Sukuma Proverbs

440. BHUBYALWA BHUDOGAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhubyalwa na bhogi bho munhu. Umubhubyalwa munumo, umunhu nulu agabhiza abyalilwe na munhu uyo alinihanga ilo lidilyawiza, ung’wene alimyaji okwe duhu, adadulile guja kwilambo, giki agabhoge ubhubyalwa bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhubyalwa bhudogagwa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadalahaga abhabyaji bhakwe, kunguno ya mahanga gabho gubhiza gadigawiza.

Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gubhalema abhabyaji bhakwe bhenabho, ulu ubhujiwa na munhu, na gwihaya giki, uweyi abhabyalilwe na bhasabhi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘bhubyalwa bhudogagwa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadosa abhabyaji, kugiki bhadule kubhalang’hana, bho gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Yohane 3:3-11.

 Kutoka 20:12.

 Mika 6:8.

KISWAHILI: UZAWA HAUOGWI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia uzawa na uogaji wa mtu. Mtu huyo hata akiwa na wazazi wenye sura mbaya, wao ni wazazi wake tu, hawezi kwenda kwenye Bwawa ili akauoge uzawa huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzawa hauogwi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau wazazi wake, kwa sababu ya wao kuwa na sura mbaya. Mtu huyo huweza hata kuwakana wazazi wake hao, akiulizwa na mtu fulani.

Yeye huko tayari hata kuwataja watu wengine ambao ni matajiri, kuwa ndio wazazi wake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘uzawa hauogwi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau wazazi wao, ili waweze kuwaheshimu kwa kuwatunza vizuri, maishani mwao.

Yohane 3:3-11.

 Kutoka 20:12.

 Mika 6:8.

mothers-love

benin

ENGLISH: ORIGINALITY CANNOT BE TAKEN OFF THROUGH BATH.

The source of the proverb looks at one’s origin and bath. One cannot reject his/her parents just because of their poor condition. The proverb advices people that they cannot take off their origin by simply showering.

The proverb can be compared to a person who despises his parents because of their poor condition. That person can dare to deny them and, instead, adopt other well-to-do people as his/her parents. Such people are being warned using the proverb that ‘originality cannot be taken off through bath.’

This proverb teaches people to stop disrespecting their parents. They should take care of their parents in a manner that can make them be respected.

John 3: 3-11.

Exodus 20:12.

Micah 6: 8.

438. GULI MONGO GWIKE AMINZI GATIMO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile ku mongo na minzi gago. Ulu yutula mbula nhale, aminzi gadulile gwisumbya mpaka gokola mumongo, uyo abhanhu bhagayombaga giki, gwizaga mongo.

Aliyo lulu, ulu gushila aminzi genayo, gusagaga mongo gwike. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ugunuyo, ‘guli mongo gwike aminzi gatimo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina masala. Aminzi ayo gali mumongo gagalenganijiyagwa na masala. Umongo uyo guti na minzi, gugikolanijiyagwa nu munhu ng’wunuyo, uyo adina masala.

Hunagwene abhanhu ulu bhumona munhu uyo adina masala, bhagayomgaga giki ung’wunuyo, ‘guli mongo gwike aminzi gatimo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kugiki bhadule gwikala bho bhuyegi nabho, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 3:1.

Tito 3:1.

2 Petro 2:12.

KISWAHILI: NI MTO TU MAJI HAYAMO.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye mto na maji yake. Ikinyesha mvua kubwa, maji hujikusanya mpaka kuwa mengi yawezayo kujaza mto, ambao watu husema kwamba, mto umekuja.  Lakini basi, maji hayo yakiisha, hubaki mto tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, huo ‘ni mto tu maji hayamo.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana akili. Maji yaliyomo mtoni hufananishwa na akili. Mto ambao hauna maji, hulingana na mtu yule asiye na akili. Ndiyo maana watu wakimuona mtu ambaye hana akili, husema kwamba, huo ‘ni mto tu maji hayamo.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwasaidia watu ambao wana matatizo, ili waweze kuishi pamoja nao, kwa furaha.

Wagalatia 3:1.

Tito 3:1.

2 Petro 2:12.

dry river

dry river1

ENGLISH: A RIVER WITHOUT WATER.

The source of this saying comes from the river and its water. When it rains heavily, the water accumulates to fill the river, which can make people say, the river has come. But when that water dries the river remains empty. That is why people can say ‘a river without water.’

The saying can be compared to a man who has no sense. The water in the river is likened to the mind. A river that has no water is the same as the mindless man. That is why when people see someone who has no sense, they can say, ”It’s just a river without water.’

The proverb teaches people about having knowledge about their surrounding environment. It also teaches people about love of helping others with problems, regardless of their knowledge and ability.

Galatians 3: 1.

Titus 3: 1.

2 Peter 2:12.

 

437. UBHEBHE HU LIMOLA?

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuli mola. Umola olimunhu uyo oliadatogilwe imilimo yakwe itumamwe sagara sagara.

Umunhu ng’wunuyo agabhiza jigemelo nu kuli ng’wene, uyo uhaya guitumama milimo yakwe bho bhudiliji bhutale. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, ‘ubhebhe hu mola?’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo bho gwiyolecha kubhanhu bhandebhe igiki agatumamaga chiza.

Umunhu ng’wunuyo ahayile abhanhu bhagumane unimo gokwe, kugiki bhadule gunkumilija. Hunagwene abhanhu abho bhandebhile umo alili, nu wiyolecha bhokwe, bhagamujaga giki, ‘ubhebhe hu mola?’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ya gutumama milimo bho gwiyolecha kubhanhu abho bhalihaya bhabakumilije, kugiki bhadule gutumama chiza, nulu bhali nduhu abhanhu abhagubhakumilija.

Yohana 4:11-12.

Yohana 8:53-55.

KISWAHILI: WEWE NDIYE MOLA?

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwa Mola. Mola alikuwa mtu yule ambaye hakupenda kazi zake zifanywe hovyo. Alipenda kazi hizo zifanywe kwa umakini na vizuri.

Mtu huyo alikuwa mfano wa kulinganishwa hata kwa mwingine ambaye hakutaka kufanya kazi vibaya. Hivyo yule aliyependa kuzifanya kazi zake vizuri, walimuuliza kwamba, ‘wewe ndiye mola?’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi yake kwa kujidai kwamba anafahamu kila kitu, ili kujionesha kwa lengo la kutaka kusifiwa.

Mtu huyo, hutaka watu wazione kazi zake, ili wamsifiye. Ndiyo maana watu wale wanaielewa tabia yake hiyo, ya kufanya kazi kwa kujionesha, humuuliza kwamba, ‘wewe ndiye mola?’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kufanya kazi kwa lengo la kujionesha kwa watu kwamba, wanafahamu kila kitu, wakati kumbe sivyo, ili waweze kuzifanya vizuri kazi zao, hata kama watu wa kuwasifu, hawapo.

Yohana 4:11-12.

Yohana 8:53-55.

dancing

construction

ENGLISH: ARE YOU MOLA?

The source of the saying comes from Mola. Mola was a man who wanted his works to be done carefully and properly.

Mola was an example of people who would prefer to do their works in a perfect manner. Therefore, anyone who could do his/her work perfectly was compared to Mola. The saying can be compared to a person who does his/her work by claiming to know everything in order to show himself/herself that he/she is always perfect in his/her doings and therefore be praised by others.

The proverb teaches people not to work just for show up but work perfectly for the sake of building thir families and the society around them.

John 4: 11-12.

John 8: 53-55.

435. GWISHATYA GO NG’WANA NDILE AGALILA NG’HUNGU IDI YA NDUGUYE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuliji bho ng’hungu, bho ng’wana Ndile, iyo yalidi ya nduguye. Ung’wana Ndile wishatyaga kuja gujulila ng’hungu, ukubhanhu abho bhagandika mayange, gaguzumalikilwa na bhadugu bhabho. Bhuli munhu olilaga ng’hunu, ulu nduguye uzumalika.

Uwishatya bhokwe bhunubho, bhugang’wenheleja gulila ng’hungu iyo idiya nduguye. Hunagwene abhanhu bhagayomgaga giki, ‘gwishatya go ng’wana Ndile agalia ng’hungu idiya nduguye.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga bhumani bho bhuli ginhu, nulu mhayo, gashinaga adagumanile.

Umunhu ng’wunuyo ahayile giki, bhuli mhayo gwene aguyombe weyi. Abhiye abhabyedile. Hunagwene ulu uhubhila ginhu jose jose, abhanhu bhagayombaga giki, ‘gwishatya go ng’wana Ndile agalila ng’hungu idiya nduguye.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwituula bhumani bho bhuli mhayo, kugiki bhadule gubhiza na widohya bho gwilanga mingi, gufumila kubhichabho abho bhayidebhile.

Yeremia 22:10.

Luka 23:28.

KISWAHILI: KUJITIA KUJUA KWA NG’WANA NDILE A LILIA KILIO AMBACHO SI CHA NDUGUYE

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uliaji wa mwana Ndile, ambao haukuwa wa ndugu yake. Mwana Ndile alijitia kulia kwenye kilio cha watu waliofiwa na ndugu zao. Kila mmoja alitakiwa kulia kwenye kifo cha mtu, ambaye ni ndugu yake.

Hivyo kujitia kwake mtu huyo, kulimleteleza kulia kwenye kilio ambacho siyo cha ndugu yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kujitia kujua kwa mwana Ndile alilia kwenye kilio ambacho siyo cha nduguye.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujidai kufahamu kila kitu, au neno, wakati halifahamu vizuri. Mtu huyo hutaka aongee yeye tu, kwenye kila jambo.

Yeye huwadharau wengine. Ndiyo maana akikosea kitu fulani, watu husema kwamba, ‘kujitia kujua kwa mwana Ndile alilia kwenye kilio ambacho siyo cha nduguye.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kujitia kujua, kwenye kila neno, ili waweze kuwa na unyenyekevu wa kuwawezesha kujifunza vizuri, kutoka kwa wale wanaoelewa.

Yeremia 22:10.

Luka 23:28.

statue-

 

woman relief

ENGLISH: STEPPING INTO OTHERS’ MATTERS MADE NG’WANA NDILE MOURN A MOURNING WHICH IS NOT OF HIS RELATIVE

The source of the proverb comes from the mourning of the son of Ndile. The son of Ndile moarned for a mourning that he was not supposed to moarn for. In this society, moarning was reserved to people who happened to have lost one of their relatives but the son of Ndile, because of his behaviour of pretending to be omniscient (someone who knows everything), he joined the moarners for the death of a person he doesn’t know.

This proverb can be compared to a person who claims to know everything while in actual fact he/she is not. This is why people who pretend to know everything in life are being warned by telling them not to be like Ndile’s son because one day they can be ashamed by their behaviour.

The proverb teaches people about giving up the habit of pretending to know everything in life. They need to be patient and wait for those with knowledge about something to tell them the truth about something. This can help one to learn from others and understand things better.

Jeremiah 22:10.

Luke 23:28.

 

434. LUMUDA LO NG’WIYO UDULWISAGILWA

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile nimo go lumuda, ukubhanhu abho bhali kubhulugu. Ulumuda lugahangija masonga ayo gagalutagwa na bhanishi. Bhuli ng’wene uyo ali kubhulugu agabhizaga na lumuda lokwe, ulogugahangija amasonga geneyo, ulugalutwa.

Kuyiniyo lulu, idichiza umunhu uguja kubhulugu wisagilagwa lumuda lo ng’wiye, kunguno ulunulo ludung’wambilija jose jose. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lumuda lo ng’wiyo udulwisagilwa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga kumilimo yakwe, bho nduhu ugusola ijitumamilo ja nimo gunuyo. Umunhu ng’winuyo agisagilwaga jitumamilo ja ng’wiye, ukumilimo yakwe yiniyo.

Uweyi adamanile igiki, ijitumamilo ja ng’wiye jinijo, jidadulile ugung’wambilija, kunguno nu ng’wiye naajisanije ijinijo, igiki agujitumamila. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lumuda lo ng’wiyo udulwisagilwa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujibhucha ijitumamilo jabho, ulu bhalije ukumilimo yabho, kugiki bhadule uguyitumama chiza, imilimo yabho yiniyo.

Mathayo 24:40-41.

Mathayo 16:27.

1 Wakorintho 9:25.

Ufunuo 2:10.

KISWAHILI: USITEGEMEE NGAO YA MWENZIO VITANI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia kazi ya ngao kwa wale walioko vitani. Ngao hiyo, huzuia mishale ilushwayo kutoka kwa maadui. Kila mmoja aliyeko vitani hutakiwa kuwa na ngao yake ili aweze kuizuia mishale hiyo.

Kwa hiyo basi, siyo vizuri kwa mtu kwenda vitani bila kuchukua ngao hiyo, akitegemea ngao ya mwenzake, kwa sababu, ngao hiyo, haitaweza kumsaidia kwa lolote.  Ndiyo maana watu humuonya mtu anayetegemea ngao hiyo, kwa kumwambia kwamba, ‘usitegemee ngao ya mwenzio vitani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, huenda kazini bila kuchukua vitendea kazi. Mtu huyo hutegemea vitendea kazi vya mwenzake.

Yeye hafahamu kwamba, vitendea kazi hivyo vya mwenzake, haviwezi kumsaidia yeye kwa sababu, hivyo ndivyo avitegemeavyo huyo mwenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘usitegemee ngao ya mwenzio vitani.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kubeba vitendea kazi vyao wakati waendapo kufanya kazi zao, ili waweze kuzitekeleza kazi hizo vizuri.

Mathayo 24:40-41.

Mathayo 16:27.

1 Wakorintho 9:25.

Ufunuo 2:10.

shield

ENGLISH: DON’T RELY ON YOUR FELLOW’S SHIELD IN THE BATTLE

The source of the above saying looks at the shield’s work in battle. The shield protects one from being hit by arrows from the enemy. Everyone on the battlefield has to have his/her shields for protection.

Therefore, it is not good for one to go to war without taking up the shield, relying on the shield of another person because it is likely not to help him/her. That is why such people are warned by telling them to stop relying on ‘fellow’s shields in the battle field’ rather have their own shields.

The saying can be compared to a person who goes to work without having work-related equipment rather, depending to get from a neighbour. Such a person does not know that the neighbour might also be using them thus making him/her fail to do his/her work as planned. This person is therefore warned by telling him/her to stop relying on other people rather he/she has to be self sufficient in his/her doings.

The saying teaches people to have their own work-related equipment that can help them to do their works without depending on others.

Matthew 24: 40-41

Matthew 16:27

1 Corinthians 9:25

Revelation 2:10