proverbs

259. UYO OCHA AGALUMBAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kuli munhu uyo agab’itilaga yawiza abhanhu umuwikaji bhokwe. Aliyo lulu abhanhu bhenabho b’adanumbaga umunhu ng’unuyo. Ulu ucha, hunabhandya lulu uguyuyomba giki, ‘umunhu ng’unuyo oli owiza noyi, niyo oli ngunani obhanhu noyi. Gashinaga guligong’hana igiki ‘uyo ocha agalumbagwa.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadalumbaga ulu b’itilwa yawiza. B’agikalaga bhundahija duhu umunhu uyo ubhitilaga ya wiza iyo ilikihamo na gubhambilija gwinga mumakoye gabho giti gugayiwa jiliwa. Abhanhu abho bhabhamanile abhanhu bhenabho igiki bhadi na bhulumbi uku bhichabho abho bhab’itilaga yawiza, bhagab’ahugulaga, bho guhaya giki, ‘uyo ocha agalumbagwa.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu kubhiza na kub’ulumbi ukubhanhu abho bhabhitilaga ya wiza. Ubhulumbi bhunubho bhugubhambilija abhanhu ijinagongeja bhukamu bho gutumama milimo yabho.

(Waebrania 12:3-5; Mithali 3:11-12; Luka 23:47).

KISWAHILI: ALIYEKUFA HUPEWA SHUKRANI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwa mtu awatendeaye wema watu wengine maishani mwake. Lakini basi, watu hao hawamshukuru mtu huyo. Akifa, ndipo huanza kusema hivi, ‘mtu huyo alikuwa mwema, tena alikuwa akisaidia watu sana. Kumbe ni kweli kwamba, ‘aliyekufa hupewa shukrani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wasiokuwa na moyo wa shukrani kwa watu wale wawatendeao mema. Wao huwa wanawadharau wale watendao wema kwao. Wema huo ni pamoja na kusaidiwa kuondoka katika matatizo mbalimbali, yakiwemo yale ya kukosa chakula. Hivyo watu wale wawafahamuo kuwa wana tabia hiyo, huwaonya kwa kusema hivi, ‘aliyekufa hupewa shukrani.’

Methali hiyo hufundisha watu  kuwa na shukrani kwa watu wawatendeao mema katika maisha yao. Shukurani hiyo itawasaidia watenda wema hao katika kuongeza bidii ya kufanya kazi zao vizuri zaidi.

(Waebrania 12:3-5; Mithali 3:11-12; Luka 23:47).

memorial-cemetary

ENGLISH: THE DECEASED IS GIVEN THANKS.

The origin of this proverb is a person who does good deeds to people in his/her life. But then, the people don’t thank the person. When he/she dies, such people begin to say, ‘The person was good, and he/she was very helpful. So then, it is true that ‘the deceased is given thanks.’

The proverb is used comparatively to remind those who are not thankful to those who do good deeds to them to be grateful. Such people tend to despise those who do good deeds to them. That goodness includes helping them to get away from a variety of problems, including food shortage. So the people who know they have good conduct, warn them, saying, ‘The deceased is given thanks.’

The proverb teaches people to be thankful to the people who do good deeds in their lives. Thanks to that, it will help those good people increase their efforts to do their jobs better than before.

Hebrews 12: 3-5.

Proverbs 3: 11-12.

Luke 23:47.

258. YANGULYATI IGACHAGA DILU, YANG’HONDI IGACHAGA MHINDI.

Imbuki ya lusumo lumlo ilolile ngulyati na ng’ondi. Ingulyati jilijisugwa ijo jili na yombo iyoigolechaga bhukali bhogwikenya. Ulu bhanhu bhali na bhukali bhunubho b’ushigile gwenheleja nulu kaya yucha wangu, guti dilu.

Ing’ondi jilijisugwa ijo jilijilyehu. Ubhulyehu bhunubho b’ugambilijaga ugwikala hakaya kihamo bho makanza malihu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ya ngulyati igachaga dilu, ya ng’ondi igachaga mhindi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa na kaya ibhili: ya bhanhu bhakali, na ya bhanhu bhalyehu. Ikaya iya bhanhu bhakali, idadilaga ugucha, kunguno ya yombo iyo bhalinayo abhanhu bhayo. Iyombo yiniyo igabhenhelejaga gwikenya nose nulu ikaya yiniyo igachaga bho likanza liguhi, ilo likolile na dilu. Gashinaga guligong’hana igiki ‘ya ngulyati igachacha dilu, ya ng’ondi igachaga mhindi.’

Ikaya iyakabhili ili kaya ya bhanhu b’alyehu abho bhikolile na ng’ondi. Ikaya yiniyo igalamaga kulikanza lilihu, kunguno ya b’ulyehu bho bhanhu bhenabho ubhogumana b’itongela nyalyehu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ya ngulyati igachaga dilu, ya ng’ondi igachaga mhindi.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu  gub’iza bhalyehu na guleka yombo. Ubhulyehu bhunubho bhugub’ambilija abhanhu ugub’uleka ub’ukali, kugiki ikaya jabho jidule gulama chiza.

(1 Kor. 13:4-7; Mithali 10:12; Waroma 12:9-10).

KISWAHILI: YA BEBERU HUVUNJIKA ASUBUHI, YA DOROME  HUVUNJIKA JIONI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia beberu na dorome. Beberu ni mfugo wenye kelele ioneshayo ukali wa kugombana. Watu wenye ukali wa namna hiyo hugombana kiasi cha kusababisha hata ndoa/familia kuvunjika mapema, kama asubuhi.

Kondoo dume ni mfugo mwenye upole. Upole huo husaidia katika kuishi pamoja kwenye familia kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu husema, ‘ya beberu huvunjika asubuhi, ya dume la kondoo huvunjika jioni.’

Methali hiyo hulinganishwa na familia mbili: ya watu wakali na ya watu wapole. Familia ya watu wakali haikawii kuvunjika kwa sababu ya kelele walizonazo watu hao. Kelele hizo huwaletea ugonvi upelekeao hata familia hiyo kuvunjika kwa muda mfupi, unaolinganishwa na asubuhi. Kumbe ni kweli kwamba, ‘ya beberu huvunjika asubuhi, ya dume la kondoo huvunjika jioni.’

Familia ya pili ni ya watu wapole ambayo hufanana na dule la kondoo. Familia hiyo hudumu kwa muda mrefu kwa sababu ya upole walio nao watu hao, ambao huendelea kuongozana kwa upole. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ya beberu huvunjika asubuhi, ya dume la kondoo huvunjika jioni.’

Methali hiyo hufundisha watu  kuwa na upole wa kuacha kelele maishani mwao. Upole huo utawasaidia katika kuacha tabia ya ukali ili familia zao ziweze kudumu katika pamoja katika imani kwa muda mrefu.

(1 Kor. 13:4-7; Mithali 10:12; Waroma 12:9-10).

 

ram

ENGLISH: THE BILLY GOAT’S HOME IS BROKEN IN THE MORNING, WHILE THAT OF THE RAM IS BROKEN IN THE EVENING.

The origin of this proverb is a he-goat and a ram. The he-goat is a chaotic and short-tempered domestic animal. Its short temper leads it into clashes and fights. For people with similar characters, this results into marriage failures or family disintegration after a short period of living together.

To the contrary, a ram is a gentle domestic animal. For people with gentleness character similar to that of a ram, their gentleness helps in living together and in strengthening family ties for a long time. That is why people say, ‘The billy goat’s home is broken in the morning, while that of the ram is broken in the evening.’

The proverb is used comparatively with reference to two families: a chaotic family and a gentle family. A chaotic family does not last for a long time because of the chaos. The chaos causes frustrations that may even lead to family disintegration after a short period of living together. Hence, it is true that, ‘The billy goat’s home is broken in the morning, while that of the ram is broken in the evening.’

The gentle family resembles a ram. Because of its gentle character, such a family lives for a long time since its people keep each other accompany with gentleness. That is why people say, ‘The billy goat’s home is broken in the morning, while that of the ram is broken in the evening.’

The proverb teaches people to be gentle in order to avoid chaos in their lives. Such gentleness will help them to avoid violent behaviour so that their families may stay together forever.

(1 Corinthians. 13: 4-7; Proverbs 10:12; Romans 12: 9-10).

257. UYO WACHA ADABHONAGA NG’WANA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile munhu uyo ocha uleka bhana. Umunhu ulu ucha agab’izaga adina nduguye nulu bhana, kunguno ung’unuyo wingaga igiki agubhagunanha. Gwike lulu, abho bhalekelagwa imhina jinijo habhanabho abho b’agujilela, na bhana bhenabho bhagubhakalalija bhoyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘uyo ocha adabhonaga ng’wana.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagab’alelaga chiza abhana abho bhachilwa na bhabyaji bhabho. Bhagabhasomishaga na gubhalela chiza abhana abhapina bhenabho.

Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhedeb’ile igiki unimo ugogubhalang’hana abhana bhenab’o guligobhapanga guti bhoyi, kunguno abho bhamala gwinga kuwelelo bhadadulile ugubhabhona abhana abhapina bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘uyo ocha adabhonaga ng’wana.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu  gudebha gubhalela chiza abhana abho bhachilya na bhabyaji bhabho. Ubhudebhi bhunubho bhugubhambilija abhana abho bhalibhapina, ijinagubhasomisha na bhubhalanga kikalile kawiza umuwikaji bhobho. Hukwene guhaya giki, abhapanga kihamo na bhaduguye bha njimiji, ha bhaleji bha bhana abho bhalib’apina, kunguyo, ‘uyo ocha adabhonaga ng’wana.’

(Zaburi 22:6-7; Yohane 19:26 -27).

KISWAHILI: ALIYEKUFA HAONI MTOTO.

Chanzo cha methali hii chaangalia mtu aliyefariki akaacha watoto. Mtu akifa huwa hana ndugu wala watoto, kwa sababu huyo hawezi kuwasaidia. Hivyo, walioachiwa yatima hao, wakiwemo ndugu za marehemu, ndio wale watakaowalea watoto hao. Yatima hao watawaangalia na kuwategemea hao walio hai. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘aliyekufa haoni mtoto.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale wawaleao vizuri watoto yatima. Watu hao huwasomesha na kuwapatia malezi yawezayo kuwasaidia watoto hao katika maisha yao. Watu hao, waelewa kuwa, jukumu la kuwalea watoto yatima ni la watu walio hai kama wao kwa sababu wazazi wa watoto hao, walishafariki dunia, hivyo hawawezi kuwaona yatima hao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘aliyekufa haoni mtoto.’

Methali hiyo hufundisha watu  kupokea jukumu la kuwalea watoto yatima. Upokeaji wa jukumu hilo, utawasaidia watoto yatima wengi katika kupata watu wa kuwasomesha na kuwapatia malezi yawezayo kuwasaidia kuishi maisha mema. Ndiyo maana watu kusema kwamba, watu walio hai ikiwa ni pamoja na ndugu zake marehemu, ndio walezi wa watoto hao yatima, kwa sababu, ‘aliyekufa haoni mtoto.’

Zaburi 22:6-7.

 

african-child1

cross1

ENGLISH: THE DEAD PERSON DOES NOT SEE A CHILD.

The origin of this proverb is the deceased who left children. When a person dies, he has no brothers or children, because he cannot help them. As such, those who have been left behind, including the relatives of the deceased, are the ones who will raise the orphaned children. The orphans will expect help from those who are alive. That is why people say, ‘The dead person does not see a child.’

The proverb is used comparatively to commend those who properly raise orphans. These people provide the orphans with education and the care that they need in their lives. Those people take the responsibility of providing the orphans with education and upbringing that can help them in their future lives.

Those people understand that the responsibility of raising the orphaned children is under those who are alive because their parents passed away and, hence, cannot see the orphans. That is why people say, ‘The dead person does not see  achild.’

This proverb instills in people the sense of accepting the responsibility of raising orphans. Accepting such a responsibility helps the orphans to get people who can support provision of their education and care for better lives. That is why people say that, the living people, including the relatives of the deceased, are the guardians of the orphans, because, ‘The dead person does not see a child.’

(Psalm 22: 6-7).

256. NUNU ADADIMAGWA SAGALA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile noni iyo igitanagwa nunu. Inoni yiniyo ilindalang’hanu gete na idijinogu ugwidima. Kunguno yiniyo, abhanhu bhagayombaga giki, ‘nunu adadimagwa sagala.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na masala ga kudebha chiza uguitumama imilimo yabho kugiki bhadizupandika makoye guti gagugaiwa jiliwa nulu gupejiwa mumilimo yabho. Abhanhu bhenabho bhamanile ugubhalanga abhichabho inzila ja gubhiza na bhulalang’hanu bhunubho.

Igabhizaga jidamu noyi abhanhu bhenabho ugupandika makoye guti ga nzala. Bhagikolaga n’i nunu yiniyo iyo idadimagwa sagala. Abhanhu bhenabho b’ajimanile inzila ja gwikinga na bhanishi guti: bhubuli, bho gusoma na gupandika bhumani, masada bho gusoma, masada bho gupandika bhumani  upanga, na bhuhab’i bho gutumama milimo na bhukamu bhutale.

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu  gub’iza na masala ga gwilang’hana na bhanishi mukikalile kabho. Amasala genayo gagubhambilija ijinagutumama milimo yabho bhobhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika jiliwa, jizwalo, na bhulalo bhobho. Ijinagongeja, amasala genayo gagubhambilija ugubhasomisha chiza abhana bhabho kugiki nabho bhapandike maendeleo matale mukikalile kabho.

KISWAHILI: FUMVU HAKAMATWI KIRAHISI.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia ndege ajulikanaye kwa jina la fumvu. Ndege huyo ni mjanja sana na huwa ni vigumu kukamatwa. Kwa sababu hiyo, watu husema, ‘fumvu hakamatwi kirahisi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wenye akili za kufahamu vizuri namna ya kufanya kazi zao ili wasiweze kupatwa na matatizo mbalimbali yakiwemo yale ya kuishiwa chakula nyumbani, na kufukuzwa kazi. Watu hao wafahamu namna ya kulea vyema pia wenzao kwa kuwafundisha njia za kuwa na ujanja huo wa kukwepa matatizo.

Huwa ni vigumu sana kwa watu hao kukumbwa na matatizo kama vile njaa katika familia zao. Ndiyo maana watu hao hufanana na ndege huyo fumvu ambaye hakamatwi kirahisi. Wao wanazifahamu njia za kupambana na maadui mbalimbali kama vile: ujinga, kwa kupata elimu, magonjwa kwa kupata elimu juu ya afya bora, na umaskini kwa kufanya kazi kwa bidii.

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na akili ya kuwapatia ujanja wa kujilinda dhidi ya maadui zao. Akili hiyo itawasaidia katika kufanya kazi kwa bidii kubwa, ili kumshinda adui umaskini, kwa kujipatia mahitaji yao kama vile chakula, mavazi na malazi. Zaidi ya hayo, akili hiyo itawasaidia katika kuwasomesha vizuri watoto wao kwa ajili ya kujipatia maendeleo makubwa maishani mwao.

(Luka 4:29-30; Mathayo 10:16-20)

 

nest-bird

ENGLISH: A LAUGHING DOVE IS NOT EASILY CAUGHT.

The origin of this proverb is a bird known as ‘laughing dove’.’ The bird is considered to be very clever, which makes it difficult to catch. That is why people say, ‘A laughing dove is not easily caught.’

The proverb is used comparatively to refer to people who have a good sense of how to do their jobs so that they do not suffer from a variety of problems, including food shortage, and dismissal from such jobs. They know how to properly nurture their peers by teaching them how to avoid such problems.

It is very difficult for such people to experience problems such as hunger in their families. That is why those people are likened to ‘a laughing dove’ which does not easily fall prey to traps. They are aware of ways to defend themselves against their enemies such as ignorance, disease and poverty through hard work and acquisition of education.

This proverb teaches people about having ingenuity and techniques to defend themselves against their enemies. This ingenuity will help them to work hard enough to defeat the enemy such as poverty through obtaining their basic needs such as food, clothing and shelter. In addition, the ingenuity will help them give their children better education for the greater achievements in their lives.

Luke 4: 29-30.

Matthew 10: 16-20.

255. MUNHU ADADIMILAGWA LUPAMBALA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile lupambala lo ng’wa munhu uyo opandaga ululeka. Ulupambala lunulo ludulile gwikola na lupambala lo ng’wa munhu ungi. Kuyiniyo lulu, ulu munhu wib’a jikolo adabhonilwe, bhadadulile ugundima kulwa lupambala lokwe duhu, mpaga bhamone bho miso gab’o. Iyiniyo igahayiyagwa ng’hanila yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘munhu adadimilagwa lupambala.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhadimaga na bhuhub’i abhichabho bho nduhu gwita b’ukengeji bho ng’hana, haho bhatali ugubhadima na bhuhub’i wenubho.

Abhanhu bhenabho bhagab’ibhonelaga abhichabho kunguno abhangi bhagatulagwa bhaminyiwa, na bhangi bhagatungagwa, aliyo bhadahubhile. Hunagwene abhanhu bhagab’awilaga abhanhu bhenabho giki, ‘munhu adadimilagwa Lupambala.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu  gwita bhukengeji bho nhana haho bhadina ndima munhu na b’uhubhi bhosebhose. Ubhukengeji bhunubho b’ugubhambilija bhanhu b’ingi kupila guminyiwa nulu gutungwa aliyo bhadahub’ile.

KISWAHILI: MTU HAKAMATWI KWA SABABU YA WAYO.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia unyayo wa mtu aliouacha pale alipokuwa amekanyaga. Unyayo huo huweza kufanana na unyayo wa mtu mwingine. Kwa hiyo, mtu akiiba bila kuonwa na watu, hawawezi kumshika kwa kutumia unyayo tu, mpaka wamuone kwa macho yao. Huo huitwa ushukuda wa kweli. Ndiyo maana watu husema, ‘mtu hashikiwi kwa unyayo.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale wawakamatao watu na makosa kabla ya kufanya utafiti wa kweli. Watu hao huwaonea watu kwa sababu wengine huumizwa kwa kupigwa na wengine hufungwa genezani wakati wahakutenda makosa hayo.  Ndiyo maana watu huwaambia watu kama hao kwamba, ‘mtu hashikiwi kwa unyayo.’

Methali hiyo hufundisha watu  kufanya utafiti wa kina kabla ya kumkamata mtu na kosa. Utafiti wa aina hiyo utawaepusha watu wengi kukamatwa bila kosa. Pia utawasaidia wakamataji katika kuwagundua wakosaji mapema na kuifurahia kazi yao hiyo ya kulinda usalama wa raia.

(Yohane 8:3-4).

 

foot2

vintage1

ENGLISH: A PERSON IS NOT ARRESTED FOR A FOOTPRINT.

The origin of this saying is a footprint of a person who left it where he/she trampled. That footprint may be similar to someone else’s. Therefore, if someone steals something without being seen by eye witnesses, he/she cannot be held responsible because of the footprint. Eye witnessing would be the only true evidence to hold such a person responsible. That is why people say, ‘A person is not arrested for a footprint.’

The proverb is used comparatively to those people who accuse other people of wrongdoing before conducting investigation. The accused people are sometimes bullied; hurt by beatings and others are imprisoned while they had not committed the crimes they are accused to have committed. That is why people tell the bullies, ‘A person is not arrested for a footprint.’

The saying teaches people to do a thorough investigation before arresting a person as a criminal. Such an investigation may save many people from being arrested without having committed any crimes. It will also help arresters to discover the offenders early and to enjoy their responsibility of ensuring the safety of the citizens.

(John 8: 3-4)