sayings

591. SULUMIDA YENIYI YAFULA MINZI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile sulumida. Isulumida yiniyo, lililiginhu lya gub’eja bho bhulolo, nulu b’o gupunza b’o linti. Ilyoyi ligatumamilagwa b’o gug’wisija ng’ombe minzi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘sulumida yeniyi yafula minzi.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nsabhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga na mang’ombe mingi, mbuli ni ng’holo najo jili ningi. Ahakaya yake, jilihoyi na ngoko, mbata na majiliwa nago gali mingi.

Umunhu ng’wunuyo, agiikolaga ni sulumida iyo yafula minzi, kunguno nuweyi ojikwija sabho jinijo, aha ng’wakwe. Uweyi usabha kunguno ya wigulambija bho gutumama milimo yakwe.

Agajitumilaga isabho jakwe bho gutuula bhatumami umumilimo, kugiki adule gubhalanga abhanhu bhenabho higulya ya wigulambija bho gutumama milimo yabho chiza.

Uweyi agabhagalilaga chiza abhatumami bhakwe bho gubhinha jiliwa jawiza na minzi, kunguno ojikwija isabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘sulumida yeniyi yafula minzi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija kuchola sabho bho guitumama imilimo yabho, bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gujilanghana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:46.

Mathayo 27:57.

2Wakorintho 8:9.

Ufunuo 3:17.

1Timothea 6:17-18.

KISWAHILI: HORI HILI LIMETOSHEKA MAJI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kifaa cha kunyweshea mifugo. Kifaa hicho, ni kitu kinachotengenezwa kwa tope au mti (yaani ni gongo lililochongwa vizuri). Chenyewe hutumiwa kwa kunyweshea ng’ombe maji. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Hori hili limetosheka maji.’

Msemo huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri wa mali nyingi katika maisha yake. Mtu huyo, ana mifugo kama vile: ng’ombe wengi, hali kadhalika mbuzi, na kondoo. Yeye ana kuku, bata na chakula kwa wingi katika familia yake.

Mtu huyo, hufanana na hori lilitosheka maji, kwa sababu naye ana mali nyingi nyumbani kwake. Yeye alitajirika kwa sababu ya kujibidisha kufanya kazi zake vizuri. Mtu huyo, pia huitumia mali yake hiyo, kwa kuweka vibarua katika kazi zake, ili aweze kuwafundisha watu juu ya kujibidisha kuzifanya kazi zao.

Yeye huwatunza vizuri pia wafanyakazi wake, kwa kuwapatia chakula kizuri na maji ya kutosha, kwa sababu ameshatajirika maishani mwake. Ndiyo  maana watu husema kwamba, ‘hori hili limetosheka maji.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutafuta mali kwa kufanya kazi zao kwa bidii kubwa, na kuzitumia vizuri wanapozipata, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:46.

Mathayo 27:57.

2Wakorintho 8:9.

Ufunuo 3:17.

1Timothea 6:17-18.

cow-drinking water

 

cow drinking water

cow drinking water1

ENGLISH: THIS TROUGH IS FULL OF WATER.

The source of this saying is a trouph animals use to drink water. This trouph is made up of wood or mud. People can put water in it for animals (for example, cows) to drink. To describe this trouph, people came with this saying that ‘This trouph is full of water.’

This saying can be compared to the richest person in a certain society. This person might be having a lot of wealth: cows, goats, sheep, chicken, ducks, etc. Like a trouph full of water, this person will appear as someone who is self-sufficient in his/her life because of his/her possessions. This persons’s possessions can be obtained through hard work. This person is also credited to taking good care of his/her stuff by providing them with all the necessities in life; food, water and shelter.

This saying teaches people about hard work. For one to become rich, he/she has to work hard.

Matthew 5:46, Matthew 27:57, 2 Corinthians 8: 9, Revelation 3:17, 1Timothy 6: 17-18.

590. BHANANG’WELI BHADI NA LULASI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhugaiwa bho lulasi bho bhanang’weli. Ulusi lunulo, bhuli wiyumilija bho gudula gugamala chiza amakoye ulu gigelaga.

Kuyiniyo lulu, abhanang’weli bhenabho, bhali bhanhu abho b’adi na wiyumilija umubhuli mhayo gwene. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhanang’weli bhadi na lulasi.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adumilile ugwiyumilija ulu opandikaga makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaminyikaga umo moyo gokwe, ulu opandikaga nulu ikoye idoo duhu, kunguno ya gubhiza adimpanuku umu moyo gokwe.

Uweyi adulile nulu guduma gulya jiliwa, kunguno ya gugwigwa mhayo ndoo, uyo uganyanjaga guti na bhanang’weli abho hadina wiyumilija nulu hadoo, umumayange gabho.

Umunhu ng’wunuyo, agongejaga makoye agagunhanghana ukubhiye, ulu gigelaga manyange, umuwikaji bhobho. Abhanhu abho agikalaga nabho, bhagang’wilaga giki wiyumilije, kugiki oye ugubhayanja abhiye, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, ‘bhanang’weli bhadi na lulasi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bhutale ulu bhapandikaga mayange, umukikalile kabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 10:13.

Matendo 26:3.

Wakorintho 6:6.

KISWAHILI: WATU WA MAGHARIBI HAWANA UVUMILIVU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kukosa kwa uvumilivu kwa watu wa magharibi. Watu hao hawana uvumilivu wa kuwawezesha kuyamaliza vizuri matatizo wanayoyapata hata kama yatakuwa madogo kiasi gani. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu wa magharibi hawana uvumilivu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hushindwa kuvumilia anapopata matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Mtu huyo, huumia moyoni mwake, akipata tatizo hata kama ni dogo namna gani. Yeye huhangaika sana akipata shida kama wanavyohangaika wale watu wa magharibi.

Mtu huyo, huongeza shida kwa wenzake, yakitokea matatizo kama yale ya msiba, ambao hufanya kazi ya kumtuliza, ili aache kuwahangaisha wenzake hao, maishani mwao. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘watu wa magharibi hawana uvumilivu.’

 Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu mkubwa, wanapopata matatizo, katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 10:13.

Matendo 26:3.

Wakorintho 6:6.

zulu-kingdom

lulasi1

lulasi

 

ENGLISH: THE PEOPLE FROM THE WEST OF TANZANIA HAVE NO PATIENCE.

The source of this saying comes from lack of patience among people from the Western part of Tanzania. These people are said to have no patience when it comes to solving their own problems, regardless of the type of the problem. This behaviour of the people from the Western part of Tanzania made people to come up with the saying that ‘The people from the Western part of Tanzania have no patience.’

This saying can be compared to a person who fails to cope with various problems in his or her life. Such a person will tend to suffer all the time, regardless whether the problem is serious or not.

 The saying teaches people about having a lot of patience when they have problems in their lives. This will help them to stay calmly in their families.

1 Corinthians 10:13, Acts 26: 3, Corinthians 6: 6.

588. UGUJIBHONA IJIJIGANHUULUJA JIMINOGENI.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kumiito ga ng’wa Jiminogeni. UJiminogeni ng’wunuyo, oli munhu o miito mab’i, kunguno ya  bhushiya bhokwe. Aho adinading’wa oyombaga giki, ‘duguminogaga ndafu’ (ginhu) jinogoleku.

Aliyo lulu, oho oding’wa umunhu ng’wunuyo, agatulwa noyi na guliwa b’ushiya. Hunagwene abhanbhu bhagayombaga mpaga lelo ukubhanhu abho bhali na nhungwa ja bhubhiya, giki ‘ugujib’ona ijijiganhuuluja Jiminogeni.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi, guti ya bhushiya yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alemile ugubhigwa abhanhu abho bhagang’wilaga giki, ajileke inhungwa jinijo, ija gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye.

Uweyi agikolaga nu jiminogeni, kunguno nuweyi agiitaga imahayo yiniyo iyabhubhi. Abhanhu abho bhajidebhile inhungwa jakwe jinijo, bhagang’wilaga giki, ‘ugujib’ona ijijiganhuuluja Jiminogeni.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka miito ga bhubhi, guti ga bhushiya na gangi, ayo giikolile na geneyo, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-28.

1Wakorintho 6:18-20.

Marko 7:20-23.

2Petro 2:4.

Ufunuo 2:21-22.

KISWAHILI: UTAKIONA KILICHOMFANYA JIMINOGENI ALIE.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye matendo ya mtu aliyeitwa Jiminogeni. Jiminogeni huyo, alikuwa mtu mwenye matendo maovu yakiwemo yale ya uzinzi. Alipokuwa bado hajakamatwa alikuwa akisema, ‘tunatafuta dafu, (kitu) laini.’

Lakini Jiminogeni huyo, alipokamatwa alipigwa sana, na kutozwa faini ya uzinzi. Ndiyo maana watu husema kwa watu wenye tabia kama hiyo hata leo, kwamba, ‘utakiona kilichomfanya jiminogeni alie.’

 Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu kama yale ya uzinzi, katika maisha yake. Mtu huyo, hataki kuonywa na wenzake juu ya kuiacha tabia yake hiyo mbaya.

Yeye hufanana na Jiminogeni, kwa sababu naye hutenda maovu kama hayo katika maisha yake. Watu wanaoifahamu tabia yake hiyo ya kutenda maovu, humwambia kwamba, ‘utakiona kilichomfanya jiminogeni alie.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha matendo maovu yakiwemo yale ya uzinzi, na mengine yanayofanana na hayo, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-28.

1Wakorintho 6:18-20.

Marko 7:20-23.

2Petro 2:4.

Ufunuo 2:21-22.

nshiya

 

ENGLISH: YOU WILL FACE WHAT MADE JIMINOGENI CRY.

The source of this saying is the actions of a man called Jiminogeni. This man was labelled my villagers as someone who is bad mannered. He could engage in immoral relationships like fornication. Before being caught red handed for his corrupt behaviour, he was boasting himself that he lives through eating “soft things”.

One day it happened that Jiminogeni was caught red handedly by people who disapproved of his behaviour. He was beaten off and fined for adultery. This scenario led to the formulation of the saying that ‘you will face what made Jiminogeni cry’ as a warning to others who have similar unacceptable behaviour.

 This saying can be compared to a person who commits immorality such as adultery in his/her life. This person does not want to be warned by his/her colleagues to stop his/her bad behaviour. He/she is like Jiminogeni who was adamant to accept people’s advice.

The saying teaches people to stop evil practices such as fornication, and the likes, in their lives.

Matthew 5: 27-28, 1Corinthians 6: 18-20, Mark 7: 20-23, 2 Peter 2: 4, Revelation 2: 21-22.

580. LIKULU LITI NA NG’OMA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kuwikaji bho kaya iyo idini bhelele. Ilibhelele nilino, jilitulilo ja jiliwa guti bhusiga na mandege. Ilyoyi likolile ni ng’homa.

Ikale bhuli kaya yali ni lulu nulu, ib’elele ilyagujitulila ijiliwa jabho. Giko lulu, ulu namugi ati niluli mumho ikaya yiniyo ilidina jiliwa. Hunagwene abhanhu bhahayaga giki, “Likulu liti na ng’oma.”

Akahayile kenako, kagalanganijiyagwa kuli munhu uyo adikalaga na jiliwa jingi, umukaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo adigulambijaga chiza uguitumama imilimo iyagudula gumpandikila jiliwa ja gutumila shigu ningi.

Uweyi agikolaga ni ikaya iyo idini ibhelele, nulu iyo idina jiliwa jingi, kunguno nuweyi, adikalaga ni mhamba iya aha shigu ijahabhutongi, mukaya yake. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Likulu liti na ng’oma.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gudula gubhambilija aha shigu iyahabhutongi.

Ijinagongeza, igelilwe abhanhu bhenabho, bhikale na jiliwa ja mhayo go ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 7:21-29.

Mathayo 25:14-30.

Yohana 15:1-8.

KISWAHILI: IKULU HAINA NGOMA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye maisha ya familia isiyo na ghala. Ghala ni kitu cha kuwekea chakula kama vile mahindi, na mtama kwa ajili ya kutumia kwa wakati ujao. Ghala hilo hufanana na ngoma.

Zamani kulikuwa na utamaduni wa kutunzia chakula cha famalia kwenye ghala. Hivyo, mzee wa familia ambaye hana ghala maana yake familia yake haina chakula. Ndiyo maana watu walisema kwamba, ‘ikulu haina ngoma.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi bila chakula chakutosha kuilisha familia yake. Mtu huyo, hajibidishi kuyatekeleza vizuri majukumu yake, ambayo yaweza kumpatia chakula cha kutumia kwa muda wa siku nyingi zijazo.

Yeye hufanana na familia ambayo haina ghala, ambayo ni familia isiyo na chakula kingi, kwa sababu naye huishi bila kuwa na chakula cha kutosha kuilisha familia yake, kwa muda wa siku nyingi zijazo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ikulu haina ngoma.’

 Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi yatakayowasaidia kwenye siku za mbeleni.

Zaidi ya hayo, watu hao wanatakiwa kuishi wakiwa na chakula cha kiroho ambacho ni neno la Mungu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao yote.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 7:21-29.

Mathayo 25:14-30.

Yohana 15:1-8.

nzala2

numba ibhinzikile bhu

nzala3

bible

ENGLISH: THE PALACE DOES NOT HAVE A WAREHOUSE.

The origin of this saying comes from a family that does not have warehouse of its own. A warehouse is something to store food such as maize, and millet for future use. Traditionally, people used to keep their food, especially dried ones, in warehouses for future use. A family that does not have a warehouse was considered to be a family with no food to eat. To describe such a family with no food, they used a saying that ‘the palace does not have a warehouse.’

The saying can be compared to a person who lives without enough food to feed his/her family. That person does not carry out his/her duties properly, which may provide him/her with food to spend for many days to come.

He/she is like a family without a granary, which is a low-income family, because he/she also lives without enough food to feed his/her family for many days to come. 

The saying teaches people about the responsibility to carry out their responsibilities properly, so that they can achieve many successes that will help them in future. In addition, these people are required to live on a spiritual food which is the word of God, so that they can live in harmony with others throughout their lives.

Matthew 13: 1-9.

Matthew 7: 21-29.

Matthew 25: 14-30.

John 15: 1-8.

579. GUSHIGA GWIBOLA NA TUNGE JALI GITI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile noni ijo jigitanagwa tunge. ITunge jinijo, jigafumilaga ahikanza lya limi lyaja kumagwilo. Kiyiniyo lulu, umugiti ijoyi jigamanaga julala bho madale madale, nugwibola nduhu. Hungwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gushiga gwibola na tunge jali giti.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’hungwa ja bhubhi. Abhanhu bhenabho, bhatogilwe guitumama imihayo ya bhubhi guti bhusambo, na bhushiya, ni yingi iyo yikolile yiniyo, mulikanza lya mugiti, kugiki bhadizubhonwa na bhanikili.

Abhoyi bhagikolaga ni tunge, kunguno nabhoyi bhatogilwe guitumamila mugiki imihayo iyabhubhi yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘gushiga gwibola na tunge jali giti.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu hugulya ya guleta ng’hungwa ja gwita mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 5:16-26.

Yohana 3:18-21

KISWAHILI: KUFIKIA KUGONGANA POPO UJUE KUWA LILIKUWA GIZA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ndege wanaoitwa popo.  Popo hao, hutokea wakati wa machoeo ya jua, kwa sababu wao hupenda kuruka wakati wa giza. Kwa hiyo basi, ndani ya giza hilo, wao huruka makundi wakifurahia hali hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufikia kugongana popo ujue kuwa lilikuwa giza.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale wenye tabia ya kutenda maovu katika maisha yao. Watu hao, hutenda maovu kama yale ya wizi, uzinzi, na mwengine mengi yanayofanana na hayo, wakati wa giza, ili wasionwe na wahusika.

Watu hao, hufanana na popo warukao gizani, kwa sababu nao wanapenda kutumia wakati huo wa giza kwa kutenda maovu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufikia kugongana popo ujue kuwa lilikuwa  giza.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kutenda maovu, maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao.

Wagalatia 5:16-26.

Yohana 3:18-21.

tunge

tunge2

tunge1

 

ENGLISH: REACHING THE TIME TO HIT EACH OTHER WITH BATS MEANS IT IS HEAVY DARKNESS.

The source of the proverb is bats that tend to fly during night time. Bats do not fly during day time. Therefore, at night, they enjoy flying from one point to another. That is why people can describe the movement of people during night hours to be likened to those of bats.

The proverb can be compared to those people who have a tendency to do evils in their lives. It can be stealing, commiting adultery and many other evils that people tend to commit in darkness so that they are not seen or caught. Such people with their evil deeds can be described using the proverb that ‘reaching the time to hit each other with bats means it is heavy darkness.’

The saying teaches people about giving up bad habits in their lives. This will enable them to have good relationship with their neighbours.

Galatians 5: 16-26. John 3: 18-21.