Kashinje Zacharia

485. GUCHA GULALA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuchi na bhulaji, bho ng’wa munhu. Umunhu ulu ucha agabhizaga giti alalile duhu, hichene abhanhu bhagayombaga giko, kunguno ulu ulala bhagikalaga bhamanile igiki agumisha duhu.

Gashinaga lulu, umunhu ulu ucha gugachaga mili duhu, umoyo gokwe gugabhizaga gulimhola, mukikalile kangi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gucha gulala.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo amanile igiki bhulihoyi bhupanga bhungi, ulu gucha umili go ng’wa munhu. Umunhu ng’wunuyo, agikomeja gwikala chiza na bhanhu, bho gubhambilija umumakoye abho bhalilomba wambilija bhokwe, kugiki abhutumile chiza uwikaji bhokwe ubho ha welelo henaha.

Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga bhulangwa nabhiye, ubho gwikala chiza na bhanhu, haho bhatale nayo imimili yabho, kugiki bhadule gwingila chiza umubhupanga ubho myoyo yabho, kunguno umoyo gudachaga. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘gucha gulala.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhutumamila chiza ubhupanga bho mimili yabho, bho gwikala bho mholele na bhanhu, kugiki bhadule gwingila chiza, umubhupanga ubho moyo, ulu yucha imimili yabho.

2Wakorintho 5:4-10.

Waefeso 2:1, 4-6.

KISWAHILI: KUFA KULALA

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kufa na kulala kwa mtu. Mtu akifa huwa kama amelala tu, ndiyo maana maana watu husema hivyo, wakiamini uwepo wake kwenye maisha mengine. Kwa maana hiyo, mtu akilala, wao huelewa kwamba ataamuka tu.

Kumbe mtu akifa ni mwili peke yake ambao hufa, roho yake huwa salama kwenye maisha mengine, ambayo huwa inayaanga, baada ya kuachana na mwili. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufa kulala.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, anafahamu kwamba, kuna uzima mwingine baada ya mwili wa mtu kufa. Mtu huyo, hufanya bidii ya kuishi na watu vizuri, kwa kuwasaidia wale wanaohitaji msaada wake, ili aweze kuutumia na kuumaliza vizuri muda wa ukaaji wake wa hapa duniani.

Mtu huyo, huwapa mafundisho wenzake ya kuishi vizuri na watu, wakati wakiwa pamoja na miili yao, ili waweze kuingia vizuri kwenye uzima wa mioyo yao, kwa sababu, moyo haufi. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kufa kulala.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia vizuri uzima wa miili yao, kwa kuishi maisha ya amani na wenzao, ili waweze kuingia vizuri kwenye uzima wa roho, baada ya miili yao kufa.

2Wakorintho 5:4-10.

Waefeso 2:1, 4-6.

gulala lufu

gucha gulala

ENGLISH: TO DIE IS TO SLEEP.

The source of the saying is death and sleep. When a person dies, it appears as if he/she is asleep. People believe that there is another life after death. They look at the dead person in the same way they look at a person who sleeps. This is why they describe this scenario using the saying that ‘to die is to sleep.’

In a spiritual world, when a person dies, it is only the body that dies but his/her soul doesn’t die rather it separates with body and goes for another life; eternal life.’

The saying can be compared to a person who realizes that there is another life after death. This person can be forced to work hard to avoid committing sins so that his/her soul can have peace after the death of his/her body. Such people can help to teach others about the need to abide by God’s laws and commandments in order to make them reach heaven.

The saying teaches people how to make good use of life on earth by living a peaceful life with others. In so doing, they are preparing their own heaven while still on earth.

2 Corinthians 5: 4-10.

Ephesians 2: 1, 4-6.

484. KALAGU – KIZE. ADALALAGA BHUJIKU NA LIMI:- LIMI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola liginhu ilo lilitanwa limi. Ilimi linilo, lidimaga utima kunguno, pye amakanza ligabhizaga lilitumama duhu. Ilyoyi lidanogaga ugutima kunguno, lyabhejiwa chene.  Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘adalalaga bhujiku na limi:- Limi.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alina bhukalalwa bho gutumama imilimo yakwe, bho nguvu jakwe pye ijose. Umunhu ng’wunuyo, ogumanilija umili gokwe kutumama milimo yiniyo, bho makanza malilu, kunguno uweyi adanogaga wangu.

Umunhu ng’wunuyo agalenganijiyagwa ni Limi ilo lidanogaga ugutima, kunguno, nang’hwe umunhu ng’wunuyo, adanogaga wangu uguitumama imilimo yakwe yiniyo. Uweyi agabhalangaga nabhiye ahigulya ya guitumama imilimo yabho, bho bhukamu bhutale. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘adalalaga bhujiku na limi:- Limi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukalalwa bho guitumama imilimo yabho, bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika, matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 4:16-18.

2Wakorintho 5:1-3.

Mathayo 24:35.

KISWAHILI: KITENDAWILI   –  TEGA

HALALI USIKU NA MCHANA:- JUA

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia kitu kinachoitwa Jua. Jua hilo, halisimami kuangaza, kwa sababu lenyewe hufanya hivyo kwa muda wote. Lenyewe halichoki kumulika, kwa sababu liliumbwa hivyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘halali usiku na mchana:- Jua.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye bidii, na hamu ya kufanya kazi zake kwa nguvu zake zote. Mtu huyo, ameuzoesha mwili wake kufanya kazi hizo kwa muda mrefu, bila kuchoka mapema.

Mtu huyo, hulinganishwa na Jua, ambalo huwa halichoki kumulika, kwa sababu naye pia huwa hachoki mapema kuzitekeleza kazi zake hizo. Yeye huwafundisha pia wenzake, namna ya kuyatekeleza majukumu yao, kwa bidii kubwa. Ndiyo maana yeye huwahadithia watu kwamba, ‘halali usiku na mchana:- Jua.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuzitekeleza kazi zao kwa umakini mkubwa, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

2Wakorintho 4:16-18.

2Wakorintho 5:1-3.

Mathayo 24:35.

Limi

magwa limi

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

HE DOES NOT SLEEP DAY AND NIGHT – THE SUN.

The source of this riddle is the sun that does not rest in its shinning. It shines all the time. The sun was created to shine all the time. That is why people have a riddle to describe this natural happening that ‘he does not sleep day and night – the sun.’

This riddle can be compared to a person who is industrious and eager to do his/her best. That person has conditioned his/her body to work tirelessly, a condition that is comparable to that of the sun that shines day and night.

This riddle teaches people to carry out their duties with great effort and to be diligent in carrying out their tasks with great care so that they can achieve more in their lives.

2 Corinthians 4: 16-18.

2 Corinthians 5: 1-3.

Matthew 24:35.

483. KALAGU – KIZE. OZA ALINAMBA OPI: – MOTO NA FUGO.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola moto na fugo, ahikanza lya bhuzugi. Umubhuzugi bhunubho, uoza ng’wunuyo humoto, uyo gugabhagaka. Uopi hi fugo iyo igazugilagwa ijiliwa. Umoto gunuyo, gugabhizaga guti guliilamba ifugo yiniyo, ulu gulibhaka, kunguno ugoyi gukikalaga hasi, huna yatulwa ifugo ahigulya yago. Ifugo yiniyo, igatulwaga hamashiga adatu, haho guli umoto gunuyo, uyo gugaisebhyaga ifugo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘oza alinamba opi: moto na fugo.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu, abho bhagikalaga halumo umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhadilekanijaga umubhutumami bho milimo yabho, kunguno, bhadebhile igiki abhanhu bha makabhila gose, ni rangi jose, bhali sawa ahabhutongi ya yakwe, uyo obhasumba.

Abhanhu bhenabho, bhikolile ni fugo nu moto, ijo jigiyambilijaga ugubisha chiza ijiliwa, kunguno nabho bhagiyambilija halumo ijinaguitumama imilimo yabho yiniyo. Hunagwene, abhanhu bhenabho, bhagabhalangaga na bhichabho, nzila ja gwiyambilija halumo chiniko, bho gwiganila giki, ‘oza alinamba opi: moto na fugo.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikala bho gwiyambilija halumo, yaya gubhakomanya abhanhu, kunguno ya makabhila, nulu rangi jabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na kupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 12:4-11.

1Wakoritho 3:1-8.

KISWAHILI: KITENDAWILI  –  TEGA

MWEKUNDU ANAMBA MWEUSI:- MOTO NA CHUNGU.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia moto na chungu cha kupikia chakula wakati wa upikaji huo. Kinapopikwa chakula, mwekundu huyo, ni moto, na mweuzi, ni chungu ambacho hupikiwa chakula.

Moto huo, huonekana kama unakilamba kile chungu cha kupikia, kwa sababu ya kuwa kinakigusa, unapowaka moto huo, kwa vile, wenyewe huwa chini ya chungu hicho. Chungu hicho, huwekwa kwenye mafiga matatu, ambapo moto huo, huwekwa juu yake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kusema kwamba, ‘mwekundu ana mlamba mweusi: – moto na chungu.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao huishi katika umoja wa kusaidiana, maishani mwao. Watu hao, hawatelekezani katika kuyatekeleza majukumu yao, kwa sababu ya kuelewa kwamba, wanadamu wote, wako sawa mbele ya muumba wao, bila kujali kabila au rangi.

Watu hao, hufanana na chungu chakupikia na moto, ambazo husaidiana katika kuivisha chakula, kwa sababu ya kusaidiana kwao na wenzao. Wao hutunza umoja wao huo, katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana, watu hao, huwafundisha watu juu ya kusaidiana kwa pamoja hivyo, kwa kusema kwamba, ‘mwekundu ana mlamba mweusi: – moto na chungu.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuishi kwa kusaidiana katika umoja, bila kuwabagua watu kwa misingi ya ukabhila au rangi, ili waweze kuishi kwa amani, itakayowapatia mafanikio mengi, maishani mwao.

1Wakorintho 12:4-11.

1Wakoritho 3:1-8.

chungu na moto

pot-and fire

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE RED ONE IS LICKING THE BLACK FELLOW – FIRE AND POT.

The source of this riddle is fire and the cooking pot during cooking process. The flame of fire is described as red and the pot is black in colour. During cooking process, the red flame is always seen touching the pot, which happens to be placed on the cooking stones. To describe this scenario, people can use the riddle that ‘the red one is licking the black fellow.’

This riddle can be compared to people who live in unity in their lives. Such individuals work together to make sure that a certain activity is done in a required manner. The riddle also gives an impression of fighting against racial segregation by showing how the two antagonistic colours can work together in order to achieve a certain mission. It makes one believe that all human beings are equal before God.

This riddle teaches people about living by helping each other. It also teaches people about fighting against any form of discriminating against people on the basis of race or colour. In so doing, people will be able to live together as one family connected by peace and love.

1Corinthians 12: 4-11.

1Corinthians 3: 1-8.

482. KALAGU – KIZE. LILINAMBUDULILE MBI:- LING’OBHO LYA NAGA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile ng’obho go Naga. Inaga ili ndimu iyo igasimbaga mang’obho matale. Amang’obho genayo, gangi abhabhizaga ga makanji matale gete, ayo ndimu jingi jigadulaga gwikala moyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga bho guyomba giki, ‘lilinambudulile mbi:- Ling’obho.

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo ali ndoshi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhasondagulaga abhanhu, kunguno ya ng’hungwa jakwe ijagubhadalaha abhiye bhenabho.

Uweyi agalenganijiyagwa na ng’obho gunuyo ugo naga, kunguno alinibhengwe ukubhanhu, ilo likolile nu ng’obho gunuyo. Uweyi adulile nulu, gusiminza bho nduhu guzwala myenda. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘lilinambudulile mbi:- Ling’obho.

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhudoshi, umukikalile kabho, kugiki, bhadule guileka iyabhubhi, umuwikaji bhobho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho, bhabhize na witogwi, ubho bhudulile gubhambilija ijinagujibheja chiza, ikaya jabho.

Mathayo 5:1-20.

Mathayo 18:6-10.

KISWAHILI: KITENDADAWILI   –  TEGA

LINASHUTAMA VIBAYA:- PANGO LA MHANGA

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mapango ya mhanga. Mhanga ni myama poli ambaye huchimba mapango makuwa. Mapango hayo, mengine ni ya kutisha kweli, ambayo wanyama wengine, huweza kuishi humo,  baada ya mhanga huyo kutoweka. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kusema kwamba, ‘linashutama vibaya:-  pango la mhanga.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye majivuno maishani mwake. Mtu huyo, huwakashifu wenzake, kwa sababu ya tabia yake ya kuwadharau wenzake hao.

Yeye hulinganishwa na pango hilo la mhanga, kwa sababu ya dharau aliyonayo kwa watu, ambayo hufanana na pango hilo. Yeye aweza hata, kutembea uchu mitaani. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘linashutama vibaya:-  pango la mhanga.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za majivuno ya kuwadharau watu wengine, maishani mwao, ili waweze kuyaacha matendo yaliyo maovu. Yafaa watu hao, wawe na upendo wa kuwawezesha kuzijenga vizuri, familia zao.

Mathayo 5:1-20.

Mathayo 18:6-10.

rock

cave

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT HAS A BAD BENDING – A CAVE OF ANT BEAR.

The source of this riddle is the cave of a wild animal called Ant bear. The ant bear is a wild animal which digs large caves. These caves, some of them, are truly scary that other animals cannot dare to enter them after the ant bear abandons them. That is why people use the riddle that ‘it has a bad bending – a cave of ant bear’ to communicate the inability of other wild animals to enter the abandoned cave.

This riddle can be compared to a proud man/woman to his/her wife/husband. Such people can reach a point of looking down upon their fellow human beings. Also this cave can be looked at as a cave of sacrifice that the one who dug it sacrificed his/her life in order to have safe accommodation.

This riddle teaches people to stop being arrogant. They don’t have to despise others in their lives rather maintain love that can make them have a lovely society.

Matthew 5: 1-20.

Matthew 18: 6-10.

481. KALAGU – KIZE LINOLELELWA KULE:- LING’WANDU.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola nti, uyo gugitanagwa Ng’wandu. Unti gunuyo, guli ntale kukila imiti iyingi. Hi giko lulu, umunhu adulile gugulolela nulu alikule nu nti gunuyo, kunguno ya bhutale na bhulihu bhogo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘linolelelwa kule: – Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo adebhile giki, bhuli ginhu jili na ntale ojo. Umunhu ng’wunuyo, azunije ugutongelwa nu ntale okwe, aho alikalila. Agafunyaga wambilija ubho igelelilwe untale okwe ng’wunuyo, abhupandike, kugiki adule uguitumama chiza imilimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nabhiye ahigulya ya gubhadegeleka na gubhambilija chiza, abhatongeji bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele umusi yabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘linolelelwa kule: – Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhambilija bho gubhadegeleka chiza abhatongeji bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:25-27.

Mathayo 13:51-52.

Mathayo 16:13-20.

1Wafalme 18:30-39.

KISWAHILI: KITENDAWILI –  TEGA

HUONEKANA KWA MBALI:- MBUYU

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mti unaoitwa Mbuyu. Mti huo, ni mkubwa kuliko miti mingine. Hivyo basi, mtu aweza kuuona hata akiwa mbali nao, kwa sababu ya ukubwa wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘huonekana kwa mbali:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule anayefahamu kwamba, kila kitu kina mkubwa wake. Mtu huyo, hukubali kuongozwa na mkubwa wake pale anapoishi. Yeye huonesha ushirikiano mkubwa kwake, ule unaohitajika kwa ajili kumwezesha kuyatekeleza vizuri majukumu yake ya kuwaongoza wananchi.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuwasikiliza na kusaidia vizuri viongozi wao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani katika nchi zao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘huonekana kwa mbali:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwasaidia kwa kuwasikiliza vizuri viongozi wao, ili waweze kuishi kwa amani, na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 11:25-27.

Mathayo 13:51-52.

Mathayo 16:13-20.

1Wafalme 18:30-39.

baobab-tree

ng'wandu

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT APPEARS FROM FAR AWAY – BAOBAO TREE.

The source of this riddle is a baobab tree that appears to be the biggest tree, compared to other trees. Its big size can make one see it from a distance. That is why people can describe it by using the riddle that ‘it appears from far away – baobab tree.’

This riddle can be compared to a person who realizes that everything has its own magnitude. It can also be compared to seniority where junior members have to respect their seniors. This can be achieved through cooperation. It can further be compared to leadership position where leaders have to be listened to what they suggest for the betterment of the society.

This riddle teaches people about helping each other by listening well to leaders. In so doing, people will be living in peace and harmony with others.

Matthew 11: 25-27

Matthew 13: 51-52

Matthew 16: 13-20

1Kings 18: 30-39