Imbuki ya kahayile kenako, yilolile Bunguligu na dede. IBungulugu yiniyo, ili ng´humbi nhale gete, iyo idadulile gumilwa na dede (Noni) kunguno, idede yiniyo yili noni ndoo noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Bunguligu utizumbadila dede.’
Akahayile kaneko, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhinhaga abhanigini iginhu ijo jilija bhanhu bhatale, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugubhalanga chiza abhanhu bho gubhawila imihayo iyo igelelilwe bhaigwe. Uweyi agafunya bhulangwa bho mihayo ya nyanigiki ukubhanigini, na mihayo ya nyatale ukubhanhu abho walibhatale.
Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gubhalangila abhiye nzila ja kubhakuja chiza abhana bhabho, kunguno ya kalangile kakwe ako kalikawiza, aka guleka ugubhinha abhanigini iginhu ijo jilija bhanhu bhatale. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘Bunguligu utizumbadila dede.’
Akahayile kaneko, kalanga bhanhu higulya ya kuleta nhungwa ja kubhinha abhanigini iginhu ijo jili ja bhanhu bhatale, kugiki bhadule gubhalela chiza abhana bhabho, na kujibheja chiza ikaya jabho.
Luka 19:44.
Mathayo 17:14-21.
1 Wakorintho 3:16.
Hesabu 5:12-14.
Mathayo 19:3-12.
Mathayo 19:16-26.
Wafilipi 4:13.
2 Wakorintho 12:9-10.
“BUNGULIGU” (PANZI) USIMKAMATIE DEDE (NDEGE).
Chanzo cha msemo huo, chaangalia Bunguligu na dede. Bunguligu huyo ni panzi mkubwa kabisa, ambaye hawezi kumezwa na dede, kwa sababu dede huyo ni ndege mwenye umbo dogo sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bunguligu (panzi) usimkamatie Dede (ndege).’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawapatii watoto vitu ambavyo ni vya watu wazima, maishani mwake. Mtu huyo, anafahamu namna ya kuwalea vizuri watu wake. Yeye huwaambia watoto maneno ambayo ni watoto ili yaweze kuwajenga vizuri. Yeye pia, hutumia maneno ya wakubwa katika kuwaelemisha watu wazima, ili waweze kujijengea maadili mema.
Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa kwa wenzake anaoishi nao, katika kuwalea hadi kuwakuza vyema watoto hao, kwa sababu ya maisha yake ambayo huwakataza kuwapatia watoto mambo ya watu wazima. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘Bunguligu (panzi) usimkamatie Dede (ndege).’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwapatia watoto vitu ambavyo ni vya watu wazima, maishani mwao, ili waweze kuwalea vyema watoto wao, na kuziendeleza vizuri familia zao.
Luka 19:44.
Mathayo 17:14-21.
1 Wakorintho 3:16.
Hesabu 5:12-14.
Mathayo 19:3-12.
Mathayo 19:16-26.
Wafilipi 4:13.
2 Wakorintho 12:9-10.
ENGLISH: DO NOT CATCH A BIG GRASSHOPPER FOR DEDE (A SMALL A BIRD).
The source of thi saying is grasshopper and a small bird known by name of dede in Kisukuma language. This saying came in the context where the grasshopper is considered to be food for birds. Therefore, birds eat grasshoppers of different sizes. When it comes to a grasshopper that is big, it becomes difficult for dede to eat this particular grasshopper. This is why people came with this saying to show the relationship between these two organisms.
This saying can be compared to a person who tends to take care of his/her children by considering their age. This person knows what, when and how to say something to his/her children. Such a person knows different messages/information that has to be delivered differently between children and adults.
The saying teaches people about giving up the habit of giving children things that are not related to their age. People need to consider age differences when they want to communicate certain information to other people.
Luke 19:44, Matthew 17: 14-21, 1Corinthians 3:16, Numbers 5: 12-14, Matthew 19: 3-12, Matthew 19: 16-26, Philippians 4:13, 2Corinthians 12: 9-10.