Kashinje Zacharia

425. DUPELAGI UBHUJIKU BHONG’ANGILA.

Imbuki ya kahayile kenako hingilile kuwikomelaga bho bhanhu kupela, kunguno ya gwililwa bhujiku. Abhanhu bhenabho bhalimulugendo lo guja halebhe.

Aliyo lulu, ubhujiku bhugabhilila, bhubhona giki bhagupandika makoye, ulu bhamane bhusiminza duhu. Gashinaga yigelelilwe bhapele, kugiki bhadule gugiliga amakoye genayo. Hunagwene bhagikomelaja bho guyomba giki, ‘dupelagi ubhujiku bhong’angila.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalilihamo. Ulubhubhona mihayo yahaya gubhipa, nulu bhilembekejiyagwa mhayo bhagiwilaga giki, bhinge hoyi. Uwilembekejiwa bhunubho wikolile na bhujiku, ubho bhong’angilaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dupelagi ubhujiku bhong’angila.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulekana na mihayo iyo idulile gubhingija mumakoye kugiki, bhadule gugiliga amakoye genayo, umuwikaji bhobho.

Marko 14:50-52.

KISWAHILI: TUKIMBIENI USIKU UMEZIDI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye hali ya kujihimiza kukimbia kwa watu ambao, usiku umezidi kuingia wakiwa bado safarini. Watu hao wako safarini kuelekea sehemu fulani.

Lakini basi, usiku umeingia wakaona kwamba watapata matatizo wakiendelea kutembea tu. Kumbe yafaa wakimbie ili waweze guyakwepa matatizo hayo. Ndiyo maana watu hao, walihimizana kwa kusema kwamba, ‘tukimbieni usiku umezidi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wako pamoja. Waliona kwamba maneno wanaoyaongelea yamekuwa mabaya, au wamesingiziwa neno baya, wakaamua, waondoke pale kwa kukimbia. Kusingiziwa huko kwafanana na usiku uliozidi sana. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘tukimbieni usiku umezidi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na maneno yale yawezayo kuwaletea matatizo, ili waweze kuyaepuka matatizo hayo, maishani mwao.

Marko 14:50-52.

night coming

night3

 

ENGLISH: LET US RUN FROM THE COMING DARKNESS.

The source of the above saying comes from the urge to run away from darkness. This happens to people who appear to be walking to somewhere and they are scared of darkness that is about to fall. They know that walking at night might cause some problems to them and would like to avoid them and therefore they have to run and reach the destination before darkness falls.

The saying can be compared to those people who appear to hate evils in the society. Such people, when they realize that what they are doing is likely to affect them in future, they can refrain from doing it. Such people can describe this scenario using the saying that ‘let us run from the coming darkness.’

The saying teaches people to abandon acts that can bring them problems.

Mark 14: 50-52.

424. MASALA GADIYONGEJIYAGWA.

Imbuki ya kahahyile kenako yilolile masala ga bhanhu. Amasala genayo  gagabhizaga gali mtwe go ng’wa munhu, ayo gagatulagwa moyi na Nsumbi okwe umunhu ng’wunuyo. Kuyiniyo lulu, ulu munhu ukenya mhayo nebhe, abhanhu bhaganhugulaga kugiki wilange.

Aliyo, ulu ukenye hangi umunhu ng’wunuyo, mumho amasala gakwe gagelelile henaho, bhadikomile ugung’ongegeja. Hunagwene abhanhu bhagayongaba giki, ‘masala gadiyongejiyagwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agamanaga ukenye mara hingi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhakoyaga abhiye kunguno ya masala gakwe genayo, ayo gagang’wenhelejaga gwita ya bhubhi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘masala gadiyongejiyagwa.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumija bho gudula gubhambilija ugwikala na bhanhu bha mbika ningi, kunguno, a‘masala gadiyongejiyagwa,’ bhuli ng’wene umo winhilwa, agusaga ni giko.

Mithali 19:25.

KISWAHILI: AKILI HAZIONGEZEANWI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia akili za mtu. Akili hizo huwa kichwani mwake mtu alizopewa na Muumba wake. Kwa hiyo basi, mtu akikosea neno fulani, huonywa na wenzake ili ajifunze.

Lakini akikosea tena mtu huyo maana yake, akili zake hunesha kwamba, zimekomea hapo, wao hawawezi kuziongeza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘akili haziongezeanwi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukosea mara kwa mara, maishani mwake. Mtu huyo huwasumbua wenzake kwa sababu ya akili zake hizo, ambazo humsababisha kutendo maovu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘akili haziongezeanwi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia katika kuishi na wenzao wenye tabia tofauti na wao, ili waweze kuwa pamoja, kwa sababu ‘akili haziongezeanwi.’

Mithali 19:25.

black-woman1

 

ENGLISH: INTELLIGENCIES DO NOT ADD TO EACH OTHER.

The essence of the above saying looks at one’s intelligence.  Intelligence is considered to be in one’s head as given by his/her Creator. If someone fails to do something someone else can help to correct it with the aim of making him/her learn. But, if it happens that that person keeps on repeating the same mistake then the conclusion is that his/her intelligence ends up there. He/she cannot stretch it further. That is why people can describe this scenario using the saying that ‘intelligencies do not add to each other.’

The saying can be compared to a person who repeatedly makes mistakes in his/her life. Such a person can bother others who witness those mistakes. He/she appears to justify that his/her capacity in thinking has ended and no one can add more to what he/she has in mind.

The saying teaches people about having patience in living with others with different capacities and personalities.

Proverbs 19:25.

423. UBHEBHE ULIKALEMEJI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulemeji bho ng’wa munhu nebhe. Umunhu ng’wunuyo ulu utung’wa guja gujutumama nimo nebhe, agalemaga.

Uweyi adahamagwa na bhiye umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ubhebhe ulikalemeji.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhalemela abhabyaji bhakwe. Umunhu ng’wunuyo adabhigwaga abhabyaji bhakwe bhenabho, ulu bhang’wila mhayo nebhe. Ulu bhanhugula higulya ya guleka ginhu jilebhe, uweyi agalemaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ubhebhe ulikalemeji.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kubhakuja bhabyaji bhao, kugiki bhadule gupandika wikaji bho shigu ningi ukuwelelo, na bhuyeji bhutale ung’wigulu.

Mithali 19:13.

KISWAHILI: WEWE NI YULE ALIYESHINDIKANA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya kushindikana kwa mtu fulani. Mtu huyo akitumwa kwenda kufanya kazi fulani hukataa.

Yeye hukataa kuonywa na wenzake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘wewe ni yule aliyeshindikana.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ameshindikana kwa wazazi wake. Mtu huyo hawasikilizi wazazi wake, wakimwambia kufanya kitu fulani. Wakimuonya juu ya kuacha kufanya jambo fulani, yeye hukataa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘wewe ni yule aliyeshindikana.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwaheshimu wazazi wao, ili waweze kuishi siku nyingi hapa duniani, na heri Mbinguni.

Mithali 19:13.

lady

kids3

 

ENGLISH: YOU ARE A FAILED PERSON.

The source of this saying is someone’s failure to achieve his/her expectations in life. That person tends to refuse doing something when asked to do so. Due to his/her behaviour of disobeying his/her elders he/she can be warned by the saying that ‘you’re a failed person.’

This saying can be compared to a person who refuses to obey the teachings of his/her parents. Such a person does not listern to his/her parents who tell him/her how to approach life. Eventually, parents can give give up leaving him/her to face the consequences of his/her disobedience.

The proverb teaches people to respect their parents so that they can live longer and be blessed in Heaven.

Proverbs 19:13.

422. NAKAKUMBULAGA AKANIGO KANE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhukumbuji bho nigo gokwe, umunhu nebhe. Ubhukumbuji bho nigo gunuyo, bhuli bho ng’wa munhu uyo oya kale ugugubhona unigo gokwe gunuyo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, ‘nakakumbulaga akanigo kane.’

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alintonda ng’wiye ginhu guti hela, bhusiga, nulu ng’wenda uyo ogulanda. Umunhu ng’wunuyo agayombaga giko, kubho guntonda ung’wiye anshokeje iginhu jakwe jinijo, kunguno ya gudila ugujishosha ukuli weyi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki, ‘nakakumbulaga akanigo kane.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gushosha wangu iginhu ijo bhalanda ukubhinikili, kugiki.bhadule gwikala halumo bho bhutogwa na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 11:24.

Mithali 12:9.

KISWAHILI: LETA ULE MZIGO NIMEUKUMBUKA.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ukumbukaji wa mzigo wake mtu fulani. Ukumbukaji wa mzigo huo, ni wa mtu ambaye hajauona mzigo wake huo tangu siku nyingi. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘leta ule mzigo nimeukumbuka.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anamdai mwenzake kitu kama hela, mtama, au nguo aliyoazima. Mtu huyo husema hivyo kama njia ya kumdai mwenzake huyo amrudishie deni lake, kwa sababu ya kuchelewa kulirudisha kwake. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘leta ule mzigo nimeukumbuka.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kurudisha haraka kitu walichokopa kwa wenyewe, ili waweze kuishi katika umoja na wenzao, maishani mwao.

Mithali 11:24.

Mithali 12:9.

basket

luggage

 

ENGLISH: BRING MY LUGGAGE, I HAVE REMEMBERED IT.

The source of the above saying comes from the memory of someone whose property was borrowed by someone else. It might have taken quiet sometime without returning it. This is why the owner of the property can use the saying ‘bring my luggage, I have remembered it’ to communicate his/her need to getting back his/her property.

The saying can be compared to a person who demands for his/her property such as money, sorghum, or clothes from someone else. The debtor is forced to pay it back.

The saying teaches people about repaying their debts in order to create a ground for unity and cooperation in the society.

Proverbs 11:24.

Proverbs 12: 9.

421. NILINDAGI NAGAPONYE NIGO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuponya bho nigo go bhanhu. Olihoyi munhu uyo oliotung’wa guchala ginhu halebhe. Umunhu ng’wunuyo oli nabhiye umulugendo lunulo. Aho oshiga uko kaya iyo oguchalaga unigo gunuyo, agabhawila abhiye giki, ‘nilindagi nagaponye nigo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatimijaga chiza, imilimo iyo utung’wa na bhiye guitumama. Umunhu ng’wunuyo agabhambilijaga abhanhu, ukunhu alikihamo na bhiye abho alinabho. Hunagwene agayombaga giki, ‘nilindagi nagaponye nigo.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujishisha chiza imhola ijo bhatung’wa gujichala halebhe, kugiki bhadule gwiyambilija halumo na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 43:3.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: NINGOJENI NIKATUPE MZIGO.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye utupaji bha mzigo wa watu wa sehemu fulani. Alikuwepo mtu mmoja aliyetumwa kupeleka kitu fulani kwa watu. Mtu huyo alikuwa pamoja na wenzake, katika safari hiyo. Alipofika pale alipotumwa kuupeleka ule mzigo aliwaambia wenzake kwamba, ‘ningojeni nikatupe mzigo.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutimiza vizuri kazi aliyotumwa na wenzake kuifanya. Mtu huyo huwasaidia watu, huku akiwa pamoja na wenzake. Ndiyo maana mtu huyo huwaambia wenzake kwamba, ‘ningojeni nikatupe mzigo.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufikisha vizuri ujumbe waliotumwa kuupeleka kwa watu, ili waweze kusaidiana katika kuutunza umoja huo, maishani mwao.

Zaburi 43:3.

Mathayo 11:28.

 

outdoors

carrying

 

ENGLISH: WAIT FOR I AM GOING TO THROW THE LUGGAGE.

The source of this saying comes from dumping someone’s luggage. There was a man who was asked to send a certain luggage to someone else. Such a man was with his friends walking towards that direction where he has to send the luggage. When he reached the destination, he told his friends that ‘wait for I am going to throw the luggage’ to mean handing over to the respective people.

The saying can be compared to a person who properly fulfills the tasks assigned to him/her by his/her colleagues.

The saying teaches people about effective communication by delivering the required information on time to the required people.

Psalm 43: 3.

Matthew 11:28.