Kashinje Zacharia

379. AGWILYAGA B’ULA B’OKWE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingnilile kubhukenaguji bho jikolo ja hakaya ijo jidulile gugamala amakoye genayo joyi injinikili. Iginhu jahakaya hinijo jili guti ng’ombe, ulu jukenagula jiliwa ja hakaya bho gulisha mungunda, jigahayiyagwa giki, jalyaga b’ula, kunguno, nulu ng’winikili, uyo jankenagujaga ilijilwa, agujilinja ugula ijiliwa jingi ubhiza ogamala amakoye genayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalelaga shib’i abhanhu bhakwe. Abhanhu bhenabho bhagajimalaga isabho jahakaya yiniyo bho gung’wenhela mamihayo, nulu makoye. Umunhu ng’wunuyo agajijinjaga isabho jakwe jinijo, kugiki abhaingije amakoye genayo abhanhu bhakwe bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘agwilyaga b’ula bhokwe.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gubhalanga kalile kabhubhi abhanhu bhabho. Yigelelilwe b’abhalele chiza, kugiki bhadule gujilang’hana chiza isabho jabho.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

KISWAHILI: AJILA UTUMBO WAKE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uharibifu wa vitu usababishwao na vitu vyenyewe ambavyo hutumika pia katika kutatua tatizo hilo. Vitu hivyo ni pamoja na ng’ombe ambao hula shamba la chakula cha mtu awamikiliye. Hali hiyo husemwa kwamba wamekula utumbo, kwa sababu mwenye ng’ombe hao aweza kuwauza na kwenda kununua chakula kwa ajili ya kumaliza tatizo la kukosa chakula kilicholiwa na ng’ombe hao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumba wake.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea vibaya watu wake. Watu hao huzimaliza mali zake kwa kumletea matatizo nyumbani, hali ambayo humlazimu kutumia mali hiyo katika kuwaondolea watu wake matatizo hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ajila utumbo wake.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuwalea vibaya watu wao. Yafaa wawalee vizuri ili waweze kutunza vizuri mali zao.

Matayo 10:21.

Yakobo 3:16.

 Mwanzo. 1:12-22.

family1

 

ENGLISH: EATING YOUR OWN INTESTINE.

The source of the above saying comes from self-damage that can cause more problems in future. Cows, for example, can graze on the farm of their owner and in so doing the farmer will likely run shortage of food that can force him/her to sell some cows to get food. In return, the money obtained out of selling the cow can be used to buy food. This is why people can say ‘eating your own intestine’.

The saying can be likened to a person who abuses his/her people. This person may end up being in problems thus affecting his/her home and family in general. Such people are being warned by telling them that ‘eating your own intestine.’

This proverb teaches people to stop mistreating others. They should take good care of them so that they will have a good relationship in future.

Matthew 10:21.

James 3:16.

 Genesis 1: 12-22.

378. BHULUGU BHO NUMBU BHOGULYA NA BHABHUYU

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho numbu. Ubhuli bhunubho bhuli bho pye abhanhu, kunguno inumbu itiniguha. Kuyiniyo lulu, igaliyagwa nabho bhalina  bhuyu, kunguyo ya bhunogolelu bhoyo, na hangi ilindonu noyi. Abhanhu bhayitogilwe uguilya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’ulugu b’o numbu b’o gulya na b’ab’uyu.’

Akahayile kenako kayalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugub’agalila chiza abhanhu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo adeb’ile ijo bhalijihaya abhanhu bhakwe bhenabho. Abhanhu nabho bhatogilwe ugwikala nang’hwe nungaliji obhanhu ng’wunuyo, kunguno uweyi aliobhanhu bhose. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’ulugu b’o numbu b’ogulya na b’ab’uyu.’

Akahayike kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhagalila chiza pye abhanhu ,bho nduhu ugubhakomanya magele, kugiki bhadule ugujib’eja chiza ikaya jabho.

Hangi, nu Yesu adabhakomanya abhanhu abho bhali na moyo ng’wela ugwegela aha bhukaristia, pye na bhab’uyu agegeleja duhu.

Mathayo 26:26-28.

KISWAHILI: VITA VYA VIAZI NI KULA HATA VIBOGOYO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa viazi. Ulaji huo ni wa watu wote, kwa sababu viazi havina mfupa. Kwa hiyo basi, huwa vinaliwa hata na watu ambao ni vibogoyo, kwa sababu ya ulaini wake, na utamu wake pia. Watu hupenda kuvila. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vita vya viazi ni kula hata vibogoyo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye afahamu kuwatunza watu wake kwa kuwaandalia vyakula vizuri. Mtu huyo afahamu mahitaji ya watu wake hao. Watu wake nao hupenda kuishi naye mtunzaji huyo mzuri wa watu wote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vita vya viazi ni kula hata vibogoyo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwatunza watu wote bila ubaguzi wa kuwagawa katika makundi watu hao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Yesu habagui watu wenye moyo safi katika kuishiri Ekaristi Takatifu, hushiriki wote hata na vibogoyo, bila ugaguzi.

Mathayo 26:26-28.

food-potatos

 

ENGLISH: THE FIGHT FOR POTATOES EVEN TOOTHLESS PEOPLE ARE INVOLVED.

The source of the above saying comes from potatoes. Potatoes as food are consumed by all people, even toothless ones because potatoes do not have bones. Children and adults as well can eat them without problems and is one of the food stuffs that is liked by the majority of the people.

The saying can be compared to someone who knows how to take care of his/her people by preparing good food. Such a person is aware of the needs of his/her people. His/her people would love to live with this wonderful caretaker of all people. This is why people can say, ‘the fight for potatoes even toothless people are involved.’

The saying teaches people to take care of all people without prejudice. They don’t have to divide people into groups rather consider them as equals before God.

Jesus does not discriminate people in sharing the Holy Eucharist. He invites them to participate in His holy union.

Matthew 26: 26-28.

377. CHELEMENGO ADALYAGA JABHUBHI

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa jawiza bho ng’wa Chelemengo. Ijiliwa jinijo jigaliyagwa bho bhuyegi, kunguno ya wiza bhojo ubho b’ugan’winhaga unii ojo, nhumbu nhale ya kujilya.

Aliyo lulu, ijiliwa ija bhub’i jiginjaga inhumbu ya gujilya, kunguno amiso ga bhali bhajo, gadatogagwa ujibhona. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Chelemengo adalyaga jab’ub’i.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na nhungwa jawiza umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agabhalelaga chiza abhanhu bhakwe, kunguyo ya kikalile kakwe akagubhatogwa na gubhambilija abho bhali mumakoye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Chelemengo adalyaga jab’ub’i.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ub’i, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugwikala bho mholele na b’ichab’o.

Luka 16: 3-4.

Luka 16:19.

KISWAHILI: CHELEMENGO HALI VYAKULA VILIVYO VIBAYA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula kilicho kizuri, wa Chelemengo. Chakula hicho huliwa kwa furaha na walaji wake, kwa sababu ya uzuri ambao humpa mlaji hamu ya kuendelea kukila.

Lakini basi, chakula kilicho kibaya au kichafu, huondoa hamu ya kukila kwa walaji wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Chelemengo hali vyakula vilivyo vibaya.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwa na tabia njema maishani mwake. Mtu huyo huwalea vizuri watu wake, kwa sababu ya mwenendo wake mzuri, wa kuwapenda watu na kuwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Chelemengo hali vyakula vilivyo vibaya.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kutenda maovu, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao.

Luka 16: 3-4.

Luka 16:19.

steak-

ENGLISH: CHELEMENGO DOES NOT FEED ON BAD FOOD.

The source of the above saying comes from Chelemengo and its habit of eating good food. This food, because is good, it is happily eaten by its consumers and it gives them the desire to continue eating it. On the contrary, bad food takes off the consumers’appetites. This is why people say ‘Chelemango does not feed on bad food’ to mean the need for having good food in life.

This saying can be compared to someone who has good manners in life. Such a person is likely to nurture other people well because of his/her good conduct, loving people and helping others.

The above saying teaches people to break free from evil practices in their lives so that they can live in peace with others.

Luke 16: 3-4.

Luke 16:19.

376. WITOJI B’UDALIYAGWA NGOSO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwitoji na b’uli bho Ngoso. Uwitoji bhunuyo, b’udadulile gulina na Ngoso, kunguno guli mhayo uyo gudab’ungaga, nulu uyo gudasukaga. Ukwenye huguhaya giki, ulu umunhu udila gutola, nulu gutolwa, adusanga giki uwitoji b’oshila, abhize namhala agutola, nulu abhize ngikulu, agutolwa duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘witoji b’udaliyagwa Ngoso.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiwagwa kuli munhu uyo agiganikaga giki, uwitoji bhuli bho bhanhu b’ilika lileb’e duhu. Umunhu ng’wunuyo agabhalemejaga abho bhalihaya kutola nulu kutolwa. Agab’ahadikija abho bhadahayile ugutola, nulu gutolwa. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘witoji bhudaliyagwa Ngoso.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kub’aleka abhanhu bhatumile uwiyab’i bhobho, ijinagwingila umuwikaji bho witoji.

Marko 10:7-8,

Mathayo 19:6.

KISWAHILI: UOAJI HAULIWI NA PANYA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uoaji na ulaji wa Panya. Uoaji huo hauwezi kuliwa na Panya kwa sababu ni neno ambalo hali dukuliwi na wadudu wala halipotezi utamu wake. Ndiyo kusema kwamba, hata mtu azeeke hatakuta kwamba, uoaji umepitwa na wakati, ataoa au ataolewa tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uoaji hauliwi na Panya.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufikiria kwamba, uoaji ni wa watu wa lika fulani tu. Mtu huyo huzuia wale watakao kuoana. Yeye huwalazimisha pia wengine kuolewa au kuoa wale wasiotaka kuingia kwenye maisha hayo ya ndoa. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘uoaji hauliwi na Panya.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwaacha watu watumie uhuru wao katika kuoa au kuolewa, maishani mwao.

Marko 10:7-8,

Mathayo 19:6.

african-couple

 

ENGLISH: MARRIAGE CANNOT BE EATEN BY RATS. 

The source of the above saying comes from the feeding and eating of rats. Marriage, as a state, is something abstract and therefore it cannot be consumed by insects. In this saying people are warned against considering marriage as something that can expire sometimes. In Christian doctrine, marriage is a question of life and death.

This saying can be compared to someone who thinks that marriage is only for people of a certain age. This person prevents those who want to get married. He/she also forces others to marry those who do not want to enter into such a married life. Such people are being warned by telling them that ‘marriage cannot be eaten by rats.’

The saying teaches people to let people exercise their freedom in marriage. They should neither force them nor prevent them from marriage, provided that they follow the required conditions and procedures for marriage.

Mark 10: 7-8,

Matthew 19: 6.

375. BHUTOGWA BHO MBHELA GULYA ILANGALE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhutogwa bho mhela, ubho gulya ilangale. Imhela ili ndimu iyo igikalaga yiyene, ung’’wipolu. Aliyo lulu indimu yiniyo, ulu yusala, igalyaga malangale, ayo gadaliyagwa na ndimu sagala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’utogwa b’o Mhela gulya ilangale.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ntub’u, nulu naku o gulya jiliwa. Umunhu ng’wunuyo agalyaga sagala giti numo yili imhela iyo ya sala yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘b’utogwa bho mhela gulya ilangale.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ulaku bho gulya majiliwa sagala, kugiki bhadizub’ahuga abhichabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Warumi 8:29.

Yohane 15:16.

KISWAHILI: UPENDO WA KIFARU KULA LANGALE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye upendo wa kifaru wa kula langale. Kifaru ni mnyama poli ambaye hupenda kuishi peke yake. Lakini basi, mnyama huyo akipata kichaa, hula malangale ambayo hayaliwi hovyo na wanyama poli. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upendo wa Kifaru kula langale.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mlafi wa kula vyakula hovyo. Mtu huyo hula bila kujali aina ya chakula akilacho, hata kiwe kichafu, kama yule Kifaru aliyepata kichaa, alavyo langale. Ndiyo maana watu humwambia  mtu huyo kwamba, ‘upendo wa Kifaru kula langale.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za ulafi wa kula vyakula hovyo, au uroho wa madaraka, ili wasije wakawapunja wenzao, maishani mwao.

Warumi 8:29.

Yohane 15:16.

rhino-

rhino-1

 

ENGLISH: THE JOY OF THE RHINOS IS TO EAT LANGALE.

The source of the above proverb derives from the rhino’s joy to eat ‘langale,’ certain specie of local tree. A rhino is a wild animal that likes to live alone. If this animal runs mad, it tends to eat things which normally it doesn’t eat. Langale is one of the food stuffs rhinos do not eat and when they appear to eat it then people will know that the rhino has run mad.

The proverb can be compared to a glutton person who doesn’t appear to be easily satisfied with the food given. Such a person eats anything that comes his/her way no matter the food is dirty or well prepared. Such rough people are being described by the proverb that ‘the joy of the rhino is to eat langale.’

The proverb teaches people to stop greediness in terms of eating habits and leadership. This will help them to have good relationship with other people in the society.

Romans 8:29.

John 15:16.