stories

636. KABAMUKE ILANDO LYA MAGU.

Imbuki ya kahayile kenako, yingile kubhubamuki bho lilando lya Magu.  Imagu ili wiyaya ya Nkoa go Ng’wanza iyo yali na malando ayo gitanagwa magabamuke. Malando genayo, gagahuluma aliyo lulu, ugutulila inumbu nduhu. Hungawene abhanhu bhagagitanaga giki, ‘kabamuke ilando lya Magu.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabamukaga mamihayo sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabamukaga mihayo iyo idinasolobho, niyo bho lilaka lya higulya. Uweyi adaiganikaga chiza imahayo iyo agaiyombaga yiniyo, kunguno ya bhudumi bho gwitegeleja chiza, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na malando aga Magu ayo gagahulumaga wangu aliyo bho nduhu ugutulila inhumbu, kunguno nuweyi agabamukaga mamihayo sagara, ayo gadina solobho yoseyose, ukubhanhu.

Abho bhandebhile umunhu ng’wunuyo, bhadayidililaga mihayo iyo agayiyombaga, kunguno bhamanile igiki idina bhung’hana. Hunagwene bhagang’witanaga giki, ‘kabamuke ilando lya Magu.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guitegeleja chiza imihayo yabho haho bhatali uguyiyomba,  kugiki bhadule gubhalomela abhanhu bhabho, mihayo iyo iliyasolobho umugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:7.

Yakobo 2:14-17.

1Wakorintho 13:1-3.

Mathayo 3:7.

KISWAHILI: KAROPOKA LANDO LA MAGU.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uropokaji wa lando la Magu. Magu ni wilaya iliyoko katika mkoa wa Mwanza, ambamo yalikuwemo malando yaliyoitwa ‘karopoka.’ Malango hayo, yalistawi upesi lakini, hayakuweka viazi chini yake. Ndiyo maana watu waliyaita, kuwa ni ‘karopoka lando la Magu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huropoka maneno hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huropoka maneno yasiyo na faida na kwa kutumia sauti ya juu sana.

Yeye hayafikirii vizuri maneno yake hayo, kabla hajayatamuka, kwa sababu ya kutokuutumia muda wake katika kuelewa kwa makini maana ya maneno yake hayo, na namna ya kuyasema.

Mtu huyo, hufanana na malando hayo ya Magu ambayo hustawi haraka, lakini bika kuweka viazi chini yake, kwa sababu naye huropoka maneno hovyo ambayo hayana faida yoyote kwa watu wake.

Wale wanao mfahamu mtu huyo, huyapuuzia maneno yake hayo, kwa sababu wanafamu kuwa hayana uweli ndani yake. Ndiyo maana wao humuita mtu  huyo, kuwa ni ‘karopoka lando la Magu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyafikiria kwa makini maneno yao kabla hawajayaongea, ili waweze kuwaeleza watu wao maneno yenye faida katika kuzijenga vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 6:7.

Yakobo 2:14-17.

1Wakorintho 13:1-3.

Mathayo 3:7.

numbu4

numbu

numbu2

 

ENGLISH: THE MAGU POTATO PLANT.

The source of this saying is the Magu potato plant. Magu is one of the districts in Mwanza region. In this district, there happened that its soil would be fertile enough to flourish potato plants but was not capable of yielding potatoes of good quality. This is why people came with this saying that’the Magu potato plant’ to signify good appearance but less productive.

This saying can be compared to a person who fails to have convincing words to other people. Much as he/she might be having good appearance, what puts him/her down is the power of speech to persuade others to do something. The saying can also be likened to a wordy person who cannot make sense of what he/she speaks. Like the Magu potato plant, this person can be ignored by other people because of lacking truth in his/her speech.

The saying teaches people to think carefully about their words before they speak. This can help people to build their societies through their good and persuasive words that can result into positive changes in the society.

Matthew 6: 7, James 2: 14-17,1Corinthians 13: 1-3, Matthew 3: 7.

635. MBISILA YA NCHI AIMANILE UYO ALING`OJA.

Imbuki ya lusumo lunuo, yilolile bhoja bho nchi, nulu mimba go munhu. Ubhoja bho mimba bhunubho, bhugang’wenhelejaga ung’oja gumana mbisila ningi ija mimba gokwe umunhu uyo ozumalikaga ng’wunyo.

Imbisila jinijo, jigambilijaga ugudebha umo wikalilaga unjimiji, umushigu ja bhulamu bhokwe. Ung’oja okwe ng’wunuyo, agajilang’hanaga imbisila jinijo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailanghana chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira ja kaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’oja o nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho jinijo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: SIRI YA MAITI AIJUAYE MWOSHA.

 Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uoshaji wa maiti. Uoshaji huo wa maiti, humwezesha yule anayeosha kuzifahamu siri ya marehemu, kwa sababu ya kupata nafasi ya kumuangalia mwili mzima.

Siri hizo husaidia kuyaelewa maisha ya marehemu huyo yalivyokuwa katika enzi za uhai wake. Yeye huzitunza sili hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitunza vizuri siri za ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mwoshaji wa maiti azitunzaye siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzitunzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

active couple

couple africans

family kids

ENGLISH: THE CLEANER KNOWS THE SECRET OF THE DEAD.

The foundation of the overhead proverb is the washing of dead bodies. This cleaning of the corpse enables the one who washes them to discover the mystery of the deceased, because he/she gets an opportunity to look at the whole body.
Such secret helps to understand the deceased’s life during his/her lifetime. He/she takes care of those jewels, in lifetime. That is why people say, ”the cleaner knows the secret of the dead.’

Such proverb is compared to the man who takes good care of secrets of his family, in his life. Such man does not speak to any person his family’s words, because he knows how to keep his family secret. He builds his family well by living happily with others, in their lives.

The man is like a corpse cleaner who treats the mysteries of the dead, because he also builds his family well, by keeping his family’s secret, in his life.
In his own life, he teaches his family members on how to build their families, by taking good care of the secrets of their families. That is why he tells people, ‘the cleaner knows the secret of the dead.’

This proverb imparts in people an idea on how to properly build their families, by safeguarding their secrets, in their lives, so that they can live happily with others, in their lives.

Proverbs 25: 9.
Daniel 2:22.
Luke 8:10.
Colossians 1: 26-27.
1Corinthians 15:51.
Ephesians 1: 9.

634. KABHAMBILE KA NG´OMA KAMANILWE MAMBI WAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubhambi bho ng’oma. Ubhubhambi bho ng’oma bhunubho, bhugikalaga bhulekanile, kunguno abhabhambi bhenabho, bhuli ng´wene, ali na kabhambile kakwe ako kali heke na kab´iye.

Abhoyi bhagatulaga ginhu, umugati ya ng´oma yiniyo, ijo bhagajitanaga liana lya ng´oma. Iginhu jinijo, igabhizaga siri ya mambi, nulu kamanwa mambi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailang’hanaga chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira hakaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mambi o ng’oma uyo gajilang’hanaga imbisila ja nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe.

Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: NAMNA YA KUZIBA NGOMA ANAFAHAMU ANAYEZIBA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uzibaji wa ngoma. Uzibaji huyo wa ngoma, hutofautiana, kwa sababu ya wazibaji hao kuwa kila mmoja ana namna yake ya kuziba, ambayo nitofauti na za wenzake.

Wao huweka kitu ndani ya ngoma waliyoiziba, kinachoitwa, toto la ngama. Kitu hicho, ni siri ya mzibaji wa ngoma hiyo, ambayo hufahamika kwa yule aliyeiziba peke yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzilinda vizuri siri za  ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mzibaji wa ngoma anayezitunza siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha watu namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzintuzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

ng'oma

ng'oma1

ng'oma5

 

ENGLISH: HOW TO MAKE A DRUM IS ONLY KNOWN BY THE DRUM MAKER.

The source of this proverb is a drum and the way it is overlayed. The way one drum can be overlayed can differ from one to another, depending on its maker. The makers of drums have different artifacts in decorating them and ensuring that they produce a certain sound of their choice. This secret about what has been used to decorate the drum is only known by the maker of that drum. This is why people came with this proverb that ‘How to make a drum is only known by the drum maker.’

This proverb can be compared to a person who protects the privacy of his/her family.This person does not like revealing family secrets in public. Such a person will be able to build his/her family well by living happily with others in their lives. Like the drum maker, this person will ensure that the family is solid enough and has a good reputation by hiding some of the family issues that are likely to affect the general society’s welfare.

This person also teaches others about family unification and respect by having family secrets.

This proverb teaches people about how to properly build their families by concealing secrets that are likely to affect the society or damage the family’s reputation.

Proverbs 25: 9, Daniel 2:22, Luke 8:10, Colossians 1: 26-27, 1Corinthians 15:51, Ephesians 1: 9.

633. MBI YA MPANGA IDABHAMBALAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhusimbi bho jigila ja ng’wa munhu uyo atali mpanga. Ubhusimbi bho jigila bhunubho, bhugabhejiyagwa ulu munhu omalaga guzumalika, kunguno ulu bhujisimba hayo atali mpanga, mumho bhahayile giti ache umunhu ng’wunuyo.

Ubhusimbi bho jigila ja  ng’wa munhu uyo atali uguzumalika, hugubhambala mbi ya ng’wa munhu uyo atali mpanga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mbi ya mpanga idabhambalagwa.’

Ulusumo lusuno, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhalombelaga gupandika yabhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adina ubhutogwa bho ng’hana ukubhuye, kunguno ya bhuchilu, nulu bhukali bhokwe. Uweyi ahayile apandike weyi duhu iyawiza, abhiye bhagayiwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikilolaga nu bhusimbi bho jigila ja ng’wa munhu uyo atali mpanga, kunguno nuweyi agabhiganikilaga mihayo ya bhubhi abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘mbi ya mpanga idabhambalagwa.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho ng’hana ukubhichabho, bho gubhalombela mbango, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandkika matwajo ga gubheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 23:53b.

2 Samweli 12:18.

1 Wafalme 13:22.

2 Nyakati 34:28.

Mathayo 27:59-60.

KISWAHILI: KABURI LA MTU HAI HALITAYARISHWI.

Chanzo methali hiyo, chatokea kwenye utayarishaji wa kaburi la mtu  aliye hai. Utayarishaji huo wa kaburi, hufanyika wakati mtu amefariki baada ya kufahamu kule atakakozikwa, kwa sababu wakimchimbia kaburi yule alie hai, humaanisha kumtakia kifo mtu huyo. Kumbe mtu aliye hai hatayarishiwi kaburi kabla hajafa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kaburi la mtu hai halitayarishwi.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatakia mabaya wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, hana upendo wa kweli kwa wenzake, kwa sababu ya ukali wake au hasira zake. Yeye hutaka afanikiwe yeye tu na wengine wakose.

Mtu huyo, hufanana na uchimbaji wa kaburi la mtu yule ambaye bado hajafa, kwa sababu naye, huwatakia mabaya wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kaburi la mtu hai halitayarishwi.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kweli kwa wenzao, kwa kuwaombea baraka au kuwatakia mema, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 23:53b.

2 Samweli 12:18.

1 Wafalme 13:22.

2 Nyakati 34:28.

Mathayo 27:59-60.

jigila4

jigila3

 

ENGLISH: ONE’S GRAVE CANNOT BE PREPARED WHILE HE/SHE IS STILL ALIVE.

The source of this proverb is a grave and how it can be prepared. Under normal circumstances, graves are prepared when someone has died. It is very uncommon to see a person preparing a grave for someone who is still alive. If he/she does so then that person is considered as a bad wisher to his/her colleague. This is why people came with this saying that ‘one’s grave cannot be prepared while he/she is still alive’ to communicate the impossibility of preparing a grave for a still living person.

This proverb can be compared to a person who wishes others bad things in life. Such a person does not have real love to others. Like someone who can dig a grave for a living person, this person can block someone’s struggle in his/her life.

The proverb teaches people to show genuine love for their fellow huma beings by praying for their blessing or wishing them good in their lives. In so doing they will be helping them to have success in life.

Luke 23: 53b, 2Samuel 12:18, 1Kings 13:22, 2Chronicles 34:28, Matthew 27: 59-60.

632. NG´WENGE NDALANHANU IGABHAMBILAGA MANGALA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kukikalile ka noni iyo igitanagwa Ng’wenge. Inoni yiniyo ili na masala mingi, na hangi ili ndalanhanhu noyi. Iyoyi Igichob´elaga jiliwa ja gulya mpaga gushiga ha ng´waka gungi ugogubisha jiliwa jingi. Niyo igabhambilaga amangala, kugiki ijiliwa jinijo jidizub´ipa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Ng’wenge ndalanhanu igabhambilaga amangala.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumilaga chiza amazala gakwe bho gujitula ijiliwa ijo alijipandika, umutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga uguitumama imilimo yakwe chiza mpaga opandika jiliwa ja gudula guilisha ikaya yakwe bho makanza malihu. Uweyi agajitumilaga ijiliwa jinijo mpaga obisha jiliwa jingi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wenge, kunguno nuweyi agagatumilaga amasala gakwe bho gujilang’hana chiza ijiliwa ijo agajipandikaga, umubhutumami bhokwe. Uweyi agikalaga na mhamba ya jiliwa iyo idulile guilisha ikaya yakwe, mpaka gushiga hikanza lya gubisha jiliwa jipya hangi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Ng’wenge ndalanhanu igabhambilaga amangala.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gugatumila amasala gabho bho gwigulambija gutumama milimo, na kujilanhana chiza ijiliwa ijo bhalijipandika, kugiki bhadule gujitumia mpaga gushika hikanza lya kubisha jiliwa jingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:19-21.

Luka 12:13-21.

Luka 16:9.

Mathayo 6:33.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: NG´WENGE (NDEGE) MJANJA HUZIBIA MASUKE.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye maisha ya ndege anayeitwa Ng’wenge. Ndege huyo, ana akili nyingi pia ni mjanja sana. Mwenyewe hujitafutia chakula cha kula mpaka kufikia kipindi cha kuivisha chakula kingine. Yeye huchimbia masuke ili yasiharibike. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ng’wenge (ndege) mjanja huzibia masuke.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake kwa kujitafutia chakula na kukihifadhi vizuri anapokipata, katika utendaji wake wa kazi. Mtu huyo, hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake, mpaga kufikia hatua ya kupata chakula kiwezacho kuilisha familia yakwe hadi wakati wa kuivisha chakula kingine.

Yeye hufanana na Ng’wenge, kwa sababu naye huzitumia akili zake kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yake, na kukihidhi vizuri chakula alichokipata ili kiweze kutumika mpaga chakula kingine kitakapoiva.

 Mtu huyo, hufanana na Ng’wenge kwa sababu naye hujibidisha kutafuta chakula na kukihifadhi vizuri, kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘Ng’wenge (ndege) mjanja huzibia masuke.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, na kukihidhi kwa makini, chakula hicho wanachokipata, ili kiweze kutumika mpaka pale watapoivisha kingine.

Mathayo 6:19-21.

Luka 12:13-21.

Luka 16:9.

Mathayo 6:33.

Ufunuo 14:13.

mangala3

 

mangala4

ENGLISH: THE CLEVER NG’WENGE (BIRD) BUILT ITS NEST USING HEADS OF GRAIN.

The source of this saying comes from the life of a bird known by the name of Ng’wenge in Kisukuma language. This bird is considered to be very intelligent and clever. It tends to keep its food for a long time; until the next season of harvesting comes. This bird tends to build its nest using heads of grain as a way also to protect its collected food from being destroyed. It ensures that the food remains in the heads of grain thus not easily destroyed by agents of destruction.

This saying can be compared to a person who uses his/her mind to search for food and store it properly when he/she finds it. This person can be a very good hard worker and he/she aims at having enough food that can last for a long time. This person is also credited for being a careful person who knows how to plan for future.

The saying teaches people about using their brains in fulfilling their responsibilities and carefully packaging their food they receive so that it can be used for a long time; until the next harvesting season.

Matthew 6: 19-21, Luke 12: 13-21, Luke 16: 9, Matthew 6:33, Revelation 14:13.