Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola nti, uyo gugitanagwa Ng’wandu. Unti gunuyo, guli ntale kukila imiti iyingi. Hi giko lulu, umunhu adulile gugulolela nulu alikule nu nti gunuyo, kunguno ya bhutale na bhulihu bhogo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘linolelelwa kule: – Ling’wandu.’
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo adebhile giki, bhuli ginhu jili na ntale ojo. Umunhu ng’wunuyo, azunije ugutongelwa nu ntale okwe, aho alikalila. Agafunyaga wambilija ubho igelelilwe untale okwe ng’wunuyo, abhupandike, kugiki adule uguitumama chiza imilimo yakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nabhiye ahigulya ya gubhadegeleka na gubhambilija chiza, abhatongeji bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele umusi yabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘linolelelwa kule: – Ling’wandu.’
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhambilija bho gubhadegeleka chiza abhatongeji bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 11:25-27.
Mathayo 13:51-52.
Mathayo 16:13-20.
1Wafalme 18:30-39.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA
HUONEKANA KWA MBALI:- MBUYU
Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mti unaoitwa Mbuyu. Mti huo, ni mkubwa kuliko miti mingine. Hivyo basi, mtu aweza kuuona hata akiwa mbali nao, kwa sababu ya ukubwa wake huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘huonekana kwa mbali:- Mbuyu.’
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule anayefahamu kwamba, kila kitu kina mkubwa wake. Mtu huyo, hukubali kuongozwa na mkubwa wake pale anapoishi. Yeye huonesha ushirikiano mkubwa kwake, ule unaohitajika kwa ajili kumwezesha kuyatekeleza vizuri majukumu yake ya kuwaongoza wananchi.
Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kuwasikiliza na kusaidia vizuri viongozi wao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani katika nchi zao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘huonekana kwa mbali:- Mbuyu.’
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwasaidia kwa kuwasikiliza vizuri viongozi wao, ili waweze kuishi kwa amani, na wenzao, maishani mwao.
Mathayo 11:25-27.
Mathayo 13:51-52.
Mathayo 16:13-20.
1Wafalme 18:30-39.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
IT APPEARS FROM FAR AWAY – BAOBAO TREE.
The source of this riddle is a baobab tree that appears to be the biggest tree, compared to other trees. Its big size can make one see it from a distance. That is why people can describe it by using the riddle that ‘it appears from far away – baobab tree.’
This riddle can be compared to a person who realizes that everything has its own magnitude. It can also be compared to seniority where junior members have to respect their seniors. This can be achieved through cooperation. It can further be compared to leadership position where leaders have to be listened to what they suggest for the betterment of the society.
This riddle teaches people about helping each other by listening well to leaders. In so doing, people will be living in peace and harmony with others.
Matthew 11: 25-27
Matthew 13: 51-52
Matthew 16: 13-20
1Kings 18: 30-39