stories

451. CHEMBELAGA AHA IKAYA YANE NHALE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho bhaligabhanha nyama. Aliyo lulu, umubhugabhani bho nyama yiniyo, uumo obho aligongeja guchembelwa nyama nhale, gitumo atogelilwe uweyi. Hunagwene agayombaga giki, ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga ginhu bho lugoto, nulu bho gung’ang’anila. Uweyi ahayile nulu gwisolela nu wei ng’winikili, kunguno ya wigongeja bhokwe, ubho guhaya apandike iginhu ginijo, gitumo atogelilwe weyi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki. ‘chembelaga aha ikaya yane nhale.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gulomba ginhu bho gung’ang’anila, kugiki bhadule gwinhiwa ijo bhalijilomba. Igeleliwe abhanhu bhenabho, bhabhizuke na bhichabho, ulu bhalilomba ginhu jilebhe.

Zaburi 78:15.

Yakobo 1:15.

2Petro 3:3.

Yuda 1:18-21.

KATIA HAPA MJI WANGU NI MKUBWA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa watu wanaogawana nyama kwa kukatiana. Lakini basi, katika kugawiana kwa nyama hiyo, mmoja wao hutaka kukatiwa kipande kikubwa kama atakavyo yeye. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huomba kitu kwa kung’ang’ania. Yeye hutaka hata kujichukulia mwenyewe, badala ya kusubiri kupewa na mhusika, kwa sababu ya ung’ang’nizi wake.

Yeye hutaka kupewa kipande kikubwa cha nyama hiyo, kama atakavyo yeye, bila kuwajali wenzake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘katia hapa mji wangu ni mkubwa.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuomba kitu kwa kung’ang’ania bila kuwajali watu wengine, ili waweze kupewa kile wanachokiomba. Yafaa pia watu hao, wawajali wenzao, wanapoomba kitu fulani.

Zaburi 78:15.

 Yakobo 1:15.

 2Petro 3:3.

 Yuda 1:18-21.

cut-meat

ham

ENGLISH: CUT IT HERE, MY FAMILY IS BIG.

The source of the saying comes from people who share meat. In the distribution of the meat, one of them wants to cut as big piece of it because of having a big family to feed. That is why he/she says, ‘cut it here, my family is big.’

The saying can be compared to aperson who asks for something persistently. He/she even wants to take it upon himself/herself rather than waiting to be given by the distributor in a fairly manner. Such a person can be labelled as selfish; he/she doesn’t consider his/her fellow in the distribution of available resources.

The saying teaches people to stop the tendency of being selfish rather care for others as well. In so doing people will be able to respect each other thus creating a very peaceful society.

Psalm 78:15.

James 1:15.

2 Peter 3: 3.

Jude 1: 18-21.

450. NDUHU MHAYO NU MHAYO GULIHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kuwikaji bho bhanhu, na mihayo yabho iyo bhuli ng’wene, aliiganika umung’holo yakwe.

Umuwikaji bho bhanhu bhenabho, ulu bhalihoya bhagashoshaga giki, nduhu mhayo, aliyo gashinaga bhaliganika mhayo, umumioyo jabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nduhu mhayo nu mhayo guliho.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo okenyiyagwa na ng’wiye, uyo agalekejaga bho mihayo duhu, aliyo umung’holo yakwe adalekejije.

Umunhu ng’wunuyo agalemaga nulu gulipwa nu ng’wiye uyo onkenyaga, kunguno ya giki, ongu onhekejaga. Aliyo lulu, umunhu  ng’wunuyo, agandyaga guyunhaya shibhi ukubhanhu, uyo onkenya ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nduhu mhayo nu mhayo guliho.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gufunya bhulekaja bho ng’hana, ukubhanhu abho bhabhakenya, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhichabho bhenabho,  umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:6:14-15.

 2 Wakorintho 2:10.

 Waefeso 4:32.

 Wakolosai 2:13.

 Wakolosai 3:13.

KISWAHILI: HAKUNA NENO NA NENO LIPO.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya watu, na maneno yao yaliyomo ndani ya moyo wa kila mmoja. Maisha ya watu hao, yana maongezi ya kawaida yawapatiayo nafasi ya kuyaeleza yale yaliyomo mioyoni mwao.

Lakini watu hao, wakipewa nafasi ya kutoa mawazo yao, hujibu kwa kusema kwamba, hakuna neno wakati, maneno hayo yamo mioyoni mwao.  Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘hakuna neno na neno lipo.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amekosewa na mwenzake, ambaye humsamehe mwenzake huyo, kwa maneno tu, lakini moyoni huwa bado ana hasira.

Mtu huyo, hukataa hata kupewa fidia kutoka kwa yule aliyemkosea, akidadi eti, amemsamehe. Lakini basi, mtu huyo huanza kumsema vibaya kwa watu, yule aliyemkosea. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘hakuna neno na neno lipo.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutoa msamaha wa kweli kwa watu walio wakosea, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 6:6:14-15.

 2 Wakorintho 2:10.

 Waefeso 4:32.

 Wakolosai 2:13.

 Wakolosai 3:13.

south-africa

ENGLISH: NO WORD AND A WORD IS THERE.

The source of this saying is people who happen to have concealed hatred towards others who have done something wrong to them. Such people tend to say that they have forgiven them while deep in their hearts they still have grievances. When asked if they have forgiven they reply by saying that they don’t have any more words to mean forgiveness while they don’t mean what they say. Such people are being described using the saying that ‘no word a word is there.’

This saying can be compared to a person who has wronged another person and asks for forgiveness. That person can pretent to have forgiven him/her to the extent of even refusing taking any sort of compensation, but deep in his/her heart, he/she still harbours feelings of revenge.

The proverb teaches people to give true forgiveness to those who have wronged them. This will enable them to have harmony with others in their lives.

Matthew 6: 6: 14-15.

 2 Corinthians 2:10.

 Ephesians 4:32.

 Colossians 2:13.

 Colossians 3:13.

449. GWISAGILWA NYAMA YIBUPU.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile wisagiji bho nyama yibupu. Inyama yiniyo ilindololo noyi, iyo igagulagwa bho hela ngehu duhu.

Kuyiniyo lulu, uyo aliisagilwe inyama yiniyo adudula ugwilya mpaga wiguta, kunguno ya bhudoo bhoyo bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agitindikaga ugujichola iginhu ijo jilina solobho nhale, kunguyo ya ‘gwisagilwa nyama yibupu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijjiygwa kuli munhu, uyo agisagilagwa ginhu ijo jidina solobho, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agalekaga uguitumama imilimo iyo ilina solobho, kunguno ya gwisagilwa ginhu jinijo ijo jidadulile nulu ugung’wambilija, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Hunagwene agalenganijiyagwa na ‘gwisagilwa nyama yibupu,’ kunguno nang’hwe, wisagililwe ginhu ijo jidina solobho, umuwikaji bhokwe.

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwisagilwa ginhu ijo jidulile gubhambilija ijinagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho, kutinda kujimiza makanza gabho bho gulindila ginhu, ijo jidina solobho.

Warumi 8:25.

Zaburi 62:9.

2 Wakorintho 12:11.

KISWAHILI: KUTUMAINI NYAMA YA KONGOSHO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia hali ya kutumaini nyama ya kongosho. Nyama hiyo ni ndogo sana na nyepezi, ambayo hununuliwa kwa bei ya chini sana.

Kwa hiyo, mtu yule anayeitumaini nyama hiyo hawezi kuila mpaka akatosheka. Mtu huyo, hujichelewesha kutafuta kitu ambacho kinathamani kubwa, kwa sababu ya ‘kutumaini nyama ya kongosho.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumaini kupata au hutegemea kitu kisicho na thamani katika maisha yake.

Mtu huyo, huacha kufanya kazi za maana, ambazo zinathamini, kwa sababu ya kutumaini kitu hicho ambacho, hakiwezi kumsaidia katika maisha yake.

Ndiyo maana, watu humlinganisha na ‘kutumaini nyama ya kongosho,’ kwa sababu naye hutegemea kitu kisicho na faida maishani mwake.

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kutumaini kitu ambacho chaweza kuwasaidia katika kuzijenga vizuri familia zao, maishani mwao, badala ya kupoteza muda wao, kwa kutegemea vitu visivyoweza kuwasaidia katika kuziendeleza familia hizo.

Warumi 8:25.

Zaburi 62:9.

2 Wakorintho 12:11.

meat-cow1

ENGLISH: RELYING ON THE PANCREACE MEAT.

The source of this saying is the pancreace meat that is believed to be very small in size and it is tender thus bought at a very cheap price. Therefore one who eats pancreace meat cannot easily get satisfaction. Instead, he/she is adviced to look for something of great value in order to have satisfaction because reliance on pancreace meat only can make one suffer from hunger.

This saying can be compared to a person who depends on worthless things for his/her survival. Such people are being warned against it by telling them not to ‘rely on the pancreace meat’ as a way to make them hard workers.

This proverb teaches people to hope for something that will help them better build their families. They don’t have to waste their times doing worthless things rather work hard and help their families to develop in different aspects.

Romans 8:25.

Psalm 62: 9.

2 Corinthians 12:11.

448. GUJA KUMASOSO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho gujunjika munhu, uyo ozumalikaga. Uguja ukumasoso, munho juga kujunjika munhu ng’wunuyo, uyo uchaga.

Ulu ucha munhu, abhanhu bhagibhilingaga guja kujunjika umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhukaga ‘guja kumasoso.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina miito gisungu lya guchajika abhachi. Umunhu ng’wunuyo agabhakomelejaga na abhiye, ugujubhajika abhachi bhabho bhenabho. Hunagwene bhagabhukaga, ‘guja kumasoso,’ ulu gigelaga.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nisungu lya gubhajika abhachi bhabho, na gubhalunguja abho bhachililwe, umuwikaji bhobho.

Yohana 11:18-19.

 2 Wakorintho 1:4.

KISWAHILI: KWENDA KILIONI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa  kwenda kumzika mtu aliyefariki. Kwenda kwenye kilio, maana yake ni kwenda kumzika yule aliyefariki.

Akifa mtu, watu hualikana kwenda kumzika. Ndiyo maana watu huamua ‘kwenda kilioni.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana matendo ya huruma kwa wafu. Mtu huyo, kuwahimiza pia wenzake kwenda kuwasika wafu wao.  Ndiyo maana huwaalika wenzake ili waweze huanza safari ya ‘kwenda kilioni.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na huruma kwa wafu wao, ili waweze kuwazika vizuri, na kuwafariji wale waliofiwa na wapendwa wao.

Yohana 11:18-19.

 2 Wakorintho 1:4.

people-burial

ENGLISH: GOING TO THE MOURNING.

The source of the saying comes from the process of burying a dead person. Mourning means celebrating the death of a person. When someone dies, people are invited to go and bury him/her. That’s why people can say, ‘going to the mourning.’

The saying can be compared to a person who has acts of compassion for the dead people to the extent of inviting others to attend burial ceremonies in order to honour the dead individuals.

The saying teaches people about being compassionate to their dead persons. They should bury them in a very respectable manner.

John 11: 18-19.

2 Corinthians 1: 4.

447. KWENGU NA KWENGULILA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile kikalile ka bhanbhu abho bhalibhashilimu pye abhose. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhuli ng’wene alihaya giki, amanile yose kukila ung’wiye, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga, ‘gwengu na kwengulila.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadidebhaga aha kaya yabho. Abhanhu bhenabho bhadidebhaga kunguno ya bhushilimu bhobho, ubho gwikala bhuli ng’wene andalahile ung’wiye. Hunagwene abhanhu bhagabhitagaga, ‘kwengu na kwengulila.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka bhushilimu bho gubhadalaha abhichabho, kugiki bhadule gwikala bhidebhile chiza, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 3:1-5.

KISWAHILI: MJANJA NA MJANJA.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia maisha ya watu ambao ni wajanja wote. Watu hao, huishi maisha ya kila mmoja kujikudai kufahamu kila kitu, kupita ng’wenzake. Ndiyo maana watu huwaita watu hao kwamba ni ‘mjanja na mjanja.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao hawawezi kuishi kwa pamoja. Watu hao hawaelewani kwa sababu ya ujanja wao wa kila mmoja kumdharau mwenzake. Tabia hiyo huwapelekea kushindwa kuishi kwa pamoja. Ndiyo maana watu huwaita watu hao, kwamba ni ‘mjanja na mjanja.’

Methali hiyo hufundisha watu, juu ya kuacha ujanja wa kuwadharau wenzao, ili waweze kuelewana vizuri na wenzao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-5.

soccer

ENGLISH: CLEVER AND CLEVER.

The source of this saying is two clever people who happen to be together sometimes. These two individuals happen to compete for knowledge; each one of them claiming to know better than the other.

This saying can be compared to people who cannot live together. Such people do not understand each other because of their individual ability that makes them despise each other. This behaviour leads to failure to live together. That’s why people can describe them using the saying that ‘clever and clever.’

The proverb teaches people about giving up the habit of belittling peers. People should respect individual abilities in order to create a ground for good understanding among members of the society.

Galatians 3: 1-5.