proverbs

358. AHO AGELELILE AMASALA GAKO NAHO ANDIJIJE AGANE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujisumva ijo jigiiganikilaga giki jilina masala mingi noyi. Ijisumva jinijo jidazunije  igiki alihoyi ungi uyo alina masala guti joyi. Hunagwene jigayombaga giki, ‘oho agelelile amasala gako naho andijije agane.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiygwa kuli munhu uyo witulile b’ushilimju bho gubhadalaha abhiye umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo ahayile ayombe weyi duhu, abhangi b’adizuyomba. Hunagwene agabhawilaga abhiye giki, ‘aho agelelile amasala gako naho andijije agane.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gudebha igiki, ilihoyi mingi iyo bhadayideb’ile, iyo bhadulile gulangwa na b’ichab’o abho bhayideb’ile chiza.

Gashinaga lulu, yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhejileke inhungwa ija bhudoshi bho gub’adalaha abhichab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele na abhichib’o , umuwikaji bhobho.

Zaburi 14:1-3.

Zaburi 54:1-3.

KISWAHILI: PALE ZIKOMEAPO AKILI ZAKO NDIPO ZIANZIAPO ZANGU.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kiumbe ambacho hujifikiria kwamba kina akili nyingi sana. Kiumbe hicho hakikubali kwamba, kuna kingine ambacho kina akili kama chenyewe. Ndiyo maana kiumbe hicho humwambia mwingine kwamba, pale zikomeapo akili zako ndipo zianziapo zangu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye hujifanya mjanja wa kuwadharau wenzake maishani mwake. Mtu huyo hutaka aongee yeye tu, wengine wasiongee. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, pale zikomeapo akili zako ndipo zianziapo zangu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuelewa kwamba, kuna mengi ambayo hawayafahamu, ambayo waweza kufundishwa na wenzao wanaoyaelewa vizuri. Kumbe yafaa watu hao, waache tabia za majivuno ya kuwadharau wenzao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 14:1-3.

Zaburi 54:1-3.

arms

 

ENGLISH: MY MIND BEGINS WHERE YOURS ENDS.

The source of this saying is a person who thinks that he/she is more intelligent than others. Such a person is not likely to admit that there are other people who are more intelligent than him/her. They tend to boast themselves by saying ‘my mind begins where yours ends.’

This saying can be likened to a person who pretends to despise others in life. Such a person would like to silence others and be the only one to speak.

The saying teaches people to have the humility that enables them to understand that they are also ignorant in some of the things in life. They sometimes need to be open by accepting the teachings of others.

Psalm 14: 1-3.

Psalm 54: 1-3.

357. GINGHI YALINDILA BHUSATU BHO NDUGU OYO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka ginghi. Iginghi yiniyo igikalaga bho gulya ginhu ijo jichile. Kuyiniyo lulu, iyoyi idulile nulu gunindila ndugu oyo asate na kucha, kugiki iyoyi idule gupandika jiliwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Ginghi yalindila bhusatu bho ndugu oyo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindilile ache ise, nulu nduguye, kugiki adule gupandika sabho. Umunhu ng’wunuyo wikolile ni Ginghi iyo yalindila bhusatu bho ndugu oyo, ache, ipandike jiliwa, kunguno nu weyi, alindilile lufu lo nduguye, lwigele, kugiki nawe apandike sabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, uweyi ali ‘‘Ginghi yalindila bhusatu bho ndugu oyo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuchola sabho bho nzila niza, idi bho gubhalombela gupandika yabhub’i abhichab’o, nulu gubhiganikila shib’i abhichab’o.

2Samweli 11:14-17.

KISWAHILI: BUNDI ASUBIRI UGONJWA WA NDUGUYE

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya Bundi. Bundi huyo huishi kwa kula vitu vilivyo kufa yaani, mizoga. Kwa hiyo basi, yeye aweza hata kusubiri ugonjwa umpate ndugu yake au baba yake, afe, yeye ale chakula. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bundi asubiri ugonjwa wa nduguye.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye husubiri kifo cha baba au ndugu yake, ili apate mali. Mtu huyo hufanana na Bundi yule aliyesubiri ugonjwa wa baba au ndugu yake, afe ili apate chakula, kwa sababu naye asubiri kifo hicho, ili apate mali. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, yeye ni, ‘Bundi asubiri ugonjwa wa nduguye.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutafuta mali kwa kutumia njia sahihi, siyo kuwaombea mabaya wenzao ili wao wapate mali.

2Samweli 11:14-17.

owl

 

ENGLISH: AN OWL WAITED FOR THE SICKNESS OF ITS RELATIVE.

The source of the above saying is the life of an owl that depends on sickness or death of its close relatives. As the saying shows, owls depend on carcasses therefore, the death of other birds means life to owls.  This is why people say, ‘an owl waited for the sickness of its relatives.’

The saying can be compared to a person who waits for the death of his/her relatives for him/her to flourish. That person is like an owl that is waiting for his relative to die in order to get food. This is why people tell such people that, ‘an owl waited for the sickness of its relatives.’

The proverb teaches people to look for wealth in the right way, not to pray for evils to befall their relatives for them to live a comfortable life.

2Samuel 11: 14-17.

354. NKULU WABUPA.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kubhutale na bhubupu bho ng’wa munhu. Ubhutale bhunuyo bhudulile golecha wikaji bho miaka mingi umusi, nulu bhupandiki bho nimo ntale umuchalo.

Ubhutale ubho miaki mingi, bhudashilaga. Aliyo lulu, ubhutale ubho gupandika nimo ntale bhugashilaga, ulu nimo gunuyo gwinjiwa. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘nkulu wabupa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo olina nimo ntale bho makanza malebhe, uyo aginjiwa umunimo gunuyo. Aho olina nimo umunhu ng’wunuyo, abhanhu bhalibhankujije, aliyo aho winjiwa aha nimo gunuyo, abhingi bhagandalahaga, kunguno hamo olindoshi aho olimunimo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkulu wabupa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhudoshi kubhanhu, ulu bhupandika milimo mitale. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhatumame milimo yabho bho gwikala ni kujo kubhanhu bhose.

Luka 15:13 -16

Daniel 4:30-33

KISWAHILI: MHESHIMIWA ALIYEKOKA HADHI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia ukubwa na wepesi wa mtu. Ukubwa huo waweza kuwa wa miaki mingi ya kuishi duniani, au wa kupata kazi kubwa mahali fulani.

Ukubwa wa miaka mingi haupiti. Lakini basi, ule ukubwa wa kupata kazi kubwa au wa kupata madaraka, huisha mara yaishapo madaraka hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mheshimiwa aliyekosa hadhi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu aliyepata madaraka kwa kupewa kazi kubwa katika maeneo yake, baadaye madaraka hayo yaliondolewa kwake.  Alipokuwa na madaraka hayo mtu huyo, watu alimheshimu sana, lakini alipokosa kazi, watu wengi walimdharau, pengine ni kwa sababu ya maringo na dharau zake kwa watu alizokuwa nazo wakati alipokuwa kwenye madaraka hayo makubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mheshimiwa aliyekosa hadhi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kudharau watu, na kuwa na majivuno, wakati wakiwa madarakani, maishani mwao. Yafaa watu hao wafanye kazi zao kwa kuishi kwa heshima na watu wote.

Luka 15:13 -16.

Daniel 4:30-33.

executive

 

successful

 

ENGLISH: THE UNRESPECTED HONOURABLE

The source of the above saying is a boss who has lost his/her status. This respect being talked about in this saying can come because of someone’s age or nature of job one is doing. The respect that comes from age can be more permanent than the one that comes from the nature of job. Therefore, there is a possibility of someone holding a top position in leadership to be demoted. In such a context, the demoted person can be labeled as unrespected honourable.

The saying can be compared to a person who has been given a great deal of responsibility in his/her area. When the power diminishes, he/she comes to be an ordinary person. This is why people call him, ‘the unrespected honourable.’

The saying teaches people to stop promoting stereotype in life by being arrogant when in power. Rather, they should do their jobs by respecting others as well.

Luke 15:13 -16.

Daniel 4: 30-33.

353. UGUGAPANDIKA AMAKOYE AGADINA NKULUYE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhupandiki bho makoye ayo gakilile pye ayo gab’ita. Amakoye genayo gaginjiyagwa na sab’o ijo alinajo uyo galampandike. Aliyo lulu umunhu ng’wunuyo, alijigusija isabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugugapandika amakoye agadina nkuluye.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agwigusijaga sabho jakwe. Umunhu ng’wunuyo agib’aga igiki, adulile gupandika makoye matale na ugaiwa isabho ijagwigunanila. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugugapandika amakoye agadina nkuluye.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka kujigusije sagala isabho ijo bhalinajo, kunguno jidulile gubhambilija, ulubhalapandike makoye, umuwikajo bhobho.

Mathayo 25:41.

KISWAHILI: UTAYAPATA MATATIZO MAKUBWA ZAIDI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye upataji wa matatizo, ambayo ni makubwa zaidi kupita yote yaliyopita. Matatizo hayo huondolewa kwa kutumia mali alizonazo yule atakayeyapata.

Lakini basi, mtu huyo huzichezea mali zake hizo zitakiwazo kutumika katika kumuondolea matatizo hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utayapata matatizo makubwa zaidi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzichezea mali zake alizonazo. Mtu huyo husahau kwamba, aweza kupata matatizo makubwa zaidi maishani mwake, na kukosa mali za kumsaidia katika kuyatatua. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utayapata matatizo makubwa zaidi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuzichezea mali walizonazo, kwa sababu mali hizo zitawasaidia wakati watakapopata matatizo, maishani mwao.

Mathayo 25:41.

man thinking

ENGLISH: YOU WILL ENTER INTO BIGGER PROBLEMS.

The source of the above saying comes from someone who has encountered some problems in life. These problems need to be resolved using some available resources in the family. In so doing, one finds himself/herself losing more resources in an attempt to solve the problem thus causing him/her to enter into bigger problems than the former ones. This is why people can warn such a person by saying, ‘you will enter into bigger problems.’

This saying can be compared to a person who plays with his/her possessions. Such a person forgets that he/she may experience more problems in future by spending the available resources in solving just one problem.

The proverb teaches people to stop playing with possessions they have because they will help them in future.

Matthew 25:41.

352. NUGU-TENGELWA B’O NYAMA NANG’HO WANDYA KUKOB’A JAMAGUHA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhutengelwa bho nyama hakaya ya ng’wa munhu nhebhe. Imyama jinijo jalijawiza pye ijose. Aliyo lulu untengelwa o nyama ng’wunuyo, agandya guyujichola nsoga guti giki, inyama ijingi jidijawiza. Hunagwene agawilagwa giki ‘nugutengelwa bho nyama nangho wandya gukob’a jamaguha.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindoshi, ogutogwa gujisondagula ijiliwa ijo wenhelagwa. Umunhu ng’wunuyo agandyaga guyuchola inyama iniza niza ijingi ojibhonaga giki, jidijawiza umukiganikile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nugutengelwa bho nyama nangho wandya gukob’a jamaguha.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhudoshi umukikalile kabho, kugiki bhadule gub’iza na bhulumbi ukubhanhu abho wagabhab’egejaga jiliwa.

Matayo 20:20-24.

KISWAHILI: NA KUTENGEWA NYAMA NAWE UKAANZA KUCHAMBUA ZA MIFUPA

Chanzo cha methali hiyo chaangalia kutengewa nyama kwenye familia ya mtu fulani. Nyama hizo zilikuwa nzuri zote. Lakini yule aliyetengewa ili azile, alianza kuzitafuta zile zilizonzuri, na kuziona zingine kama hazifai. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo, kwamba, ‘na kutengewa nyama nawe ukaanza kuchambua za mifupa.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mwenye majivuno ya kuvidharau vile anavyopewa na wenzake. Mtu huyo baada ya kutengewa chakula huanza kuzitafuta zile zilizonzuri na kuziona zingile kama hazifari. Ndiyo maana wenzake humwambia kwamba, ‘na kutengewa nyama nawe ukaanza kuchambua za mifupa.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za majivuno ya kuwadharau wengine na kukidharau chakula kile wapewacho maisha mwao.

Matayo 20:20-24.

african-meat

meat

 

ENGLISH: TO BE GIVEN MEAT AND BEGINNING TO LOOK FOR BONES.

The source of the above proverb is a story about someone being given meat. The story narrates about someone who was given meat and instead, began looking for bones as a way to disapprove the given food. People of this caliber are being criticized through this saying.

This proverb can be compared to a person who is arrogant and is not ready to appreciate what is being given by others. When given food to eat, he/she begins looking for its weaknesses and finally disapproves it. Such people are challenged by telling them that ‘to be given meat and beginning to look for bones’ in order to make them calm and appreciate what comes before them.

The proverb teaches people to stop being arrogant by despising others who appear to be helpful in their lives. Rather, they have to have a tendency of appreciation whenever they are being given something.

Matthew 20: 20-24.