528. NHABHALA IDATULAGA LUPUNDU.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile nhabhala. Inhabhala yiniyo lililiyanga guti sada nulu lufu. Kuyiniyo lulu, isada n’ulufu jidatulaga lupundu, kunguno jigingilaga duhu ukubhanhu, bho nduhu uguhodisha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nhabhala idatulaga lupundu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga ulu opandigaga mayange. Uweyi adebhile igiki inhabhala yiniyo igajaga ukubhanhu duhu, iyo igabhapandikaga bho nduhu ugudebha, kunguno idatulaga lupundu.

Uweyi agabhalanjaga n’abhiye inzila ja gudula gwiyumilija ulu bhapandikagaga mayanga, kunguno alijigemelo jawiza ugubhitila umuwiyumilija bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘nhabhala idatulaga lupundu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gubhiza na wiyumilija ulu bhapandikaga mayanga, kunguno agoyi gagajaga kubhanhu duhu, kugiki bhadule gugamala chiza umuwikaji bhobho.

(Mathayo 24:36-44; Mathayo 26:38-41; Marko 14:37-38)

KISWAHILI: MATATIZO HAYAPIGI VIGELEGELE.

Chanzo cha methali hii chaangalia matatizo mbalimbali. Matatizo hayo ni pamoja na ugonjwa au kifo. Kwa hiyo basi, ugonjwa na kifo huwa havipigi vigelegele, kwa sababu huwa vinaingia tu kwa watu bila kubisha hodi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘matatizo hayapigi vigelegele.’

Methali hii hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika matatizo mbalimbali maishani mwake. Mtu huyo anafahamu kwamba matatizo hayo huenda kwa watu, ambayo huwapata bila kuelewa, kwa sababu yenyewe hayapigi kigelegele yanapomfikia mtu fulani.

Yeye huwafundisha na wenzake namna ya kuweza kuyavumilia matatizo hayo yanapowapata, kwa sababu ya yeye kuwa mfano wa kuigwa kupitia uvumilivu wake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘matatizo hayapigi vigelegele.’

Methali hiyo hufundisha watu kuwa wavumilivu wanapopatwa na matatizo mbalimbali, kwa sababu matatizo hayo huwapata watu, ili waweze kuyamaliza vizuri maishani mwao.

(Mathayo 24:36-44; Mathayo 26:38-41; Marko 14:37-38).

sad-woman

ngosha njinja

ENGLISH: PROBLEMS DO NOT ULULATE.

The origin of this proverb is various problems. Such problems include sickness and death. Sickness and death do not ululate, because they can only befall people without notice. That is why people say, ‘problems do not ululate’

The proverb is used comparatively to refer to any person who endures problems in life. The person realizes that problems befall people without notice, because they do not ululate. That person teaches others how to cope with the problems they face, because of he/she being a role model through her emdurance. That is why he/she tells people, ‘problems do not ululate.’

This proverb teaches people to endure when they experience various problems, because those problems are experienced by people, so that they can finish them well in their lives.

(Matthew 24: 36-44; Matthew 26: 38-41; Mark 14: 37-38).

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.