Joe Healey

414. LEKAGA UBHUSASABHIJA ULAKALILA HABHI.

Imbuki ya kahayhile kenako ilolile bhusasabhija ubho bhudulile gushilila bhabhi. Ubhusasabhija bhunubho bhuli bho gumana ujiyelela ikaya ja bhanhu.

Uweyi adalendaga ahakaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagamhugulaga bho gung’wila giki. ‘lekaga ubhusasabhija ulakalila habhi.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga ulya jiliwa ja mumakaya ga bhanhu. Umunhu ng’wunuyo adalendaga aha kaya yakwe. Uweyi agamanaga ulola uko lyochi lilizuka omana giki, bhalizuga koyi, oja.

Abhanhu nose bhagang’witanaga giki, ‘nkunga lyochi.’ Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘lekaga ubhusasabhija ulakalila habhi.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhukokolo bho gutumama milimo yabho, kugiki bhaitumame imilimo yabho yiniyo iyo idulile gubhapandikila jiliwa jabho jagulya mpaga bhoya uguja bhulilila jiliwa ja mumakaya ga bhanhu.

Luka 13:3 – 5.

2 Wathesalonike 3:10.

KISWAHILI: ACHA UDOEAJI UTAISHIA PABAYA.

Chanzo cha msemo huo chaangalia udoeaji ambao huweza kuishia pabaya. Udoeaji huo ni wa mhusika kwenda kula kwenye familia za watu mbalimbali.

Yeye huwa hatulii nyumbani kwake.  Ndiyo maana watu humuonya kwa kumwambia kwamba, ‘acha udoeaji utaishia pabaya.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kula kwenye familia za watu wengine. Mtu huyo huwa hatulii nyumbani kwakwe.

Yeye huwa anaangalia kwenye familia ile ambayo kuna moshi unataka, na kwenda pale ili akale chakula. Mwishowe watu wengine humwita mtu huyo kama mvizia moshi. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, ‘acha udoeaji utaishia pabaya.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uvivu wa kufanya kazi zao, ili wafanye kazi zile ziwezazo kuwapatia chakula cha kutosha kula na kuacha kula chakula hicho kwenye familia za watu wengine.

Luka 13:3 – 5.

2 Wathesalonike 3:10.

man arm

shouting-

ENGLISH: STOP SCROUNGING TO AVOID HAVING A BAD ENDING.

The source of the above saying looks at the behaviour of scrounging that can make someone have a bad ending in life. This comes from someone who is used to eating food from other peoples’ households. Such a person does not settle well in his/her home rather spends much of the time loitering around looking for where to sponge food. People of this behaviour can be warned by the saying that ‘stop scrounging to avoid having a bad ending.’

This saying can be compared to a person who goes out to eat in other people’s families. He/she always looks for families where there is smoke with the hope that he/she can get food. In the end, such people can be labled as smoke waiters.

The saying teaches people to stop being idle rather they should engage in productive activities that can enable them to survive.

Luke 13: 3 – 5.

2 Thessalonians 3:10.

413. NASHEBE BHABEHI UNENE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhushebi ubho bhudulile gunpiga mumakoye unshebi ng’wunuyo. Ubhushebi bhunubho bhugang’wambilijaga ugwipija mumakoye ayo omanaga igiki inzila yiniyo ilinago, ukubhutongi. Hunagwene umunhu ng’wunuyo ulu ubhona jishepo, agayombaga giki, ‘nashebe bhabehi unene.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhonaga giki imihayo iyo bhaliyihoyela idulile gung’wenhela makoye ukubhutongi.

Umunhu ng’wunuyo agiyangulaga gwinga umumahoya genayo, kugiki adule gugiliga amakoye ayo gadulile gumpandika kunguno ya mahoya genayo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki. ‘nashebe bhabehi unene.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka guhoyela mihayo iyo idulile gubhenhela makoye, aha bhutongi, kugiki, bhadule gugiliga amakoye genayo, haho gatali ugubhapandika.

Luka 4:29-30.

Luka 18:23-25.

KISWAHILI: NIPENYE JAMANI MIMI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia upenyaji ule uwezao kumuokoa mpenyaji kwenye matatizo. Upenyaji huo humsaidia mhusika kukwepa matatizo ambayo angeweza kuyapata kule mbeleni. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nipenye jamani mimi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hugundua mapema maneno wanayoyaongelea kwamba, yataweza kuwaletea matatizo mbeleni.

Mtu huyo huamua kujiondoa kwenye maongezi hayo, ili aweze kuyaepuka matatizo hayo yatakayowapata walioko kwenye maongezi hayo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nipenye jamani mimi.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kuongelea maneno yale yawezayo kuwaletea matatizo katika siku za mbeleni, ili waweze kuyaepuka matatizo hayo, kabla hayajawapata.

Luka 4:29-30.

Luka 18:23-25.

people-one

african-3

 

ENGLISH: HEY! LET ME ESCAPE.

The source of this saying is saving someone from troubles or problems. In this saying, escape is the means through which one can use to avoid those problems that are likely to befall him/her. Such a person can describe this scenario using the saying that ‘dears, let me escape.’

The saying can be compared to a person who discovers in advance the problems that are likely to happen. Such a person can find ways to get rid of them.

The saying teaches people to stop talking about words that might cause them problems in future. In so doing, they can be able to avoid problems that are likely to affect them.

Luke 4: 29-30.

Luke 18: 23-25.

412. NAJILE KASEGENO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli kulugendo lo guja kule. Unsiminzi  o lugendo lunulo, agabhizaga na mapinja pinga, umunzila iyo aliyibhitila.

Aliyo lulu, uweyi adebhile ubhulimu bho lugendo lunulo. Hungwene umunhu ng’wunuyo ulu obhona giki alihaya gutindikwa, agayomgag giki ‘najile kasegeno.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuchaga nimo ogutumama mpaga ogumala chiza. Umunhu ng’wunuyo agadililaga imilimo yakwe bho guyitumimama na bhukamu bhutale.

Uweye agayitulaga lwande imihayo iyo idulile gundija uguyimala wangu imilimo yakwe. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomgaga giki, ‘najile kasegeno.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gudilila mimimo yabho bho guyitumama na bhukamu bhutale, mpaga bhayimale, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho. Yigelelilwe abhanhu bhenabho bhayituule lwande imihaho iyo idulile gubhatindika uguyimala wangu imilimo yabho yiniyo.

Luka 24:27 – 29.

KISWAHILI: NAKWENDA MBALI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye safari ya kwenda mbali. Safari hiyo huwa na mapingamizi mengi ambayo msafiri huo huyapitia.

Lakini yeye afahamu ugumu wa safari yake hiyo. Ndiyo maana mtu huyo akikumbana na hali ya kumchelewesha njiani, husema kwamba, ‘nakwenda mbali.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanza kazi zake na kuzitekeleza mpaka mwisho. Mtu huyo hufuatilia kwa makini katika kuzifanya kwa bidii kubwa kazi zake hizo. Yeye huyaweka pembeni maneno mengine ambayo yataweza kumchelewesha kuzimaliza vizuri kazi zake hizo. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘nakwenda mbali.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kufuatilia kazi zao kwa kuzitekeleza kwa bidii kubwa mpaka mwisho, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao. Yafaa watu hao wayaweke kando maneno yawezayo kuwachelewesha katika kuzimaliza mapema kazi zao hizo.

Luka 24:27 – 29.

african-descent

 

ENGLISH: I AM GOING FAR.

The source of this saying is a distant journey. Such a journey has many obstacles but the traveler is aware of them. It is through his/her awareness that he/she says ‘I am goin far’ to mean that he/she doen’t have to be stopped unnecessarily in his/her journey.

This saying can be compared to a person who begins his/her work and carries it through to the end. Such a person carefully follows the agreed procedures with due diligence in order to make sure that he/she finishes the journey safely.

The saying teaches people to follow their careers by doing what is considered right in order to have success in life. They should put aside drawbacks that are likely to affect their journeys.

Luke 24:27 – 29.

411. DUGAFUNDWE MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kub’ufundwa bho magulu. Ubhufundwa bhunub’o b’uli bhusiminzi bho guja hakaya iyo ili nikujo.

Ulu bhashiga ahakaya yiniyo bhuli ng’wene agab’izaga ng’wib’embu. Hunagwene abhanhu ulu bhalihaya guja ahakaya yiniyo, bhagayombaga giki, ‘dugafundwe magulu.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhajile kunkwano gobho. Abhanhu bhenabho bhali guti bhinga, abho bhajile gukaya yi kujo, uko bhalihoyi bhanhu wa soni. Ibhelelile bhabhize bhibhembu, kugiki bhadizikumya sagara na bha bhabha bhukwi bhabho.

Ulu nkwilima na ngikajiye bhalitung’wana, ibhelelile bhadizikumya. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dugafundwe magulu.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhibhembu umukikalile kabho, kugiki bhadiziponda soni, bho gwikenya na bhichabho, kunguno ya nhungwa jabho ja bhubhi.

Waefeso 2:10.

KISWAHILI: TUKAPANGUSWE MIGUU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upanguswaji wa miguu. Upanguswaji huo ni utembeaji wa kwenda kwenye familia zilizo na heshima. Wakifika kwenye familia hizo, kila mmoja huwa na utulivu wenye adabu njema. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tukapanguswe miguu.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wanaoenda kwa wakwe zao. Watu hao waweze kuwa wakaa mwana, wanaoenda kwenye familia hiyo yenye heshima, ambapo pia kuna watu wa heshima. Yafaa watu hao wawe na utulivu ili wasigusane hovyo na baba wakwe zao.

Mkwilima akikutana na mama mkwe wake, huepuka kugusana naye. Hivyo kila mmoja hupitia mbali na mwenzake. Ndiyo maana watu husema  kwamba, ‘tukapanguswe miguu.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na utulivu wenye heshima ya kuishi kwa adabu maishani, ili wasijiaibishe kwa kugombana na wenzao, kwa sababu ya wao kuwa na tabia mbaya.

Waefeso 2:10.

people-girls

pretty

 

ENGLISH: LET US GO FOR OUR LEGS TO BE RUBBED.

The source of the above saying comes from footprint. Such an arrangement is a walk to honorable families. When they get to those families, they need to be calm and well-behaved personality. That is why people say, ‘let us go for our legs to be rubbed.’

The saying can be compared to people going to their parent-in-laws. Those people going to such places need to be as decent as possible in order to avoid unnecessary touching with in-laws. Knowing the social boundaries, each one of them has to find a way that will make him/her not intouch with in-laws.

The saying teaches people about dignity and respect. This can help them to live in peace always.

Ephesians 2:10.

410. GUDULA OJA NG’WA NKWELAYE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho ng’wa guduja kuli nkwela okwe. Guduja lilina lya ng’wa munhu uyo ali nkima. Uweyi agaja kuli nkwela okwe bhubahoya mihayo yabho, iyo igalisanya bhanhu. Abhanhu abho bhagabhayangulaga bhagayombaga giki, ‘guduja oja ng’wa nkwelaye.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nomolomo. Umunhu ng’wunuyo agachalaga mihayo ya nyasigani, mumakaya ga bhanhu. Uweyi agayegaga ulu bhiye bhikenya. Abho bhandeb’ile umunhu ng’wunuyo, bhagayombaga giki, ‘guduja oja ng’wa nkwelaye.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhulomolomo, kugiki abhanhu bhenabho, bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Yakobo 1:26.

Yakobo 3:5.

Yohane 8:44.

KISWAHILI: GUDULA ALIENDA KWA SHEMEJI YAKE.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa Guduja kwa shemeji yake. Guduja ni jina la mtu ambaye ni mwanamke. Yeye alienda kwa shemeji yake. Huko waliongea maneno yaliyogombanisha watu. Wapatanishi wa ugomvi huo, walisema kwamba, ‘gudula alienda kwa shemeji yake.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni muongo. Mtu huyo hupeleka maneno ya usengenyaji kwenye familia za watu. Yeye hufurahia wanapogombana wenzake. Wale wanaomwelewa mtu huyo husema, ‘gudula alienda kwa shemeji yake.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uongo, ili watu hao waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yakobo 1:26.

Yakobo 3:5.

Yohane 8:44.

angry women

 

ENGLISH: GUDULA WENT TO HER SISTER-IN-LAW.

The source of this saying is Gudula’s visit to her sister-in-law. Gudula is a name of a person who is a woman in terms of sex. Her visit to her in law was associated with rumourmongering that antagonized some other family members. When mediators were called to resolve the conflict they said ‘Gudula went to her sister-in-law’ to communicate the source of all conflicts they are resolving.

The saying can be compared to a person who is a liar. Such a person sends false information to others that can cause conflicts among family members. Such people with this behaviour enjoy seeing others being in conflict.

The saying teaches people about avoiding giving false information that may disturb peoples’ relationships.

James 1:26.

James 3: 5.

John 8:44.