Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kuwingi bho mihayo aha bhanhu bha hakaya ndebhe. Uwingi bho mihayo bhunubho, bhuli bho guduma ugwidegeleka chiza, kunguno bhuli ng’wene, agamagana uyomba mhayo gokwe. Imihayo yiniyo igabhejaga yombo ya guduma ugwiigwa chiza aha kaya yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagikalaga bhuyoga aha kaya yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagituulaga bhumani bho bhuli ng’wene gulema ugwiigwa imihayo ya bhiye, kunguno ya guhaya adegelekwe weyi duhu. Abhoyi bhagadumaga nulu gutumama kihamo imilimo yabho, kunguno ya gubhiza bhuli ng’wene na nimo gokwe, uyo aligubhona gusoga, umumiganiko gakwe. Ikaya yiniyo nose igasalambanaga, kunguno ya bhuyogi bhunubho ubho guduma nulu gwiigwa.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanhu abho bhali na mihayo mingi aha kaya yabho, kunguno nabho bhali na mihayo mingi, iyo igabhenhelejaga guyoga aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwizunilija gutumama milimo yabho kihamo, kugiki bhadule gujibheja chiza kaya jabho, umukikalile kabho.
Daniel 3:8-18.
1 Wakorintho 13:1-8.
Zaburi 46:10.
Yohana 6:1-5.
Yakobo 1:19.
Mathayo 7:21.
Mathayo 11:28.
Yakobo 2:14.
Mathayo 28:20.
KISWAHILI: WINGI WA MANENO HAUTENGENEZI MJI.
Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye wingi wa maneno ya watu walioko kwenye familia fulani. Wingi huo wa maneno ni wa kushindwa kusikilizana kwa sababu ya kila mmoja kuendelea kuongea neno lake. Maneno hayo huleta kelele ya kushindwa kuelewana vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwa wanazozana kila wakati kwenye familia yao, katika maisha yao. Watu hao, hujitia kujua zaidi kila mmoja kwa kukataa kuwasikiliza wenzake, kwa sababu ya kutaka asikilizwe yeye tu.
Wao hushindwa hata kufanya kazi kwa ushirikiano, kwa sababu ya kujikuta kila mmoja ana kazi yake mwenyewe, ambayo huiona kuwa ni ya maana kuliko zile wanazofanya wenzake. Mwishowe, familia hiyo husambalatika kwa sababu ya kelele hizo za kushindwa kuelewana.
Watu hao, hufanana na wale wenye maneno mengi kwenye familia yao, kwa sababu nao hawa, wana maneno mengi, ambayo husababisha wao kuzozana kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kukubaliana kufanya kazi kwa umoja, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Daniel 3:8-18.
1 Wakorintho 13:1-8.
Zaburi 46:10.
Yohana 6:1-5.
Yakobo 1:19.
Mathayo 7:21.
Mathayo 11:28.
Yakobo 2:14.
Mathayo 28:20.
ENGLISH: TOO MUCH WORDS DO NOT BUILD A FAMILY.
The source of this proverb is too much words that come from a certain family. When people in a family speak too much it becomes not easy to listern or understand each other. It rather leads to misunderstanding. People can describe this scenario using the proverb that ‘too much words do not build a family.’
This proverb can be compared to those people who are constantly in conflict in their families. Such people tend not to listern to others but to be listerned. They also fail to work together because each one of them will tend underrate the other’s work and consider his/hers to be more important than others. Eventualy, a family of this nature can easily disintegrate because of failing to have common goals. Some of them will appear to be more wordy and force to silence others.
This proverb teaches people about harmony by agreeing to work together. This can enable them to have success in life and take good care of their families.
Daniel 3: 8-18. 1 Corinthians 13: 1-8. Psalm 46:10. John 6: 1-5. James 1:19. Matthew 7:21. Matthew 11:28. James 2:14. Matthew 28:20.