Imbuki ya kahayile kenaka ilolile sada iyo umunhu agasadaga bhujiku duhu. Isada yinino igankoyaga noi umunhu ng’wuniyo ahikanza ilya bhujiku, ulu wela yapila. Ulu wila hangi ubhujiku isada yiniyo yandya ugunkoya unsadu ng’wunuyo. Isada yiniyo igankoyaga bhujiku duhu. Hunagwene abhanhu bhagiitanaga isada yiniyo giki, ‘ndya bhujiku.’
Akahayile kenaka kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhisaga ginhu ijo jigabhakoyaga, giti sada ya bhujiku iyo igankoyaga unsadu bhujiku duhu. Umunhu ng’wunuyo agabhizaga adina wiyabhi, nulu lubhango ahagati ya bhanhu abho abhabhisile ilikoye linilo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agawilagwa giki alina ‘ndya bhujiku.’
Akahayile kenaka kalanga bhanhu kuleka gubhisa makoye giti ga sada. Gashinaga yigelelilwe abhanhu bhenabho bhilange kajile kaguyuja gusibhitali kujupima imimili yabho, kugiki bhadule gubhulang’hana chiza ubhupanga bhobho.
(Walawi 13: 2 – 3; Luka 4:27)
KISWAHILI: ILAYO USIKU.
Chanzo cha msemo huu chaangalia ugonjwa ambao mtu huugua usiku tu. Ugonjwa huo humsumbua sana mtu huyo wakati wa usiku, kukicha unapona. Usiku ukiingia, ugonjwa unaanza kumsumbua tena mtu huyo, kwa sababu wenyewe humuhangaisha usiku tu. Ndiyo maana watu huuita ndwele ‘ilayo usiku.’
Msemo huu hulinganishwa kwa watu wale wafichao matatizo, yakiwemo yale ya ugonjwa uwasumbuao, kama ule ulao usiku tu. Watu hao huwa hawana raha, wala uhuru wawapo kati ya watu wale waliowaficha tatizo hilo. Ndiyo maana watu hao huambiwa kwamba, wana ‘ilayo usiku.’
Msemo huo hufundisha watu kuacha kuficha matatizo, yakiwemo yale ya ugonjwa. Yafaa watu hao wajijengea tabia ya kupima mara kwa mara afya zao ili waweze kuulinda vizuri uhai wao.
(Walawi 13: 2 – 3; Luka 4:27).
ENGLISH: THAT WHICH EATS AT NIGHT.
The origin of this saying is an illness that troubles a person during night times only. Such illness bothers the person very much at that time, but gets better during the day. Thus, each time when night falls, the illness also starts to trouble the person, because it only bothers him/her at night. That’s why people call it ‘that which eats at night.’
The saying is comparatively used to people who hide their problems, including serious illnesses, such as those which eat them at night, to draw their attention to the fact that what they do is not right. Such people are often restless, and they are usually not free in the eyes of those whom they hide. That is why such people are told that they have ‘that which eats at night.’
The saying imparts in people an idea of refraining from hiding problems, including illnesses. These people should develop a habit of regularly going for body checkups to ensure that they are always healthy.
(Leviticus 13: 2 – 3; Luke 4:27).