715. WATULILA NGOSO HA LUNO.

“Ulusumo lunulu lugatumikaga kuli munhu uyo omanila gwita ya bhubhi. Nose agasanganijiyagwa ahikanza alijita ijito jinijo bho gwifumbukijiwa. Dugemele: guti munhu nhebhe uyo omanila gushiya na nkima o ng’wiye bho mbisira, nose agasanganijiyagwa na gutulwa haho bhulili bho ng’wiye.

Umunhu ng’wunuyu ali guti ngoso iyo yamanila gung’wa minzi mu nnengelo ya minzi bho mbisira, aliyo nose igasanganijiyagwa na gutulilwa haho nnengelo ya minzi.”  Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ‘watulila ngoso ha luno.’ Lolaka Kugundua Mbegu za Injili, bhukurasa 79.

Ijitabho jinijo jigandikwa na Kamati ya Utafiti wa Utamaduni Bujora, ijojigahaririwa na bhakengeji bha: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na guchapishiwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Ingoso ili nhali ugung’wa aminzi umu nnengelo ya minzi aliyo igogohaga ugusanganijiwa na gutulwa. Giko nu munhu uyo agashiyaga ali nkali noyi ugwita ijito jakwe, aliyo agogohaga ugusanganijiwa na gutulwa na bhanhu.

Amiito gise gose na miganiko gise gose UMulungu agadebhile na agagabhonaga. Ahikanza ingoso iling’wa mingi, uMulungu agaibhonaga. Ahikanza ubhebhe ulita yabhubhi uMulungu agagubhonaga.

Ni bhuli duli na bhobha bho gubhonwa na bhanhu, aliyo dudogohaga ugubhonwa nu Mulungu? Ni bhuli duli bhakali ugubhinza amalagilo ga ng’wa Mulungu, aliyo dulogoha gulogwa na gucha? Ilihambo hambo ugucha kukila ugubhubhinza ubhulumani nu Mulungu.” Lolaga Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 80.

Zaburi 139:1-2.

Zaburi 139:11-12.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

KISWAHILI: UMEMPIGIA PANYA KWENYE MTUNGI WA MAJI.

“Methali hii hutumika kwa mtu aliyezoea kutenda kitendo kibaya. Hatimaye wakati anapotenda kitendo kile hufumaniwa kwa ghafla. Kwa mfano: mtu fulani aliyezoea kuzini na mke wa mwenzake kwa siri, hatimaye hufumaniwa na kupigwa pale pale kwenye kitanda cha mwenzake.

Mtu huyu ni kama panya aliyezoea kunywa maji kwenye mtungi kwa siri, lakini hatimanye hubainika na kupigwa pale pale kwenye mtungi wa maji.” Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umempigia panya kwenye mtungi wa Maji.’ Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 79.

Kitabu hicho, kiliandikwa na Kamati ya Utafiti wa utamaduni Bujora, kilichohaririwa na watafiti: Padri Donald Sybertz, M.M., na Padri Joseph Healey M.M., na kuchapishwa na Benedictine Pubhications Ndanda – Peramiho, 1993.

“Panya ni mkali kunywa maji kwenye mtungi wa maji lakini huogopa kufumaniwa na kupigwa. Vile vile mtu mwenye kuzini ni mkali mno kutenda kitendo chake, lakini huogopa kufumaniwa na kupigwa na watu.

Matendo yetu yote na mawazo yetu yote Mungu anayahamu na huyaona. Ikiwa panya anakunywa maji, Mungu anaona. Ikiwa wewe unatenda vibaya, Mungu anaona.

Kwa nini tuna hofu ya kuonwa na watu, bali hatuogopi kuonwa na Mungu? Kwa nini tu wakali kuvunja amri za Mungu, lakini tunaogopa kurogwa na kufa. Afadhali kufa kuliko kuvunja uhusiano na Mungu.” Rejea Kugundua Mbegu za Injili, ukurasa 80.

Zaburi 139:1-2. “Ee BWANA, umenichunguza na kunijua. Unajua ninapoketi na ninapoinuka, unatambua mawazo yangu tokea mbali.”

Zaburi 139:11-12. “Kama nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,’’ hata giza halitakuwa giza kwako, usiku utang’aa kama mchana, kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.’’”

Luka 12:5. “Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: ‘‘Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia mwogopeni huyo!”

1Wakorintho 4:5. “Kwa hiyo msihukumu jambo lo lote kabla ya wakati wake, ngojeni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.”

rats nutria

rat water-rat

 

ENGLISH: YOU HAVE BEATEN A RAT AT THE WATER POT.

This saying comes from a person used to do wrong things. One day, while doing those evil things secretly, he was caught red-handed. These evils can be having sex with someone’s wife. This person caught red-handed while, for example, having sex with someone’s wife, is likened to a rat that drinks water from the pot and is afraid of being caught. This is why people came with the saying that ‘You have beaten a rat at the water pot’ (Refer to Kugundua Mbegu za Injili, which means ‘Discovering the Seed of the Gospel,’ page 79). This book was written by the Bujora Cultural Research Committee, edited by researchers: Fr. Donald Sybertz, M.M., and Fr. Joseph Healey M.M., and published by Benedictine Publications, Ndanda – Peramiho, 1993.

The rat is always bold when it drinks water from the pot but it also fears from being caught by the owner of the pot and water. Similarly, the person who commits adultery can appear to be very audacious when doing it, but he also fears from being caught in sexual relationship with someone’s wife.

All our actions and all our thoughts God knows and sees. If a rat is drinking water, God sees. If you do wrong things, God sees.

Why are we afraid of being seen by men, but not afraid of being seen by God? Why are people so bold to break God’s commandments, yet they fear being beaten to death? It would be better to die than to break up with God (See ‘Discovering Gospel Seeds,’ page 80).

Psalm 139: 1-2. Psalm 139: 11-12. Luke 12: 5. 1 Corinthians 4: 5.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.