Sukuma Riddles

594. KALAGU – KIZE. JILUGUTA NGANYALE: – NG’HUNDYA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yingilile kubhulumi bho Ng’hundya kujisumva jilibhe. Ing’hundya jilisumva ijo igalumaga na gudamila ha mili go ntugo uyo gutali gusiminza. Yiyoyi igadamilaga aha ng’ombe, mbuli nulu ha Mbogo, aho yalumaga, kugiki imane yugabipa amininga gakwe uyo yanumaga ng’wunuyo. Agumanusiminza iliho duhu, mpaga wigele oguyinja hoyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki,  ‘jiluguta nganyale:- Ng’hundya.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agigashaga ha ng’wa nsabhi. Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’hundya yiniyo, kunguno nuweyi agamanaga ulya duhu ijiliwa ijahali nsabhi ng’wunuyo, guti ni ng’hundya yiniyo, iyo igamanaga yugabipa amaninga gakwe uyo yanumaga.

Uweyi agikalaga bho bhuyegi aha linsabhi ng’wunuyo, kunguno agamanaga ulya duhu ijiliwa ijo ojichola unsabhi okwe. Abhanhu abho bhagamonaga bhagikalaga bhedebhile igiki, uweyi wikajiwa hoyi jiliwa duhu, kunguno ulu jushila ijiliwa jinijo, adudula ugwikala ahakaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘jiluguta nganyale:- Ng’hundya.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhakuja ab’ana bhabho bho gubhonhya mabhele chiza, na gwibhegeja ijinagutumama milimo yabho, abho bhakula, kugiki bhaleke ugwisanya nguzu ja bhangi, umuwikaji bhobho.

Isaya 49:15.

Isaya 60:16.

Mithali 10:15.

Mithali 22:7.

2Wathesalonikew 3:10.

Waroma 12:11-12.

Waroma 12:11-12.

Mathayo 24:13.

KISWAHILI: KTENDAWILI TEGA.

KIMUNG’ATACHO HUMNYONYA HUKU AKITEMBEA KWA MADAWA:- KUPE.

Chanzo cha kitendawili hicho, chatokea kwenye ung’ataji wa kupe kwa mnyama. Kupe huyo, hung’ata ng’ombe, mbuzi, kondoo hata nyati, akiwa anatembea. Yeye hung’ang’ania pale ulipouma, huku akifyonza damu ya mnyama huyo wakati wote. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kimung’atacho humnyonya huku akitembea kwa madaha:- kupe.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, huishi kwa mtu aliye tajiri. Mtu huyo, hufanana na kupe kwa sababu naye huendelea kula tu, kwenye familia ya tajiri huyo, kama kupe anyonyavyo damu kwa mnyama aliyemng’ata.

Yeye huishi kwa furaha tu kwa tajiri huyo, kwa sababu ya kupata sehemu ya kula chakula, ambacho tajiri huyo alikitafuta. Watu wale wanaomuelewa mtu huyo, humwambia kwamba yeye yuko pale kwa sababu ya chakula tu, kikiisha hawezi kuendelea kukaa pale. Ndiyo maana wao huhadithiana kwamba, ‘kimung’atacho humnyonya huku akitembea kwa madaha:- kupe.

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwakuza watoto wao kwa kuwanyonyesha, na kujitegemea kwa kufanya kazi zao, kwa wale walio na uwezo huo, ili waache kutegemea nguvu za wengine, maishani mwao.

Isaya 49:15.

Isaya 60:16.

Mithali 10:15.

Mithali 22:7.

2Wathesalonike 3:10.

Waroma 12:11-12.

Mathayo 24:13.

tick4

tick1

tick3

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE ONE THAT BITES AND SUCKS BLOOD WHILE THE VICTIM WALKING MAJESTICALLY – TICK.

The source of this riddle is the bite of a tick. Ticks tend to bite animals like cows, goats and sheep and when it bites, it tends to suck blood while the victimized animal keeps on walking. This is why people came with the riddle that ‘the one that bites and sucks blood while the victim walking majestically – tick’ to communicate how the tick can enjoy riding an animal while sucking its blood.

This riddle can be compared to someone who lives with a rich person. This person, considered to be poor, can live like a tick that sucks blood and enjoys the ride. Life within this family of a rich person is good thus making this poor person to enjoy good shelter, food and clothing. This poor person can be looked at as someone who went to live with the rich man just because he/she wanted the richman’s provisions.

This riddle teaches people about nurturing their children in a good manner so as to make them become self-reliant in future. They will avoid living like ticks rather look for what can make them sustain their lives.

Isaiah 49:15, Isaiah 60:16, Proverbs 10:15, Proverbs 22: 7, 2Thessalonians 3:10, Romans 12: 11-12

Matthew 24:13.

593. KALAGU – KIZE. SHELENYETE: – BHUSUNGU BHO NG’HUMI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola bhusungu bho ng’humi. Ing’humi yiniyo, jilisumva ijo jili na bhusungu ulu junhuma munhu. Uyo olumagwa ng’wunuyo, ikanza lingi agiigwaga giti inhumi yiniyo, ilisiminza umugati ya mili gokwe, kunguno agab’izaga guti alishinwa. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘shelenyete:- Bhusungu bho ng’humi.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli nkima uyo alilung’wa bhusungu, ahikanza lya gwifungula. Umunhu ng’wunuyo agasadyaga noyi, guti nu bhusungu bho ng’humi, ukuli munhu uyo yanhumaga. Agikomejaga noyi, ugwiyumilija, mpaga nose agadujaga, ugwifungula chiza.

Umayu ng’wunuyo, agabhalanjaga abhiye ahigulya ya gwiyumilija ulu bhalichola kupandika ginhu jisoga. Uweyi agabhizaga jigemelo jawiza ukubhanhu abho bhalihaya kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu giki, ‘shelenyete:- Bhusungu bho ng’humi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija ulubhalitumama nimo ndimu, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gujibheja chiza ikaya yabho.

Mwanzo 3:16.

1Wakorintho 10:13.

Isaya 21:3.

Zaburi 48:6-7.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 16:21.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KUUMA KAMA UNAFINYWA:- SUMU  YA NGE.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia sumu ya nje. Inge huyo, ni kiumbe chenye sumu, kikimuuma mtu. Yule aliyeumwa, wakati mwingine, hujisikia kama nge anatembea ndani ya mwili wake, kwa sababu ya maumivu hayo makali yanayomfanya ajisikie kama anafinywa. Ndiyo maana yeye huwahadithia watu kwamba, ‘kuuma kama unafinywa:- sumu ya nge.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mwanamke yule anayejisikia uchungu wakati wa kujifungua. Mtu huyo, hujisikia maumivu makali sana, kama yale ya uchungu wa kuumwa na nge, kwa mtu yule aliyeumwa. Yeye hujibidisha kuvumilia, mpapa mwishowe hufaulu kujifungua salama.

Mama huyo, huwafundisha watu juu ya kuvumilia katika matatizo wanayokumbana nayo maishani mwao, ili waweze kuyafikia mafanikio wanayoyatarajia. Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake, wanaotaka kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kuuma kama unafinywa:- sumu ya nge.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wanapoyakamilisha majukumu yao, ambayo ni magumu, maishani mwao, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao.

Mwanzo 3:16.

1Wakorintho 10:13.

Isaya 21:3.

Zaburi 48:6-7.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 16:21.

scorpion-

scorpion2

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT PAINS AS IF YOU ARE BEING PINCHED – SCORPION’S POISON.

The source of this riddle is the scorpion’s poison. Scorpions tend to produce poison when they bite other animals. When it bites, the bitten animal will feel pain in the same way one can feel when is being pinched. This is why people came with this riddle that ‘it pains as if you are being pinched.’ -scorpion’s poison.’

This riddle can be compared to a woman who is in labour. This woman can feel severe pain, like that of a bite, but she is able to persevere and finally deliver a child. This woman teaches others about how to endure problems one can face in his/her life. She can be taken as a role model to others who have to struggle without giving up in order to achieve success in life.

This riddle teaches people about patience as they fulfill their goals. They have to be tolerant enough in making sure that they achieve what they desire in their lives.

Genesis 3:16, 1Corinthians 10:13, Isaiah 21: 3, Psalm 48: 6-7, Matthew 11: 28-30, John 16:21.

589. KALAGU – KIZE. NAKADIMA KINEKEJA: – KALUSUNDA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola ginhu ijijigitanagwa lusunda. Ulusunda lunulo luli ginhu ja gutulila jiseme ulo lugatungilagwa ng’wigulya ya numba, umukaya. Uloyi ulu lukumiwa lugandyaga gwisugusa (gwifilinja) mpaga ku ikanza ilihu. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nakadima kinekeja:- Kalusunda.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agakumiwagwa hadoo duhu wiza nzule, nulu opelana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adadilaga ugwikenya na bhanhu, kunguno ya bhujidakumiwa bhokwe bhunubho.

Uweyi agikolaga nu lusunda, kunguno nuweyi agapelana wangu ulu okumiwa nulu hadoo duhu nabhiye. Abhanhu abho agidumaga nabho, nose bhandebha igiki aling’wangu upelana. Hunagwene bhagiganilaga giki, ‘nakadima kinekeja:- Kalusunda.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija ubho gubhambilija ugubhuleka ubhupelanu bho sagara, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichobho, umuwikaji bhobho.

Warumi 12:21.

Waefeso 4:26-28.

Wakolosai 3:8.

Yakobo 1:20-21.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NIMEKASHIKA KAKABEMBEA:- KIBEMBEA.

Chanzo cha kitendawili hicho, kinaangalia kitu kichoitwa kibembea. Kibembea hicho, huwa kinafungwa kwa kunig’inizwa juu ya nyumba kwa ndani, ambacho hutengenezwa kwa nyuzi za mkonge. Kibembea hiyo, mtu akikigusa huanza kuchezacheza (kujiviringisha) kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu huhadithina kwamba, ‘nimekashika kakabembea: kibembea.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye akiguswa kidogo tu hukasilika, katika maisha yake. Mtu huyo, hakawii kugombana na watu kwa sababu ya kutokuguswa kwake huko.

Yeye hufanana na kibembea hicho cha kuning’inizia vyombo, kwa sababu naye ukasilika upesi akiguswa hata kidogo tu, na wenzake. Watu wanaokosana naye, mwishowe hufahamu kwamba, mtu huyo ni mwepezi mno kukasilika. Ndiyo maana watu hao huhadithiana kwamba, ‘nimekashika kakabembea: kibembea.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia kuacha hasira za hovyo, katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Warumi 12:21.

Waefeso 4:26-28.

Wakolosai 3:8.

Yakobo 1:20-21.

sungo

sungo3

sungo1

 

ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME.

THE MOMENT I TOUCHED IT, IT BEGAN SWINGING – “LUSUNDA”.

The source of this riddle is a certain object called lusunda in Kisukuma. This object is made of woven rope always used to hang food stuff in the house (especially in grass-thatched houses) in order to protect that from being eaten by rats and cats. This lusunda tends to swing around when one touches it. This is why people came with the riddle that ‘the moment I touched it, it began swinging – lusunda.

This riddle can be compared to a person who reacts harshly when touched by someone else. Such a person is likely to cause a lot of chaos just because of being touched by someone. People of this behaviour don’t want to be disturbed.

This riddle teaches people about patience. It is through patience where one can have tolerance and being able to work together with other members in a given society.

Romans 12:21, Ephesians 4: 26-28, Colossians 3: 8, James 1: 20-21.

587. KALAGU – KIZE. KADANDA KADANDA KADALINHAGWA: – KASWA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola nguzu ja kaswa. Akaswa kenako, kagabhizaga kadina nguzu kunguyo ya bhunogoleku bhogo. Akoyi mumo kagalihila adiko umunhu gukalinha, kunguno kalidodo noyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘kadanda kadanda kadalinhagwa:- kaswa.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agahadikijaga bhanhu gutumama milimo iyo ibhakilile. Umunhu ng’wunuyo, adulile nulu gubhinha nimo bhanigini, uyo gugatumamagwa na bhanhu abho bhalibhatale.

Uweyi agikolaga nu guhadikija kulinha ahakaswa, akokadina nguzu, kunguno nuwei agabhinhaga milimo abhanhu abho bhadina nguzu ijaguitumamila imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga bho gwiganila giki, ‘kadanda kadanda kadalinhagwa:- kaswa.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo iyo bhaidulile, na guleka nhungwa ja gubhinha milimo iyo ibhakilile nguzu abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 34:2.

Kutoka 34:4.

Mathayo 19:26.

Luka 18:27.

KITENDAWILI – TEGA.

KADANDA KADANDA HAKAKWEWI: – UNYASI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia nguvu za unyasi. Unyasi huo, huwa haina nguvu, kwa sababu ya ulaini wake. Wenyewe hata ulefuke kiasi gani, hauwezi kupata uimara wa kumwezesha mtu kuukwea. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kadanda kadanda hakakwewi:- unyasi.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulazimisha watu kufanya kazi ambazo hawana uwezo nazo.  Mtu huyo, huweza hata kuwapa watoto kazi ambayo inatakiwa kufanywa na watu wazima.

Yeye hufanana na kitendo cha mtu kulazimisha kukwea unyasi, ambao hauna nguvu za kumbeba, kwa sababu naye huwalazimisha watu kufanya kazi ambazo hawana uwezo wa kuzitekeleza. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo, kwa huhadithiana kwamba, ‘kadanda kadanda hakakwewi:- unyasi.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zile ambazo wanauwezo nazo, na kuacha tabia ya kuwapatia watu wao kazi zilizowazidi nguvu, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Kutoka 34:2.

Kutoka 34:4.

Mathayo 19:26.

Luka 18:27.

iswa

nigini

zambia-

 

ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME.

KADANDA KADANDA IS NOT CLIMBED- GRASS.

The source of this riddle is the strength of grass. The grass is always weak for a person to climb. However much one can struggle, he/she cannot succeed to climb grass. To justify this impossibility, people came with the riddle ‘kadanda kadanda is not climbed – grass.’

This riddle can be compared to a person who forces people to perform tasks that they are not capable of. The person may give children the work that even adults cannot manage to do it. Such a person can be likened to a person who forces to climb grass that cannot carry a person.

This riddle teaches people about doing works that they are capable of. They should avoid giving people tasks which they cannot manage. In so doing, they will be able to have respect and harmony with other people in a given society.

Exodus 34: 2, Exodus 34: 4, Matthew 19:26, Luke 18:27.

586. KALAGU:- KIZE. LITULA NA LITULA: – MAGOHE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola bhutumami bho ngohe. Ingohe jinijo, jigaitumamaga imilimo yajo bho gugobya, na gulanghana liso bho gugalemeja abhapalala ugwingila moyi. Ijoyi ulu munhu ugobya jigitulanyaga bho gwikumya. Ingohe jinijo jigisuyaga aha makanza ayo munhu olalaga du. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘litula na litula:- Ngohe.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe gwingila dilu mpaga mhindi. Umunhu ng’wunuyo, agayilanghana bho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, guti ni ngohe umo jigatumamilaga mpaga olala umunhu, hunajifula.

Uweyi agabhizaga jigemelo ja gutumama milimo bho bhukamu bhutale, ukubhiye, kunguno ya kikalile kakwe kenako, aka gutumama milimo gwingila dilu mpaga mhindi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘litula na litula:- Ngohe.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho guitumama imilimo yabho, umu makanza gose aga limi, na gwisuya ibhujiku, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Kuhiniyo, ijito ja gugobya go ngohe jinijo, jalanga bhanhu gutumama milimo bhuli makanza, na gwisuya ahikanza ilya bhujiku.

1Wakorintho 3:9-15.

1Wakorintho 15:10.

1Wathesalonike 2:9.

2Wathesalonike 3:8-10.

KITENDAWILI: – TEGA.

PIGANO  NA PIGANO: – KOPE ZA MACHO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia utendaji kazi wa kope. Kope hizo, hufanya kazi zake kwa kufunga na kufungua macho, na kuyalinda macho kwa kuzuia takataka zisiingie ndani yake. Zenyewe, hupigana kwa kugusana mtu anapofumba na kufumbua macho yake. Kope hizo, hupumzika wakati wa mtu kulala. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘pigano na pigano:- kope za macho.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kuanzia asubuhi, hadi jioni. Mtu huyo, huzilinda kazi zake hizo kwa kuzitekeleza vizuri, kama kope za macho zinavyoyalinda macho, mpaka wakati wa mtu kulala.

Yeye huwa mfano wa kuigwa kwa wenzako katika kufanya kazi kwa bidii kubwa, kwa sababu ya maisha yake hayo, ya utendaji wa kazi kuanzia  asubuhi hadi jioni. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘pigano na pigano:- kope za macho.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii za kuyatelekeza vizuri majukumu yao wakati wa mchana, na kupumzika wakati  wa usiku, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Kwa hiyo, kitendo cha kupigana kwa kope za macho, hufundisha watu kuyatekeleza majukumu yao, kila wakati, na kupumzika wakati wa usiku.

1Wakorintho 3:9-15.

1Wakorintho 15:10.

1Wathesalonike 2:9.

2Wathesalonike 3:8-10.

ngohe5

ngohe6

ngohe1

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THEY FIGHT AND EMULATE EACH OTHER – EYELIDS.

The source of this riddle is the functions of eyelids. Eyelids work by opening and closing in an attempt to protect the eye from external substances that are likely to affect it. Eyelids tend to “fight” by touching each other when they close and when they open the eyes. These eyelids tend to rest when one is asleep. This is why people came with the riddle ‘they fight and emulate each other – eyelids’ to communicate cooperation between the two eyelids in protecting the eye from being entered by extenal objects.

This riddle can be compared to a person who performs his/her duties from morning to evening. The person protects his or her job by performing it properly, just as the eyelids protect the eyes until the person goes to sleep. Such a person can be regarded as a role model to his/her colleagues because of his/her hard work.

This riddle teaches people about how to work hard in their lives in order to achieve success in life. Thus, the act of eyelids teaches people about how to carry out their activities all the time.

1Corinthians 3: 9-15, 1Corinthians 15:10,1Thessalonians 2: 9, 2Thessalonians 3: 8-10.