Folklore

306. JAB´I NG´HANGA JA JIDIKU JALEKANA MAGELE

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kukikalile ka ng´hanga. Ing´hanga jilinoni ijo jigikalaga kihamo, umakanza aga muchu. Ulu gushiga amakanza aga jidiku jigalekanaga jaja gujutela. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´jab´i ng´hanga ja jidiku jalekana magele.´

Ulusumo lunulo lugalenganijjiyagwa kubhanhu abho bhagabhizaga kihamo umumakanza ga jidiku kunguno ya gulima. Ulu gushiga amakanza aga muchu, abhanhu b’enabho bhagabalasanaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ´jab´i ng´hanga ja jidiku jalekana magele.´

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho gudula gutumama milimo yabho chiza, umumanza aga milimo yiniyo. Ubhumo bhunubho bhugubhambilija, abhanhu bhenabho, ijinagugatumila chiza amakanza aga milimo yabho.

Luka 10: 17-20.

KISWAHILI: ZIMEKUWA KANGA ZA MASIKA ZIMEACHANA MAKUNDI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya kanga. Kanga ni ndege ambao huishi kwa pamoja wakati wa kiangazi. Kikifika kipindi cha masika hutawanyika kwa ajili ya kwenda kutaga. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´zimekuwa kanga za masika, zimeachana makundi.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huwa wako pamoja kwenye kipindi cha masika, kwa sababu ya kulima. Kikifika kipindi cha kiangazi, watu hao huachana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´zimekuwa kanga za masika zimeachana makundi.´

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuunda umoja wa kuwawezesha kufanya kazi, ufikapo wakati wa kazi hizo. Umoja huo utawasaidia watu hao katika kuutumia vizuri muda wao huo wa kazi.

Luka 10: 17-20.

brick-laying

 

ENGLISH: THEY HAVE BECOME SPRING GUNEAFOWLS; THEY HAVE DISPERSED IN GROUPS

The saying emerges from the life of guneafowls. These birds live in groups durig summer.However, when spring begins, they disperse to go to lay eggs. That is why people say, “They have become spring guneafowls; they have dispersed in groups.”

The saying is compared to people who live together during spring because of working together. When summer comes, they disperse. That is why people say, “They have become spring guneafowls; they have dispersed in groups.”

The saying teaches people about forming union and doing their activities together. The union will help these people in managing their time.

Luke 10: 17-20.

305. GUNANGA GULU GUSHIGA UNSHINDIKE

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuli munhu uyo unangaga munhu uyo aligulu. Umunhu ng´wunuyo, agadebha igiki, ugulu ng´wunuyo adelelwa ulu adakumiwe nang´hwe. Aho onkumya, agabhona igiki ugulu ng´wunuyo aliidebha iyo aling´wila, kunguno agalab´ula ukuli unangi, uyo agatumila makono ugunanga mpaga welelwa, ugulu ng´wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, ´gunanga gulu gushiga unshindike.´

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile nzila ningi ija gubhalanga abhanhu abho bhalina jika, umuwikaji bhobho. Umunhu ng´wunuyo agabhalangaga na bhanhu bhakwe ahigulya ya gujitumila inzila jinijo, kugiki bhajidebhe nabho, bhogubhawila giki, ´gunanga gulu gushiga unshindike.´

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub´iza na nzila ningi ijagudula gubhalangija abhanhu bhabho abho bhali na jika, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 3:1-3.

Luka 7:31-32.

KISWAHILI: KUMFUNDISHA BUBU MPAKA UMSUKUME

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu aliyekuwa anamfundisha mtu aliyekuwa bubu. Mtu huyo aligundua kwamba, bubu huyo asingekielewa kile alichokuwa akimfundisha, bila kumgusa mwenyewe. Alipomgusa, mtu huyo aliyekuwa bubu, alianza kuelewa kile alichokuwa akimfundisha, kwa sababu baada ya kumgusa aligeuka kumwangalia, naye akamweleza kwa kutumia ishara za mikono. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´kumfundisha bubu mpaka umsukume.´

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye afahamu njia nyingi za kuwafundishia watu wenye vilema mbalimbali, maishani mwao. Mtu huyo huwafundisha pia wenzake juu ya njia hizo kwa kuwaambia kwamba, ´kumfundisha bubu mpaka umsukume.´

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutumia njia nyingi za kuweza kuwafundishia watu wenye ulemavu mbalimbali, maishani mwao, ili waweze kuufikisha vizuri ujumbe wao kwao.

Wagalatia 3:1-3.

Luka 7:31-32.

women

mute

ENGLISH: TEACHING A DEAF PERSON, YOU NEED TO TOUCH HIM/HER

This saying originates from a person who was teaching a deaf person. The teacher realized that the deaf could not understand what he/she was teaching without touching him/her. When the teacher touched him/her, he/she began to understand the teachings because, after he/she had touched him/her, he/she turned to look at the teacher and the teacher explained to him/her by using gestures. That is why people say, “Teaching a deaf person, you need to touch him/her.”

The saying is compared to someone who knows different ways of teaching people with disabilities. Such a person also teaches his/her companions about these ways by telling them, “Teaching a deaf person, you need to touch him/her.”

The above saying teaches people about using different ways of teaching people with disabilities so that they can understand the subject.

Galatians 3: 1-3.

Luke 7: 31-32.

304. B´UGENI B´ULAGANE

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhalibhalagana giki bhagulumana hanhu. Aho loshiga ulushugu lunulo, uumo agakija uguja ukunuko. Bhahayibhona, ung´wiye uyo alioja koyi, agang´wizukija, ub´ulagane bhobho, bho gung´wila giki, ´b´ugeni b´ulagane.´

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhizukijaga abhiye, ugwiita iyo bhalibhizunilija guitumama. Umunhu ng´wunuyo agabhizaga wiyizukile iyo bhizunilija kuitumama na bhiye, iyo idulile gubhambilija abhanhu bhabho ijinagwenha matwajo mingi, umuwikji bhobho. Uweyi agabhalanjaga nabhiye uguwizuka uwizunilija bhobho, bhogubhawila giki, ´b´ugeni b´ulagane.´

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guwizuka na gub´utumamila uwizunilija bhobho, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi ayo gadulile gujibheja chiza, ikaya jabho.

Wagatia 3:16.

Yohane 16:7-8.

KISWAHILI: AHADI YA UGENI

Chanzo cha msemo huo chaanzia kwa watu waliokubaliana kukutana sehemu fulani. Ilipofika siku hiyo, mwingine hakuenda kule walikokubaliana kwenda. Walipoonana, yule aliyeenda kule, alimkumbusha mwenzake kwa kumwambia hivi, ´ahadi ya ugeni.

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwakumbusha wenzake juu ya utekelezaji wa makubaliano yao. Mtu huyo huendelea kuyakumbuka makubaliano hayo waliyofanya na wenzake, maishani mwake. Yeye huwakumbusha pia wenzake juu ya utekelezaji wa makubaliano hayo kwa kuwaambia, ´ahadi ya ugeni.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuukumbuka utekelezaji wa makubaliano yao, maishani mwao, kwa ajili ya kuleta maendeleo kwenye familia zao.

Wagatia 3:16.

Yohane 16:7-8.

african

 

ENGLISH: A PROMISE MADE IS A DEBT UNPAID

This saying comes from a story of two people who agreed to meet somewhere. On that day, the other did not show up where they had agreed to meet. When they saw each other on the following day, the one who went to the place they agreed to meet reminded his companion about their agreement saying, “a promise made is a debt unpaid.”

The saying is linked to someone who reminds his/her fellows about implementing what they agreed on. Such a person remembers the agreement they made in his/her life. He/she also reminds his/her companions about implementing the agreement by telling them, “a promise is a debt unpaid.”

The above saying teaches people to fulfil their promises in their lives.

Galatians 3:16.

John 16: 7-8.

303. BUDOSHI BHO LISO ILAGAJA INGOHE

Imbuki ya kahayile kenako ingilile ku liso na ngohe. Iliso linilo ligenhelejaga kubhiza na b´udoshi, kunguno ya kubhona ginhu lyukija ugujitoghwa. Aliyo lulu, ululyudishiwa ngohe lyuyulila jisoji. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, b´usoshi b´o liso ilagaja ngohe. ´

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja b´udoshi umuwikaji bhokwe. Aliyo lulu umunhu ng´wunuyo, ulu usada, b´ushila ub´udoshi b´okwe. Hunagwene abhanhu bhagang´wilaga giki, alina ´b´udoshi bho liso ilagaja ngohe.´

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na nhungwa ja b´udoshi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:18.

Zaburi 101:5.

Yakobo 4:16-17.

KISWAHILI: MARINGO YA JICHO KUWA NA KOPE NYINGI

Chanzo cha msemo huo chaanzia kwenye jicho na kope. Jicho hilo husababisha kuwa na malingo kwas ababuu ya kuona kitu na kutopendezwa nacho. Lakini basi, likiingiliwa na kope, huwa linaanza kulia machozi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´maringo ya jicho´ kuwa na kope nyingi.´

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu mwenye tabia ya maringo maishani mwake. Lakini mtu huyo, akiugua, maringo yake huisha wakati huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´maringo ya jicho kuwa na kope nyingi.´

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya maringo, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 31:18.

Zaburi 101:5.

Yakobo 4:16-17.

eye

 

 

ENGLISH: THE BOAST OF AN EYE CAUSES EYELIDS TO DROP

The source of this saying is the eye and eyelids.The eye causes boast because of seeing something and not being impressed.However, when an eyelid enters the eye, the person will rub it and the eye will drop tears. In the course of rubbing the eye, eyelids will drop. Therefore, people say, “the boast of an eye causes eyelids to drop.”

The saying is compared to someone who is boastiful in his/her life. However, when such a person gets sick his/her boast tends to cease. That is why people say, ‘the boast of an eye causes eyelids to drop. “

The proverb teaches people to stop bad behaviour so that they can live with others in harmony.

Psalm 31:18.

Psalm 101: 5.

James 4: 16-17.

302. BHUSUMBA BHO GWIKUNGILA INGELELO YAHO IGABHIZAGA BHULUMVI.

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kubhanhu bhabhili abho bhalib´unwani. Ub´unwani bhobho bhunub´o, bhuli bho gwilombela yabhub´i, umung’holo jabho abhanhu bhenabho. Aliyo lullu, ihanze bhuling´wene agolechaga giki anwanile nu ng´wiye. Hunagwene abhanhu abho bhabhadebhile bhagawitanaga ubhunwani bhunubho giki, ´b´unwani bho gwikungila ingelelo yaho igabhizaga bhulumvi.´

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhanwanile aliyo lulu, umub´unwani bhobho, bhuli ng´wene agabhizaga ankelile ung´wiye bho gung´witila ya bhub´i. Abhanhu abho bhadebhile igiki abhanhu bhenabho bhikungilile, bhagabhawilaga giki, bhali na b´unwani bho gwikungila ingelelo yaho igabhizaga bhulumvi.´

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gubhiza na witogwi bho ng´hana, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

(Yeremia 20:10; Luka 23:11-12)

KISWAHILI: URAFIKI WA KUNYEMELEANA MWISHO WAKE HUWA MAJUTO.

Chanzo cha methali hiyo chaangia kwa watu wawili walio marafiki. Urafiki wao huo ni wa kutakiana mabaya ndani ya mioyo yao, watu hao. Lakini kwa nje kila mmoja hujionesha kama kwamba ana urafiki na mwenzake. Ndiyo maana watu wafahamuo kwamba, watu hao hawana urafiki wa kweli, huuita urafiki huo kwamba, ni ´urafiki wa kunyemeleana mwisho wake huwa majuto.´

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao wanaurafiki wa juu juu kwa kila mmoja, kwa sababu ya wao kutakiana mabaya maishani mwao. Watu wanaofahamu kwamba watu hao wanadanganyana, huwaambia kwamba, wana urafiki wa kunyemeleana mwisho wake huwa majuto.´

Methali hiyo hufundisha watu  kuwa na upendo wa kweli maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao.

(Yeremia 20:10; Luka 23:11-12).

person friends

ENGLISH: A FRIENDSHIP OF CONSPIRACY AGAINST EACH OTHER ITS END IS REGRET.

The origin of this saying is from two friends. Their friendship is about wishing evil to each other in their hearts. But outwardly, each one presents oneself as a bosom friend. That is why people who know that such people do not have true friendship, call such friendship “a friendship of conspiracy against each other its end is regret.”

The saying is compared to people with bosom friendship, because of their evil desires. People who know that such people are cheating on each other, tell them that they have “a conspiracy friendship against each other its end is regret.”

The proverb teaches people to have true love in their lives, so that they can live in peace with one another.

(Jeremiah 20:10; Luke 23: 11-12).

ENGLISH (ANOTHER VERSION): FAKE FRIENDSHIP

This saying emerges out of two friends. Their friendship is about implicitly wishing one another bad luck.The two of them pretend to be true friends outwardly. That is why people who know that the two do not truly like each other, they call it “fake friendship.”

The proverb is compared to people who show friendships to each other, but inwardly, each one wishes the other bad luck.This makes people who know the truth about the two to say, they have a ‘fake friendship.’

This proverb teaches people about having real love in their lives so that they can live in harmony with other people.

Jeremiah 20:10.

Luke 23: 11-12.