Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile b’ob’a. Ub’ob’a lili liginhu ilo ligazwaga hasi, ilo likolile ni isumbi ilya kale. Ubhoyi bhunubo bhugazwaga mumakanza ga jidiku, ulu mbula nhale yutula, kunguno ya fulo yiniyo. Ulu bhuzwa na gupya limi, bhuganyalaga na guma ung’wupolu ng’wunumo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘isumbi lyane lili ng’wipolu’ bhashosha, ‘B’ob’a.’
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuwikaji bho ng’wa munhu ubhogubyalwa, ukula, mpaga nowe ucha. Umunhu uyo adebhile igiki bhuli munhu alacha, agikalaga na widohya umukikalile kakwe na bhanhu. Uweyi azunije ugwiyambilija nabhiye umubhutumami bho milimo yakwe, kunguno ya kuibhona isolobho iya gwikala bho mholele nabhiye bhenabho.
Umunhu ng’wunuyo agikikolaga nu b’ob’a ubho bhugigelaga gufumila kufulo ya mbula, kunguno n’uweyi agatumamaga milimo yakwe bho gung’wisanya Umsumbi okwe, uyo alinabhudula bho gwenha mbula, iyo igajibishaga ijiliwa jakwe. Uweyi agabhalanjaga abhanhu inzila ja gung’wisanya unsumbi obho, haho bhadina cha, kunguno bhuli ng’wene alacha. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘isumbi lyane lili ng’wipolu’ bhashosha, ‘B’ob’a.’
Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu gubhiza na widohya bho gung’wisanya Unsumbi obho uyo agabhinhaga nguzu ja gwikala musi, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho umubhulamu bhobho bhose.
(Luka 12:27-28; Ayubu 8:8-9; Mhubiri 1:3-4).
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA: KITI KILICHO PORINI – UYOGA.
Chanzo cha kitendawili hiki chaangalia uyoga. Uyoga ni mmea ambao huota chini ambao hufanana na kigoda cha zamani, kwa baadhi ya jamii. Wenyewe huota wakati wa masika zinaponyesha mvua kubwa kutokana na unyevu wa mvua hizo. Ukiota na kupigwa na jua, huwa unasinyaa na kukauka ukiwa porini humo. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘kiti kilicho porini‘na kujibu, ‘uyoga.’
Kitendawili hicho hulinganishwa na maisha ya mwanadamu, tangu kuzaliwa kwake, kukua na kuishi hadi kufa. Mtu ambaye anafahamu kwamba kila mmoja atakufa, huishi kwa unyenyekevu na watu. Yeye hukubali kusaidiana na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kuona faida ya kuishi kwa amani na wenzake hao.
Mtu huyo hufanana na uyoga, ambao hupatikana kutokana na unyevu wa mvua, kwa sababu naye hufanya kazi kwa kumtegemea Muumba wake, ambaye anao uwezo wa kuleta mvua inayoivisha vyakula vyake. Yeye huwafundisha watu njia za kumtegemea Muumba wao kabla hawajafa, kwa sababu kila mmoja atakufa. Ndiyo maana watu hutegeana kitendawili kwamba, ‘kiti kilicho porini’ na kujibu, ‘Uyoga.’
Kitendawili hicho hufundisha watu kuwa na unyenyekevu wa kumtegemea Muumba wao awapatiaye nguvu za kuishi duniani, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao muda wote wa uhai wao.
(Luka 12:27-28; Ayubu 8:8-9; Mhubiri 1:3-4)
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME: A STOOL IN THE BUSH – A MUSHROOM.
The origin of this riddle is mushrooms. Mushrooms are fungi that grow on the ground, resembling a stool. They germinate during rainy season when it rains heavily, following the availability of soil moisture. When they grow and get exposed to sunlight, they tend to wither and dry there in the bush. Because they resemble stools, that’s why people pose a riddle, ‘a stool in the bush’ and reply, “a mushroom”.
This riddle is compared to human life, from birth to death. A person who realizes that everyone is going to die, lives humbly with other people. He helps other people, especially colleagues, in the execution of their duties for the sake of promoting harmonious living with such colleagues. This person, like the mushrooms, depends on the soil moisture brought by the rains, and relies on his/her Creator who has the powers to bring rain that enables the germination, growth and flourishing of food crops which give him/her life. He/she teaches other people to trust their Creator before they die, because everyone will eventually die. That is why such individual would want to remind people that they are like that ‘stools in the hush’ – ‘mushrooms’ that grow and disappear.
This riddle, teaches people about the humility of relying on their Creator, who gives them the grace to live on earth, so that they can live in peace with their peers, all through their lives.
(Luke 12: 27-28; Job 8: 8-9; Ecclesiastes 1: 3-4).