Kashinje Zacharia

405. ULAFULWA LYA NG’WIPOLU NA MAPEMBE GALYO.

Imbuki ya kahayile  kenako yingilile kubhubolwa bho jisumva na lilimu lya ng’wipolu na mapembe galyo. Ijisumva jinijo jigalyaga noyi ijiliwa. Aliyo lulu jidigutaga wangu.

Ijoyi jigikikumbagwa nulu gulilya lilimu igima kihamo na mapembe galyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ,’ulafulwa lya ng’wipolu na mapembe galyo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinlaku o gulya jiliwa. Umunhu ng’wunuyo adigutaga ulu bhang’winha ijiliwa, mumo alile. Hamo ulu utengelwa ilimu lya ng’wipolu lizugile na mapembe galyo ulya, adulile gwiguta. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘’ulafulwa lya ng’wipolu na mapembe galyo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho gulya jiliwa, umuwikaji bhobho, kugiki bhadizub’ahaga abhichabho, ulub’alilya ijiliwa jinijo.

marko 8: 36-37.

Wagalatia 5:19-21.

KISWAHILI: UTAGONGWA LA POLINI NA PEMBE ZAKE.

Chanzo cha msemo huo chaangalia kugongwa kwa kiumbe na mnyama poli mwenye pembe zake. Kiumbe hicho hula sana chakula. Lakini basi, huwa hakishibi. Chenyewe hutamani hata kula mnyama poli pamoja na pembe zake, ambaye ni mkubwa sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utagongwa la polini na pembe zake.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa kula chakula. Mtu huyo huwa hashibi wanapompatia chakula. Labda wakimtengea mnyama poli na pembe zake, aliyepikwa na kumla pengine atashiba. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utagongwa la polini na pembe zake.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha ulafi wa kula chakula, ili wasiwapunje wenzao walapo chakula hicho.

Marko 8: 36-37.

Wagalatia 5:19-21.

bufalo

 

ENGLISH: YOU WILL BE KNOCKED BY A HORNED-WILD ANIMAL.

The origin of the above saying is a knock between a certain creature and a horned-wild animal. The creature eats a lot of food with no satisfaction. It even desires to eat big horned-animals for satisfaction. Such a creature is being warned by the proverb that ‘you will be knocked by a horned-wild animal.’

The saying can be compared to a greedy person who doesn’t get satisfaction in his/her eating.

The saying teaches people to stop being greed. They need to be considerate when eating by thinking about others that they also need to eat.

Mark 8: 36-37.

Galatians 5: 19-21.

403. UNG’WOLO ATAPANDIKAGA JOSE JOSE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhudumi bho gupandika jikolo, kunguno ya b’ukokolo bho gutumama milimo bho jisumva jileb’e. Ijisumva jinijo jidahayile ugutumama imilimo yajo. Ijoyi jidahayile ugwilulya, kunguyo ya bholo bhojo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wolo adapandikaga josejose.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo adatogilwe uguguluhya umili gokwe.

Uweyi atogilwe gwikala wigashije duhu. Kuyiniyo lulu, uweyi adapandikaga isabho, Agikalaga wilombeleja kubhanhu bhangi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ng’holo adapandikika josejose.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho na bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika jikolo ja gujib’eja chiza ikaya jabho.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

KISWAHILI: MZEMBE HAPATI CHOCHOTE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya kushindwa kupata mali kwa kiumbe ambaye ni mvivu wa kufanya kazi. Kiumbe huyo hataki kuutesa mwili wake kwa kuufanyisha kazi hizo. Yeye hutaka kukaa tu na kula chakula apewacho, kwa sababu ya uvivu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mvivu kufanya kazi zake. Mtu huyo hapendi kufanya kazi zake. Yeye hupenda kukaa tu.

Kwa hiyo basi, yeye hapati mali ya kutosha kumsaidia maishani mwake. Yeye huishi kwa kuomba omba tu. Kwa hiyo basi, yeye hapati mali itakiwayo kumwezesha kuishi bila kuomba omba, kwa watu wengine Maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mzembe hapati chochote.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi kazi zao kwa bidii kubwa, ili waweze kujipatia mali za kuwasaidia ndugu zao mbalimbali maishani mao.

Wafilipi 2:12.

1 Petro 3:6-10.

lazy-1458443__340

lazy one

ENGLISH: A LAZY PERSON DOES NOT GET ANYTHING.

The source of the above proverb stems from an inability to get wealth from a lazy person. Such a person does not want to torture his/her body by working hard. He/she just wants to sit and eat food given by others. This person is likely to end up having nothing in life. To describe such a person, one can use the proverb that ‘a lazy person does not get anything.’

This proverb can be compared to a person who is lazy in doing his/her work. He/she does not like to work thus he/she does not have enough wealth to support his/her life. He/she depends on begging from others. Such a person ends with nothing in life. His/her behaviour is described by the proverb ‘a lazy person does not get anything.’

The proverb teaches people to do their jobs in order to earn enough money that can help in different activities.

Philippians 2:12.

1 Peter 3: 6-10.

402. GULAMBA MAMILA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulambi bho mamila. Amamila genayo gali maginhu mab’i ayo gagolechaga bhusoso. Agenayo gagafumilaga mulyulu. Kuyiniyo lulu, gadab’elelile ugulambwa. Gashinaga, idichiza ugulamba mamila.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina mito gab’ub’i, giti b’ushiya, wib’i, b’ugwiliji, na mihayo mingi iyo ili guti yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ajileke inhungwa jinijo ija ‘gulamba mamila.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwita ya bhub’i, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhob’o.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

KISWAHILI: KULAMBA MAKAMASI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulambaji wa makamasi. Makamasi hayo ni vitu vichafu vitokavyo puani. Kwa hiyo basi, havifai kulambwa.

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mtenda maovu kama yale ya uzinzi, wizi, ubakaji na mengine mengi yafananayo na hayo. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, aziache tabia hizo za ‘kulamba makamasi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda maovu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Wagalatia 5:19-21.

1 Wakorintho 6:18-19.

drunk-1013898__340

 

ENGLISH: TO LICK NOSE MUCUS.

The source of the above saying comes from licking nose mucus. Mucus is regarded as something dirty coming from nostrils. Therefore, they should not be swallowed.

This saying can be compared to a person who commits immorality such as adultery, robbery, rape and many other similar things. That is why people can describe a person with such behaviour using the saying of ‘to lick nose mucus’ to mean living on dirty environment that cannot be appreciated by other people.

The saying teaches people to stop doing evils in order to maintain peace and harmony in the society.

Galatians 5: 19-21.

1 Corinthians 6: 18-19.

401. YASHINGA MU MINZI IDELAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile bhutalamu bho jisumva. Jilihoyi jigano ja bhanigini ijo jolechije chiza. Ijigano jinijo jihayile giki: lushugu lumo bhugigela wikindi bhutale kuli ntemi o ndimu, uyo ahayaga kugamana giki, ni nani alintalamu gukila pye.

Indilo ja munyanza ya Victoria jigaja jiligimba noyi giki jidulile gukinda, kunguno ijoyi jigikalaga muminzi. Ijoyi jahayaga giki jiduduma ugukinda. Gahayugiza mafumilo, jukindwa kihamo nu gwikala gojo makanza gose umuminzi.

Ingegelehya najo jigaja jajimaga masalu pye imimili yajo, jiza na ndilo ja bhululu umunhingo jajo, ng’wina najo na mafurushi ga nyama umumino gajo, na jingi ningi. Pye ijinijo jigapejiwa wangu.

Ahikanza linilo, jigiza hoyi ndimu guti: nguruwe, nguku, ndulu, jibhegelejaga chiza noyi, bho gwikula jela chiza mpaga jukinda, umuwikindi bhunubho.

Ubhulungwa bho lusumo lunulo bhuli hape: udiziiganikila ihali yako giki itoshije ugubhushigila ubhupandiki ubhutale. Igelelilwe wigulambije na udizibhudalaha uwigulambija bhunubho, kugiki udule gupandika, umubhuchoji bhoko.

Luka 3: 8-9.

Katika Luka 10: 25-37.

Luka 17: 11-19.

Mathayo 25: 31-46.

KISWAHILI: KUKAA MUDA MREFU NDANI YA MAJI SI KUTAKATA.

Chanzo cha methali hiyo hapo juu chaangalia asili ya usafi. Kuna hadithi kwa ajili ya watoto, ambayo ina maelezo kamili. Hadithi hiyo, inasema kwamba: siku moja ushindani mkubwa ulielekezwa kwa ufalme wa wanyama, ili kufahamu juu ya nani aliye msafi zaidi ya wote.

Samaki wa Ziwa Victoria walifika walijiona fahari sana kwa kujidhania kwamba, hawawezi kushindwa, kwa sababu wao wanaishi ndani ya maji. Matokeo yake, hawakujali usafi wao wakati siku kuu ilifika, wakashindwa.

Kaa nao walijitokeza wakiwa na mchanga pande zote za miili yao, samaki walio na rangi ya bluu shingoni mwao, mamba nao walifika na vifurushi vya nyama katika meno yao, na kadhalika. Wakafukuzwa haraka kwa kazi.

Wakati huo huo, wanyama kama vile: nguruwe, nyani na punda wafika wakiwa wamejiandaa vizuri sana, kwa kujisugua vizuri, kwa uchungu wa kutosha kujiosha kwa bidii, mpaka walishinda.

Mafundisho ni wazi: Usiifikirie hali yako kuwa inatosha kuyafikia mafaniko fulani bila kuwa na dibii yoyote, ili uweze kuyafikia hao unatakiwa kuwa na bidii.

Usipuuze bidii hiyo, ili kufanikiwa katika maisha iendeleze bidii hiyo mpaka uyafikie mafanikio hayo.

Luka 3: 8-9.

Katika Luka 10: 25-37.

Luka 17: 11-19.

Mathayo 25: 31-46.

fish1

ENGLISH: TO STAY A LONG TIME IN THE WATER DOES NOT MAKE YOU CLEAN.

The source of the above proverb looks the essence of cleanness.  There is a story for children, that has the details. It says: one day a great competition was addressed to the animal kingdom in order to find out who was the cleanest of all.

Fish of the Lake Victoria felt very proud by telling themselves that, because they live in the water, they cannot be defeated. As a result, they did not care about their cleanliness when the great day arrived.

Crabs presented themselves with sands all over their bodies, fish with algae around their necks, crocodiles with meat parcels between their teeth and so on. They were quickly dismissed.

Meanwhile, animals such as: pigs, monkeys or donkeys prepared themselves very well, by taking pains to wash themselves and were consequently winners.

The teaching is plain: Do not assume your condition is sufficient in order for you to reach a certain achievement. Do not neglect hard work in order to succeed.

Luke 3: 8-9.

In Luke 10: 25-37.

Luke 17: 11-19.

Matthew 25: 31-46.

fish

400. JILAMBA LUME.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulambi bho lume. Ubhulambi bho lume bhunubho, bhuli bhojisumba ijo jigab’itaga  sagara na bho duhu ugudililia, nulu mulume jigab’ululaga duhu. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga ijisumva jinijo giki, ‘jilamba lume.’

Ulusumo lunulo lugalnganijiyagwa kuli munhu uyo alingwiliji o bhakima. Ungwiliji ng’wunuyo, agamishaga dilu ogitegela bhanhu abho alihaya gub’agwilila. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘jilamba lume.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja b’ugwiliji bho bhanhu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Marko 7: 21-23.

KISWAHILI: MLAMBA UMANDE.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulambaji wa umande. Ulambaji huo wa umande, ni wa kiumbe kile ambacho hupita hovyo bila kujali uchafu kiupatao. Hata kwenye umande chenyewe hupita tu. Ndiyo maana watu hukiita, ‘mlamba umande.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mbakaji wa wanawake. Mbakaji huyo, huamuka mapema asubuhi ili aweze kuwanyemelea watu anaotaka kuwabaka. Ndiyo maana watu humwita mtu huyo kwamba ni ‘mlamba umande.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za ubakaji katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao.

Marko 7: 21-23.

dew-on-grass

pearl-millet-

 

ENGLISH: DEW SWALLOWER.

The source of the above saying comes from dewdrops. It is associated with someone who is careless in his/her doings.

This saying can be compared to a man who is a rapist. Such a person can wake up very early in the morning to eye for women he would like to rape. Since he wakes-up very early in the morning then he is prone to dew drops. This is why such people are being described by using the saying of ‘dew swallower.’

The saying teaches people about giving up the raping habit in order to live happily with others.

Mark 7: 21-23.