stories

491. JITINDE JA NGALU.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile linti ilo lyateng’wa lyubhiza igunguti. Iligunguti linilo, ligabhizaga lidimu guti linti lya gembe. Hunagwene ligitanagwa ‘jitinde ja ngalu,’ kunguno ya bhudimu bholyo bhunubho.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alina nguzu ja gutumama milimo chiza. Umunhu ng’wunuyo, adulile gugubheja chiza nimo gose gose. Uweyi agabhizaga aidulile milimo mingi, kunguno ya nguvu ijo alinajo, nu witegeleja bhokwe. Uwitegeleja bhunubho, bhugang’wambilijaga uguidebha na guitumama chiza imilimo iyo, aginhiyagwa.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa ni jitinde ija ngalu ijo jilijidimu, kunguno nang’hwe alindimu ugunoga ulu aliitumama imilimo yakwe. Akikalile kakwe, kagabhalangaja abhanhu higulya ya gubhiza na nguzu ya kuitumama chiza imilimo yabho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga umunhu ng’wunuyo, giki ali ‘jitinde ja ngalu.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na nguvu ja gudula kuitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwayo mingi, umuwikaji bhobho. Amatwajo genayo, gagubhambilija abhoyi ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mathayo 16:13-20.

Mathayo 21:42.

KISWAHILI: KISIKI KILICHO IMARA

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mti uliokatwa ukabakia kisiki. Kisiki hicho, huwa kigumu kama mti wa mninga. Ndiyo maana watu hukiita, ‘kisiki kilicho imara,’ kwa sababu ya uimara wake huo.

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu, yule ambaye ana nguvu za kumwezesha kufanya kazi zake vizuri. Mtu huyo, aweza kufanya kazi yoyote ile vizuri. Anao uwezo wa kuzitekeleza kazi hizo, kwa sababu ya nguvu zake na umakini wake. Umakini huo, humsaidia katika kuzielewa na kuzitekeleza vizuri kazi anazopewa na watu mbalimbali.

Mtu huyo, hulinganishwa na kisiki kilicho imara ambacho ni kigumu sana, kwa sababu, naye ni mgumu kushoka anapofanya kazi zake. Maisha yake, huwafundisha wenzake juu ya kuwa na nguvu za kuwawezesha kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana watu humwita, ‘kisiki kilicho imara,’ kutokana na uimara wake wa kuyatekeleza kwa umakini majukumu yake.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na nguvu za kuwawezesha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao. Mafanikio hayo, yatawasaidia watu hao katika kuzijenga vizuri familia zao.

Mathayo 16:13-20.

Mathayo 21:42.

jitinde

ENGLISH: A STRONG STUMP/A STUMP OF AN EBONY TREE.

The source of this saying is a strong stump or a stump of an ebony tree. This stump happens to be very strong to the extent of making people appreciate its strength. This saying is always likened to people who appear to be strong in their doings. Thus, they are being described using the saying that ‘they are strong stumps/stumps of an ebony tree.’

The saying can be compared to a person who has the power to perform his/her duties well. That person can do any job well. He/she has the ability to perform those tasks because of his/her power and focus. He/she can understand and perform the tasks assigned to him/her by a variety of people. By doing such strong jobs, this person is compared to a strong stump that is very hard to saw it.

The saying teaches people about the power to enable them to carry out their responsibilities properly so that they can achieve more in their lives. These successes will help those people to better build their families.

Matthew 16: 13-20.

Matthew 21:42.

490. WILEKA IKAYA YAKWE MASUMBI GALI HANZE.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile masumbi ayo galekagwa hanze na munhu nhebhe. Umunhu ulu ufunya hanze masumbi ga gwigasija, agagashoshaga mukaya, ulu uhaya gwinga. Aliyo lulu, ulu umunhu ng’wunuyo gwinga aha kaya yakwe bho nduhu ugugashosha umukaya amasumbi genayo, gagasaga haho hanze. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wileka ikaya yakwe masumbi gali hanze.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo opela nzala, aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo, agingaga bho nduhu ugulaga, kunguno agajaga guti alibihi, gashinaga na alisegendela.

Uweyi agalinganijiyagwa kuli munhu uyo oleka masumbi halihanze aha ng’wakwe, kunguno nang’hwe oyileka ikaya yakwe ilinzala. Gashinaga lulu, ugugachala mukaya amasumbi genayo, ikolile nu guipandikila jililwa ikaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu, bhagang’wilaga giki, ‘wileka ikaya yakwe masumbi gali hanze.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwuyumilija umumayange gose ayo gakomile gwigela ahakaya jabho, na kuchola nzila ja gugamalila, kugiki bhadule gujilanghana chiza ikaya jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6: 25-34.

Mathayo 11:28-30.

KISWAHILI: AMEIACHA FAMILIA YAKE VITI VIKIWA NJE.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia viti vya familia vilivyoachwa nje na mtu ambaye ndiye mwenye familia. Mtu akivitoa nje viti vya kukalia, huvirudisha ndani ya nyumba, akitaka kuondoka. Lakini basi, mtu huyo akitoka nyumbani kwake bila kuvirudisha ndani vitu hivyo, hubakia pale nje. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ameviacha viti vya familia yake vikiwa nje.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeikimbia familia yake kwa sababu ya njaa. Mtu huyo, huondoka nyumbani kwake bila kuaga, kwa sababu ya yeye kuondoka kama yuko karibu, kumbe ndivyo anavyoenda mbali.

Yeye hulinganishwa kwa mtu yule aliyeviacha viti vya familia yake nje, kwa sababu naye aliiacha familia ikiwa na njaa. Kumbe basi, kuviingiza ndani vile viti, ni kuipatia chakula familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ameviacha viti vya familia yake vikiwa nje.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia katika matatizo mbalimbali, yanayowakumba maishani mwao, kwa kuyatafutia ufumbuzi wake, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao.

Mathayo 6: 25-34.

Mathayo 11:28-30.

chairs

african

ENGLISH: HE HAS LEFT HIS FAMILY WHILE CHAIRS ARE OUTSIDE.

The source of this saying is someone who left his/her home. When someone takes his chairs outside his/her house he/she is expected to return them when leaving. But, there are people who will not dare to return them inside and therefore they are described using the saying that ‘he has left his family while chairs are outside.’

The saying can be compared to a person who flees his/her family because of famine. That peson can leave the family by pretenting that he/she is leaving for a while and soon will be back but in actual fact, he/she is leaving for good. He/she leaves the family suffering from hunger. Bringing in the chairs could mean bringing food for the family.

The saying teaches people about coping with various problems which affect their lives by looking for solutions. This can enable people to take better care of their families.

Matthew 6: 25-34.

Matthew 11: 28-30.

489. BHALIKOYA NA NG’HULWA.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola ng’hulwa. Ing’hulwa jili nhalanga ijo jigasagilaga hasi, ulu guteng’wa amatina. Ijoyi jigabhizaga jiti ningi ja gushiga nulu heyi, kunguno iningi ojitema ung’winikili ngunda. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agabhawilaga abhanhu giki, ‘bhalikoya na ng’hulwa.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ugihayaga bhusabhi ukubhanhu. Umunhu ng’wunuyo, nulu agagwasha mihayo adulile nulu gujinja ntugo gumo duhu, upandika hela ja guhebhela ikeyi yakwe.

Uweyi agahayaga giki, bhalikoya na bhushigo duhu, unigo untale gulihoyi na adinagukumya nulu hadoo. Uweyi adulile nulu gung’wa walwa, ubhawila abhanhu giki, bhalikoya na bhushigo duhu, iningi winajo. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘bhalikoya na ng’hulwa,’ inhalanga ujikula, jilimukaya yakwe.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwigimbila bhusabhi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Idichiza ugwimbila ginhu josejose, kunguno jidulile gushila makanza gosegose.

Luka 12:15-21.

Luka 21:1-4.

KISWAHILI: WANAHANGAIKA NA MABAKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mabaki ya mazao ya chakula shambani. Mabaki hayo, ni kalanga ambazo hubakia baada ya mkulima kuzivuna. Zenyewe huwa hazibaki nyingi, kwa sababu nyingi huwa zimevunwa na wenyewe shamba hilo. Ndiyo maana mwenye shamba hilo, huwaambia watu kwamba, ‘wanahangaikia mabaki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitapa na kujigamba kwa watu, kwa sababu ya utajiri wake. Mtu huyo, hata akipata kesi, huweza kuuza hata ng’ombe mmoja tu, akapata hela ya kuimaliza kesi yake hiyo.

Yeye huwaambia watu kwamba, waanahangaika na mabaki tu, mzigo mkubwa umo ndani, ambao haujaguswa hata kidogo. Yeye anaweza hata kunywa pombe, na kuwaambia wenye pombe hiyo kwamba, wanahangaikia mabaki tu, kwa sababu ya wingi wa mali zake hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘wanahangaikia mabaki,’ mali ameziweka ndani kwake.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kujivunia utajiri, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao. Yafaa waelewe kwamba, siyo vizuri kutambia kitu chochote, kwa sababu kitu hicho chaweza kuwaishia wakati wowote.

Luka 12:15-21.

Luka 21:1-4.

nhalanga

groundnuts

nuts

ENGLISH: THEY ARE EXCITED BY THE LEFT-OVERS.

The source of this saying is the left-overs of food or crops. These left-overs can be remains of food after someone has eaten to his/her satisfaction. It can also mean crops left behind after the owner of the farm has harvested and then someone else comes to gather the remains of crops. Such people are being described using the saying that ‘they are excited by the left-overs.’

The saying can be compared to a person who praises himself/herself for being rich. Such a person can even be engaged in a criminal case and bribe people to end the case. These kinds of people can openly tell others that he/she lives a kind of life that others cannot afford rather end up eating or drinking his/her left-overs. In return, the poor can be happy for having the lef-overs because that is only what they can afford.

The saying teaches people about giving up the pride of wealth so that they can live better with others in the society.

Luke 12: 15-21.

Luke 21: 1-4.

488. OBYAJA GWASHI.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola bhubyaja bho ginhu ijo jalijidiganikilagwa gwigela. Ubhubyaja bhunubho, bhulibho gubhagwisha ng’holo abhanhu abhangi, kunguno bhalibhadasendamilile uguibhona iyo yabyajiagwa yiniyo. Hunagwene, abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo, giki, ‘obyaja gwashi.’

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo otumagwa mhayo nhebhe, uyo agashigaga koyi obyajaga mhano gungi. Umunhu ng’wunuyo, ulu ogashiga uko otumagwa agayombaga heke duhu.

Uweyi agalenganijiyagwa nu munhu uyo obyajaga mihayo yakwe iyo bhalibhadiyiiganikilaga abhanhu abho bhantumaga, kunguno nanghwe agagugaluchaga umhayo uyo otumagwa guguchala hanhu. Hunagwene abhanhu, bhagang’wilaga giki, ‘obyaja gwashi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhanhu bhanghana umukikalile kabho, kugiki bhadule uguishisha chiza imihayo iyo bhatung’wa kuichala kubhichabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhayishishe jinabhunghana, imihayo iyo bhatung’wa guichala, bhadizuyigalucha.

Matendo ya mitume 5:1-5.

Yohane 8:31-32.

Mathayo 5:37.

KISWAHILI: UMEZALISHA MENGINE

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uundaji wa kitu ambacho hakikutegemewa kutokea au kuonekana. Uundaji huo, huwakatisha tamaa watu wengine, kwa sababu hawakutegemea kuyaona hayo yaliyozalishwa. Ndiyo maana watu hao humwambia mtu huyo kwamba, ‘umezalisha mengine.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ametumwa neno fulani, aliyefika kule alikotumwa, akatunga neno jingine, badala ya lile alilotumwa kulifikisha. Mtu huyo, alipofika alikotakiwa kuufikisha ujumbe huo, alisema tofauti na alivyotumwa.

Yeye hulinganishwa na mtu yule aliyezaliwa la kwake ambalo watu hawakutegemea kulisikia, kwa sababu naye alibadilisha neno alilotumwa kulipeleka, akasema tofauti. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘umezalisha mengine.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wakweli katika maisha yao, ili waweze kuufikisha vizuri ujumbe wa kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao. Yafaa, watu hao wawe wajumbe wa kuufikisha ukweli kwa wenzao, wanaoishi nao.

Matendo ya mitume 5:1-5.

Yohane 8:31-32.

Mathayo 5:37.

black-man

simu

ENGLISH: YOU HAVE PRODUCED ANOTHER ONE.

The origin of the saying looks at the creation of something that was not expected to happen or to be seen. The coming up of a new information, not the one intended, can discourage people who had a different expectation. This is why can describe this scenario using the saying that ‘you have produced another one.’

The saying can be compared to a person, to whom the word was sent, who arrived at the dispatch area and composed a different information instead of the one sent to convey. When he/she comes back to report, he/she comes with a quite different feedback that upsets those who sent him/her.

The saying teaches people about being truthful in their lives so that they can effectively convey the message as intended. This can help people to have peace of mind and be trusted.

Acts 5: 1-5.

John 8: 31-32.

Matthew 5:37.

487. KALAGU – KIZE. ANE ANE MPAGA TANGA: – MADANDALI GA MUNDUKA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola munduka iyo igikalaga na madandali ane. Imunduka yiniyo, idulile gupejiwa mpaga yushiga kule wikanza iguhi, kunguno ya wiyambilija bho madandali gayo, ayane geneyo.

Kuyiniyo lulu, ijisumva ijo jilina magulu ane, jigasiminzaga wangu wangu, nulu jidulile gupela wangu wangu mpaga jusegenela bho likanza liguhi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ane ane mpaga Tanga:- madandali ga munduka.’

Ikalagau yiniyo, igalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagiyambilija kihamo na bhichabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhadebhile ugutumama kihamo na bhichabho, gitu umo gagiyambiligijaga amadandali ayane aga munduka genayo.

Abhanhu bhenabho, bhali jigemelo ja gwikala kihamo bho gwiyambilija, umubhutumami bho milimo yabho. Umukikalile kabho kenako, bhagabhalangaga nabhichabho, ahigulya ya gubhiza halumo ijinaguitumama bho wiyambilija imilimo yabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘ane ane mpaga Tanga:- madandali ga munduka.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guitumama imilimo yabho halumo bho gwiyambilija, kugiki bhadule guimala wangu na kupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho.

Uwiyambilija bhunubho, bhudulile gubhinha nguzu ja kunondela Yesu bho bhukamu bhutale, ubho wikomile gubhashisha mpaga ng’wigulu.

Yahane 14:11-14.

Yohane 14:25-26.

Yohane 15:1-5.

2Wafalme 2:11-12.

Matendo ya mitume 4:32-37.

KISWAHILI: KITENDAWILI   –  TEGA.

NNE NNE MPAKA TANGA:- MAGURUDUMU YA GARI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia gari yenye magurudumu manne. Gari hilo, laweza kuendeshwa mpaka likafika mbali, kwa muda mfupi, kwa sababu ya kusaidiana kwa magurudumu hayo manne.

Kwa hiyo, viumbe vyenye miguu mine, hutembea kwa haraka hata vinaweza kukimbia kwa haraka mpaka vikafika mbali kwa muda mfupi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nne nne mpaka Tanga:- magurudumu ya gari.’

Kitendawili hicho, chalinganishwa kwa watu wale wanafahanya kazi zao kwa kusaidiana, maishani mwao. Watu hao, wanaelewa namna ya kuyatekeleza majukumu yao, kwa kusaidiana katika kumoja wao, kama yanavyosaidiana yale magurudumu manne mpaka yanafaulu kulifikisha mbali kwa muda mfupi gari hilo.

Watu hao, ni mfano wa kuigwa katika kuuishi umoja wa kusaidiana katika utekelezaji wa majukumu yao. Maisha yao, huwafundisha wenzao juu ya kuwa na umoja unaowawezesha watu kusaidiana katika kufanya kazi zao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘nne nne mpaka Tanga:- magurudumu ya gari.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuzifanya kazi zao katika umoja wa kusaidiana, ili waweze kuzimaliza mapema na kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Umoja huo, utawasaidia hata katika kumwamini Yesu na kumfuata hadi kumfikia Yeye mbinguni.

Yahane 14:11-14.

Yohane 14:25-26.

Yohane 15:1-5.

2Wafalme 2:11-12.

Matendo ya mitume 4:32-37.

chevrolet

jaguar

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

FOUR FOUR UP TO TANGA- CAR WHEELS.

The source of this riddle is the car and its tyres. The car can be driven for a long distance with the help of its tyres. This four-legged creature can move very fast to the extent of covering a very long distance within a very short period of time. To describe how the car is assisted by its tyres to reach such long distances people tend to use the riddle that ‘four four up to Tanga’ where Tanga is used as a measure of distance; the highest distance from where the car set off the journey.

This riddle can be compared to those people who do their works in collaboration with others. These people tend to understand each other on how to carry out their duties. They help each other in the same way tyres work until they reach their desired goals. Such people can be described as role models for others.

This riddle teaches people about doing their jobs in collaboration. This can help people to finish their works within a short time. In so doing, they will be making their families to have good and peaceful life. This unity can also help them to know how Jesus works in human minds. They can work together in ensuring that they follow Him to heaven after death.

John 14: 11-14.

John 14: 25-26.

John 15: 1-5.

2Kings 2: 11-12.

Acts 4: 32-37.