Kashinje Zacharia

465. NKINDA MAHAGALA AKABYALA MHANGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujigano ja ng’wa Sayayi, uyo ocholaga bhusabhi. Usayayi ng’wunuyo, agabhuta ntwe go ng’ombe, nu nkila goyo, ugajichimika mubhulolo.

Aho amala ugwita chiniko, agalija ng’wano, aliyomba giki, ‘ng’ombe yakwe yalibhilaga muludefu. Abhanhu bhagaga hoyi bhingi, bhugidima unkila na mapembe gayo, huna bhandya lulu uguidubula. Aho bhaduta, bhugudubula ntwe nu nkila  gunuyo duhu.

Usayayi ubhawila giki, bhanipe, kunguno bhayibhudikijaga ing’ombe yakwe mubhulolo. Bhaganipa ng’hana, ng’ombe ningi, mpaga ubhiza nsabhi ntale. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkinda mahagala agabyala mhanga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga jikolo, bho gubhalemba abhanhu. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga bhushilimu bho gugalucha mihayo iyo idulile gumpandikila sabho, ija gufumila ukubhiye bhenabho.

Uweyi agalenganijiyagwa na sayayi, uyo agabhalemba abhanhu bho bhushilimu bhokwe, mpaga bhunipa ng’ombe ningi, kunguno nang’hwe agabhutumilaga ubhushilimu bhokwe mpaga opandika sabho, ija gufumila ukubhiye bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘nkinda mahagala agabyala mhanga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka gusola sabho ja bhanhu bho gubhalembagula, kugiki bhadule guitumama imilimo iyo idulile gubhapandikila sabho ja gutumila umuwikaji bhobho.

Luka 16:1-8

KISWAHILI: MCHOMEKA PEMBE ALIZAA WAZIMA

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye hadithi ya Sungura, aliyekuwa akitafuta utajiri. Sungura huyo, alikata kichwa cha ng’ombe, na mkia wake, akavichomeka kwenye matope.

Alipomaliza kufanya hivyo, alipiga yowe, akisema kwamba, ng’ombe wake amedidimia kwenye matope. Watu wengi walifika kwenye tukio hilo, wakashika pembe na mkila ili waweze kumtoa ng’ombe huyo kwenye matope hayo. Walipomvuta walitoa kichwa na mkia tu, bila mwili wake.

Sungura aliwaambia wamlipe, kwa sababu wamemkata ng’ombe wake kwenye matope hayo. Watu hayo, kweli walimlipa ng’ombe wengi, mpaka akawa tajiri mkubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mchomeka pembe alizaa wazima.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu, yule ambaye hupata mali kwa kuwadanganya watu. Mtu huyo, hutumia ujanja wa kugeuza maneno yale yawezayo kumpatia mali za kutoka kwa wenzake hao.

Yeye hulinganishwa na Sungura yule aliyewadanganya watu kwa ujanja wake, mpaka wakamlipa ng’ombe wengi, kwa sababu naye, hutumia ujanja wake ambao humwezesha kupata mali za kutoka kwa wenzake hao. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘mchomeka pembe alizaa wazima.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kuchukua mali za watu kwa kuwadanganya, ili waweze kufanya kazi zile ziwezazo kuwapatia mahitaji yao, maishani mwao.

Luka 16:1-8.

rung'wando

cow meat

464. KIMBULU NG’WIFA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile nyabhu ya mumapolu. Inyabhu yiniyo, igikalaga ibhisile mumafa, kunguno ya gogoha gutulwa na bhanhu. Ulu yumhona munhu, igibhisaga kunguno igacholaga gulya ngoko ja bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagiitanaga ‘kimbulu ng’wifa,’ kunguno ya gwikala goyo umumafa munumo.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ogalucha inhungwa jakwe, jibhiza jabhubhi. Ubhubhi bhunuyo, bhuli kihamo  na gwibha jikolo ja bhanhu.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa ni kimbulu iyo igalyaga ngoko ja bhanhu, kunguno nang’hwe, agandyaga gwibha jikolo ja bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagangwitanaga giki, ‘kimbulu ng’wifa.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja wibhi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15.

KISWAHILI: PAKA SHUME.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye paka wa polini. Paka huyo, huishi kwa kujificha kwenye majani, kwa sababu ya kuogopa kupigwa na watu.

Akimuona mtu, hutafuta sehemu ya kujificha, kwa sababu ya yeye kuwa na lengo la kumwibia kuku wake.  Ndiyo maana watu humwita, ‘paka shume.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amebadilika kitabia na kuwa na tabia mbaya. Tabia hiyo mbaya, ni pamoja na ile ya kuiba mali za watu.

Mtu huyo, hulinganishwa na paka shume ambaye hula kuku za watu, kwa sababu naye, huanza kuiba mali za watu. Ndiyo maana watu humwita mtu huyo kuwa ni ‘paka shume.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za wizi, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 7:15.

paka shume

cats

ENGLISH: A WILD CAT IN THE GRASS.

The source of this saying is a wild cat that tends to hide for fear of being killed for stealing people’s chicken. When the wild cat sees a human being, it hides itself in grasses.

 This saying can be likened to a person who has changed his/her behaviour and attitude. This includes being a thief and other forms of misconducts. Such a person can be compared to a wild cat.

The proverb teaches people to break free from the habits of robbery, which can make them to always live in fear. Rather, they have to respect one another.

Matthew 7:15.

463. UYAGACHOBHAGA MBUKI ADANOGAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhubhoji bho mbuki ya ginhu, nulu mhayo nhebhe. Ubhuchoji bho mbuki bhonubho, bhugamanaga bhunchala bhutongi, unchoji oyo, kunguno bhuli jito, jili na guno yajo. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘uyagachobhaga mbuki adanogaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe yombo bhuli likanza. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga na widumi na bhanhu, umukikalile kakwe, kunguno ya wikolosha bhokwe.

Uweyi, agalenganijiyagwa na munhu uyo agachobhaga mbuki bho nduhu ugunoga, kunguno nang’hwe adanogaga, uguyuyoga na bhanhu. Hunagwene abhanhu abhagang’wilaga giki, ‘uyagachobhaga mbuki adanogaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gutoga yombo ya gwiduma na bhanhu, kugiki, bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwijaji bhobho.

Mathayo 4:3.

 Yohane 11:47-48.

KISWAHILI: MTAFUTA CHANZO HACHOKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia utafutaji wa chanzo cha kitu au neno fulani. Utafutaji huo, huendelea kumpeleka mbele mtafutaji wake huyo, kwa sababu kila tendo, au neno lina chanzo chake, au sababu ya kuwepo kwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtafuta chanzo hachoki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda ugomvi kila wakati. Mtu huyo, huwa na ugomvi na watu karibu kila wakati, kwa sababu ya ukorofi wake.

Yeye hulinganishwa na mtu yule atafutaye chanzo cha kila tendo au neno, bila kuchoka, kwa sababu naye, huwa hachoki kuishi katika ugomvi na watu mbalimbali. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mtafuta chanzo hachoki.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kupenda kelele za kutafuta ugomvi na watu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 4:3.

 Yohane 11:47-48.

music

masai- africa

ENGLISH: HE WHO LOOKS FOR QUARREL DOES NOT GET TIRED.

The source of this proverb is a person who looks for source of something. It makes someone keep on looking for it until he/she reaches a point of knowing the source of what he/she is looking for. Such a person can be described using the proverb that ‘he who looks for quarrel does not get tired.’

The proverb can be compared to a person who likes quarrels. Such a person always has quarrels with people because of his/her nuisance. Such a person can dig deeper without getting tired despite being hated by some people who might be not interested in that truth.

The proverb teaches people about ignoring the quarrel-seeking behaviours. This will enable people to have a peaceful life in their families.

Matthew 4: 3.

John 11: 47-48.

462. DUKOBHE IKUBHI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchoji bho likubhi. Ulu kaya yupandika ngeni, igakobhaga ikubhi bho gubhulaga ngoko, mbuli, nulu ng’ombe.

Untugo uyo gugabhulagagwa gunuyo, hilikubhi lya ngeni ng’wunuyo, ilya gulila umubhugali ubho alitengelwa. Agazugilagwa nyama ya gubhulila ubhugali bhunubho. Hunagwene abhanhu, ulu bhapandika ngeni, bhagayomgaga giki, ‘dukobhe ikubhi.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku kaya ya bhanhu abho bhalina wizang’holo, bho gubhakalibhusha chiza abhageni. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagabhasumbilaga chiza, abhageni bhabho, bho gubhinha bhulalo, na jiliwa ijo jilijawiza. Hunagwene abhanhu bhenabho, ulu bhapandikaga bhageni, bhagayombaga giki, ‘dukobhe ikubhi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizang’holo, bho gubhasumbila chiza, na gubhabhegeja jiliwa ja wiza, abhageni bhabho, kugiki bhadizukoya, umubhugeni bhobho bhunubho.

Mathayo 22:4.

Luka 15:11-25.

KISWAHILI: TUTAFUTE MBOGA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye utafutaji wa mboga. Familia ikipata mgeni, hutafuta mboga kwa kumchinjia kuku, mbuzi, au ng’ombe.

Mfugo huo, ni nyama iyopikwa kama mboga ya mgeni huyo, ambaye huitumia wakati wa kula ugali wanaompelekea. Ndiyo maana watu wakipata mgeni, husema kwamba, ‘tutafute mboga.’

Msemo huo, hulinganishwa na familia ya watu, ambao wana ukarimu wa kuwakaribisha vizuri, wageni wao. Watu waliopo kwenye familia hiyo, huwapokea vizuri wageni wao, kwa kuwapatia chakula. Ndiyo maana watu hao, wakipata wageni husema kwamba, ‘tutafute mboga.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwawezesha kuwapokea vizuri, wageni wao, na kuwaandalia chakula kizuri, ili watu hao wasipate matatizo, kwenye ugeni wao huo.

Mathayo 22:4.

Luka 15:11-25.

cows-

steak-

ENGLISH: LET’S LOOK FOR MEAT.

The source of this saying is looking for meat to feed the visitor. When a family gets a visitor, they are expected to look for something precious to be eaten by the visitor. It can be chicken, goat, cow, etc. Then the meat has to be cooked as sauce to be eaten with ugali. Meat is regarded as something precious to honour the visitor. This is why people will say ‘let us look for meat’ in order to show appreciation to the visitor for paying visit to their family.

The saying can be compared to a family of people who are hospitable to their visitors. The members of the family can provide visitors with good food to enjoy their stay.

The saying teaches people about generosity by welcoming visitors and giving them good food and other services that can make them enjoy their stay.

Matthew 22: 4.

Luke 15: 11-25.

461. MHUNGA NJOBHA IGAKOBHAGA MHEMBE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile mbuli yamhunga, na kalwile kayo. Imbuli yiniyo, idina mapembe, aliyo imanile noyi ugulwa, kunguno iyoyi igakobhaga mhembe ijo jili nhali guti ja nja. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhunga njobha igakobhaga mhembe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kukaya ya ng’wa munhu, uyo aling’wobha. Ikaya yiniyo igabhizaga imanile uguchola nzila ja gwipija na bhanishi bhayo, kihamo nija gwiyinja umumakoye ga bhuli mbika.

Iyoyi, igalenganijiyagwa na mbuli ya mhunga, iyo igakobhaga mhembe guti ja nja, kunguno nayo, ikaya yiniyo igabhalanghanhaga abhanhu bhayo, bho gutumila nzila ningi.

Iyoyi imanile ugulwa na bhanishi bhayo, mpaga igabhapyenaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mhunga njobha igakobhaga mhembe.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhugagaja, bho gujilanghana jinagujilela chiza, ikaya jabho, kugiki, jikije ugukenagulwa na bhanhu, abho bhali miganiko mabhi.

Luka 19:1-4.

Luka 16:3-7.

MBUZI MWOGA HUJUA NAMNA YA KUJIHAMI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mbuzi asiye na pembe, na kupigana kwake. Mbuzi huyo, hana pembe, lakini anafahamu sana kupigana na adui zake, kwa sababu yeye, hutafuta pembe zilizokali kama za paa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mbuzi mwoga hujua namna ya kujihami.’

Msemo huyo hulinganishwa na familia ambao ni wa mtu mwoga. Familia hiyo, inafahamu namna ya kutafuta njia za kupigana na adui, pamoja na zile za kutatua matatizo ya wanafamilia wake.

Familia hiyo, hulinganishwa na mbuzi mwoga aliyetafuta pembe za paa kwa kupigana na adui zake, kwa sababu nayo, hutafuta njia mbalimbali za kuwalinda wanafahamilia dhidi ya watu waovu.

Yenyewe hutatua matazizo ya wanafamilia. Hivyo, yenyewe inaelewa namna ya kupigana na adui, mpaka kumshinda. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mbuzi mwoga hujua namna ya kujihami.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ubunifu wa kuwawezesha kuzilinda familia zao, kwa kuzilea vizuri, ili zisiharibiwe na watu wenye nia mbaya.

Luka 19:1-4.

Luka 16:3-7.

goats fighing

goats-

ENGLISH: A COWARD GOAT KNOWS HOW TO DEFEND HIMSELF.

The source of this saying is a hornless goat that defends itself from enemies when fighting. This hornless goat, when fighting with its enemies, knows which trick to use to defeat its enemy. It can even borrow sharp horns like those of gazelle and be able to outwit its enemy. This is why people can describe this scenario using the saying that ‘a coward knows how to defend himself.’

The saying can be compared to a coward family that knows how to protect itself against external forces that are likely to disturb it. This family can have its tactics of defence in the same way the goat does in defending itself to the extent of borrowing weapons from other animals. Therefore, this family can have its own ways of solving problems without depending on others.

The saying teaches people about being creative to protect their families by raising them properly. They raise their family members in a way that ensures that they are not destroyed by evil-minded people.

Luke 19: 1-4.

Luke 16: 3-7.