Kashinje Zacharia

359. YENIYI FULO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa na gujileke sagala. Ulu ng’waka gubhela, ijiliwa jigapyaga mpaga ijingi jigakenagukaga, kunguyo ya gulekenijiwa nabho bhajilyaga mpaga b’iguta. Hunagwene ulu bhajibhona ijiliwa jinijo abhanhu abho bhalinabhukalalwa najo, bhagayombaga giki, ‘yeniyi fulo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhitilaga yawiza abhanhu, guti gubhatengela jiliwa, b’ujilya na gujilekanija sagala. Abho bhajilyaga ijiliwa jinijo mbaga bhiguta, b’agajilekaga bhaja ku mihayo yabho, jandya guliwa na ngoko ijiliwa jinijo. Oho wiza umunhu uyo obhatengelaga usanga jililiwa na ngoko, uyomba giki, ‘yeniyi fulo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gujidosa ijiliwa ulu bhiguta. Yigelelilwe bhab’achalile ijiliwa jinijo, abhanhu abho bhalina makoye ga nzala.

Zaburi 144:13-15.

Mwanzo 41:17-36.

KISWAHILI: HII NI SHIBE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula na kukiacha hovyo. Mwaka ukiwa mzuri, chakula hupatikana kwa wingi mpaka kingine huanza kuharibika hovyo. Hali hiyo kutokea kwa sababu ya kutelekezwa na watu walioshiba baada ya kukila. Ndiyo maana wakikiona chakula hicho watu wakithaminio, husema kwamba, ‘hii ni shibe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwatendea wema watu, kama vile kuwapatia chakula, wakala na kukitelekeza hovyo. Baada ya kukila chakula hicho mpaka wakatosheka walikiacha, wakaenda kwenye shuguli zingine. Chakula hicho kilianza kuliwa na kuku. Alipofika mtu aliyewapatia chakula hicho, na kukuta kikiliwa na kuku, alisema kwamba, ‘hii ni shibe.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za malingo ya kudhazau chakula walapo na kushiba. Yafaa watu hao wawapelekee chakula hicho watu walio na matatizo ya njaa.

Zaburi 144:13-15.

Mwanzo 41:17-36.

watermelon

 

ENGLISH: THAT IS SATISFACTION.

The source of the above saying comes from satisfaction after having enough food. When the season is good, food gets in abundance and sometimes it ends up rotting. This can happen because of having extra food. Therefore the rotting of food is a sign of satisfaction.

The saying can be compared to someone who does good things to people, such as giving them food. After eating the food to their satisfaction, they leave it for chicken to continue enjoying it. Such people are warned by telling them that ‘that is satisfaction.’

The proverb teaches people to stop misuse food. When they are satisfied, they need to keep safely the remaining ones for future use.

Psalm 144: 13-15.

Genesis 41: 17-36.

358. AHO AGELELILE AMASALA GAKO NAHO ANDIJIJE AGANE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujisumva ijo jigiiganikilaga giki jilina masala mingi noyi. Ijisumva jinijo jidazunije  igiki alihoyi ungi uyo alina masala guti joyi. Hunagwene jigayombaga giki, ‘oho agelelile amasala gako naho andijije agane.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiygwa kuli munhu uyo witulile b’ushilimju bho gubhadalaha abhiye umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo ahayile ayombe weyi duhu, abhangi b’adizuyomba. Hunagwene agabhawilaga abhiye giki, ‘aho agelelile amasala gako naho andijije agane.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gudebha igiki, ilihoyi mingi iyo bhadayideb’ile, iyo bhadulile gulangwa na b’ichab’o abho bhayideb’ile chiza.

Gashinaga lulu, yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhejileke inhungwa ija bhudoshi bho gub’adalaha abhichab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele na abhichib’o , umuwikaji bhobho.

Zaburi 14:1-3.

Zaburi 54:1-3.

KISWAHILI: PALE ZIKOMEAPO AKILI ZAKO NDIPO ZIANZIAPO ZANGU.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kiumbe ambacho hujifikiria kwamba kina akili nyingi sana. Kiumbe hicho hakikubali kwamba, kuna kingine ambacho kina akili kama chenyewe. Ndiyo maana kiumbe hicho humwambia mwingine kwamba, pale zikomeapo akili zako ndipo zianziapo zangu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye hujifanya mjanja wa kuwadharau wenzake maishani mwake. Mtu huyo hutaka aongee yeye tu, wengine wasiongee. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, pale zikomeapo akili zako ndipo zianziapo zangu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuelewa kwamba, kuna mengi ambayo hawayafahamu, ambayo waweza kufundishwa na wenzao wanaoyaelewa vizuri. Kumbe yafaa watu hao, waache tabia za majivuno ya kuwadharau wenzao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 14:1-3.

Zaburi 54:1-3.

arms

 

ENGLISH: MY MIND BEGINS WHERE YOURS ENDS.

The source of this saying is a person who thinks that he/she is more intelligent than others. Such a person is not likely to admit that there are other people who are more intelligent than him/her. They tend to boast themselves by saying ‘my mind begins where yours ends.’

This saying can be likened to a person who pretends to despise others in life. Such a person would like to silence others and be the only one to speak.

The saying teaches people to have the humility that enables them to understand that they are also ignorant in some of the things in life. They sometimes need to be open by accepting the teachings of others.

Psalm 14: 1-3.

Psalm 54: 1-3.

357. GINGHI YALINDILA BHUSATU BHO NDUGU OYO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka ginghi. Iginghi yiniyo igikalaga bho gulya ginhu ijo jichile. Kuyiniyo lulu, iyoyi idulile nulu gunindila ndugu oyo asate na kucha, kugiki iyoyi idule gupandika jiliwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Ginghi yalindila bhusatu bho ndugu oyo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindilile ache ise, nulu nduguye, kugiki adule gupandika sabho. Umunhu ng’wunuyo wikolile ni Ginghi iyo yalindila bhusatu bho ndugu oyo, ache, ipandike jiliwa, kunguno nu weyi, alindilile lufu lo nduguye, lwigele, kugiki nawe apandike sabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, uweyi ali ‘‘Ginghi yalindila bhusatu bho ndugu oyo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuchola sabho bho nzila niza, idi bho gubhalombela gupandika yabhub’i abhichab’o, nulu gubhiganikila shib’i abhichab’o.

2Samweli 11:14-17.

KISWAHILI: BUNDI ASUBIRI UGONJWA WA NDUGUYE

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya Bundi. Bundi huyo huishi kwa kula vitu vilivyo kufa yaani, mizoga. Kwa hiyo basi, yeye aweza hata kusubiri ugonjwa umpate ndugu yake au baba yake, afe, yeye ale chakula. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bundi asubiri ugonjwa wa nduguye.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye husubiri kifo cha baba au ndugu yake, ili apate mali. Mtu huyo hufanana na Bundi yule aliyesubiri ugonjwa wa baba au ndugu yake, afe ili apate chakula, kwa sababu naye asubiri kifo hicho, ili apate mali. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, yeye ni, ‘Bundi asubiri ugonjwa wa nduguye.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutafuta mali kwa kutumia njia sahihi, siyo kuwaombea mabaya wenzao ili wao wapate mali.

2Samweli 11:14-17.

owl

 

ENGLISH: AN OWL WAITED FOR THE SICKNESS OF ITS RELATIVE.

The source of the above saying is the life of an owl that depends on sickness or death of its close relatives. As the saying shows, owls depend on carcasses therefore, the death of other birds means life to owls.  This is why people say, ‘an owl waited for the sickness of its relatives.’

The saying can be compared to a person who waits for the death of his/her relatives for him/her to flourish. That person is like an owl that is waiting for his relative to die in order to get food. This is why people tell such people that, ‘an owl waited for the sickness of its relatives.’

The proverb teaches people to look for wealth in the right way, not to pray for evils to befall their relatives for them to live a comfortable life.

2Samuel 11: 14-17.

356. SEBHA ODULEKELA ISABHO JAGUSULUGIJA DUJIKWILILIJE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’ongeja bho sabho bho gujisulugija ijo jilihoyi. Isabho jinijo jigafumaga kuli Sebha, uyo agang’winhaga bhuli ng’wene. Ijoyi jigongejiyagwa bho gujisulugija. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ‘Sebha odulekela isabho jagusulugija dujikwililije.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agasulujaga ginhu jose jose. Abhasuluja bhenabho bhagitaga bhukengeji bho gudebha uko bhuli ubhusuluja, ubho gudula gubhenhela solobho nhale.

Abhoyi bhadebhile igiki, yigelelilwe bhajongeje isabho ijo bhalekelwa nu Sebha. Isabho jinijo jilikihamo na masala gabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagikomelejaga bho gwiwila giki, ‘Sebha odulekela isabho jagusulugija dujikwililije.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gugatumamila amasala gabho, ayo bhalekelwa nu Sebha, umuguyitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:15-18.

Yohane 11:52.

KISWAHILI: BWANA KATUACHIA MTAJI TUUENDELEZE.

 Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uongezaji wa mali kwa kuzifanyia biashara zile zilizopo. Mali hizo hutoka kwa Bwana ambaye humpa kila mmoja. Zenyewe huongezwa kwa kuzifanyia biashara. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Bwana alituachia mali za kufanyia biashara kuziendeleze.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao ni wafanya biashara wa kitu chochote kile. Wafanya biashara hao hufanya utafiti wa kuelewa kule ambapo biashara yao yaweza kuwaletea faida kubwa. Wao waelewa kwamba, yafaa waziongeza mali walioachiwa na Bwana.

Mali hizo ni pamoja na akili zao. Ndiyo maana watu hao huhimizana kwa kusema kwamba, ‘Bwana alituachia mali za kufanyia biashara kuziendeleze.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuzifanyia kazi akili zao waliochiwa na Bwana, katika kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mathayo 25:15-18.

Yohane 11:52.

banana1

 

ENGLISH: THE LORD LEFT CAPITAL FOR US TO INCREASE IT.

 The source of the above saying comes from the addition of wealth to the existing one. The wealth comes from the Lord who gives to each one of us. Such a given wealth needs to be expanded by doing business on it. This is why people say, ‘the Lord left capital for us to increase it.’

The saying is compared to business people or entrepreneurs. These people need to know where and when their business can make profit. They know that they have to add to what the Lord has given them in terms of wealth; be it intelligence or any other life skill.

Those assets are in their minds. This is why such people encourage one another by saying, ‘the Lord left capital for us to increase it.’

The saying teaches people to be diligent in making sure that the wisdom of the Lord is accomplished through their positive response to the given skills. In so doing, they can have success in life.

Matthew 25: 15-18.

John 11:52.

355. MILIMO IGAMALAGWA NA B’ASANGAB’AZU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhutumami bho milimo na bhumaji bhoyo. Abhanhu abhalendelezu, bhagatumamaga milimo yao hadohado. Abhanhu bhenabho bhagadilaga uguimala imilimo yabho yiniyo.

Aliyo lulu, abhanhu abhasangabhazu bhagaitumamaga imilimo yabho bho wangu wangu, na guyimala bho makanza maguhi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalib’agokolo ugutumama umilimo. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga nyalendelezu, kunguno bhadina bhukalalwa bho guitumama imilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagab’akomelejaga bho gubhawila giki, ‘milimo igamalagwa na b’asangab’azu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gutumama milimo, kugiki bhadule guyimala wangu imilimo yabho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhabhize na bhukamu bho guitumama na kuimala chiza imilimo yiniyo, kugiki idule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Yoh 21:4-7

KISWAHILI: KAZI HUMALIZWA NA WACHANGAMFU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ufanyaji wa kazi na umalizaji wake. Watu waliozubaa hufanya kazi zao pole pole. Watu hao huchelewa kuzimaliza kazi zao hizo.

Lakini watu wale ambao ni wachangamfu, hufanya kazi zao kwa haraka kiasi cha kutosha kuzimaliza kazi hizo mapema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao ni wavivu na wazembe wa kufanya kazi. Watu hao hufanya kazi zao kizubavu kwa sababu wao huwa hawana hamu ya kufanya kazi. Ndiyo maana watu huwahimiza watu hao kwa kusema kwamba, ‘kazi humalizwa na wachangamfu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uvivu na uzembe wa kufanya kazi, ili waweze kuzimaliza kazi zao mapema kwa ajili ya kujipatia mafanikio mengi. Yafaa watu hao wawe na bidii ya kufanya kazi zao hizo kwa haraka kiasi cha kutosha kuwaletea maendeleo, maishani mwao.

Yohane 21:4-7.

angle-grinder

 

ENGLISH: THE ACTIVE ONES WILL ALWAYS FINISH THEIR WORKS

The source of the above saying is the presence of active individuals who are liable to finish their works, if compared to the lazy ones. Lazy people will always do their works in a very slow manner but those who are fast can finish it within or before the given time.

The saying is compared to people who are slow in doing things. These people do their jobs lazily and they cannot finish it on time. This is why such people are being warned by telling them that ‘the active ones will always finish their works.’

The saying teaches people about avoiding laziness behavior in order for them to finish their given works as early as possible. These people must be diligent enough to finish their works on time in order to bring about development in their lives and the society in general.

John 21: 4-7.