554. ABHABHILI BHALI BHABHILI.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile bhanhu abho bhali bhabhili umubhutumami bhobho. Abhanhu bhanebho bhagadulaga gugumala nimo uyo guli ntale bho gutumila likanza liguhi, kunguno ya wilunguja bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘abhabhili bhali bhabhili.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na wiyambilija bhutale umubhutumami bho milimo yabho. Abhanhu bhenabho bhagilungujaga ijinaguitumama imilimo yabho bho wanguwangu na chiza, mpaga bhadula guimala bho likanza liguhi noyi, kunguno ya wilunguja bhobho bhunubho.

Uwilunguja bhobho bhunubho, bhugabhinhaga nguzu bhuli ng’wene ija gwigulyambija gutumama milimo, kunguno ya wilunguja bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayomgaga giki, ‘abhabhili bhali bhabhili.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu gubhiza kihamo ijinagwiyambilija uguyitumama imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi ayo gadulile gujibheja chiza ikaya jabho.

KISWAHILI: WAWILI NI WAWILI.

Chanzo cha msemo huu chaangalia watu ambao ni wawili katika utekelezaji wa majukumu yao. Watu hao huweza kufanya kazi kubwa kwa muda mfupi na kuimaliza, kwa sababu ya umoja wao huo wa kusaidiana vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wawili ni wawili.’

Msemo huou hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao kwa kushirikiana vizuri. Watu hao hujibidisha kufanya kazi zao kwa haraka na vizuri hadi hufaulu kuzimaliza kwa muda mfupi, kwa sababu ya umoja wao huo.

Umoja huo huwapa nguvu kila mmoja wao za kujibidisha kufanya kazi, kwa sababu ya faraja yao hiyo ya kuwa pamoja. Umoja huo pia huwawezesha kushirikiana katika kuyatatua matatizo mbalimbali katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wawili ni wawili.’

Msemo huu hufundisha watu kuwa na umoja wa kuwawezesha kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao.

modelo-mocambicana

bhashule

ENGLISH: THE TWO ARE TWO.

The orogin of this saying is individuals who are two in execution of their responsibilities. Such individuals can do a great job in a short period of time and finish it because of their unity and support. That’s why people say, ‘The two are two.’

The saying is used comparatively to refer to people who do their jobs in good cooperation. Such people do their work quickly and efficiently, until they are able to finish it within the shortes time possible, because of their unity.

The union empowers each of them to work hard, because of shared comfort. The union also allows them to work together to solve various problems in life. That’s why people say, ‘the two are two.’

The saying teaches people about being united to enable them to help each other in fulfilling their responsibilities, so that they can find success for the betterment their families.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.