Sukuma Proverbs

623. NZAGAMBA YENIYI YAB´AGWA NG´HOLO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubhagwa bho ng’holo ya nzagamba. Ubhubhagwa bhunubho, kalikalile ka nzagamba yiniyo, ako kali kanyalyehu. Ukwene hugahaya giki, inzagamba yiniyo, yili ndyehu ung’widale lyayo, iyo idagaja kumadale gangi. Iyoyi igikalaga nu ng’widale lyayo duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nzagamba yeniyi yab’agwa ng’holo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga mu ndoa yakwe na ng’wiye uyo bhatunga ndoa nanghwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija umubhutumami bho milimo yakwe, ahakaya yakwe. Uweyi agahoyaga nu ng’wiye ahigulya ya katulile kasabho jabho, kugiki bhuli ng’wene wikale adebhile umojili.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzagamba iyo yab’agwa ng’holo, kunguno nuweyi adafumaga ihanze ya ndoa yakwe, umukikalile kakwe. Akikalile kakwe kenako, kagabhalanjaga abhiye inzila ja gujilanghanila chiza indoa jabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nzagamba yeniyi yab’agwa ng’holo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilanghana chiza indoa jabho, bho gwikala bhatungilija, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala kihamo bhitogilwe, umuwitoji bhobho, shigu jose.

1Wathesalonike 4:5.

Luka 16:15.

Mathayo 5:11-12.

Mathayo 5:27.

Marko 10:1-12.

KISWAHILI: FAHALI HUYU AMECHUNWA MOYO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uchunwaji wa moyo wa dume la ng’ombe. Uchunwaji huo, ni maisha ya fahali huyo ambayo ni ya upole. Ndiyo kusema kwamba, dume hilo la ng’ombe lina upole wa kuishi ndani ya zizi lake tu, bila kwenda kwenye mazizi mengine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahali huyo amechunwa moyo.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hubaki ndani ya ndoa yake bila kutoka nje, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwaminifu katika utekelezaji wa majukumu yake, katika familia yake. Yeye huongea na mwenzake wa ndoa juu ya namna ya kuzitunza mali zao, ili kila mmoja aweze kuelewa zilivyo.

Mtu huyo, hufanana na dume la ng’ombe lililochunwa moyo, kwa sababu naye hatoki nje ya ndoa yake, katika maisha yake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kuzitunza ndoa zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahali huyu amechunwa moyo.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri ndoa zao, kwa kuwa waaminifu, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo katika ndoa zao, siku zote.

1Wathesalonike 4:5.

Luka 16:15.

Mathayo 5:11-12.

Mathayo 5:27.

Marko 10:1-12.

nzagamba5

nzagamba4

african-couple

 

ENGLISH: THE HEART OF THIS BULL HAS BEEN SKINNED.

The source of this saying is the bull that does not visit other cowsheds. This is a gentle bull. When it happens that the bull remains in its own cowshed, people can describe it as its heart being skinned. That is why people came with this saying that ‘the heart of thisbull has been skinned’ to justify the gentleness of the bull.

This saying can be compared to a person who remains in his/her marriage without having extramarital relationship in his/her life. This person demonstrates his/her faithfulness to his/her partiner. Like a bull that remains in the cowshed, this person is dedicated to his/her family in such a way that he/she cannot think of anything beyond caring his/her family. Such a person teaches others about being faithful in marriage.

This saying teaches people how to take good care of their marriages by being faithful in their lives.

1Thessalonians 4: 5, Luke 16:15, Matthew 5: 11-12, Matthew 5:27, Mark 10: 1-12.

621. UDIZUBHONA JILELELA JIB´EJIWE.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile weleji bho ginhu umuminzi, na bhubhejiwa bhojo. Iginhu ijo jigelelaga muminzi jigolechaga bhubupu bhojo, kunguno iginhu ijidito jigalibhilaga. Kuyiniyo lulu, iginhu ijo jigelelaga jigolechaga bhumani bho bhubhejiwa bhojo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘udizubhona jilelela jib’ejiwe.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindoo aliyo agitaga mihayo ya wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olangwa chiza na bhabhyaji bhakwe, kunguno agatumamaga milimo ya gwambilija bhanhu bhingi, guti ni ginhu ijo jigelelaga umuminzi aliyo jili na miligo midito.

Abhanhu abhatale, bhagandalahaga kunguno ya bhudoni bhokwe, bho nduhu iguilola imilimo yakwe iyo agaitumamaga, umuwikaji bhokwe. Abhanhu bhenabho, bhadandililaga, kunguno ya gwituula giki bhamanile pye iyose kulebha uweyi.

Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agatumamaga chiza gete imilimo yakwe mpaga obhalebhya na bhiye abhatale bhenabho. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye ahigulya ya kubhalela chiza abhanhu bhanhu. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘udizubhona jilelela jib’ejiwe.’

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhanhu bhabho, na guleka nhinda ja gubhadalaha abhichabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

KISWAHILI: USIONE CHAELEA KIMEUNDWA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ueleaji cha chombo majini na kuundwa kwakwe. Chombo hicho,  kinachoelea majini, huonesha wepesi wake kwa sababu kitu kilichokizito huzama. Kwa hiyo basi, kile kinachoelea majini huonesha ufundi wa uundaji wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usione chaelea kimeundwa.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni ndogo lakini huwa anafanya kazi za kuwasaidia watu wengi, maisha mwake. Mtu huyo, alilelewa vizuri na wazazi au walezi wake, kwa sababu huwa anayatekeleza vizuri majukumu yakwe, kama chombo kile kinachoelea majini, wakati kina mizigo mingi.

Watu waliowakubwa humdharau mtu huyo, kwa sababu ya kujiona wao kuwa wanafahamu kila kitu, bila hata ya kuziangalia kazi zake anazozifanya. Watu hao, huwa hawamjali kwa sababu ya majivuno yao.

Lakini basi,  mtu huyo hufanya kazi zake vizuri, mpaka kuwazidi hata wao walio wakubwa. Maisha yake, huwafundisha wenzake, juu ya kuwalea vyema watu wao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, ‘usione chaelea kimeundwa.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wao na kuacha kiburi cha kuwadharau watu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

ferry-of zambia

bhazubhi

africans bhazubhi

 

ENGLISH: WHAT FLOATS HAS BEEN CREATED.

The source of the proverb is the floating object. The floating of an object in water communicates the skill of the one who constructed it. Therefore, its floatation in water suggests the artifact of the maker of the object. This is why people came with this proverb that ‘what floats has been created’ to communicate the artistic skills of the maker of the object and the object itself.

This proverb can be compared to a person who is considered to be less important in the society. This person, regardless of his/her less importance, can be very useful in terms of his/her ability to do his/her things in a manner that is constructive and encouraging to others. Such a person can be doing so because of the way he/she was nurtured by parents or guardians.

This proverb teaches people about how to take good care of their people and to stop despising others. It also teaches people to be careful and responsible in nurturing their kids for their future development.

Matthew 13: 31-32, Mark 6: 1-3, Isaiah 53: 2, Luke 13: 18-19, 1Corinthians 3: 1-4, Colossians 2: 9.

620. BHUGUHI IDI WITUNDE.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhuguhi bho ginhu na witunde bho munhu. Iginhu ijo jidundile jigagubhinhaga, kunguno ya wigonde bho magulu gajo. Kuyiniyo lulu, ijisumva ijo jili jiguhi jigabhizaga guti jitundile. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘bhuguhi idi witunde.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nguhi, uyo abhanhu bhagikalaga bhandalahile, umukikalile kakwe. Abhanhu bhenabho, bhaganenganijaga na munhu uyo witundile, kunguno ulu witunda agagubhinhaga. Abhoyi bhagalemaga lulu gundegeleka umunhu ng’wunuyo, kunguno ya bhuguhi bhokwe bhunubho.

Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agatumamaga chiza gete imilimo yakwe mpaga obhalebhya na bhiye abho bhali bhalihu. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye igiki, ubhuguhi bhokwe, bhudiwitunde. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘bhuguhi idi witunde.’

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja kubhadalaha abhanhu bhabho, kunguno ya bhuguhi bhobho, kugiki bhadule gwiyambilia chiza ugujibheja ikaya jabho, umukikalile kabho.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

KISWAHILI: UFUPI SIYO UCHUCHUMAAJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ufupi wa kiumbe na uchuchumaaji wake. Kiumbe kilichochuchumaa hupungua urefu na kuwa kifupi kwa sababu ya kukunjika kwa miguu yake. Kwa hiyo basi, kiumbe hicho kilicho kifupi, huwa kama kile kilichochuchumaa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ufupi siyo uchuchumaaji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu mfupi yule ambaye watu humdharau, katika maisha yake. Watu hao, humlinganisha yeye na mtu aliyechuchumaa, kwa sababu mtu akichuchumaa hupungua urefu. Wao hukataa hata kumsikiliza kwa sababu ya ufupi wake.

Lakini basi,  mtu huyo hufanya kazi zake vizuri, mpaka kuwazidi hata wale ambao ni warefu. Maisha yake, huwafundisha wenzake kwamba, ufupi wa kimo chake siyo uchuchumaaji. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, ‘ufupi siyo uchuchumaaji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuwadharau watu wao kwa sababu ya ufupi wao, ili waweze kusaidiana vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

bhulisha bho nhiga

njinja

lesotho nkima

 

ENGLISH: SHORTNESS DOESN NOT MEAN SQUATTING.

The source of this saying is the relationship between being short and squatting. A squatting person will always appear to be short in his/her body height. This is why short people will always defend themselves by showing that being short is something natural; it has nothing to do with squatting. To defend their position, they came with the saying that ‘shortness does not mean squatting.’

This saying can be compared to a short person who is despised by other people because of his/her body height. Such a person is compared to a squatting person thus embarrassing him/her. This short person can be hated and not listened to when he/she says something in public. Because of neglect, this short person can spend much of his/her time working on his/her stuff for personal development.

This saying teaches people to break stereotypical feelings about others. They have to respect others regardless of their abilities; short/tall, poor/rich, black/white, etc.

Matthew 13: 31-32, Mark 6: 1-3, Isaiah 53: 2, Luke 13: 18-19, 1Corinthians 3: 1-4, Colossians 2: 9.

619. BHUDO BHUDO BHUTIBHUB´AGE.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile bhudoo bho ginhi nu ubhub’agi bho ginhu. Iginhu ijo jibhagile jigadohaga, kunguno indili yajo iginjiyagwa yasaga nyama duhu. Kwa hiyo lulu, ijisumva ijo jili na mili ndoo jigabhizaga guti jibhagile. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘bhudo bhudo bhutibhub’age.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na mili ndololo, uyo abhanhu bhagikalaga bhandalahile, umukikalile kakwe. Abhanhu bhenabho, bhaganenganijaga na ginhu ijo jibhagile, kunguno ulu jubhagwa jigadohaga. Abhoyi bhagalemaga lulu gundegeleka ung’wichabho, kunguno ya bhudoo bho mili gokwe.

Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agatumamaga chiza imilimo yakwe mpaga obhalebhya na bhiye abho bhalina  mimili mitale. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye igiki, ubhudoo bho mili gokwe, bhutibhoginhu ijo jibhagilwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, ‘bhudo bhudo bhutibhub’age.’

Usulumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja kubhadalaha abhanhu bhabho, kunguno ya mimili yabho gubhiza midololo, kugiki bhadule gwikala bho gwiyambilia chiza ugujibheja ikaya jabho, umukikalile kabho.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

KISWAHILI: KIDOGO SI KILICHOCHUNWA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia udogo wa kiumbe na uchunagi wake. Kiumbe kilichochungwa hupungua umbo na kuwa dogo, kwa sababu ndozi yake huondolewa na kubaki nyama tu. Kwa hiyo basi, kiumbe chenye mwili mdogo huwa kama kiumbe kilichochunwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kidogo si kilichochunwa.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu mwenye mwili mdogo ambaye watu humdharau, katika maisha yake. Watu hao, humlinganisha na kitu kilichochunwa kwa sababu, kitu hicho kikichunwa hupungua ukubwa wake. Wao hukataa hata kumsikiliza kwa sababu ya umbo lake hilo, kuwa dogo.

Lakini mtu huyo, hufanya kazi zake vizuri, mpaka kuwazidi hata wale wenye miili mikubwa. Maisha yake, huwafundisha wenzake kwamba, udogo wa mwili wake, siyo wa kitu kilichochunwa. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, ‘kidogo si kilichochunwa.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwadharau watu wao kwa sababu ya miili yao kuwa midogo, ili waweze kuishi kwa kusaidiana vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.

Mathayo 13:31-32.

Marko 6:1-3.

Isaya 53:2. Luka 13:18-19.

1 Wakorintho 3:1-4.

Wakolosai 2:9.

heshima

heshima1

bhakima bhatumami

 

ENGLISH: HE/SHE WHO IS THIN DOES NOT MEAN THAT HE/SHE IS SKINNED.

The source of this proverb is an animal that appears to be small in size or thin in nature. Since an animal that has been skinned appears to be small in size, even an animal that is thin in nature can be associated with being skinned. That is why people came with this proverb that ‘He who is thin does not mean that he is skinned’ to show how nature can shape people.

This proverb can be compared to a thin person who is looked down upon by people around him/her. They consider his/her body size as an indication of being incapable or inferior thus undermined in whatever he/she wants to do in the society. Such a thin person is likely not to be listened to. In return, this person can be very potential in the society and can use this stereotype to develop himself/herself without any interference.

The proverb teaches people about giving up the habit of despising their fellow human beings just because of having different body sizes. By not despising them it means that they are creating a society that respects human beings and encourages peace and harmony.

Matthew 13: 31-32, Mark 6: 1-3, Isaiah 53: 2, Luke 13: 18-19, 1Corinthians 3: 1-4, Colossians 2: 9.

609. GAB’I MIFA MAKOYE GALIHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile mifa na makoye. Amifa genayo, jili ginhu ijo jigachimaga bhanhu nulu ndimu. Ubhuching’wa bho mifa bhunubho, ha makoye ayo gagenghangwa na mifa genayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gab’i mifa makoye galiho.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aha gwandya uli na nh’hungwa jawiza, uguhaimanila obhi na nh’ungwa ja bhub’i. Umunhu ng’wunuyo, adulile gupandika makoye aha shigu ijaha bhutongi, kunguno ya ng’hungwa jakwe ija bhub’i jinijo.

Iyabhub’i iyo agaitaga yiniyo, yilikihamo nu bhushiya, wib’i, ni yingi iyo ikolile ni yiniyo. Iyabhubhi yiniyo, ikolile na mifa, kunguno nago gagenhaga makoye bho gubhachima abhanhu, guti numo igabhaminijaga iyabhubhi yiniyo abhiye.

Umunhu ng’wunuyo, agabhenhelaga makoye abhanhu abho agikalaga nabho, bho gubhitilila imihayo iya bhub’i yiniyo. Inhungwa ijabhubhi jinijo, jigenhaga makoye ukuli munhu ng’wunuyo, kunguno adulile nulu guding’wa utulwa nulu gutungwa. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘gab’i mifa makoye galiho.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa jabhubhi, bho gubhitila mihayo ya wiza abhichabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Ezekieli 18:21-24.

Ezekieli 18:27.

Yeremia 18:10-12.

Yeremia 26:3.

Ezekieli 18:27-28.

Ezekieli 18:30.

Ezekieli 18:32.

Luka 11:39.

Waroma 1:18.

KISWAHILI: YAMEKUWA MIIBA MATATIZO YAPO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia miba na matatizo. Miba hiyo ni vitu vinavyochoma watu au wanyama. Uchomaji huo wa miiba, ndiyo matatizo ambayo huletwa na miiba hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘yamekuwa miiba matatizo yapo.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye mwanzoni alikuwa na tabia njema, kushtukia ikageuka na kuwa mbaya. Mtu huyo, aweza kupata matatizo katika maisha yake,  kwenye siku za mbeleni, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya.

Ubaya wa tabia yake, huonekana kwenye matendo mbalimbali yakiwemo yale ya uzinzi, wizi, na mengine ambayo yanaweza kumletea matatizo mtu huyo. Matendo hayo, hufanana na miiba inayoumiza watu, kwa sababu nayo huwaumiza wale aliowatendea ubaya huo.

Mtu huyo, huwaletea matatizo watu wale wanaoishi nao, kwa kuwatendea uovu huo. Uovu huo pia huweza kumletea matatizo hata yeye aliyeutenda yakiwemo yale ya kupigwa na wale aliowatendea uovu huo, na kufungwa jera. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘yamekuwa miiba matatizo yapo.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda uovu, badala yake, watende wema, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na watu wao, katika maisha yao.

Ezekieli 18:21-24.

Ezekieli 18:27.

Yeremia 18:10-12.

Yeremia 26:3.

Ezekieli 18:27-28.

Ezekieli 18:30.

Ezekieli 18:32.

Luka 11:39.

Waroma 1:18.

mifa2

mifa

 

ENGLISH: PROBLEMS ARE LIKE THORNS.

The source of this saying is probem and how it can affect an individual person. Problems are considered to be bitter. They make people feel the same way one can feel after being pierced with a thorn. To describe this relationship between problems and how they pinch people, one can use a saying that ‘Problems are like thorns.’

This saying can be compared to a person who happened to be a good person but challenges in life have made him/her appear as a bad person because of being teared apart by problems. This person can turn to be fornicator, thief and other misconducts that can pierce this person to the extent of making him/her feel pain in his/her mind.

This saying teaches people to stop doing bad things instead, do good things in their lives so that they can live in peace with their people.

Ezekiel 18: 21-24,Ezekiel 18:27, Jeremiah 18: 10-12, Jeremiah 26: 3,Ezekiel 18: 27-28,Ezekiel 18:30

Ezekiel 18:32,Luke 11:39, Romans 1:18.