stories

626. BALA YA NG´WA MAYOYO.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kuli munhu uyo witanagwa Mayoyo. Umunhu ng’wunuyo obhucholaga ubhung’hana bho mihayo iyo bhahoyelaga. Uweyi ulu uwilwa mhayo na ugwitegeleja chiza washoshaga giki, ´ihaha nigwa bala. Huna kubhiza kahayile ukubhanhu giki, bala ya ng´wana Mayoyo, ulu bhagwigwa chiza mhayo nhebhe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga na lelo ulu bhagudebha mhayo chiza giki, ‘Bala ya ng’wa Mayoyo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo abhutogilwe ubhung’hana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho bhuli mhayo kugiki adule ugugumana chiza. Uweyi agabhujaga chiza imihayo iyo bhaliihoyela, ukubhiye abho bhalinhomela, mpaga obhudebha ubhung’hana bho mhayo gunuyo.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu Mayoyo, kunguno nuweyi agayegaga ulu ogudebha chiza umhayo, uyo agwitilila bhukengeji. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye inzila ja gwitila ubhukengeji bho mihayo yabho, kugiki bhadule ugubhudebha ubhung’hana. Hunagwene ulu bhabhumana ubhung’hana bhunubho bhagayombaga giki, ‘Bala ya ng’wa Mayoyo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhuchola ubhung’hana bho gwita bhukengeji bho mihayo yabho, kugiki bhadule gupandika bhuyegi bho ng’hana, umuwijaji bhobho.

Mithali 28:5.

Mathayo 13:23.

Marko 6:1-6.

Yohana 7:46-47.

Yohana 4:25-30.

Luka 20:39.

KISWAHILI: KUSIKIA KWA MAKINI YA MAYOYO.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwa mtu aliyeitwa Mayoyo. Mtu huyo, alikuwa na kawaida ya kusikiliza maongezi kwa makini na kuuliza pale ambapo hajaelewa. Akielewa, jambo fulani, kwa makini alisema kwamba, ‘sasa nimesikia barabara,’ maana yake amesikia vizuri na kwa makini. Ndipo ukawa msemo kwa watu anapoelewa vizuri jambo fulani, ambao hukumbuka, ‘kusikia kwa makini ya Mayoyo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda ukweli katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kila neno ili aweze kulielewa vizuri. Yeye huuliza vizuri kwa wenzake kile ambacho hajakiewa katika maisha yake, mpaga anahakikisha kwamba, amekielewa vizuri.

Mtu huyo, hufanana na Mayoyo, kwa sababu naye hufurahi anapouelewa ukweli wa jambo fulani, alilokuwa analifanyia utafiti. Maisha yake, huwafundisha wenzake njia za kufanyia utafiti huo, ili waweze kuufahamu ukweli maishani mwao. Ndio maana wanapaufahamu ukweli huyo hukumbuka, ‘kusikia kwa makini ya Mayoyo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta ukweli kwa kufanya utafiti wa maneno yao, ili waweze kupata furahi ya kweli, maishani mwao.

Mithali 28:5.

Mathayo 13:23.

Marko 6:1-6.

Yohana 7:46-47.

Yohana 4:25-30.

Luka 20:39.

IMG_20190704_093743_3

 

nyanda1

tanzania-bhamasai bhakima

ENGLISH: THE ACCURATE UNDERSTANDING OF MAYOYO.

The source of this saying is a person known by the name of Mayoyo. This person happened to be very careful when listening to a certain person narrating him/her a certain story. Mayoyo would not just pass time by saying he understands the narrator while in actual fact he is not. He would force to understand clealy what is being said by the narrator. To describe this kind of behavior, people came with the saying that ‘The accurate understanding of Mayoyo’ to communicate smartness in listening and understanding the conveyed information.

This saying can be compared to a person who loves truth in his/her life. This person will tend to understand clearly everything before coming to actual implementation of his/her plans. He/she can ask his/her friends several times for clarity, in case of misunderstanding, in order to have a decision that cannot affect him/her. Such a person teaches others about truthfulness and having right decisions in life.

The saying teaches people about finding the truth by researching. Research can make someone take right decisions in life.

Proverbs 28: 5, Matthew 13:23, Mark 6: 1-6, John 7: 46-47, John 4: 25-30, Luke 20:39.

625. DAYUPYA NA BHANGATA ALA B´AB´UKOME GINEHE?

Imbuki ya lusumo lunulo,  yingilile kubhubhucha bho ndobho ya minzi kuntwe bho gutumia ngata, na bho nduhu ngata. Uyo agaibhuchaga indobho yiniyo bho gutumila ngata, adaminyiyagwa ntwe gokwe ni ndobho yiniyo, kunguno ingata yakwe igankigijaga ugukandikijiwa nubhudamu bho idako jayo.

Giko lulu, ulu wandya kuminyiwa untwe gokwe ni ndobho yiniyo, uyo agabhukijaga bho ngata, mumho uyo agabhuchaga bho nduhu ngata agubhiza ubishiyagwa, nulu uminyiyagwa noyi. Hunagwene abho bhali na ngata bhagayombaga giki, ‘dayupya na bhangata ala b’ab’ukome ginehe?

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nsabhi, nuyo ali ng’hab’i, ahikanza lya makoye guti ga nzala. Ulu nsab`i ugakoya aliyo alina ginhu, alu ng´hab´i igubhiza ginehe?

Ingata yikolile nu nsabhi, kunguno uweyi ali na jikolo ja gujinja upandika hela ja gugulila jiliwa. Kuyiniyo lulu, umunhu ng’wunuyo, adukoyiwa wangu ni likoye ilya nzala linilo, ilo ligikolanijiyagwa na gupya go ntwe gokwe bho gukandikijiwa na jidako ja ndobho iyo aibhuchije. Uweyi ugushiga wandye gukoya, agubhiza ojimalaga gujijinja pye isabho jakwe, hayo gulandije ugupya ntwe gokwe.

Aliyo lulu, uyo agabhuchaga bho nduhu ngata, untwe gogwe gugabishiyagwa ni jidako ja ndobho yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, wikolile na munhu uyo ali ng’hab’i, kunguno agakoyiyagwa ni nzala wangu nulu yingila duhu, iki adina jikolo ja gwisumilila. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dayupya na bhangata ala b’ab’ukome ginehe?

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jikolo ijagubhambilija ahikanza ilya nzala, umukikalile kabho.

Kutoka 3:2-3.

Mithali 11:31.

Luka 23:31.

1 Petro 4:17-18.

Mathayo 19:23-24.

KISWAHILI: TUNAUNGUA TULIO NA KATA WASIO NAZO VIPI?

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ubebaji wa ndoa ya maji kichani kwa kutumia kata na bila kata. Mbebaji wa ndoa anayetumia kata, hapati upesi maumivu yatokanayo na msuguano wa kichwa na kitako cha ndoa hiyo, kwa sababu ya kata iliyopo katikati ya kichwa na ndoa hiyo.

Hivyo basi, ikifikia hali ya kupata moto au maumivu ya ndoo hiyo, kwake yeye, atakuwa ameumia zamani yule abebaji ndoo hiyo kichwani bila kutumia hata, au nguo iyokunjwa vizuri. Ndiyo maana wale wenye kata husema kwamba, ‘tunaungua tulio na kata wasio nazo vipi?’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri, na yule ambaye ni maskini kwenye kipindi cha tatizo kubwa la njaa. Tajiri akihangaishwa na jaa, wakati ana vitu, je, aliye maskini njaa hiyo itamfikishaje?

Mtu mwenye Kata hufananishwa na tajiri kwa sababu ya yeye  kuwa na vitu ambavyo huviuza, na kupata pesa za kununulia chakula. Kwa hiyo basi, mtu huyo, hatasumbuliwa upesi na tatizo hilo la njaa, ambalo hufananishwa na uumiaji wa kichwa. Yeye akimaliza kuuza vitu vyake vyote, ndipo atakapoanza kuonja shida hiyo ya njaa.

Lakini basi, yule asiye na kata huumizwa na kitako cha ndoo mara abebapo, ambaye hufananisha na maskini, kwa sababu yeye husumbulilwa na tatizo hilo la njaa mara inapoingia tu, kwa vile hana vitu vya kuuza ili apate hela ya kununulia chakula. Ndiyo maana wenye mali husema kwamba, ‘tunaungua tulio na kata wasio nazo vipi?’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuwasaidia katika kutatua tatizo la njaa, maishani mwao.

Kutoka 3:2-3.

Mithali 11:31.

Luka 23:31.

1 Petro 4:17-18.

Mathayo 19:23-24.

botswana-bhajiji bha minzi

bhadahi bha minzi

bhadahi bha minzi1

 

ENGLISH: IF THOSE WITH ROUND HEAD PAD ARE BEING BURNT, HOW ABOUT THOSE WITHOUT HAVING IT?

The source of this saying is a round head pad one can use when carrying a heavy luggage on his/her head. If one is carrying a bucket of water on his/her head, he/she can put this round head pad on his head then the bucket is put on it to avoid direct friction between head and the base of the bucket. If different people are carrying different buckets, one group having buckets without the round head pad and another group carrying them with round head pad, it is likely that those without round head pad will begin facing pain in their heads.

Those with round head pads will delay feeling the same pain. When those without round head pad begin feeling pain, it is likely that their counterparts have suffered twice as much. To describe this scenario, people came with the saying that ‘If those with round head pad are being burnt, how about those without having it?’

 This proverb can be compared to a rich person in relation to his/her poor counterpart. In case it happens that these two people are affected by famine, the poor one will be the first to suffer. By the time the rich person begins suffering, the poor fellow might have been finished off. This rich person can have an opportunity to sell some of his/her properties to defend himself/herself from famine. He/she is likely to survive for quiet long until all his/her properties are finished.

The proverb teaches people to work hard to do their jobs so that they can be successful enough to help them solve problems they encounter in life.

Exodus 3: 2-3, Proverbs 11:31,Luke 23:31, 1Peter 4: 17-18, Matthew 19: 23-24.

624. JALANDUBHAKA NI NDOTO ALI NJUMU GINEHE?

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhubhaki bho ng’hwi ndoto ni njumu. Ing’hwi ndoto jinijo, jigabhizaga ndimu ugub’aka, kunguno jigikalaga na minzi umugati yajo, ayo gagagujimyaga umoto gunuyo. Giko lulu, ugushiga nose jugahadika kubhaka indoto jinijo, mumho injumu jigubhiza jashilaga kubhaka kale. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘jalandubhaka ni ndoto ali njumu ginehe?’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nsabhi, nuyo ali ng’hab’i, ahikanza ilya nzala. Ulu nsab`i ugakoya aliyo alina ginhu, alu ng´hab´i agubhiza ginehe?

Ing’hwi indoto jikolile nu nsabhi kunguno uweyi alina jikolo ja gujinja upandika hela ja gugulila jiliwa. Kuyiniyo lulu, umunhu ng’wunuyo, adukoyiwa wangu ni likoye ilya nzala linilo, ilo ligikolanijiyagwa na bhubhaki bho moto. Uweyi ugushiga apandike makoye, agubhiza ojimalaga gujijinja pye isabho jakwe, haho jilandije ugubhaka ng’hwi indoto jinijo.

Aliyo lulu, ing’hwi injumu jigabhakaga wangu nulu gubhachiwa duhu umoto, ijo jikolile na munhu uyo ali ng’hab’i, kunguno agakoyiyagwa ni nzala nulu yingila duhu, iki adina jikolo ja gwisumilila. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘jalandubhaka ni ndoto ali njumu ginehe?’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jikolo ijagubhambilija ahikanza ilya nzala, umuwikaji bhobho.

Kutoka 3:2-3.

Mithali 11:31.

Luka 23:31.

1 Petro 4:17-18.

Mathayo 19:23-24.

KISWAHILI: ZINAELEKEA KUWAKA ZILIZO MBICHI JE ZILIZOKAVU VIPI?

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye uwakaji wa kuni mbichi na kavu. Kuni hizo mbichi, huwa ngumu kuwaka kwa sababu ya maji yaliyomo ndani yake, ambayo huuzima moto huo. Hivyo basi, kuni hizo zikifikia hatua ya kutaka kuwaka, zile kavu zitakuwa zimekwisha kuteketea zamani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘zinaelekea kuwaka zilizo mbichi je zilizokavu vipi?’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri na yule ambaye ni maskini, kwenye kipindi cha njaa. Tajiri akihangaishwa na jaa, wakati ana vitu, je, aliye maskini njaa hiyo itamfikishaje?

Kuni mbichi hufanana na tajiri kwa sababu ya yeye  kuwa na vitu ambavyo huviuza na kupata pesa za kununulia chakula. Kwa hiyo basi, mtu huyo, hatasumbuliwa upesi na tatizo hilo la njaa, ambalo hufananishwa na uwakaji wa moto. Yeye akimaliza kuuza vitu vyake vyote, ndipo atakapoanza kuonja shida hiyo ya njaa, kwa sababu kuni zake zitakuwa zimekauka na kuanza kuwaka.

Lakini basi, kuni kavu huwaka mara moja unapowashwa moto huo, ambazo hufanana na maskini, kwa sababu yeye husumbulilwa na tatizo hilo la njaa mara linapoingia tu, kwa vile hana vitu vya kuuza ili apate hela ya kununulia chakula. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘zinaelekea kuwaka zilizo mbichi je zilizokavu vipi?’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuwasaidia katika kutatua tatizo la njaa, maishani mwao.

Kutoka 3:2-3.

Mithali 11:31.

Luka 23:31.

1 Petro 4:17-18.

Mathayo 19:23-24.

nsabhi masai

 

ng'hwi5

ng'hwi2

 

 

ENGLISH: IF THE GREEN ONE ARE BURNING, HOW ABOUT THE DRY ONE?

The source of this saying is the relationship between green and dry firewood. The green firewood are always late to catch fire because they contain high content of moisture while their dry counterpart tend to catch fire easily because they have low moisture content in them. When put together the green and dry firewood, it is obvious that the dry firewood will get burnt first before the green one.

The moment the fire begins burning the green firewood, the dry one would have been finished completely. This is why people came up with this saying that ‘If the green one are burning, how about the dry one?’ to communicate the effect the dry firewood can get when compared to the green firewood.

This saying can be compared to a rich person. Rich people are the ones with enough resources to sustain their lives. These people, when compared to poor people, are not easily affected by calamities such as famine because they can use their resources to defend themselves from it (the calamity). If it happens that this rich person begins facing the effect of the calamity then it is likely that the poor people have already been severely affected by it (calamity). Like dry firewood, poor people begin facing the effect of the calamity immediately from the start.

This saying teaches people to work hard so that they can be successful enough to sustain their lives and their families. In so doing, they can be able to solve family problems in future, if they happen.

Exodus 3: 2-3, Proverbs 11:31, Luke 23:31, 1Peter 4: 17-18, Matthew 19: 23-24.

623. NZAGAMBA YENIYI YAB´AGWA NG´HOLO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubhagwa bho ng’holo ya nzagamba. Ubhubhagwa bhunubho, kalikalile ka nzagamba yiniyo, ako kali kanyalyehu. Ukwene hugahaya giki, inzagamba yiniyo, yili ndyehu ung’widale lyayo, iyo idagaja kumadale gangi. Iyoyi igikalaga nu ng’widale lyayo duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nzagamba yeniyi yab’agwa ng’holo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga mu ndoa yakwe na ng’wiye uyo bhatunga ndoa nanghwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija umubhutumami bho milimo yakwe, ahakaya yakwe. Uweyi agahoyaga nu ng’wiye ahigulya ya katulile kasabho jabho, kugiki bhuli ng’wene wikale adebhile umojili.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzagamba iyo yab’agwa ng’holo, kunguno nuweyi adafumaga ihanze ya ndoa yakwe, umukikalile kakwe. Akikalile kakwe kenako, kagabhalanjaga abhiye inzila ja gujilanghanila chiza indoa jabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nzagamba yeniyi yab’agwa ng’holo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilanghana chiza indoa jabho, bho gwikala bhatungilija, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala kihamo bhitogilwe, umuwitoji bhobho, shigu jose.

1Wathesalonike 4:5.

Luka 16:15.

Mathayo 5:11-12.

Mathayo 5:27.

Marko 10:1-12.

KISWAHILI: FAHALI HUYU AMECHUNWA MOYO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uchunwaji wa moyo wa dume la ng’ombe. Uchunwaji huo, ni maisha ya fahali huyo ambayo ni ya upole. Ndiyo kusema kwamba, dume hilo la ng’ombe lina upole wa kuishi ndani ya zizi lake tu, bila kwenda kwenye mazizi mengine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahali huyo amechunwa moyo.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hubaki ndani ya ndoa yake bila kutoka nje, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwaminifu katika utekelezaji wa majukumu yake, katika familia yake. Yeye huongea na mwenzake wa ndoa juu ya namna ya kuzitunza mali zao, ili kila mmoja aweze kuelewa zilivyo.

Mtu huyo, hufanana na dume la ng’ombe lililochunwa moyo, kwa sababu naye hatoki nje ya ndoa yake, katika maisha yake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kuzitunza ndoa zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahali huyu amechunwa moyo.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri ndoa zao, kwa kuwa waaminifu, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo katika ndoa zao, siku zote.

1Wathesalonike 4:5.

Luka 16:15.

Mathayo 5:11-12.

Mathayo 5:27.

Marko 10:1-12.

nzagamba5

nzagamba4

african-couple

 

ENGLISH: THE HEART OF THIS BULL HAS BEEN SKINNED.

The source of this saying is the bull that does not visit other cowsheds. This is a gentle bull. When it happens that the bull remains in its own cowshed, people can describe it as its heart being skinned. That is why people came with this saying that ‘the heart of thisbull has been skinned’ to justify the gentleness of the bull.

This saying can be compared to a person who remains in his/her marriage without having extramarital relationship in his/her life. This person demonstrates his/her faithfulness to his/her partiner. Like a bull that remains in the cowshed, this person is dedicated to his/her family in such a way that he/she cannot think of anything beyond caring his/her family. Such a person teaches others about being faithful in marriage.

This saying teaches people how to take good care of their marriages by being faithful in their lives.

1Thessalonians 4: 5, Luke 16:15, Matthew 5: 11-12, Matthew 5:27, Mark 10: 1-12.

622. LUSHU LWA NSAB´I LUGABHAGAGA NI DIDA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kukatumamile ka lushu lo nsabhi. Ulushu lunulo, lugabhagaga ntugo gosegose, gubhize guginu, nulu gukondu. Uloyi ludakomanije imitugo ja gubhaga. Hunagwene abhanhu bhagayomga giki, ‘ulushu lwa nsab’i lugabhagaga ni dida.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bhose bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gwiyambilija na bhiye abho agikalaga nabho. Uweyi agahoyaga na bhanhu bhose, bho gubhambilija ugwinga umumayange gabho.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gutumama milimo kihamo, ukubhiye, kunguno ya gubhambilija bhanhu bhose bho ndugu ugubhakomanya, kuti un lushu ulo nsabhi, ulo lugabhagaga ni dida.

Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye higulya ya gubhadilila abhanhu bhose, bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘ulushu lwa nsab’i lugabhagaga ni dida.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhadilila abhanhu bhose, bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Hesabu 12:4.

Mithali 8:17.

1 Thimotheo 5:10.

Wagalatia 6:7-9.

Luka 13:24.

Luka 6:20.

Matendo 10:34.

Mathayo 5:43-44.

Yakobo 2:7.

KISWAHILI: KISU CHA TAJIRI HUCHUNA HATA MNYAMA DHAIFU.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye utendaji wa kisu cha tajiri. Kisu hicho, huchuna mfugo wa aina yoyote, uwe ule wenye afya au ule ulikonda. Kisu hicho, hakibagui mfugo wa kuchuna. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kisu cha tajiri huchuna hata mnyama dhaifu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi na watu wote bila kuwabagua, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kusaidiana na wenzake anaoishi nao. Yeye huongea na watu wote, katika utekelezaji wa kazi zake za kuwasaidia wenye matatizo mbalimbali.

Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kufanya kazi kwa ushirikiano na wenzao, kwa sababu ya namna anavyosaidia watu wote, kama kile kisu cha tajiri ambacho huchuna hata mnyama dhaifu.

Maisha yake, hufundisha watu juu ya kuwajali watu wote bila ubaguzi, katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kisu cha tajiri huchuna hata mnyama dhaifu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwajali watu wote bila kuwabagua, katika maisha yao, ili waweze, kuishi kwa amani na kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Hesabu 12:4.

Mithali 8:17.

1 Thimotheo 5:10.

Wagalatia 6:7-9.

Luka 13:24.

Luka 6:20.

Matendo 10:34.

Mathayo 5:43-44.

Yakobo 2:7.

bhamasai

dida

 

ENGLISH: THE RICH’S KNIFE SKINS EVEN THE WEAKEST ANIMAL.

The source of this proverb is a knife of a rich man. This knife is associated with skinning animals where, if the knife is blunt, it can fail to skin properly the animal and if it is sharp enough, it can smoothly skin the animal. But, the rich man’s knife in this context is considered to be able to skin whatever animal comes its way. It is always sharp. This sharpness of the rich aman’s knife made people to come up with this proverb that ‘The rich man’s knife skins even the weakest animal.

This proverb can be compared to a person who lives with all people without exception in his/her life. This prson tends to accept his/her responsibility by assisting others in fulfilling their obligations. This person can act as a role model to others because of the way he/she does his/her things in a more appropriate and helpful manner. He/she teaches others about care and he/she helps others.

This proverb teaches people about caring for all people without discrimination.

Numbers 12: 4, Proverbs 8:17, 1Timothy 5:10, Galatians 6: 7-9, Luke 13:24, Luke 6:20, Acts 10:34, Matthew 5: 43-44, James 2: 7.