Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kujiliwa ijo ojilyaga munhu. Umunhu ng´wunuyo ulu atabhile agacholaga jiliwa ja gulya, naho bhuli nduhu ubhulalo, guti mva. Amakanza ganeyo ni tulo agamalaga.
Aliyo lulu, ulu ulya wiguta agizukaga na nguno ya kuchola ndalo, guti ni mva iyo ishokaga kaya, nulu hanze yugalala. Ikumunhu agalala mukaya, hunagwene umunhu ng´wunuyo ulu olya wiguta, agayombaga giki, ´lelo ugulya dalya lelo ndalo mva nene!´
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginjaga tamu ilikoye ilitale na agandya uguginja na makoye amadomado. Umunhu ng´wunuyo agabhalanjaga nabhiye ugwita chiniko. Ulu omala ugulyinja ilikoye ilitale, agayombaga giki, ´lelo ugulya dalya lelo ndalo mva nene!´
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu guginja gwandya amakoye amatale, huna bhandya lulu uguginja nayo galimadodo, umuwikaji bhobho.
(Luka 9:57-58).
KISWAHILI: LEO TUMEKULA, MALAZI MBWA MIMI!
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa chakula wa mtu. Mtu huyo akiwa na njaa hutafuta chakula ili apate kula, hata pale pasipokuwa na malazi, kama mva atafutavyo. Wakati huo hata usingizi huwa hausikii.
Lakini basi, akila na kutosheka, hukumbuka sababu ya kutafuta sehemu ya malazi, kama mva akumbukavyo na kurudi nyumbani kwake, akiwa pale hata nje aweza kulala. Kwa vile mtu hulala ndani, ndiyo maana mtu huyo baada ya kula na kutosheka, husema, ´leo kula tumekula, malazi mva mimi!´
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye hutatua kwanza tatizo lilikubwa ndipo na yale madogo hufuata kuanza kutatuliwa naye. Mtu huyo amalizapo kutatua tatizo lililokubwa husema kwamba, ´leo kula tumekula, malazi mbwa mimi!´
Methali hiyo hufundisha watu kutatua kwanza matatizo yaliyo makubwa, kwa ajili ya kupata nguvu za kuwawezesha kuyatatua na yale ambayo ni madogo, maishani mwao.
(Luka 9:57-58).
ENGLISH: WE HAVE EATEN BUT WILL SLEEP LIKE A DOG.
This proverb stems from eating food. A hungry person will search for food like a dog. Such people do not remember about shelter because, by that time, sleep is not important.
However, after eating and being satisfied, the person remembers to look for a place to sleep, in the same way the dog does; it can sleep even outside. People are supposed to sleep in the house after eating and being satisfied. This is why people say, “we have eaten, but we will sleep like a dog.”
The proverb is compared to a person who solves big problems first and solves the small ones later. When the person has finished solving the big problems, he can say, “we have eaten, but will sleep like a dog.”
The proverb teaches people about solving big problems first in order to find strength to solve the small ones.
Luke 9: 57-58.
ENGLISH (ANOTHER VERSION): I HAVE EATEN WELL TODAY, BUT WHERE WILL I SLEEP, ME DOG!
This proverb originates from someone’s food intake. A hungry person looks for food so that he or she can eat, even when he or she is not sure of shelter, as the latter will be searched for subsequently. At that point even sleep becomes unheard of.
But then, after eating to his or her satisfaction, the person remembers the reason for finding a place to sleep, as the latter recalls and goes back to his house, still out there and sleeping. Since a person sleeps inside, that is why the person after eating and being satisfied, asks himself or herself, “I have eaten well today, but where will I sleep, me dog?’
The proverb is then compared to the person who solves the first a bigger problem and then begins to solve the smaller ones. When the person has finished solving the bigger problem, they say, “I have eaten well today, but where will I sleep, me dog?”
The proverb teaches people about solving big problems first, in order to find the strength to solve other concerns, especially those that are small in their lives.
(Luke 9: 57-58).