Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola bhutumami bho ngohe. Ingohe jinijo, jigaitumamaga imilimo yajo bho gugobya, na gulanghana liso bho gugalemeja abhapalala ugwingila moyi. Ijoyi ulu munhu ugobya jigitulanyaga bho gwikumya. Ingohe jinijo jigisuyaga aha makanza ayo munhu olalaga du. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘litula na litula:- Ngohe.’
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe gwingila dilu mpaga mhindi. Umunhu ng’wunuyo, agayilanghana bho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, guti ni ngohe umo jigatumamilaga mpaga olala umunhu, hunajifula.
Uweyi agabhizaga jigemelo ja gutumama milimo bho bhukamu bhutale, ukubhiye, kunguno ya kikalile kakwe kenako, aka gutumama milimo gwingila dilu mpaga mhindi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘litula na litula:- Ngohe.’
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho guitumama imilimo yabho, umu makanza gose aga limi, na gwisuya ibhujiku, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Kuhiniyo, ijito ja gugobya go ngohe jinijo, jalanga bhanhu gutumama milimo bhuli makanza, na gwisuya ahikanza ilya bhujiku.
1Wakorintho 3:9-15.
1Wakorintho 15:10.
1Wathesalonike 2:9.
2Wathesalonike 3:8-10.
KITENDAWILI: – TEGA.
PIGANO NA PIGANO: – KOPE ZA MACHO.
Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia utendaji kazi wa kope. Kope hizo, hufanya kazi zake kwa kufunga na kufungua macho, na kuyalinda macho kwa kuzuia takataka zisiingie ndani yake. Zenyewe, hupigana kwa kugusana mtu anapofumba na kufumbua macho yake. Kope hizo, hupumzika wakati wa mtu kulala. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘pigano na pigano:- kope za macho.’
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kuanzia asubuhi, hadi jioni. Mtu huyo, huzilinda kazi zake hizo kwa kuzitekeleza vizuri, kama kope za macho zinavyoyalinda macho, mpaka wakati wa mtu kulala.
Yeye huwa mfano wa kuigwa kwa wenzako katika kufanya kazi kwa bidii kubwa, kwa sababu ya maisha yake hayo, ya utendaji wa kazi kuanzia asubuhi hadi jioni. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘pigano na pigano:- kope za macho.’
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii za kuyatelekeza vizuri majukumu yao wakati wa mchana, na kupumzika wakati wa usiku, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Kwa hiyo, kitendo cha kupigana kwa kope za macho, hufundisha watu kuyatekeleza majukumu yao, kila wakati, na kupumzika wakati wa usiku.
1Wakorintho 3:9-15.
1Wakorintho 15:10.
1Wathesalonike 2:9.
2Wathesalonike 3:8-10.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
THEY FIGHT AND EMULATE EACH OTHER – EYELIDS.
The source of this riddle is the functions of eyelids. Eyelids work by opening and closing in an attempt to protect the eye from external substances that are likely to affect it. Eyelids tend to “fight” by touching each other when they close and when they open the eyes. These eyelids tend to rest when one is asleep. This is why people came with the riddle ‘they fight and emulate each other – eyelids’ to communicate cooperation between the two eyelids in protecting the eye from being entered by extenal objects.
This riddle can be compared to a person who performs his/her duties from morning to evening. The person protects his or her job by performing it properly, just as the eyelids protect the eyes until the person goes to sleep. Such a person can be regarded as a role model to his/her colleagues because of his/her hard work.
This riddle teaches people about how to work hard in their lives in order to achieve success in life. Thus, the act of eyelids teaches people about how to carry out their activities all the time.
1Corinthians 3: 9-15, 1Corinthians 15:10,1Thessalonians 2: 9, 2Thessalonians 3: 8-10.