Sukuma Proverbs

444. NDA IDAMANAGA YA KUNGONGO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka nda na ngongo. Inda nu ngongo jilimu mili go ng’wa munhu umo. Aliyo lulu, jidimanile, kunguno inda yili kubhutongi ya ngongo, uyo guli kunuma yao. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nda idamanaga ya kungongo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu, uyo wingaga aha kaya yakwe, uja hanhu. Umunhu ng’wunuyo, adumana iyo igwilongaga ahanuma yakwe, kunguno atiho koyi. Uweyi agalindilaga abho bhali kukaya yakwe bhang’wile, naayimane iyo yiligela ahaka yakwe yiniyo.

Ihali yiniyo, igalenganijiyagwa na nda iyo idimanile  iyo igwitagwa ukungongo. Iyoyi idadulile uguyimana, aliyo jili mu mili gumo. Hunagwene abhanhu bhagayomgaga giki, ‘nda idamanaga ya kungongo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwiyinha mhola ja gudula gung’wambilija bhuli ng’wene uguyidebha iyo yiligela ukukaya yakwe, haho wengilaga, kugiki bhadule gwikala bho bhuyegi umukaya jabho. Umuwikaji bhunubho, bhagudula gubhagunana wangu, abhanhu abho bhali na makoye, umukaya jabho.

Mithali 19:17.

 Luka 9:62.

KISWAHILI: TUMBO HUWA HALIFAHAMU YA MGONGONI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia maisha ya tumbo na mgongo. Tumbo na mgongo zipo kwenye mwili wa mtu mmoja. Lakini basi, pamoja na hayo, hazifahamiani kwa sababu, tumbo liko mbele ya mgongo, ambao uko nyuma yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumbo huwa halifahamu ya mgongoni.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye ameondoka nyumbani kwake, akaenda sehemu fulani. Mtu huyo hawezi kufahamu yanayotokea kule nyumbani kwake, kwa sababu yeye ametoka huko.

Yeye husubiri watu walioko kule nyumbani kwake, wampe taarifa juu ya kile kinachoendelea huko. Hali hiyo, hufananishwa na tumbo lisivyoweza kufahamu yale yanayotokea mgongoni, pamoja na vyote hivyo, kuwa katika mwili mmoja. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumbo huwa halifahamu ya mgongoni.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kupeana taarifa juu ya kile kinachoendelea kule walikotoka ili taarifa hizo, ziweze kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo. Maisha hao, yataweza kuwasaidia kwa haraka wale wanaohitaji msaada huo, maishani mwao.

Mithali 19:17.

 Luka 9:62.

male1

ENGLISH: THE BELLY DOES NOT KNOW WHAT IS IN THE BACK.

The source of this proverb is the life of belly and back side of the human body. The belly and back are in the body of the same person but they don’t know each other. The belly lives in the front part of the body and the back lives in the back part of the same body.

The proverb can be compared to a person who left his/her home and went somewhere far from home and could not figure out what was going on at home. In order to know what is happening at his/her home, he/she was to depend on someone else who was left back home. Therefore, the presence of this person who was left home and the one who travelled far away from home can be likened to a relationship between belly and back.

The proverb teaches people about giving information about what’s going on in their place so that people can take up measures in case of any problem.

Proverbs 19:17.

 Luke 9:62.

442. GOGA NA BHA BULIMA LISO MUSILILI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka bhanhu bha bulima. Abhanhu bhenabho, bhikalaga na kajile ka gwikala bhubhalola musilili abho bhaloga nabho. Hunagwene abhanhu, ulu munhu ubhalola musilili, bhagang’wilaga giki, ‘goga na bha bulima liso musilili.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali omasala mabhi. Umunhu ng’wunuyo, agalolaga nzila ya gubhitilila yabhubhi abhiye, guti gubhighila, nulu gubhitila ginhu jose jose, ijo jilija bhubhi.

Abhanhu abho bhagamanile amasala ga ng’wa munhu ngu’wunuyo, igiki gali mabhi, bhagabhahugulaga abhichabho, kugiki bhiyangalile, adizudula gubhitila yiyabhubhi yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘goga na bha bulima liso musilili.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gubhitila ya bhubhi abhichabho, na gwilalang’hana na bhanhu abha masala mabhi, kugiki, bhadizitilwa yiyabhubhi, yiniyo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:29.

 2 Petro 2:14.

KUOGA NA WATU WA BULIMA JICHO KWENYE MAENEO YA CHINI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya watu wa bulima. Watu hao, walikuwa na desturi ya kuwaangalia kwa jicho la chini chini, wale waliokuwa wakioga nao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kuoga na watu wa bulima jicho kwenye maeneo ya chini.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye ana akili mbaya. Mtu huyo hutafuta njia za kuwatendea maovu wenzake, kama vile kuwaibia, au kuwatendea ovu lolote lile.

Watu wale wanaozifahamu akili mbaya za mtu huyo, huwaangalisha wenzao, ili muovu huyo asije akawatembea uovu huo. Ndiyo maana watu husema kwamga, ‘kuoga na watu wa bulima jicho kwenye maeneo ya chini.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kutenda maovu, na kuwa makini na watu wenye akili za kutenda maovu, wasije wakawatendea uovu huo, maishani mwao.

Mathayo 5:29.

2 Petro 2:14.

girl-sea beach young

child-shower

ENGLISH: IN SHOWERING TOGETHER WITH THE BULIMA PEOPLE ALWAYS THEIR EYES ARE DOWN ON YOU.

The source of the proverb comes from the lives of Bulima people. These are the people who had a bad habit. So, when bathing together, they will always keep their eyes on you to look for ways to hurt you. This is why people say ‘in showering together with the Bulima people always their eyes are down on you.’

The proverb can be compared to a person who has a bad mind. Such a person looks for ways to hurt others, such as robbing them, or doing anything wrong.

The proverb teaches people about giving up bad habits, and being careful with people who do evil things. This will make them be good people in the society and be loved by others as well.

Matthew 5:29.

2 Peter 2:14.

441. BHUSUMBA BUDOGELAGWA KIHAMO.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhusumba, ubho bhujile wileka, kunguno ya gubyalwa heke bhuli ng’wene. Ubhusumba bhunubho, bhugabhejiyagwa na bhanhu abho bhali bhilika limo. Abhanhu bhenabho bhadulile gwigusha, nulu goga kihamo, kunguno amasala gabho gali halumo.

Aliyo lulu, amalika ga bhanhu gagajaga gitonja, bhuli ilika kunguno abhanbhu, bhadakulanijaga lihamo pye abhose. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhusumba bhudogelagwa kihamo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agisanjaga mulilika lya bhanhu abho bhadibhang’wi lika lwakwe. Umunhu ng’wunuyo adulile nulu guntola ng’waniki uyo, alenganilile na bhizukulu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘bhusumba bhudogelagwa kihamo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwibhinzila ikujo kubhanhu, bho gwisanja muli lika ilo, lidilyabho, kugiki, bhadule gwikala ni kujo lyabho, umunzengo gobho.

Yohane 1:24-27.

KISWAHILI: LIKA HALIOGWI KWA PAMOJA.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia lika ambalo hutofautina na lingine, kwa sababu ya kuzaliwa wakati tofauti kwa kila mmoja.

Ulika huo, huundwa na watu wenye umri uli sawa. Watu hao waweza hata kucheza na kuoga kwa pamoja, kwa sababu akili zao huendana.

Lakini basi, lika za watu hutofautiana kutoka mtu mmoja hadi ng’wine, kwa sababu ya watu wote kutokukua kwa pamoja. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘lika haliogwi kwa pamoja.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujiingiza kwenye lika ambalo siyo la watu wa lika lake. Mtu huyo aweza hata kumuoa binti ambaye ni wa lika la wajukuu zake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘lika haliogwi kwa pamoja.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kujivunjia heshima kwa kujiingiza kwenye kundi la watu wa lika ambalo, ni la watu wengine, ili waweze kuishi kwa heshima katika kijiji chao, maishani mwao.

Yohane 1:24-27.

girl-youth

ENGLISH: AGE DIFFERENCE MATTERS.

The source of the proverb is the difference in age between one person and another person. This comes because these people are born at different times. People of the same age are likely to share so many things in common. They can shower together, play together,ect. But, if their ages are different, they are likely not to share some things. This is why people can tell such individuals that ‘age difference matters’ to mean they are not the same.

The proverb can be compared to a person who indulges in a group that the members are not his/her mate. The person may even marry a daughter who belongs to her grandchildren in terms of age. That is why people can tell such individuals that ‘age difference matters.’

The proverb teaches people about giving up self-destructive behaviour. They need to respect their ages and behave according to the set ethnical conducts of a particular society.

John 1: 24-27.

440. BHUBYALWA BHUDOGAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhubyalwa na bhogi bho munhu. Umubhubyalwa munumo, umunhu nulu agabhiza abyalilwe na munhu uyo alinihanga ilo lidilyawiza, ung’wene alimyaji okwe duhu, adadulile guja kwilambo, giki agabhoge ubhubyalwa bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhubyalwa bhudogagwa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadalahaga abhabyaji bhakwe, kunguno ya mahanga gabho gubhiza gadigawiza.

Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gubhalema abhabyaji bhakwe bhenabho, ulu ubhujiwa na munhu, na gwihaya giki, uweyi abhabyalilwe na bhasabhi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘bhubyalwa bhudogagwa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadosa abhabyaji, kugiki bhadule kubhalang’hana, bho gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Yohane 3:3-11.

 Kutoka 20:12.

 Mika 6:8.

KISWAHILI: UZAWA HAUOGWI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia uzawa na uogaji wa mtu. Mtu huyo hata akiwa na wazazi wenye sura mbaya, wao ni wazazi wake tu, hawezi kwenda kwenye Bwawa ili akauoge uzawa huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzawa hauogwi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau wazazi wake, kwa sababu ya wao kuwa na sura mbaya. Mtu huyo huweza hata kuwakana wazazi wake hao, akiulizwa na mtu fulani.

Yeye huko tayari hata kuwataja watu wengine ambao ni matajiri, kuwa ndio wazazi wake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘uzawa hauogwi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau wazazi wao, ili waweze kuwaheshimu kwa kuwatunza vizuri, maishani mwao.

Yohane 3:3-11.

 Kutoka 20:12.

 Mika 6:8.

mothers-love

benin

ENGLISH: ORIGINALITY CANNOT BE TAKEN OFF THROUGH BATH.

The source of the proverb looks at one’s origin and bath. One cannot reject his/her parents just because of their poor condition. The proverb advices people that they cannot take off their origin by simply showering.

The proverb can be compared to a person who despises his parents because of their poor condition. That person can dare to deny them and, instead, adopt other well-to-do people as his/her parents. Such people are being warned using the proverb that ‘originality cannot be taken off through bath.’

This proverb teaches people to stop disrespecting their parents. They should take care of their parents in a manner that can make them be respected.

John 3: 3-11.

Exodus 20:12.

Micah 6: 8.

438. GULI MONGO GWIKE AMINZI GATIMO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile ku mongo na minzi gago. Ulu yutula mbula nhale, aminzi gadulile gwisumbya mpaka gokola mumongo, uyo abhanhu bhagayombaga giki, gwizaga mongo.

Aliyo lulu, ulu gushila aminzi genayo, gusagaga mongo gwike. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ugunuyo, ‘guli mongo gwike aminzi gatimo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina masala. Aminzi ayo gali mumongo gagalenganijiyagwa na masala. Umongo uyo guti na minzi, gugikolanijiyagwa nu munhu ng’wunuyo, uyo adina masala.

Hunagwene abhanhu ulu bhumona munhu uyo adina masala, bhagayomgaga giki ung’wunuyo, ‘guli mongo gwike aminzi gatimo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kugiki bhadule gwikala bho bhuyegi nabho, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 3:1.

Tito 3:1.

2 Petro 2:12.

KISWAHILI: NI MTO TU MAJI HAYAMO.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye mto na maji yake. Ikinyesha mvua kubwa, maji hujikusanya mpaka kuwa mengi yawezayo kujaza mto, ambao watu husema kwamba, mto umekuja.  Lakini basi, maji hayo yakiisha, hubaki mto tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, huo ‘ni mto tu maji hayamo.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana akili. Maji yaliyomo mtoni hufananishwa na akili. Mto ambao hauna maji, hulingana na mtu yule asiye na akili. Ndiyo maana watu wakimuona mtu ambaye hana akili, husema kwamba, huo ‘ni mto tu maji hayamo.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwasaidia watu ambao wana matatizo, ili waweze kuishi pamoja nao, kwa furaha.

Wagalatia 3:1.

Tito 3:1.

2 Petro 2:12.

dry river

dry river1

ENGLISH: A RIVER WITHOUT WATER.

The source of this saying comes from the river and its water. When it rains heavily, the water accumulates to fill the river, which can make people say, the river has come. But when that water dries the river remains empty. That is why people can say ‘a river without water.’

The saying can be compared to a man who has no sense. The water in the river is likened to the mind. A river that has no water is the same as the mindless man. That is why when people see someone who has no sense, they can say, ”It’s just a river without water.’

The proverb teaches people about having knowledge about their surrounding environment. It also teaches people about love of helping others with problems, regardless of their knowledge and ability.

Galatians 3: 1.

Titus 3: 1.

2 Peter 2:12.