Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuli bhondili b’o nva ja bubungu. Ulu munhu utuula ndili hanze na guib’a, agusanga inva jinijo yailyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ‘bubungu walya ndili.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agalekaga jikolo jabho hanze, bhasanga abhib’i bhajib’aga. Abhanhu bhenabho, ulu bhasanga jikolo nulu sabho jabho jib’agwa b’abayombaga giki, ‘bubungu walya ndili.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutuula sabho jabho na witegeleja bhutale, na gub’ade’b’a chiza, abhanhu abho bhalikala nabho, ulu bhali bhawiza, nulu b’abhub’i.
Mathayo 7:15.
Wafilipi 3:2.
Maombolezo 3:4.
KISWAHILI: BUBUNGU WALA NGOZI.
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa ngozi wa mbwa wa Bubungu. Mtu akiweka ngozi nje na kuisahau, atakuta mbwa hao wameila. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘bubungu wala ngozi.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huacha vitu au mali zao, na kukuta wezi wameziiba. Watu hao wakikuta mali zao zimeibiwa husema, ‘bubungu wala ngozi.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuweka mali zao kwa uangalifu mkubwa, na kuwaelewa vizuri watu waishio nao, kama ni wema, au waovu.
Mathayo 7:15.
Wafilipi 3:2.
Maombolezo 3:4.
ENGLISH: BUBUNGU’S DOGS EAT SKINS.
The source of the above saying comes from Bubungu dogs that eat animal hides. If someone leaves the animal hide unattended, dogs can take and eat it. This is why people can say ‘Bubungu’s dogs eat hides,’ to communicate the idea of living things unattended.
The saying can be compared to people who carelessly leave their belongings. They can be easily stolen. In such a scenario where someone’s belongings are stolen out of carelessness, one can say ‘Bubungu’s dogs eat skins.’
The saying teaches people to put their possessions in order, and to better understand the people around them, whether they are good or bad.
Matthew 7:15.
Philippians 3: 2.
Lamentations 3: 4.