Sukuma Proverbs

665. NULU UGABHELA NO BHADUGUTOGWA BHOSE.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile wikaji bho wiza na bhanhu. Uwikaji bhunubho, bhuli bho ng’wa munhu uyo ali na nhungwa jawiza, uyo bhadantogagwa abha nhungwa jabhubhi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nulu ugabhela no bhadugutogwa bhose.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho gujikalana inhungwa ijawiza, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile uguita iyawiza ukubhiye, bho bhutogwa ubho bhuli bho nghana umu ng’holo yakwe. Uweyi agiyumilijaga uguitumama imilimo yakwe bho wigulambija bhutale, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gwikala na bhanhu chiza ukubhiye, kunguno ya kikalile kakwe kenako, ako kagolechaga wiyumilija ahikanza lya gubyedwa na bhanhu abho bhali nhungwa ja bhubhi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nulu ugabhela no bhadugutogwa bhose.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gujikalana inhungwa ijawiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo agagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali (Hekima) 2:1ª, 12-22.

KISWAHILI: HATA UKIWA MZURI MNO HAWATAKUPENDA WOTE.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia namna ya kuishi vyema na watu. Maisha hayo, ni ya mtu mwenye tabia njema, ambaye watu walio na tabia mbaya humchukia, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘hata ukiwa mzuri mno hawakakupenda wote.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na uvumilivu wa kuyaishi maadili yaliyomema, maishani mwake. Mtu huyo, anafahamu kutenda wema unaotoka ndani ya moyo wake ambao una upendo wa kweli. Yeye huvumilia katika utekelezaji wa majukumu yake, ambayo huyakamilisha kwa bidii kubwa, katika maisha yake.

Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya mwenendo wake ambao huonesha uvumilivu wakati anapodharauliwa na watu walio na nia mbaya. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘hata ukiwa mzuri mno hawakakupenda wote.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuendelea kuyaishi maadili yaliyo mema, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Mithali (Hekima) 2:1ª, 12-22.

good people

good people.jpg1

good people.jpg2

 

ENGLISH: YOUR BEAUTY DOES NOT MEAN TO BE LOVED BY ALL PEOPLE.

The source of this saying is the way to live with people. Under normal circumstances in life, good people tend to be hated by the bad ones. This is why people came with this saying that ‘your beauty does not mean to be loved by all people.’

This saying can be compared to a person who has the patience to live the good values ​​in his/her life. This person knows how to do good things from his/her heart. Such a person can tend to complete his/her tasks within the given time. In so doing, these people become role models to others who would wish to be the same as them. In contrast, the bad ones will hate them and do whatever means possible to blackmail them.

This saying teaches people to have the patience to continue living the right values in their lives. In doing so they can become very successful in improving their families in their lives.

Proverbs (Wisdom) 2: 1ª, 12-22.

664. KUBHELA KUBHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubheja bho ginhu kubhanhu bhalebhe. Ubhubheja bhunubho, bhuli bho kulwande lobho duhu, kunguno abhoyi bhahayile giki, imisoga ibhize kubhoyi duhu, abhangi bhayigayilwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki bha ‘kubhela kubho.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhahayile bhapandike bhoyi duhu, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhalina wilu bhogutumama milimo yabho iyo idulile gubhambilija ugupandika matwajo mengi abhoyi, kunguno bhadatogilwe igiki bhagapandike, abhichabho. Abhoyi ulubhigwa giki bhapandikaga ginhu jawiza abhichabho, bhagakolagwa, kunguno ya wilu bhobho bhunubho.

Abhanhu bhenabho, bhiyikolile nabho bhahayile giki, bhabheje bhoyi duhu, kunguno nabhoyi bhagakolagwa ulu bhapandika jawiza abhichabho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagabhalanjaga bhugugu abhanhu bhabho, kunguno ya wilu bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki bhatogilwe ‘kubhela kubho.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka wilu bho gubhadakila abhichabho abho bhapandikaga jawiza, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umukikalile kabho.

Luka 18:10-11.

Zaburi 73:1-4.

KISWAHILI: BORA KWAO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia utengenezaji wa kitu kwa watu fulani. Utengenezaji huo, ni wa upande wao tu, kwa sababu wao wanataka mafanikio mengi yawe kwao, na wengine wayakose. Ndiyo maana watu hao hutaka hali iwe ‘bora kwao.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hutaka wapate wao tu, katika maisha yao. Watu hao, wana wivu wa kufanya kazi zile zinazoweza kuwasaidia kupata mafanikio wao, kwa sababu wao hawapendi wenzao, wafanikiwe. Hivyo wao wakisikia kwamba, wenzao wamepata mafanikio, huchukia mioyoni mwao, kutokana na wivu huo walio nao.

Watu hao, hufanana na wale watakao kupata mafanikio mengi wao tu, kwa sababu nao huchukia wanapofanikio wenzao, katika maisha yao. Wao huwafundisha watu wao kuwa na wivu huo, kwa sababu ya mifano yao wanayowaonesha. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba wao hutaka hali iwe ‘bora kwao.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha wivu wa kuwachukia wenzao wanaopata mafanikio, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao hao, maishani mwao.

Luka 18:10-11.

Zaburi 73:1-4.

egoism

selfish ones

selfish ones.jpg2ENGLISH: THE BEST IS FOR THEM.

The source of this saying is the production of a certain product to be used by a certain group of people. Those people would like to have that product for their own use because they want more success in life. This is why people can describe individuals with such a behaviour using the saying that ‘the best is for them.’

The saying can be compared to those people who want something for their own benefits without considering others. Those people are envious of doing tasks that can help them to achieve their success. In case they hear others to have achieved in their lives, they hate them out of jelous. They therefore teach people to be jelous in life.

This saying teaches people to give up the behaviour of being jelous rather they have to respect other peoples’ achievements and use them as challenges for their struggle in life.

Luke 18: 10-11. Psalm 73: 1-4.

663. WINGI BHO MIHAYO BHUDABHEJAGA KAYA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kuwingi bho mihayo aha bhanhu bha hakaya ndebhe. Uwingi bho mihayo bhunubho, bhuli bho guduma ugwidegeleka chiza, kunguno bhuli ng’wene, agamagana uyomba mhayo gokwe. Imihayo yiniyo igabhejaga yombo ya guduma ugwiigwa chiza aha kaya yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagikalaga bhuyoga aha kaya yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagituulaga bhumani bho bhuli ng’wene gulema ugwiigwa imihayo ya bhiye, kunguno ya guhaya adegelekwe weyi duhu. Abhoyi bhagadumaga nulu gutumama kihamo imilimo yabho, kunguno ya gubhiza bhuli ng’wene na nimo gokwe, uyo aligubhona gusoga, umumiganiko gakwe. Ikaya yiniyo nose igasalambanaga, kunguno ya bhuyogi bhunubho ubho guduma nulu gwiigwa.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanhu abho bhali na mihayo mingi aha kaya yabho, kunguno nabho bhali na mihayo mingi, iyo igabhenhelejaga guyoga aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwizunilija gutumama milimo yabho kihamo, kugiki bhadule gujibheja chiza kaya jabho, umukikalile kabho.

Daniel 3:8-18.

1 Wakorintho 13:1-8.

Zaburi 46:10.

Yohana 6:1-5.

Yakobo 1:19.

Mathayo 7:21.

Mathayo 11:28.

Yakobo 2:14.

Mathayo 28:20.

KISWAHILI: WINGI WA MANENO HAUTENGENEZI MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye wingi wa maneno ya watu walioko kwenye familia fulani. Wingi huo wa maneno ni wa kushindwa kusikilizana kwa sababu ya kila mmoja kuendelea kuongea neno lake. Maneno hayo huleta kelele ya kushindwa kuelewana vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwa wanazozana kila wakati kwenye familia yao, katika maisha yao. Watu hao, hujitia kujua zaidi kila mmoja kwa kukataa kuwasikiliza wenzake, kwa sababu ya kutaka asikilizwe yeye tu.

Wao hushindwa hata kufanya kazi kwa ushirikiano, kwa sababu ya kujikuta kila mmoja ana kazi yake mwenyewe, ambayo huiona kuwa ni ya maana kuliko zile wanazofanya wenzake. Mwishowe, familia hiyo husambalatika kwa sababu ya kelele hizo za kushindwa kuelewana.

Watu hao, hufanana na wale wenye maneno mengi kwenye familia yao, kwa sababu nao hawa, wana maneno mengi, ambayo husababisha wao kuzozana kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kukubaliana kufanya kazi kwa umoja, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Daniel 3:8-18.

1 Wakorintho 13:1-8.

Zaburi 46:10.

Yohana 6:1-5.

Yakobo 1:19.

Mathayo 7:21.

Mathayo 11:28.

Yakobo 2:14.

Mathayo 28:20.

bhakima wa africa

zulu-youths war dance

ugulilu

 

ENGLISH: TOO MUCH WORDS DO NOT BUILD A FAMILY.

The source of this proverb is too much words that come from a certain family. When people in a family speak too much it becomes not easy to listern or understand each other. It rather leads to misunderstanding. People can describe this scenario using the proverb that ‘too much words do not build a family.’

This proverb can be compared to those people who are constantly in conflict in their families. Such people tend not to listern to others but to be listerned. They also fail to work together because each one of them will tend underrate the other’s work and consider his/hers to be more important than others. Eventualy, a family of this nature can easily disintegrate because of failing to have common goals. Some of them will appear to be more wordy and force to silence others.

This proverb teaches people about harmony by agreeing to work together. This can enable them to have success in life and take good care of their families.

Daniel 3: 8-18. 1 Corinthians 13: 1-8. Psalm 46:10. John 6: 1-5. James 1:19. Matthew 7:21. Matthew 11:28. James 2:14. Matthew 28:20.

661. WENE BUHOMO BHO NAMHALA BHUDAB´EJAGA KAYA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuhomo bho namhala oha kaya ndebhe. Uhomo bhunubho bhuli bho bhugayiwa  amasala ayo gadulile gumwambilija uguibheja ikaya yakwe, unamhala ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejaga kaya.’

 Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agiiganikaga weyi duhu bhung’wene, kunguno ya masala gakwe ayo gadadulile uguilanghana chiza ikaya yakwe. Uweyi nulu agapandika sabho agajimalilaga mugujing’wela walwa, lakini kaya yakwe adina jiliwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu bhuhomo, kunguno nuweyi agajikenagulaga sagala isabho jabho, bho nduhu uguidilila ikaya yakwe. Uweyi adadebhile ugubhalanga akikalile akawiza abhanhu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejega kaya.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na masala gagujilanghana ikaya yabho, bho gujitumila chiza isabho jabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

KISWAHILI: HUYO NI PUNGUANI WA MZEE HATENGENEZI MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia upunguani wa mzee wa familia fulani. Upunguani huo, ni wa kukosa akili ya kuweza kumsaidia mzee huyo katika kuijenga vizuri familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huziharibu hovyo mali zake, maishani mwake. Mtu huyo, hujifikiria yeye mwenyewe tu, badala ya kuwafikiria watu wake, kwa sababu ya akili yake isiyoweza kuitunza familia yake hiyo. Yeye akipata mali, huzimalizia kwenye matumizi ya hovyo, yakiwemo yale ya kuzinywea pombe, badala ya kuisaidia familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na upunguani wa mzee, kwa sababu naye huziharibu hovyo mali zake, bila kuijali familia  yake hiyo. Yeye hafahamu kuifundisha familia yake mwenendo ulio mwema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuzilinda familia zao, kwa kuzitumia mali zao katika kuzitunza vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia hizo, maishani mwao.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

mhini

basketball

man-traditional one

ENGLISH: THAT’S STUPIDITY OF AN OLD MAN WHICH DOESN’T BUILD A FAMILY

The source of this saying is an old man who appears to be idiot. This makes the old man fail to take control of his family. To describe such an old man, people came with the saying that ‘that’s stupidity of an old man which doesn’t build a family.’

The saying can be compared to a person who wastes his property in his/her life. One can be thinking about himself/herself with no consideration of others who might be, in one way or the other, helpful to him/her in future. If such people get wealth they recklessly spend them, for example, through drinking alcohol and other unplanned uses instead of helping their families. In so doing, they set a bad example to their children thus destroying their future.

The saying teaches people about having the mind to protect their families. People need to use the available resources in order to take good care of their families.

Jeremiah 4:22. Ecclesiastes 10: 3. James 1: 4. James 1: 5.

658. NGOSHA NG´WIYO ADUGUB´EGEJA KAYA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubheja bho ngosha aha kaya yakwe. Ubhubheja bhunubho, bhuli bho gutumama milimo iyo idulile guyibheja chiza ikaya yiniyo, kunguno uweyi atiho gubhegejiwa ikaya yakwe na ngosha oha bhuzenganwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalindilaga gwambilija na bhanhu bha kungi, uguyibheja ikaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gulomba wambilijiwa bho guitumama imilimo iyo adulile guimala nulu weyi ying’wene. Uweyi adadebhile igiki bhuli ng’wene ali na milimo ya guitumama aha ng’wakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya gwisagilwa bhanhu bhahabhuzengangwa, giki bhagung’wambilija uguitumama imilimo yakwe yiniyo.

Uweyi agimanilaga amakanza agamilimo gamalaga gubhita, kunguno ya bhulindikiji bho gwambilijiwa uguitumama imilimo iyo nuweyi ayidulile uguimala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ngosha ng’wiyo adugub’egeja kaya.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija uguitumama imilimo yabho iyo bhayidulile, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

KISWAHILI: MWANAMUME MWENZAKO HATAKUTENGENEZEA MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uendelezaji wa mwanamume katika familia yake. Uendelezaji huo, ni wa kuyatekeleza majukumu yake, bila kusubiri kusaidiwa na ng’wingine kwenye kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzifanya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mwanamume mwenzako hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye husubiri kusaidiwa na watu wengine katika kufanya kazi zile ambazo hata yeye mwenyewe anaweza kuzitekeleza, maishani mwake. Mtu huyo, hupenda kuomba msaada wa kusaidiwa kutoka kwa wenzake, hata kwenye majukumu yale anayoyaweza kuyamaliza mwenyewe. Yeye hafahamu kwamba, kila mmoja ana majukumu ya kufanya kwenye familia yake.

Mtu huyo, hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake, kwa sababu ya kutegemea msaada wa majirani au watu wengine, katika kuzitekeleza kazi anazoziweza hata kuzimaliza yeye peke yake.

Yeye hushitukia muda wa kufanya kazi umepita bila kufanya kazi yoyote, kwa sababu ya kutegemea majirani wamfanyie kazi alizo nauwezo nazo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mwanamume mwenzako, hatakutengenezea mji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zile wanazoziweza, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 34:10.

Ezekieli 34: 15.

Wagalatia 6:5.

Mathayo 7:13-14.

man-ng'wiyo

man ng'wiyo2

man ng'wiyo1

ENGLISH: YOUR FELLOW MAN WILL NEVER BUILD YOUR FAMILY.

The source of this proverb is a man who struggles to build his own family. This man can be dedicated to carry out his duties in a manner that makes his family get enough food for their survival. He struggles to be self-sufficient in life and avoid to depend on others because he knows that ‘your fellow man will never build your family.’

This proverb can be compared to a person who is waiting to be helped by others in doing his work, even those works which he can do by himself. Such people depend on others as they can beg in order to sustain their lives and those of their family members. People of this nature need to be warned against this behaviour because it can cause chaos to their neighbours. They need to understand that each individual person has his/her own responsibilities.

The proverb teaches people to be self-sufficient by working hard. They don’t have to depend on others. If they work hard to sustain their families they would be in a better position of nurturing their families in a very promising manner.

Ezekiel 34:10. Ezekiel 34:15. Galatians 6: 5. Matthew 7: 13-14.