Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile wikaji bho wiza na bhanhu. Uwikaji bhunubho, bhuli bho ng’wa munhu uyo ali na nhungwa jawiza, uyo bhadantogagwa abha nhungwa jabhubhi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nulu ugabhela no bhadugutogwa bhose.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho gujikalana inhungwa ijawiza, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile uguita iyawiza ukubhiye, bho bhutogwa ubho bhuli bho nghana umu ng’holo yakwe. Uweyi agiyumilijaga uguitumama imilimo yakwe bho wigulambija bhutale, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gwikala na bhanhu chiza ukubhiye, kunguno ya kikalile kakwe kenako, ako kagolechaga wiyumilija ahikanza lya gubyedwa na bhanhu abho bhali nhungwa ja bhubhi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nulu ugabhela no bhadugutogwa bhose.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gujikalana inhungwa ijawiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo agagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mithali (Hekima) 2:1ª, 12-22.
KISWAHILI: HATA UKIWA MZURI MNO HAWATAKUPENDA WOTE.
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia namna ya kuishi vyema na watu. Maisha hayo, ni ya mtu mwenye tabia njema, ambaye watu walio na tabia mbaya humchukia, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘hata ukiwa mzuri mno hawakakupenda wote.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na uvumilivu wa kuyaishi maadili yaliyomema, maishani mwake. Mtu huyo, anafahamu kutenda wema unaotoka ndani ya moyo wake ambao una upendo wa kweli. Yeye huvumilia katika utekelezaji wa majukumu yake, ambayo huyakamilisha kwa bidii kubwa, katika maisha yake.
Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya mwenendo wake ambao huonesha uvumilivu wakati anapodharauliwa na watu walio na nia mbaya. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘hata ukiwa mzuri mno hawakakupenda wote.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuendelea kuyaishi maadili yaliyo mema, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.
Mithali (Hekima) 2:1ª, 12-22.
ENGLISH: YOUR BEAUTY DOES NOT MEAN TO BE LOVED BY ALL PEOPLE.
The source of this saying is the way to live with people. Under normal circumstances in life, good people tend to be hated by the bad ones. This is why people came with this saying that ‘your beauty does not mean to be loved by all people.’
This saying can be compared to a person who has the patience to live the good values in his/her life. This person knows how to do good things from his/her heart. Such a person can tend to complete his/her tasks within the given time. In so doing, these people become role models to others who would wish to be the same as them. In contrast, the bad ones will hate them and do whatever means possible to blackmail them.
This saying teaches people to have the patience to continue living the right values in their lives. In doing so they can become very successful in improving their families in their lives.
Proverbs (Wisdom) 2: 1ª, 12-22.