeneza vitu mbalimbali. Lakini fundi huyo, huviacha nyuma vifaa vyake vya kufanyia kazi. Mtu huyo hushindwa kufanya kazi zake vizuri, kwa sababu hiyo ya kuviacha nyumba vitendea kazi vyake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘umemuacha Mhindi nyuma.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuishi pamoja na vifaa vyao vya kufanyia kazi, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, hayo ya ufundi.

Yohane 11:32 – 36.

Kutoka 32:1- 6.

construction

carpenter-

 

ENGLISH: YOU HAVE LEFT MHINDI BEHIND.

The source of the above saying comes from the act of leaving Mhindi behind. Mhindi is the name of a girl left behind by her husband as they walk towards somewhere. If a man has a wife he doesn’t have to leave his wife behind when walking. That is why when people see a man who has left his wife behind, they can say ‘you have left Mhindi behind.’

The saying can be compared to a man who is a master of craft but he is used to leaving behind his craft equipment. Such a person is likely to fail in performing his/her duties properly, because of not having the work equipment. That is why people can tell him/her that ‘you have left Mhindi behind’ to communicate the idea of not being complete in his/her technical aspect for failing to have working tools.

The saying teaches people to live with their work equipment. This can help them to continue doing their daily activities without any interference.

John 11:32 – 36.

Exodus 32: 1-6.

395. UDIZUB’ULEKA B’UKINDILE NDINHO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kub’uzugi bho jiliwa guti bhugali, nulu bhuchele. Unzugi ng’wunuyo ulu wandya ugubhukinda ndinho ubho alibhuzuga, mumho wegela ugubhubisha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘udizub’uleka b’ukindile ndinho.’

Usulumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wizang’holo bho gub’akarib’usha gwiza gulya jiliwa jakwe abhiye. Umunhu ng’wunuyo adebhile igiki, umunhu uyo ali mulugendo lokwe adulile gusanga makoye ga gugayiwa jiliwa uko ajiile kunuko. Gashinaga lulu, ili chiza unsimizi ng’wunuyo, apandike jiliwa haho atali ugwandya ulugendo lokwe. Hunagwene abhanhu bhabayombaga giki, ‘udizub’uleka b’ukindile ndinho.’

Usulumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wizang’holo bho gub’inha bhichabho ijiliwa jab’o, kugiki bhadule guyega halumo nabho, umuwikaji bhobho.

Luka 24:29-30.

KISWAHILI: USIACHE MWIKO UMECHOMEKWA KWENYE CHUNGU.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye upikaji wa chakula, kama vile ugali au wali. Mpishi huyo akianza kukichoma kwa mwiko kile anachokipika, maana yake amekaribia kuivisha chakula hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usiache mwiko umechomekwa kwenye chungu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana ukarimu wa kuwakaribisha pia wenzake kwenye chakula chake. Mtu huyo aelewa kwamba, mtu anayesafiri aweza kukuta matatizo ya kukosa chakula kule aendako. Kumbe basi, yafaa msafiri huyo, apate chakula kabla ya kuanza safari yake kwenda kule aendeko. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usiache mwiko umechomekwa kwenye bhungu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapatia pia wenzao chakula chao, ili waweze kufurahi wote kwa pamoja.

Luka 24:29-30.

goulash1

chocolate

 

ENGLISH: DO NOT LEAVE THE COOKING STICK BEING DIPPED IN THE POT.

The source of the above proverb comes from cooking food, such as porridge or rice. When the cook begins to put the cooking stick or spoon on what he/she cooks, it means he/she is about to finish cooking the food. That is why people can say, ‘do not leave the cooking stick being chopped in the pot.’

The proverb can be compared to a person who is generous enough to invite his/her fellow guests for meal.  Such a person understands that the traveler may find himself/herself experiencing problems of scarcity of food. However, the traveler must be provided with food before starting his or her journey towards his/her destination. That is why people can say, ‘do not leave the cooking stick being chopped in the pot’ as a way to encourage such a person to continue being generous to others.

The proverb teaches people to be generous in giving food to others. This will help them to have safe journey.

Luke 24: 29-30.