myth

665. NULU UGABHELA NO BHADUGUTOGWA BHOSE.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile wikaji bho wiza na bhanhu. Uwikaji bhunubho, bhuli bho ng’wa munhu uyo ali na nhungwa jawiza, uyo bhadantogagwa abha nhungwa jabhubhi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nulu ugabhela no bhadugutogwa bhose.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho gujikalana inhungwa ijawiza, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile uguita iyawiza ukubhiye, bho bhutogwa ubho bhuli bho nghana umu ng’holo yakwe. Uweyi agiyumilijaga uguitumama imilimo yakwe bho wigulambija bhutale, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gwikala na bhanhu chiza ukubhiye, kunguno ya kikalile kakwe kenako, ako kagolechaga wiyumilija ahikanza lya gubyedwa na bhanhu abho bhali nhungwa ja bhubhi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nulu ugabhela no bhadugutogwa bhose.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gujikalana inhungwa ijawiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo agagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali (Hekima) 2:1ª, 12-22.

KISWAHILI: HATA UKIWA MZURI MNO HAWATAKUPENDA WOTE.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia namna ya kuishi vyema na watu. Maisha hayo, ni ya mtu mwenye tabia njema, ambaye watu walio na tabia mbaya humchukia, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘hata ukiwa mzuri mno hawakakupenda wote.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na uvumilivu wa kuyaishi maadili yaliyomema, maishani mwake. Mtu huyo, anafahamu kutenda wema unaotoka ndani ya moyo wake ambao una upendo wa kweli. Yeye huvumilia katika utekelezaji wa majukumu yake, ambayo huyakamilisha kwa bidii kubwa, katika maisha yake.

Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya mwenendo wake ambao huonesha uvumilivu wakati anapodharauliwa na watu walio na nia mbaya. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘hata ukiwa mzuri mno hawakakupenda wote.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuendelea kuyaishi maadili yaliyo mema, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Mithali (Hekima) 2:1ª, 12-22.

good people

good people.jpg1

good people.jpg2

 

ENGLISH: YOUR BEAUTY DOES NOT MEAN TO BE LOVED BY ALL PEOPLE.

The source of this saying is the way to live with people. Under normal circumstances in life, good people tend to be hated by the bad ones. This is why people came with this saying that ‘your beauty does not mean to be loved by all people.’

This saying can be compared to a person who has the patience to live the good values ​​in his/her life. This person knows how to do good things from his/her heart. Such a person can tend to complete his/her tasks within the given time. In so doing, these people become role models to others who would wish to be the same as them. In contrast, the bad ones will hate them and do whatever means possible to blackmail them.

This saying teaches people to have the patience to continue living the right values in their lives. In doing so they can become very successful in improving their families in their lives.

Proverbs (Wisdom) 2: 1ª, 12-22.

664. KUBHELA KUBHO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubheja bho ginhu kubhanhu bhalebhe. Ubhubheja bhunubho, bhuli bho kulwande lobho duhu, kunguno abhoyi bhahayile giki, imisoga ibhize kubhoyi duhu, abhangi bhayigayilwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki bha ‘kubhela kubho.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhahayile bhapandike bhoyi duhu, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhalina wilu bhogutumama milimo yabho iyo idulile gubhambilija ugupandika matwajo mengi abhoyi, kunguno bhadatogilwe igiki bhagapandike, abhichabho. Abhoyi ulubhigwa giki bhapandikaga ginhu jawiza abhichabho, bhagakolagwa, kunguno ya wilu bhobho bhunubho.

Abhanhu bhenabho, bhiyikolile nabho bhahayile giki, bhabheje bhoyi duhu, kunguno nabhoyi bhagakolagwa ulu bhapandika jawiza abhichabho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagabhalanjaga bhugugu abhanhu bhabho, kunguno ya wilu bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki bhatogilwe ‘kubhela kubho.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka wilu bho gubhadakila abhichabho abho bhapandikaga jawiza, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umukikalile kabho.

Luka 18:10-11.

Zaburi 73:1-4.

KISWAHILI: BORA KWAO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia utengenezaji wa kitu kwa watu fulani. Utengenezaji huo, ni wa upande wao tu, kwa sababu wao wanataka mafanikio mengi yawe kwao, na wengine wayakose. Ndiyo maana watu hao hutaka hali iwe ‘bora kwao.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hutaka wapate wao tu, katika maisha yao. Watu hao, wana wivu wa kufanya kazi zile zinazoweza kuwasaidia kupata mafanikio wao, kwa sababu wao hawapendi wenzao, wafanikiwe. Hivyo wao wakisikia kwamba, wenzao wamepata mafanikio, huchukia mioyoni mwao, kutokana na wivu huo walio nao.

Watu hao, hufanana na wale watakao kupata mafanikio mengi wao tu, kwa sababu nao huchukia wanapofanikio wenzao, katika maisha yao. Wao huwafundisha watu wao kuwa na wivu huo, kwa sababu ya mifano yao wanayowaonesha. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba wao hutaka hali iwe ‘bora kwao.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha wivu wa kuwachukia wenzao wanaopata mafanikio, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao hao, maishani mwao.

Luka 18:10-11.

Zaburi 73:1-4.

egoism

selfish ones

selfish ones.jpg2ENGLISH: THE BEST IS FOR THEM.

The source of this saying is the production of a certain product to be used by a certain group of people. Those people would like to have that product for their own use because they want more success in life. This is why people can describe individuals with such a behaviour using the saying that ‘the best is for them.’

The saying can be compared to those people who want something for their own benefits without considering others. Those people are envious of doing tasks that can help them to achieve their success. In case they hear others to have achieved in their lives, they hate them out of jelous. They therefore teach people to be jelous in life.

This saying teaches people to give up the behaviour of being jelous rather they have to respect other peoples’ achievements and use them as challenges for their struggle in life.

Luke 18: 10-11. Psalm 73: 1-4.

663. WINGI BHO MIHAYO BHUDABHEJAGA KAYA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kuwingi bho mihayo aha bhanhu bha hakaya ndebhe. Uwingi bho mihayo bhunubho, bhuli bho guduma ugwidegeleka chiza, kunguno bhuli ng’wene, agamagana uyomba mhayo gokwe. Imihayo yiniyo igabhejaga yombo ya guduma ugwiigwa chiza aha kaya yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagikalaga bhuyoga aha kaya yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagituulaga bhumani bho bhuli ng’wene gulema ugwiigwa imihayo ya bhiye, kunguno ya guhaya adegelekwe weyi duhu. Abhoyi bhagadumaga nulu gutumama kihamo imilimo yabho, kunguno ya gubhiza bhuli ng’wene na nimo gokwe, uyo aligubhona gusoga, umumiganiko gakwe. Ikaya yiniyo nose igasalambanaga, kunguno ya bhuyogi bhunubho ubho guduma nulu gwiigwa.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanhu abho bhali na mihayo mingi aha kaya yabho, kunguno nabho bhali na mihayo mingi, iyo igabhenhelejaga guyoga aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘wingi bho mihayo bhudabhejaga kaya.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwizunilija gutumama milimo yabho kihamo, kugiki bhadule gujibheja chiza kaya jabho, umukikalile kabho.

Daniel 3:8-18.

1 Wakorintho 13:1-8.

Zaburi 46:10.

Yohana 6:1-5.

Yakobo 1:19.

Mathayo 7:21.

Mathayo 11:28.

Yakobo 2:14.

Mathayo 28:20.

KISWAHILI: WINGI WA MANENO HAUTENGENEZI MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye wingi wa maneno ya watu walioko kwenye familia fulani. Wingi huo wa maneno ni wa kushindwa kusikilizana kwa sababu ya kila mmoja kuendelea kuongea neno lake. Maneno hayo huleta kelele ya kushindwa kuelewana vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwa wanazozana kila wakati kwenye familia yao, katika maisha yao. Watu hao, hujitia kujua zaidi kila mmoja kwa kukataa kuwasikiliza wenzake, kwa sababu ya kutaka asikilizwe yeye tu.

Wao hushindwa hata kufanya kazi kwa ushirikiano, kwa sababu ya kujikuta kila mmoja ana kazi yake mwenyewe, ambayo huiona kuwa ni ya maana kuliko zile wanazofanya wenzake. Mwishowe, familia hiyo husambalatika kwa sababu ya kelele hizo za kushindwa kuelewana.

Watu hao, hufanana na wale wenye maneno mengi kwenye familia yao, kwa sababu nao hawa, wana maneno mengi, ambayo husababisha wao kuzozana kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, ‘wingi wa maneno hautengenezi mji.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kukubaliana kufanya kazi kwa umoja, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Daniel 3:8-18.

1 Wakorintho 13:1-8.

Zaburi 46:10.

Yohana 6:1-5.

Yakobo 1:19.

Mathayo 7:21.

Mathayo 11:28.

Yakobo 2:14.

Mathayo 28:20.

bhakima wa africa

zulu-youths war dance

ugulilu

 

ENGLISH: TOO MUCH WORDS DO NOT BUILD A FAMILY.

The source of this proverb is too much words that come from a certain family. When people in a family speak too much it becomes not easy to listern or understand each other. It rather leads to misunderstanding. People can describe this scenario using the proverb that ‘too much words do not build a family.’

This proverb can be compared to those people who are constantly in conflict in their families. Such people tend not to listern to others but to be listerned. They also fail to work together because each one of them will tend underrate the other’s work and consider his/hers to be more important than others. Eventualy, a family of this nature can easily disintegrate because of failing to have common goals. Some of them will appear to be more wordy and force to silence others.

This proverb teaches people about harmony by agreeing to work together. This can enable them to have success in life and take good care of their families.

Daniel 3: 8-18. 1 Corinthians 13: 1-8. Psalm 46:10. John 6: 1-5. James 1:19. Matthew 7:21. Matthew 11:28. James 2:14. Matthew 28:20.

662. BHUKULU WISINDI BHUGAYA NDETE.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhutale wi sindi ilo lidina ndete.  Ilisindi linilo, lilitale noyi ubho gulilola. Umunhu uyo alichola ndete ugulipelela wangu kugiki adule gupandika ndete ja gulanga na gujilwa. Aliyo lulu, ilyoyi kihamo nubhutale bholyo bhunubho, lidina ndete. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhukulu wi sindi bhugaya ndete.’

 Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ntale, aliyo adina masala, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agiiganikaga weyi duhu bhung’wene, kunguno ya masala gakwe ayo gadadulile uguilanghana chiza ikaya yakwe. Uweyi nulu agapandika sabho agajikenagulaga bho gujing’wela walwa, ukunu ikaya yakwe ililalila kuguno ya kugaiwa ijiliwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu bhutale uwisindi ilo lidina ndete, kunguno nuweyi alintale, aliyo adina masala agagujitumila isabho bho uguidilila chiza ikaya yakwe. Uweyi adadebhile ugubhalanja abhanhu bhakwe, akikalile akawiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘bhukulu wisindi bhugaya ndete.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na masala gagujilanghanila chiza ikaya yabho, bho gujitumamila chiza isabho jabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

KISWAHILI: UKUBWA WA MUMUNYA KUKOSA MBEGU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ukubwa wa mumunya ambalo halina mbegu ndani yake. Mumunya hilo ni kubwa kwa kuliangalia kwa macho. Mtu anayetafuta mbegu za kukaanga na kula anaweza kulikimbilia haraka sana. Lakini basi, lenyewe pamoja na ukubwa wake huo, halina mbegu ndani yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ukubwa wa mumunya kukosa mbegu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkubwa kwa umbo, lakini hana akili, maishani mwake. Mtu huyo, hujifikiria yeye mwenyewe tu, badala ya kuwafikiria watu wake, kwa sababu ya kukosa akili za kuitunza vizuri familia yake hiyo. Yeye akipata mali, huzimalizia kwenye matumizi ya hovyo, yakiwemo yale ya kuzinyewe pombe, badala ya kuisaidia familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na ukubwa wa mumunya ambalo halina mbegu, kwa sababu naye ni mkubwa, lakini hana akili za kumwezesha kuzitumia mali katika kuitunza familia  yake hiyo. Yeye hafahamu kuifundisha familia yake hiyo, mwenendo ulio mwema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ukubwa wa mumunya kukosa mbegu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuzilinda familia zao, kwa kuzitumia mali zao katika kuzitunza vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao hizo, maishani mwao.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

water-melon-1068293__480

isindi

maasai-herdsman

 

ENGLISH: THE BIGGER THE SIZE OF WATERMELON DOES NOT MEAN THE HIGHER THE NUMBER OF ITS SEEDS.

The source of this proverb is the watermelon and its seeds. In its appearance, a watermelon can appear to be very big in size to the extent of confusing someone, who doesn’t know them well, that they have a good number of seeds. To describe this scenario, people can use the proverb that ‘the bigger the size of watermelon does not mean the higher the number of its seeds.’

This proverb can be compared to a person who appears to be matured enough to carry out his/her responsibilities but, unfortunately, he/she is not clever enough to handle those responsilities. This person can spend much of the time thinking about himself/herself with no consideration of others. He/she likely even to fail in taking care of his/her family because of not having good management of resources available. People of this nature can spend much of their time spending the little they have instead of accumulating more for future use. Such people can die without leaving any legacy to their families.

The proverb teaches people about having a mind to protect their families. They have to use the available resources to take good care of themselves and their children.

Jeremiah 4:22. Ecclesiastes 10: 3. James 1: 4. James 1: 5

661. WENE BUHOMO BHO NAMHALA BHUDAB´EJAGA KAYA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuhomo bho namhala oha kaya ndebhe. Uhomo bhunubho bhuli bho bhugayiwa  amasala ayo gadulile gumwambilija uguibheja ikaya yakwe, unamhala ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejaga kaya.’

 Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agiiganikaga weyi duhu bhung’wene, kunguno ya masala gakwe ayo gadadulile uguilanghana chiza ikaya yakwe. Uweyi nulu agapandika sabho agajimalilaga mugujing’wela walwa, lakini kaya yakwe adina jiliwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu bhuhomo, kunguno nuweyi agajikenagulaga sagala isabho jabho, bho nduhu uguidilila ikaya yakwe. Uweyi adadebhile ugubhalanga akikalile akawiza abhanhu bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘wene bhuhomo bho namhala bhudabhejega kaya.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na masala gagujilanghana ikaya yabho, bho gujitumila chiza isabho jabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

KISWAHILI: HUYO NI PUNGUANI WA MZEE HATENGENEZI MJI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia upunguani wa mzee wa familia fulani. Upunguani huo, ni wa kukosa akili ya kuweza kumsaidia mzee huyo katika kuijenga vizuri familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huziharibu hovyo mali zake, maishani mwake. Mtu huyo, hujifikiria yeye mwenyewe tu, badala ya kuwafikiria watu wake, kwa sababu ya akili yake isiyoweza kuitunza familia yake hiyo. Yeye akipata mali, huzimalizia kwenye matumizi ya hovyo, yakiwemo yale ya kuzinywea pombe, badala ya kuisaidia familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na upunguani wa mzee, kwa sababu naye huziharibu hovyo mali zake, bila kuijali familia  yake hiyo. Yeye hafahamu kuifundisha familia yake mwenendo ulio mwema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘huyo ni punguani wa mzee hatengenezi mji.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kuzilinda familia zao, kwa kuzitumia mali zao katika kuzitunza vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia hizo, maishani mwao.

Yeremia 4:22.

Mhubiri 10:3.

Yakobo 1:4.

Yakobo 1:5.

mhini

basketball

man-traditional one

ENGLISH: THAT’S STUPIDITY OF AN OLD MAN WHICH DOESN’T BUILD A FAMILY

The source of this saying is an old man who appears to be idiot. This makes the old man fail to take control of his family. To describe such an old man, people came with the saying that ‘that’s stupidity of an old man which doesn’t build a family.’

The saying can be compared to a person who wastes his property in his/her life. One can be thinking about himself/herself with no consideration of others who might be, in one way or the other, helpful to him/her in future. If such people get wealth they recklessly spend them, for example, through drinking alcohol and other unplanned uses instead of helping their families. In so doing, they set a bad example to their children thus destroying their future.

The saying teaches people about having the mind to protect their families. People need to use the available resources in order to take good care of their families.

Jeremiah 4:22. Ecclesiastes 10: 3. James 1: 4. James 1: 5.