Folklore

618. KUB´AGA KANA KA MBULI GWELWA NG´HOLO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhubhagi bho ng’wana o mbuli uyo atali ndololo. Ung’wana o mbuli ng’wunuyo,  agikalaga na ndili ndagana gete iyo idalekana wangu ni nyama. Kuyiniyo lulu, ugushiga mpaga nose umhagi ugamala ugukab’aga agubhiza wiyumilijaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gub’aga kana ka mbuli gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga masala na wiyumilija umubhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugugatumia chiza amasala gakwe ijinagubheja bhukengeji bho guidebha imilimo iyo idulile gung’wenhela matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Ulu omala ugwita ubhukengeji bhunubho, huna agajitumilaga chiza inguzu jakwe, kunguno amasala ni nguzu jilekanile.

Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho wiyumilija bhutale, mpaga opandika matwajo mingi umuwikaji bhokwe, guti nu mhagi uo kana ka mbuli, uyo agelagwa ng’holo mpaga okamala ugukabhaga.

Akikalile kakwe umunhu ng’wunuyo, kagabhalanjaga abhiye ahigulya ya gugatumila amasala bho wiyumilija bhutale, mpaga gushigila gugapandika amatwajo ayo gali mingi. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘gub’aga kana ka mbuli gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumila masala na wiyumilija bhutale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo  agagudula gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

KISWAHILI: KUCHUNA KATOTO KA MBUZI YATAKA MOYO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uchunaji wa katoto ka mbuzi. Katoto hako, huwa kana ngozi ililaini kweli, ambayo huleta ugumu kuitenganisha na nyama yake. Kwa hiyo basi, yule ambaye atafaulu kumaliza kukachuna katoto hako ka mbuzi, atakuwa amevumilia sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kuchuna katoto ka mbuli yataka moyo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake vizuri na kwa uvumilivu katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, anafahamu kuzitumia akili zake katika kufanya utafiti, wa kumuwezesha kuzifahamu kazi zile ambazo zitaweza kumletea mafanikio mengi, maishani mwake. Baada ya kufanya utafiti huo, ndipo huzitumia nguvu zake katika kuyatekeleza majukumu yake, kwa sababu anafahamu kwamba akili na nguvu ziko tofauti.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa uvumilivu wa hali ya juu sana, mpaka anafikia hatua ya kupata mafanikio mengi, maishani mwake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kutumia akili kwa uvumilivu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao hadi kufikia hatua ya kuyapata mafanikio mengi. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kuchuna katoto ka mbuli yataka moyo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa uvumilivu wa hali ya juu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

kana ka mbuli

nimi o sheli

ntumami5

ENGLISH: SKINNING THE GOAT’S KID NEEDS PATIENCE.

The source of this saying is the goat’s kid. The goat’s kid is always featured by aving a soft skin. When skinning it, it can be very hard to separate between its skin and meat. Therefore, for one to skin it he/she needs a lot of patience. This is why people came with this saying that ‘skinning the goat’s kid needs patience’ to justify how hard it can be to skin it.

This saying can be compared to a person who uses his/her intellect well and patiently in the execution of his/her duties. This person is considered as someone who is very careful in his/her deeds. He/she doesn’t jump into conclusion without having a thorough and thoughtful idea about his/her decision. Such a person is always driven by the power of patience that makes him/her be successful in life.

The saying teaches people about using their intellect with the highest patience in carrying out their responsibilities. Patience can make them become successful in life.

Psalm 31:24, Mark 8:34, Philippians 3:7, Hebrews 10:37, Matthew 10: 16-22.

617. GUMBADA DESHI KWELWA NG´HOLO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolole bhubadi bho Deshi. IDeshi yiniyo, ili noni iyo ilindalang´hanu gete, umukikalile kayo. Kuyiniyo lulu, ugushiga mpaga munhu aidime agubhiza ali ng´wiyumilija noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gumbada Deshi gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga masala na wiyumilija ijinabhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugugatumia chiza amasala gakwe ijinagubheja bhukengeji bho guidebha imilimo iyo idulile gung’wenhela matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Ulu omala ugwita ubhukengeji bhunubho, huna agajitumilaga chiza inguzu jakwe, kunguno amasala ni nguzu jilekanile.

Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho wiyumilija bhutale, mpaga opandika matwajo mingi, guti nu mbadi o Deshi, uyo agelagwa ng’holo mpaga oidima.

Akikalile kakwe umunhu ng’wunuyo, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya gutumila masala bho wiyumilija bhutale, mpaga gugapandika amatwajo ayo galigawiza. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘gumbada Deshi gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumila masala na wiyumilija bhutale umutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

Mathayo 24:2-14.

Yakobo 5:11.

1 Wakorintho 9:19-22.

Marko 13:13.

KISWAHILI: KUMKAMATA “DESHI” KUPIGA MOYO KONDE.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ukamataji wa Deshi. Deshi huyo, ni ndege ambaye ni mjanja kweli. Kwa hiyo basi, yule ambaye atafaulu kumkamata, atakuwa amevumilia sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kumkamata ‘Deshi’ kupiga moyo konde.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake vizuri na kwa uvumilivu katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, anafahamu kuzitumia akili zake katika kufanya utafiti, kwa ajili kuzifahamu kazi zile ambazo zitaweza kumletea mafanikio, maishani mwake. Baada ya kufanya utafiti huo, ndipo huzitumia nguvu zake katika kuyatekeleza majukumu yake, kwa sababu anafahamu kwamba akili na nguvu ziko tofauti.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa uvumilivu wa hali ya juu sana, mpaga anafikia hatua ya kupata mafanikio mengi, maishani mwake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kutumia akili kwa uvumilivu katika kuyatekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya kuyapata mafanikio hayo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kumkamata ‘Deshi’ kupiga moyo konde.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa uvumilivu wa hali ya juu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

Mathayo 24:2-14.

Yakobo 5:11.

1 Wakorintho 9:19-22.

Marko 13:13.

noni

nkima ntumami

planting nimi nkima

ntumami4

 

ENGLISH: TO CATCH DESHI (A CLEVER BIRD) REQUIRES PATIENCE.

The source of this saying is a bird known by name of deshi in Kisukuma language. This bird is assumed to be too clever to be caught by its enemies. For one to catch it, he/she needs to be patient enough otherwise one can give up within a very short period of time. To dscribe this situation, people came with this saying that ‘to catch deshi (a clever bird) requires patience’ to show how hard the task is.

This saying can be compared to a person who uses his/her mind well and patiently in the execution of his/her duties. This person relies on scientific research in coming up with conclusion about something. He/she knows that, there is no easy task rather patience and hard work are the roots to success. This person can have a lot of achievements in his/her life because of the way he/she conducts his/her things.

This saying teaches people about using their brains with the highest perseverance in performing their tasks. In so doing, people can have development in their socities.

Psalm 31:24, Mark 8:34, Philippians 3: 7, Hebrews 10:37, Matthew 10: 16-22, Matthew 24: 2-14, James 5:11, 1Corinthians 9: 19-22, Mark 13:13.

616. BUNGULIGU UTIZUMBADILA DEDE.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile Bunguligu na dede. IBungulugu yiniyo, ili ng´humbi nhale gete,  iyo idadulile gumilwa na dede (Noni) kunguno, idede yiniyo yili noni ndoo noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Bunguligu utizumbadila dede.’

Akahayile kaneko, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhinhaga abhanigini iginhu ijo jilija bhanhu bhatale, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugubhalanga chiza abhanhu bho gubhawila imihayo iyo igelelilwe bhaigwe. Uweyi agafunya bhulangwa bho mihayo ya nyanigiki ukubhanigini, na mihayo ya nyatale ukubhanhu abho walibhatale.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gubhalangila abhiye nzila ja kubhakuja chiza abhana bhabho, kunguno ya kalangile kakwe ako kalikawiza, aka guleka ugubhinha abhanigini iginhu ijo jilija bhanhu bhatale. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘Bunguligu utizumbadila dede.’

Akahayile kaneko, kalanga bhanhu higulya ya kuleta nhungwa ja kubhinha abhanigini iginhu ijo jili ja bhanhu bhatale, kugiki bhadule gubhalela chiza abhana bhabho, na kujibheja chiza ikaya jabho.

Luka 19:44.

Mathayo 17:14-21.

1 Wakorintho 3:16.

Hesabu 5:12-14.

Mathayo 19:3-12.

Mathayo 19:16-26.

Wafilipi 4:13.

2 Wakorintho 12:9-10.

“BUNGULIGU” (PANZI) USIMKAMATIE DEDE (NDEGE).

Chanzo cha msemo huo, chaangalia Bunguligu na dede. Bunguligu huyo ni panzi mkubwa kabisa, ambaye hawezi kumezwa na dede, kwa sababu dede huyo ni ndege mwenye umbo dogo sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bunguligu (panzi) usimkamatie Dede (ndege).’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawapatii watoto vitu ambavyo ni vya watu wazima, maishani mwake. Mtu huyo, anafahamu namna ya kuwalea vizuri watu wake. Yeye huwaambia watoto maneno ambayo ni watoto ili yaweze kuwajenga vizuri. Yeye pia, hutumia maneno ya wakubwa katika kuwaelemisha watu wazima, ili waweze kujijengea maadili mema.

Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa kwa wenzake anaoishi nao, katika kuwalea hadi kuwakuza vyema watoto hao, kwa sababu ya maisha yake ambayo huwakataza kuwapatia watoto mambo ya watu wazima. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘Bunguligu (panzi) usimkamatie Dede (ndege).’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwapatia watoto vitu ambavyo ni vya watu wazima,  maishani mwao, ili waweze kuwalea vyema watoto wao, na kuziendeleza vizuri familia zao.

Luka 19:44.

Mathayo 17:14-21.

1 Wakorintho 3:16.

Hesabu 5:12-14.

Mathayo 19:3-12.

Mathayo 19:16-26.

Wafilipi 4:13.

2 Wakorintho 12:9-10.

dede

nhumbi

ENGLISH: DO NOT CATCH A BIG GRASSHOPPER FOR DEDE (A SMALL A BIRD).

The source of thi saying is grasshopper and a small bird known by name of dede in Kisukuma language. This saying came in the context where the grasshopper is considered to be food for birds. Therefore, birds eat grasshoppers of different sizes. When it comes to a grasshopper that is big, it becomes difficult for dede to eat this particular grasshopper. This is why people came with this saying to show the relationship between these two organisms.

This saying can be compared to a person who tends to take care of his/her children by considering their age. This person knows what, when and how to say something to his/her children. Such a person knows different messages/information that has to be delivered differently between children and adults.

The saying teaches people about giving up the habit of giving children things that are not related to their age. People need to consider age differences when they want to communicate certain information to other people.

Luke 19:44, Matthew 17: 14-21, 1Corinthians 3:16, Numbers 5: 12-14, Matthew 19: 3-12, Matthew 19: 16-26, Philippians 4:13, 2Corinthians 12: 9-10.

615. MAGULU GALIB´AB’A BHAGENI BHALI MUNZILA.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola bhub’ab’i bho magulu na bhupandiki bho bhageni. Ubhub’ab’i bho magulu bhunubho, luli lumeng´ho lo bhanhu abho bhalisiminza bhajile bhugeni. Umunhu uyo alib’ab’a amagulu gakwe, huu  ng’wene uyo agubhapandika abhageni bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘magulu gali’b’ab’a bhageni bhali munzila.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wizang’holo bho gubhabokela bhageni aha ng’wakwe. Umunhu ung’wunuyo, ali ni sungu lya gubhambilija abhanhu bhenabho, bho gubhachumbela jiliwa, na gubhinha bhulalo bho wiza abhageni bhakwe bhenabho.

Uweyi adebhile igiki abhageni bhenabho, bhagenhaga lubhango aha kaya iyo bhaliigenihaga. Ijinagulupandika ulubhango lunulo, umunhu ng’wunuyo agalombelaga gwikala agupandikaga bhageni aha kaya yakwe. Hungwene agayombaga giki, ‘magulu gali’b’ab’a bhageni bhali munzila.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizang’holo bho gubhakaribhusha abhageni, umukaya jabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 12:28.

Luka 2:12.

Marko 1:15.

Luka 19:44.

2Wakorintho 6:2.

Mathayo 24:3-9.

Mathayo 24:37-39.

Luka 4:21.

1 Wathesalonike 5:19-20.

Mathayo 2:9.

MIGUU INAWASHA WAGENI WAKO NJIANI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uwashaji wa miguu na upataji wa wageni katika familia. Uwashaji huo wa miguu, ulitumika kama ishara ya uwepo wa watu wanaotembea kwenda ugenini. Mtu yule ambaye miguu yake iliwasha, ndiye atakayepata wageni kwenye familia yake. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘miguu inawasha wageni wako njiani.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anaukarimu wa kuwakarisha wageni kwenye familia yake. Mtu huyo, ana huruma ya kuwasaidia watu hao, kwa kuwaandalia chakula kizuri, na kuwapatia sehemu nzuri ya kulala, wageni wake hao.

Yeye anafahamu kwamba wageni hao, huleta baraka katika familia waliyoitembelea. Mtu huyo, huombea kutembelewa na wageni katika familia yake ili aweze kuzipata baraka hizo kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘miguu inawasha wageni wako njiani.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha wageni katika familia zao, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 12:28.

Luka 2:12.

Marko 1:15.

Luka 19:44.

2 Wakorintho 6:2.

Mathayo 24:3-9.

Mathayo 24:37-39.

Luka 4:21.

1 Wathesalonike 5:19-20.

Mathayo 2:9.

bhakima wa zanzibar

gbagyi-woman

nkima ahakaya

ENGLISH: THE FEET ARE ITCHING; GUESTS ARE ON THE WAY COMING.

The source of this saying is the itching of feet and the coming of guests in one’s family. In the past, people believed that when one of the family members feels the itching of his/her feet there is a possibility of receiving guests in that particular family. This is why people came with this saying that ‘the feet are itching; guests are on the way coming’ to justify the connection between itching of feet and coming of guests.

The saying can be compared to a person who is kind enough to his/her guests. This person enjoys having guests in his/her family. He/she can provide them with good food, shelter and whatever is within his/her reach in order to entertain his/her guests. To him/her, guests are a sign of blessing to his/her family and therefore, he/she can suffer for not having visitors in his/her family.

The saying teaches people about generosity by welcoming guests in one’s family. In so doing, one’s family will be able to get blessings that will make them always live in harmony with other people.

Matthew 12:28, Luke 2:12, Mark 1:15, Luke 19:44, 2Corinthians 6: 2, Matthew 24: 3-9

 Matthew 24: 37-39, Luke 4:21, 1Thessalonians 5: 19-20, Matthew 2: 9.

614. KALAGU – KIZE. KAGADAMHILAGA MONDOKA BHO DALALI: – KAGI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola kajisumva ako kagitanagwa kagi. Akagi kenako kali kajisumva ako kali kadoo noyi. Akoyi katogilwe gudanha hose hose aho kalatogelwe. Giko lulu, ulu kudan’ha gagutwalwa hose hose uko kalajanwe bho nduhu nabhuli. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘kagadamhilaga mondoka bho dalali:- Kagi.’

Ikalagu yiniyo, yigalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nomolomo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga usambaja mihayo ya bhulongo ukubhiye, guti ni umo igadanhilaga hosehose ingi yiniyo.

Unomolomo ulu wigwa mhayo adalendaga aha ng’wakwe, kunguno agab’izaga uyunga bhuli kwenye nulu bhuli hene guja ulomaloma. Uweyi adugije nulu gub’ulaga kaya ja bhanhu, kunguno ya bhulisanya bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘kagadamhilaga mondoka bho dalali:- Kagi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulomolomo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza, na bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Walatia 5:16-26.

1Timotheo 1:10.

Ayubu 24:25.

Yakobo 3:5-6.

Zaburi 116:11.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

HUPANDA GARI BILA KULIPIA NAULI: – INZI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia kiumbe anayeitwa Inzi. Inzi huyo, ni kiumbe kidogo sana. Yeye hupenda kutua popote anapotaka. Hivyo basi, akitua mahali hata kwenye gari hupelekwa popote bila nauli. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘hupanda gari bila kulipia nauli:- Inzi.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni muongo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anasambaza maneno ya uongo kwa wenzake, kama inzi yule anayetua kila sehemu na kuacha uchafu.

Muongo akisikia neno fulani huwa hatulii nyumbani kwakwe, kwa sababu yeye  hudhurura kila sehemu akieneza uongo wake. Yeye anaweza hata kuvunja mji wa watu waliokuwa wanapendana katika maisha yao, kwa sababu ya uongo wake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘hupanda gari bila kulipia nauli:- Inzi.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha uongo katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Walatia 5:16-26.

1Timotheo 1:10.

Ayubu 24:25.

Yakobo 3:5-6.

Zaburi 116:11.

ngi2

basi

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT RIDES A CAR WITHOUT PAYING FARE – FLY.

The source of this riddle is an insect known by the name of fly. A fly is a small insect that can land anywhere. It can land on a certain animal and therefore enjoy travelling with that particular animal wherever it wants to go. This is why people came with this riddle that ‘It rides a car without paying fare – fly’ to communicate the behaviour of flies of landing on other animals and enjoying ride pricelessly and in so doing, these flies can transmit diseases from one person to another.

That riddle can be compared to a person who is a liar in his/her life. This person can tend to travel from one point to another to spread his/her lies. Like a fly, this person doesn’t get settled in one place. He/she thinks about moving from one place to another to spread his/her rumours that might have disastrous effect to others.

This riddle teaches people about trustworth and respecting others. This can make people have a good and peaceful life with other members around them.

Leviticus 5: 16-26, 1Timothy 1:10, Job 24:25, James 3: 5-6,Psalm 116: 11.