myth

572. INGILI YA BHANA IDALUMAGWA MATIMBA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iyi igitangwa ngili. Indimu yiniyo, igikalaga ikingilwe na bhana bhayo umumagulu gayo. Kuyiniyo lulu, abhana bhayo bhenabho, bhagagashigijaga amatimba gayo, kugiki gadizulung’wa na ginhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhana bhingi abho bhagang’wimbilijaga, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agagunanagwa na bhana bhenabho, ulu opandikaga makoye.

Uweyi agikolaga ni ngili iya bhana iyo idalumagwa matimba, kunguno nuweyi, agalanghanagwa na bhana bhake bhenabho, bho gwambilijiwa umumakoye gakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gubhambilija chiza, ijinagubhinja umumakoye, umukikalile kabho.

Mathayo 28:16-20.

Marko 3:14-19.

Zaburi 127:3-5.

KISWAHILI: KIFARU MWENYE WATOTO HANG’ATWI MIGUUNI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mnyama poli anayeitwa ngili. Mnyaga huyo, huwa na watoto ambao huzunguka miguuni pake. Kwa hiyo basi, watoto hao huizuia miguu yake kung’atwa na kitu chochote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana watoto wengi wa kumsaidia katika maisha yake. Mtu huyo, hupata msaada wa kuyatatua matatizo mbalimbali maishani mwake.

Yeye hufanana na ngili mwenye watoto waizuiao miguu yake kung’atwa na kitu, kwa sababu naye ana watoto ambao humsaidia anapopata matatizo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wato, ili waweze kuwasaidia vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, katika maisha yao.

Mathayo 28:16-20.

Marko 3:14-19.

Zaburi 127:3-5.

ngili2

ENGLISH: THE RHINOCEROS THAT HAS BABIES IS NOT BITTEN ON HER LEGS.

The source of this proverb is the wild animal known by the name of Rhinoceros. This wild animal, when has children, its children will always surround their mother thus keeping their mothers’ legs always protected against any insect that is likely to harm them through their legs. It is through this kind of protection that people came up with this proverb that ‘the wild boar with children is not bitten on legs’ to communicate the power of children in protecting their mothers against enemies.

The proverb can be compared to a person who has children to support in his or her life. This person is capable of getting help from his/her children in his or her life. This person can be likened to wild boar with children who keep its feet from getting stuck. Children ensure the survival of their mother.

This proverb teaches people on how to take care of their children with hope that these children will help their parents when they are old enough to sustain their lives.

Matthew 28: 16-20. Mark 3: 14-19. Psalm 127: 3-5

571. AHA NHEGA BHADASAYAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile ligusha lya gutula Nhega. INhega yiniyo, igatulagwa yaja gwigulya guti boli. Ulu yutulwa chiniko, idulile guntula oseose ulu ishokile aha hasi. Uyo ilantule inhega yiniyo, adizusaya, kunguno adakililwe gwiyumilija duhu nulu agatulanijiwa na ng’wiye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘aha nhega bhadasayaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilija ulu opandikaga makoye, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agaidililaga na witegeleja bhutale imilimo yakwe, kunguno iyiniyo, hiyo igang’winhaga sabho ja gudula gung’wambilija uguilanghana chiza, ikaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhaligusha na nhega, kunguno nuweyi agalabhukagaga ulu aliitumama imilimo yakwe, wiyumilija chiza mpaka oyimala. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga uweyi giki, ‘aha nhega bhadasayaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza bhiyumilija umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umubhumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 10:13.

1Wathesalonike 1:6.

2Timotheo 4:4-8.

KISWAHILI: KWENYE MCHEZO WA TIARA HAWAKASIRIKI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mchezo wa tiara. Tiara hiyo, hupigwa na kwenda juu kama mpila. Ikipigwa hivyo, yaweza kumpiga yeyote, inaporudi chini. Yule itakayempiga asikasirike, kwa sababu ya yeye kutakiwa kuvumilia tu, kama sheria ya mchezo huo inavyodai. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kwenye mchezo wa tiara hawakasiriki.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia anapopata matatizo katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, huzijali kwa kuzitekeleza vizuri kazi zake, kwa sababu hizo, ndizo zinazompatia mali za kumwezesha kuiendesha vizuri familia yake.

Mtu huyo, hufanana na wale wachezao tiara, kwa sababu naye huvumilia anapoumia wakati wa utekelezaji wa majukumu yake. Yeye huyatekeleza majukumu hayo kwa uvumilivu mkubwa, hadi mwisho. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kwenye mchezo wa tiara hawakasiriki.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika kazi zao hizo, maishani mwao.

1Wakorintho 10:13.

1Wathesalonike 1:6.

2Timotheo 4:4-8.

africa-tanzania

ligusha1

 

ENGLISH: IN NHEGA’S GAME PLAYERS DO NOT GET ANGRY

The source of this saying is the nhega game. In the game, when the nhega is struck it goes up like a ball and when it falls down it can hit anyone around. The rules of this game say that anyone hit by the nhega is not supposed to become angry. This is why people are being forewarned that if one wants to play this game he/she is supposed to abide by the game rules by not becoming angry when hit by the nhega.

The saying can be compared to a person who perseveres when he/she experiences difficulties in performing his/her duties. This person cares for himself/herself and he/she does his/her works well. He/she does so because he/she knows that it is this job that makes his/her family survive. Therefore, he/she has to tolerate whatever condition he/she faces in the work place. Patience is what makes him/her live well in the society.

This saying teaches people to be patient in carrying out their responsibilities. In so doing, they can achieve more in life.

1 Corinthians 10:13. 1Thessalonians 1: 6. 2Timothy 4: 4-8

570. GASONGA NAGO DILEKE NA NAMBA/NHUMBU.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulekeji bho mahoya ga bhitogwa. Abho bhitogilwe bhadamalaga imihayo iyagwilomela, kunguno bhuli ng’wene agikalaga na ng’humbu nhale ya gwikala bhalilomela nu nwani ng’wiye. Nose bhagilekaga ukunu bhali na ng’humbu yiniyo ya gumana bhalihoya kihamo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘gasonga nago dileke na namba/ng’humbu.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na witogwa bho gwikala kihamo umubhutumami bho milimo yabho. Abhanhu bhenabho bhagahoyaga mihayo ya gwitogisha chiza, umukikalile ka bhutumami bhobho.

Abhoyi bhikolile na bhanhu abho bhali na bhunwani bho gutogwa gwilomela kihamo, kunguno nabho bhagilomelaga mihayo ya gwitogisha chiza umubhutumami bhobho.

Uwikaji bho bhanhu bhenabho bhugalangaga bhichabho gwikala na witogwa bhunubho, ubho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomgaba giki, ‘gasonga nago dileke na namba/ng’humbu.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gwikala na witogwa bho gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

(2 Wafalme 2:11; Luka 21:13-23).

KISWAHILI: NI SILAHA PIA TUKIACHANA TUKIWA NA SHAUKU.

Chanzo cha methali hii chatokea katika hali ya kukatisha maongezi ya wapendanao. Wapendanao hao huwa hawaishi hamu ama shauku ya kutaka kuendelea kuongea, kwa sababu ya kila mmoja wao kutaka kuendelea kuongea na rafiki yake huyo. Mwishowe, watu hao huamua kuachana huku wakiwa bado wana hamu ya kuendelea kuongea wakiwa pamoja hivyo. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘ni silaha pia tukiachana tukiwa na shauku [ya kuendelea na maongezi].’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale wanaopendana, katika maisha ya utekelezaji  wa majukumu yao. Watu hao huendelea kuongea maneno ya kufurahishana katika utendaji wa kazi zao.

Wao hufanana na marafiki wapendao kuongea pamoja, kwa sababu nao huongea maneno ya kufurahishana vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao.

Maisha ya watu hao huwafundisha wenzao kuishi kwa upendo huo wa kusaidiana katika utekelezaji wa kazi zao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘ni silaha tukiachana tukiwa na shauku [ya kuendelea na maongezi].’

Methali hiyo, hufundisha watu kuwa na upendo wa kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

(2 Wafalme 2:11; Luka 21:13-23).

bhakima bha madagascar

bhanwani africa

 

ENGLISH: IT IS A WEAPON TO PART WAYS WHILE STILL WITH DESIRE [TO CONTINUE THE CONVERSATION TO THE END].

The basis of this proverb is a need for two bosom friends to end a talk. Close friends would always not want finish speaking, because of each other’s desire to continued being close to a friend and keep talking to the him or her. In the end, when it is inevitable to do so, they decide to end the conversation while still with the desire to continue talking together to the end of the talk. That’s why those people say, ‘It is a weapon to part ways while still with desire to continue the conversation to the end.’

This proverb is used comparatively to refer to those people who love one another who work together in their life of carrying out their responsibilities. In performing their duties, such people always speak cheerful words.

They are like friends who like to talk together, because they speak cheerfully in the execution of their responsibilities, in their lives.

The lives of those people teach others how to live loving and helping each other. That’s why those people say, ‘It is a weapon to part ways while still with desire continue the conversation to the end.’

The proverb teaches people to appreciate carrying out their responsibilities by helping each other the result of which is to better in their lives and build strong families.

(2 Kings 2:11; Luke 21: 13-23).

569. NANI ADULEBHIJE MAZUNZE/MAZUNZU?

Imbuki ya kahayile kenako yingile kuwilebhya bho mazunze. Amazunze genayo gali mawe gagung’wisija mitugo minzi. Umunhu uyo alina mazunze matale agiganikaga giki abhalebhije abhiye. Hunagwene agabhujaga giki, ‘nani adulebhije mazunze.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe gwihaya giki alinajo bho bhuli ginhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhiye kunguno ya gwimana weyi duhu umukikalile kakwe. Uweyi adazunyaga ugulebhiwa ginhu na ng’wiye, kunguno ya wihayi bhokwe bhunubho ubho gwituula bhumani bho bhuli ginhu.

Umunhu ng’wunuyo agikalaga alemile ugulangwa ginhu na bhiye, kunguno ya nhungwa jakwe ijagubhabyeda abhiye bhenabho umukikalile kakwe. Uweyi agikumuchaga ukubhanhu giki, adulile pye iyose, na alinajo bhuli ginhu. Hunagwene agabhujaga giki, ‘nani adulebhije mazunze.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu kuleka wihayi bho bhubhi, nulu wihayi bho bhumani bho bhuli ginhu umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

(Zaburi 10:3; Warumi 11:36; Wagalatia 6:14; Luka 2:14).

KISWAHILI: NI NANI ATUZIDIYE MANYWESHEO?

Chanzo cha msemo huu ni ushindani wa kuonyeshana manywesheo ya mifugo. Manywesheo hayo, ni mawe yatumikayo kunyweshea maji mifugo. Mtu mwenye mawe yaliyo makubwa hudhani kwamba, hakuna mwingine anayeweza kumzidi. Ndiyo maana yeye huuliza, ‘Ni nani atuzidiye manywesheo?’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda kujidai kuwa ana kila kitu maishani mwake. Mtu huyo huwadharau wenzake kwa sababu ya kujidai kwake kuwa na kila kitu. Yeye pia hakubali mawazo ya wenzake, kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kujiona kuwa anajua kila kitu.

Mtu huyo hataki kufundishwa kitu na wenzake, kwa sababu ya dharau aliyo nayo kwa watu katika maisha yake. Yeye hujitangaza kwa watu kwamba ana kila kitu; kwa maana hiyo, yeyé ni kama tajiri anayewazidi wenzake. Ndiyo maana huuliza kwamba, ‘nani anatuzidi manywesheo?’

Msemo huo hufundisha watu kuacha tabia ya majivuno ya kuwadharau wenzao, au kujidai kuwa na kila kitu katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao maishani mwao.

(Zaburi 10:3; Warumi 11:36; Wagalatia 6:14; Luka 2:14).

cows-ng

mazunze

people singing

 

ENGLISH: WHO THINKS HAS GREATER DRINKING STONE-TROUGHS THAN OURS?

The foundation of this saying is livestock herders competition relating to ownership of better places from where livestocks can drink water. These places are originally stone-troughs. A person with such stones thinks that no one else can surpass him. That is why he asks, ‘who thinks has greater drinking stone-troughs than ours?’

The saying is used comparatively to refer to people who claim to have everything in life. They despise others because of the thinking that they have everything. They also don’t approve or appreciate ideas from others, because of their arrogance and thinking that they know everything.

A person with such mentalities doesn’t want to be taught by others, because of the contempt he/she has for people, in his life. He/she seeks attention and fame from other people by bragging that he/she has everything; in that sense, he/she is like the richest of his/her friends. That is why he/she asks, ‘who thinks has greater drinking stone-troughs than ours?’

The saying, teaches people to swallow their pride and abandon the attitude of despising others, or claiming to have everything in life so that they can live harmoniously with their peers.

(Psalm 10: 3; Romans 11:36; Galatians 6:14; Luke 2:14).

568. IZUMO LIGALANDAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile izumo. Ilizumo lyinilo, bhuli bhubhi ubho bhugampandika umunhu uyo wita mihayo ibhengwe kuli myaji okwe, nulu kuli ntale ungi uyo adimilile wasa bho myaji okwe.

Uyo ozung’wa ng’wunuyo agitaga mihayo ya bhubhi iyo abhagalekejaga na bhanhu bhakwe, kunguno ya gwilanga nhungwa jabhubhi gubhitila kuli weyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga’.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ozung’wa na ntale okwe, kunguno y’ibhengwe ilo ong’witila. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na miganiko mabhi, kunguno ya kulema kulomba bhulekejiwa bho bhuhubhi bhokwe ukuli ntale okwe ng’wunuyo.

Uweyi opandika izumo ilo ligalandaga guti lya ng’wa Adamu nu Eva, abho bhagang’hubhila UMulungu ubhazuma. Ilizumo lyinilo ligabhashigilaga abhanhu, kunguno ya bhuhubhi bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu guleka gubhitila ibhengwe abhatale bhabho umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichabho, na gugwasha matwajo mingi umuwikaji bhobho.

(Mwanzo 3:13-17; Warumi 3:23; 2Petro 2:14).

KISWAHILI: LAANA HUTAMBAA.

Chanzo cha methali hii chaangalia kuenea kwa laana. Laana hiyo ni ubaya unaompata mtu mwenye maneno au matendo ya dharau kwa mzazi wake, au mtu mwingine ambaye hushika nafasi ya mzazi wake.

Mtu huyo aliyelaniwa hutenda maovu ambayo huwaambukiza pia wenzake tabia hiyo, kwa sababu ya kuyaiga matendo hayo maovu katika maisha yake mtu huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana hutambaa.’

Methali hii hulinganishwa kwa mtu yule aliyelaniwa na mkubwa wake kwa sababu ya dharau aliyomfanyia. Mtu huyo huwa na mawazo mengi kwa sababu ya kukataa kwake kuomba msamaha kwa mkubwa wake huyo.

Yeye alipata laana inayoenea kwa wengine kama ile ya Adamu na Eva, waliyoipata baada ya kumkosea Mungu. Laana hiyo huwafikia watu wengine kwa sababu ya ubaya wao wa kukosa utii kwa Mungu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana hutambaa.’

Methali hii hufundisha watu kuacha kuwadharau wakubwa wao katika maisha yao; badala yake, wawaheshimu kwa kuwaombea, ili waweze kupata baraka za kupata mafanikio mengi maishani mwao.

(Mwanzo 3:13-17; Warumi 3:23; 2Petro 2:14).

 

ENGLISH: A CURSE CREEPS.

The origin of this proverb is the spread of a curse. A curse is a misfortune that results from a person’s derogatory actions toward his or her parent or any other person who occupies his or her parent’s place.

The victim commits evil deeds that some other people imitate and suffer the consequences. That is why people say, ‘A curse creeps.’

The proverb is used comparatively as a reminder to those people who despise their superiors that because of the contempt and refusal to apologize, they are prone to suffering from prolonged stress.

That being the case, such people may be said to under a curse that spreads or creeps to others, like that of Adam and Eve, which they received after they sinned against God. This curse creeps to other people because of their disobedience to God. That is why people say, ‘ A curse creeps.’

This proverb teaches people to refrain from despising their superiors in their lives; instead, they should honour them through intercession, so that they can receive the blessings of achieving great and successful lives.

(Genesis 3: 13-17; Romans 3:23; 2 Peter 2:14).

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile izumo. Ilizumo linilo, bhuli bhubhi ubho bhugampandika umunhu uyo wita mihayo ibhengwe kuli myaji okwe, nulu kuli ntale ungi uyo adimilile wasa bho myaji okwe.

Uyo ozung’wa ng’wunuyo, agitaga mihayo ya bhubhi, iyo abhagalekeja na bhanhu bhakwe, kunguno ya gwilanga nhungwa jabhubhi gubhitila kuli weyi. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ozung’wa na ntale okwe, kunguno ibhengwe ilo ong’witila. Umunhu ng’wunuyo, agigalaga na miganiko mabhi, kunguno ya kulema kulomba bhulekejiwa bho bhuhubhi bhokwe, ukuli ntale okwe ng’wunuyo.

Uweyi opandika izumo ilo ligalandaga guti lya Adamu nu Eva, abho bhagamhubhila UMulungu, ubhazuma. Ilizumo linilo ligabhashigilaga abhanhu, kunguno ya bhuhubhi bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka gubhitila ibhengwe abhatale bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichobho, na gugwasha matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:13-17.

Warumi 3:23.

2Petro 2:14.

KISWAHILI: LAANA HUENEA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia kuenea kwa laana. Laana hiyo, ni ubaya unaompata mtu mwenye maneno au matendo ya dharau kwa mzazi wake, au mtu mwingine ambaye hushika nafasi ya mzazi wake.

Mtu huyo aliyelaniwa, hutenda maovu ambayo huwaambukiza pia wenzake tabia hiyo, kwa sababu ya kuyaiga matendo hayo maovu, kwenye maisha yake mtu huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana huenea.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyelaniwa na mkubwa wake kwa sababu ya dharau aliyo mfanyia. Mtu huyo, huwa na mawazo mengi kwa sababu ya kukataa kwake kuomba msamaha, kwa mkubwa wake huyo.

Yeye alipata laana inayoenea kwa wengine, kama ile ya Adamu na Eva, waliyoipata baada ya kumkosea Mungu. Laana hiyo, huwafikia watu kwa sababu ya ubaya wao wa kukosa utii kwa Mungu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana huenea.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau wakubwa wao, katika maisha yao, badala yake wawaheshimu kwa kuombea, ili waweze kupata baraka za kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 3:13-17.

Warumi 3:23.

2Petro 2:14.

tanzania

nkongo

ethiopia