Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kukikalile ka noni iyo igitanagwa Ng’wenge. Inoni yiniyo ili na masala mingi, na hangi ili ndalanhanhu noyi. Iyoyi Igichob´elaga jiliwa ja gulya mpaga gushiga ha ng´waka gungi ugogubisha jiliwa jingi. Niyo igabhambilaga amangala, kugiki ijiliwa jinijo jidizub´ipa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Ng’wenge ndalanhanu igabhambilaga amangala.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumilaga chiza amazala gakwe bho gujitula ijiliwa ijo alijipandika, umutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga uguitumama imilimo yakwe chiza mpaga opandika jiliwa ja gudula guilisha ikaya yakwe bho makanza malihu. Uweyi agajitumilaga ijiliwa jinijo mpaga obisha jiliwa jingi.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wenge, kunguno nuweyi agagatumilaga amasala gakwe bho gujilang’hana chiza ijiliwa ijo agajipandikaga, umubhutumami bhokwe. Uweyi agikalaga na mhamba ya jiliwa iyo idulile guilisha ikaya yakwe, mpaka gushiga hikanza lya gubisha jiliwa jipya hangi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Ng’wenge ndalanhanu igabhambilaga amangala.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gugatumila amasala gabho bho gwigulambija gutumama milimo, na kujilanhana chiza ijiliwa ijo bhalijipandika, kugiki bhadule gujitumia mpaga gushika hikanza lya kubisha jiliwa jingi, umuwikaji bhobho.
Mathayo 6:19-21.
Luka 12:13-21.
Luka 16:9.
Mathayo 6:33.
Ufunuo 14:13.
KISWAHILI: NG´WENGE (NDEGE) MJANJA HUZIBIA MASUKE.
Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye maisha ya ndege anayeitwa Ng’wenge. Ndege huyo, ana akili nyingi pia ni mjanja sana. Mwenyewe hujitafutia chakula cha kula mpaka kufikia kipindi cha kuivisha chakula kingine. Yeye huchimbia masuke ili yasiharibike. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Ng’wenge (ndege) mjanja huzibia masuke.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake kwa kujitafutia chakula na kukihifadhi vizuri anapokipata, katika utendaji wake wa kazi. Mtu huyo, hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake, mpaga kufikia hatua ya kupata chakula kiwezacho kuilisha familia yakwe hadi wakati wa kuivisha chakula kingine.
Yeye hufanana na Ng’wenge, kwa sababu naye huzitumia akili zake kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yake, na kukihidhi vizuri chakula alichokipata ili kiweze kutumika mpaga chakula kingine kitakapoiva.
Mtu huyo, hufanana na Ng’wenge kwa sababu naye hujibidisha kutafuta chakula na kukihifadhi vizuri, kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘Ng’wenge (ndege) mjanja huzibia masuke.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, na kukihidhi kwa makini, chakula hicho wanachokipata, ili kiweze kutumika mpaka pale watapoivisha kingine.
Mathayo 6:19-21.
Luka 12:13-21.
Luka 16:9.
Mathayo 6:33.
Ufunuo 14:13.
ENGLISH: THE CLEVER NG’WENGE (BIRD) BUILT ITS NEST USING HEADS OF GRAIN.
The source of this saying comes from the life of a bird known by the name of Ng’wenge in Kisukuma language. This bird is considered to be very intelligent and clever. It tends to keep its food for a long time; until the next season of harvesting comes. This bird tends to build its nest using heads of grain as a way also to protect its collected food from being destroyed. It ensures that the food remains in the heads of grain thus not easily destroyed by agents of destruction.
This saying can be compared to a person who uses his/her mind to search for food and store it properly when he/she finds it. This person can be a very good hard worker and he/she aims at having enough food that can last for a long time. This person is also credited for being a careful person who knows how to plan for future.
The saying teaches people about using their brains in fulfilling their responsibilities and carefully packaging their food they receive so that it can be used for a long time; until the next harvesting season.
Matthew 6: 19-21, Luke 12: 13-21, Luke 16: 9, Matthew 6:33, Revelation 14:13.