Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhugaiwa bho lulasi bho bhanang’weli. Ulusi lunulo, bhuli wiyumilija bho gudula gugamala chiza amakoye ulu gigelaga.
Kuyiniyo lulu, abhanang’weli bhenabho, bhali bhanhu abho b’adi na wiyumilija umubhuli mhayo gwene. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhanang’weli bhadi na lulasi.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adumilile ugwiyumilija ulu opandikaga makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaminyikaga umo moyo gokwe, ulu opandikaga nulu ikoye idoo duhu, kunguno ya gubhiza adimpanuku umu moyo gokwe.
Uweyi adulile nulu guduma gulya jiliwa, kunguno ya gugwigwa mhayo ndoo, uyo uganyanjaga guti na bhanang’weli abho hadina wiyumilija nulu hadoo, umumayange gabho.
Umunhu ng’wunuyo, agongejaga makoye agagunhanghana ukubhiye, ulu gigelaga manyange, umuwikaji bhobho. Abhanhu abho agikalaga nabho, bhagang’wilaga giki wiyumilije, kugiki oye ugubhayanja abhiye, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, ‘bhanang’weli bhadi na lulasi.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bhutale ulu bhapandikaga mayange, umukikalile kabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
1Wakorintho 10:13.
Matendo 26:3.
Wakorintho 6:6.
KISWAHILI: WATU WA MAGHARIBI HAWANA UVUMILIVU.
Chanzo cha msemo huo, chaangalia kukosa kwa uvumilivu kwa watu wa magharibi. Watu hao hawana uvumilivu wa kuwawezesha kuyamaliza vizuri matatizo wanayoyapata hata kama yatakuwa madogo kiasi gani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu wa magharibi hawana uvumilivu.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hushindwa kuvumilia anapopata matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Mtu huyo, huumia moyoni mwake, akipata tatizo hata kama ni dogo namna gani. Yeye huhangaika sana akipata shida kama wanavyohangaika wale watu wa magharibi.
Mtu huyo, huongeza shida kwa wenzake, yakitokea matatizo kama yale ya msiba, ambao hufanya kazi ya kumtuliza, ili aache kuwahangaisha wenzake hao, maishani mwao. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘watu wa magharibi hawana uvumilivu.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu mkubwa, wanapopata matatizo, katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
1Wakorintho 10:13.
Matendo 26:3.
Wakorintho 6:6.
ENGLISH: THE PEOPLE FROM THE WEST OF TANZANIA HAVE NO PATIENCE.
The source of this saying comes from lack of patience among people from the Western part of Tanzania. These people are said to have no patience when it comes to solving their own problems, regardless of the type of the problem. This behaviour of the people from the Western part of Tanzania made people to come up with the saying that ‘The people from the Western part of Tanzania have no patience.’
This saying can be compared to a person who fails to cope with various problems in his or her life. Such a person will tend to suffer all the time, regardless whether the problem is serious or not.
The saying teaches people about having a lot of patience when they have problems in their lives. This will help them to stay calmly in their families.
1 Corinthians 10:13, Acts 26: 3, Corinthians 6: 6.