Imbuki ya kahayile kenako yilolile bhuli bho jiliwa. Ubhuli bhunubho bhuli bhogujilya ni jiliwa ijo jagwaga hasi, kunguno ya guidebha isolobho yajo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gabhulyage nabho hasi.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ofujiwagwa lufu umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agayibhonaga isolobho ya gujilya ijiliwa jinijo, kunguno wandagucha. Ikiosagaga alimhola, aliyo wandagoya ugulya ijiliwa kunguno ya lufu, igelelilwe alye bho wisandazu bhutale.
Umunhu ng’wunuyo agajilyaga ijiliwa bho bhukalalwa bhutale, kunguno osajiyagwa n’ulufu lunulo. Uweyi agabhizaga ujikong’onha n’ijiliwa ijo jagwaga hasi ojilya. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘gabhulyage nabho hasi.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu gubhulang’hana chiza ubhupanga bhobho, bho gulya chiza na gujilang’hana ijiliwa jabho bho gujitula chiza, kugiki bhadule gwikala najo bho makanza malihu bhagujilwaga.
(Mwanzo 27:41-45; Kutoka 2:11-16; 2Wafalme 20:1-8; Matendo ya Mitume 23:1-22; 2Wakorintho 4:7-10).
KISWAHILI: KALE HATA KILICHODONDOKA CHINI.
Chanzo cha msemo huu chaangalia ulaji wa chakula. Ulaji huo ni ule wa kula hata kile kilichodondoka chini, kwa sababu ya kuelewa umuhimu wa chakula na ile ya kukila katika uhai wa mwanadamu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kale hata kilidondoka chini.’
Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule aliyenusurika kifo maishani mwake. Mtu huyo huiona thamani ya chakula na umuhimu wa kula, kwa sababu ya kule kunusurika kwake na kifo. Kwa hiyo, yeye hutambua kwamba amenusurika kuacha kula na, hivyo, huamua kula chakula kwa uhuru mkubwa. Mtu huyo hukila chakula kwa hamu kubwa, kwa sababu ya kubakishwa kwake na kifo hicho. Yeye huviokota hata vile vyakula vilivyodondoka chini na kuvila. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ‘kale hata kilidondoka chini.’
Msemo huu hufundisha watu kuulinda uhai wao kwa kula vizuri na kuvitunza pia vyakula walivyo navyo kwa kuviweka sehemu salama, ili waweze kuendelea kuvila kwa muda mrefu maishani mwao.
(Mwanzo 27:41-45; Kutoka 2:11-16; 2Wafalme 20:1-8; Matendo ya Mitume 23:1-22; 2Wakorintho 4:7-10).
ENGLISH: GO AND EAT EVEN THAT WHICH HAS FALLEN ON THE GROUND.
The origin of this saying is at food intake of a person who survived death. That person is likely to eat even that food which has fallen on the ground, because of the understanding of the importance of food and of eating it in human life. That is why people tell that person, ‘Go and eat even that which has fallen on the ground.’
The saying is used comparatively to urge a person who survives death. That person realizes the value of food and the importance of eating, because of his/her survival. Therefore, he/she realizes that he/she almost parted ways with eating and, thus, decides to eat more freely. That person eats with appetite ever, because of his/her survival. He/she is even likely to pick the food that falls on the ground and eat it. That is why people tell him/her, ‘Go and eat even that which has fallen on the ground.’
The saying teaches people about protecting their life by eating well and keeping safe the foods they have so that they can continue to eat for a long time.
(Genesis 27: 41-45; Exodus 2: 11-16; 2Kings 20: 1-8; Acts 23: 1-22; 2 Corinthians 4: 7-10).