Kashinje Zacharia

389. JISINZA JILYA B’IYE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile jisinza na bhuli bhojo. Ijisinza jinijo, jilinhu jidamu ijo jidulile gub’alya ab’ichajo, alijoyi jusaga mumo jilili. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘jisinza jilya b’iye.’

Akahayile kenako kagalenganijniyagwa kuli munhu uyo atogilwe gulya jiliwa ja b’iye, alijakwe alemile uguliwa na b’iye b’enabho.

Umunhu ng’wunuyo adatogilwe ugub’akalib’usha abhiye ahakaya yakwe, kunguno ya gogoha gumajiwa ijiliwa jakwe. Abhanhu abho bajideb’ile inhungwa jakwe jinijo bhagang’wilaga giki, ‘jisinza jilya b’iye.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka wiming’holo, kugiki bhadule ugub’itila abhichab’o iyo bhatogilwe ugutilwa abhoyi, umuwikaji b’ob’o.

Luka 11:46.

Daniel 2:40.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:19.

KISWAHILI: CHUMA HULA WENZAKE.

Chanzo cha msemo huo chaangalia chuma na ulaji wake. Chuma hicho ni kitu kilicho kigumu ambacho kinauwezo wa kula wenzake, chenyewe kikabaki kama kilivyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘chuma hula wenzake.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hupenda kula kwa wenzake, lakini kwake hataki wenzake hao wale kwake. Mtu huyo hapendi kuwakaribisha wenzake kula chakula chake nyumbani kwake, kwa sababu ya kuogopa kukimaliza chakula chake hicho. Watu wale ambao wanaifahamu tabia yake hiyo, humwambia kwamba, ‘chuma hula wenzake.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uchoyo maishani mwao, ili waweze kuwatendea wenzao yale ambayo wao wenyewe, hupenda kutendewa na wao.

Luka 11:46.

Daniel 2:40.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:19.

saw

tools-

 

ENGLISH: IRON EATS ITS FELLOWS.

The origin of the above saying is how metals survive by feeding on fellow metals. There are some metals that are hard enough and they are capable of feeding on other metals. In describing such metals people can say ‘iron eats its fellows.’

The saying can be compared to a person who likes eating food from others but doesn’t entertain others to eat his/her food. Such a person is likely to deny others from visiting his/her home for fear of eating his/her food. People of this behaviour are being warned by telling them that ‘Iron eats its fellows.’

The saying teaches people to stop being selfish in their lives rather they need to treat others in a way that they would themselves want to be treated.

Luke 11:46.

Daniel 2:40.

Matthew 5: 27-32.

Joshua Bin Sira 9:19.

388. B’UJIKU B’ONNIA NOKO NUB’EB’E B’ULAGULYA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile lufu lo myaji. Ulufu lunulo lolechije giki nu ng’wana o myaji ng’wunuyo, nang’hwe alacha. Hunagwene abhanhu b’agang’wilaga ung’wana ng’wunuyo giki, ‘bhujiku b’onnia noko nub’eb’e b’ulagulya.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adadililaga mayange ga lufu ga bhaduguye. Umunhu ng’wunuyo adajaga ukumayage ga bhiye bhenabho. Ulu bhamilinga giki agambilije ugubhajike abhiye, uweyi agajaga kumilimo yakwe duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘bhujiku b’onnia noko nub’eb’e b’ulagulya.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na b’umo bho gwiyambilija umumayange, kunguno, b’uli ng’wene alacha.

Mwanzo. 3:19.

 Ruth 1:17.

1Wafalme 2:37.

KISWAHILI: USIKU ULIMLA MAMA YAKO NA WEWE UTAKULA.

Chanzo cha msemo huo chaangalia kifo cha mzazi. Kifo hicho chaonesha kwamba, kila mmoja akiwemo mtoto wa mzazi huyo, atakufa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘usiku ulimla mama yako na wewe utakula.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hajali misiba ya ndugu zake. Mtu huyo huwa hahudhulii kwenye misiba hiyo ya ndugu zake hao. Wakimwalika kwenda kuwazika, yeye huenda kwenye kazi zake tu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘usiku ulimla mama yako na wewe utakula.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kuwawezesha kusaidiana katika misiba mbalimbali, kwa sababu kila mmoja atakufa.

Mwanzo. 3:19.

 Ruth 1:17.

1Wafalme 2:37.

hands-team

serve-

 

ENGLISH: THE NIGHT ATE YOUR MOTHER WILL ALSO EAT YOU.

The source of the above saying looks at the death of a parent. The death of the parent indicates that everyone, including the child, will die. That is why people can tell someone that ‘the night ate your mother will also eat you.’

The saying can be compared to a person who doesn’t care about the tragedies of his/her relatives. Such a person does not attend his/her relatives’ problems. If invited, he/she ends up giving a lot of excuses while in actual fact, he/she is busy with his/her own doings. Such people are being warned by telling them that ‘the night ate your mother will also eat you.’

The saying teaches people about being united enough to help one another in different problems. Everyone has to know that death is a final destination for every living creature.

Home. 3:19.

Ruth 1:17.

1Kings 2:37.

387. BUBUNGU WALYA NDILI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuli bhondili b’o nva ja bubungu. Ulu munhu utuula ndili hanze na guib’a, agusanga inva jinijo yailyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ‘bubungu walya ndili.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agalekaga jikolo jabho hanze, bhasanga abhib’i bhajib’aga. Abhanhu bhenabho, ulu bhasanga jikolo nulu sabho jabho jib’agwa b’abayombaga giki, ‘bubungu walya ndili.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutuula sabho jabho na witegeleja bhutale, na gub’ade’b’a chiza, abhanhu abho bhalikala nabho, ulu bhali bhawiza, nulu b’abhub’i.

Mathayo 7:15.

Wafilipi 3:2.

Maombolezo 3:4.

KISWAHILI: BUBUNGU WALA NGOZI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa ngozi wa mbwa wa Bubungu. Mtu akiweka ngozi nje na kuisahau, atakuta mbwa hao wameila. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘bubungu wala ngozi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huacha vitu au mali zao, na kukuta wezi wameziiba. Watu hao wakikuta mali zao zimeibiwa husema, ‘bubungu wala ngozi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuweka mali zao kwa uangalifu mkubwa, na kuwaelewa vizuri watu waishio nao, kama ni wema, au waovu.

Mathayo 7:15.

Wafilipi 3:2.

Maombolezo 3:4.

dogs

bank-

 

ENGLISH: BUBUNGU’S DOGS EAT SKINS.

The source of the above saying comes from Bubungu dogs that eat animal hides. If someone leaves the animal hide unattended, dogs can take and eat it. This is why people can say ‘Bubungu’s dogs eat hides,’ to communicate the idea of living things unattended.

The saying can be compared to people who carelessly leave their belongings. They can be easily stolen. In such a scenario where someone’s belongings are stolen out of carelessness, one can say ‘Bubungu’s dogs eat skins.’

The saying teaches people to put their possessions in order, and to better understand the people around them, whether they are good or bad.

Matthew 7:15.

Philippians 3: 2.

Lamentations 3: 4.

386. B’ADALYAGA MIHAYO B’ADILYAGA MINO.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile mihayo na amino. Imihayo yiniyo mumo yigakwilila, idadulile ugubhigutya abhanhu, kunguno abhanhu bhenabho b’adalyaga mihayo. Ulu bhaliyihoyela imihayo yiniyo, b’agasegaga mpaga bhuli ng’wene agabhona amino ga ng’wiye. Gashinaga lulu, umumahoya genayo bhagatub’aga abho abhanhu bhenabho, kunguno b’adalyaga mihayo nulu, bhadilyaga mino. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’adalyaga mihayo b’adilyaga mino.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo aliming’holo aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo ulu bhanhu bhungeniha, agayombaga mihayo mingi, ukunhu agusekaga, aluguzuga nduhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘b’adalyaga mihayo b’adilyaga mino.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja wiming’holo, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gubhagalila chiza ab’ageni bhab’o.

Yakobo 2:15-17.

 1 Yohane 3:18.

 Mathayo 15: 8-9.

KISWAHILI: HAWALI MANENO HAJIILI MENO.

Chanzo cha methali hiyo chaangalia maneyo na meno. Maneno hayo hata yawe mengi namna gani, hayawezi kuwashibisha watu, kwa sababu watu hao hawali maneno. Waongeapo maneno hayo, watu hao hucheka hali ambayo humuwezesha kila mmoja kuyaona meno ya mwenzake. Kumbe katika maongezi hayo watu hayo hujisikia njaa, kwa sababu hawali maneno wala hawajiili meno. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘hawali maneno hawajiili meno.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mchoyo nyumbani kwake. Mtu huyo akifikiwa na wageni nyumbani kwakwe, huendelea kuongea maneno mengi, huku akicheka, bila kuwapikia chakula wageni wake hao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘hawali maneno hawajiili meno.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uchoyo maishani mwao, ili waweze kuwa wakarimu wa kuwatunza  vizuri wageni wao.

Yakobo 2:15-17.

 1 Yohane 3:18.

 Mathayo 15: 8-9.

joy-of-life

 

ENGLISH: THEY NEITHER EAT WORDS NOR TEETH.

The source of the above saying is how someone can receive a visitor through words and teeth. When the two individuals meet, they can converse in sweet words to the extent of causing laughter; exposing their teeth. Those words and teeth cannot cure people’s hunger.  At the end, these people will still feel hungry.

This saying can be compared to greedy people who, when visited by guests, end up talking mere words with a lot of laughters without cooking food for them/visitors. Such people are being warned by telling them that ‘they neither eat words nor teeth.’

The saying teaches people to avoid selfishness in their lives rather embrace the habit of caring guests who visit their homes.

James 2: 15-17.

1 John 3:18.

Matthew 15: 8-9.

385. B’ANANGWA B’ALYA NA MBOZU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukikalile ka b’anangwa. Ikale bhaliho b’atongeji ab’o b’itanagwa b’anangwa. Ulu munhu wiliwa b’ujiku olalaga hali ng’wanangwa. Mumo agab’izila umunhu ng’wunuyo, nulu ab’ize alina mbiji, adupejiwa. Hunakub’iza kahayile igiki, ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adakomanyaga abhanhu aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agab’abokelaga pye abhanhu na gub’agola chiza bho gub’achumbela majiliwa. Uweyi agalyaga na b’iza na bhab’i. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki. ‘b’anangwa b’alya na mbozu.’

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gub’akomanya abhanhu, kunguno  ya kigelele kab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

KISWAHILI: WAJUMBE WALA NA VILIVYOOZA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye maisha ya wajumbe wa vitongoji. Zamani walikuwepo viongozi waliojulikana kama wajumbe. Mtu akifika usiku kwenye kitongoji hicho, alilala kwa wajumbe hao. Watu wa aina mbalimbali walilala, hata na wale wenye ukoma walilala kwa wajumbe hao. Ndiyo ukawa msemo kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye habagui watu nyumbani kwake. Mtu huyo huwakaribisha wote na kuwatunza kwa kuwapatia chakula kizuri. Yeye hula na wazuri na wabaya pia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘wajumbe wala na vilivyooza.’

Msemo huo hufundisha watu juu kuacha tabia za kubagua watu kwa sababu ya muonekano wao mbaya, ili waweze kuishi kwa amani wa wenzao maishani mwao.

Mathayo 11:28.

Matendo ya mitume 10:34.

 

racial-segregation

migration

 

ENGLISH: CHIEFS EAT WITH EVERYONE.

This saying has its origin in village where chiefs used to receive people of different calibers. These chiefs used to receive guests who visited them and they could eat together without considering their differences in terms of social classes. It included rich, poor and leper visitors. When this was happening, people could describe this scenario that ‘chiefs eat with everyone.’

The saying can be compared to someone who does not discriminate people in his/her home. Such people can welcome others and take care of them by providing them with all necessities for their stay in the compound.

The saying teaches people to stop discriminating others because of their appearance. In so doing, they will be able to live a decent life without quarreling with others.

Matthew 11:28.

Acts 10:34.