Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuji bho ng’wa guduja kuli nkwela okwe. Guduja lilina lya ng’wa munhu uyo ali nkima. Uweyi agaja kuli nkwela okwe bhubahoya mihayo yabho, iyo igalisanya bhanhu. Abhanhu abho bhagabhayangulaga bhagayombaga giki, ‘guduja oja ng’wa nkwelaye.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali nomolomo. Umunhu ng’wunuyo agachalaga mihayo ya nyasigani, mumakaya ga bhanhu. Uweyi agayegaga ulu bhiye bhikenya. Abho bhandeb’ile umunhu ng’wunuyo, bhagayombaga giki, ‘guduja oja ng’wa nkwelaye.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhulomolomo, kugiki abhanhu bhenabho, bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Yakobo 1:26.
Yakobo 3:5.
Yohane 8:44.
KISWAHILI: GUDULA ALIENDA KWA SHEMEJI YAKE.
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye uendaji wa Guduja kwa shemeji yake. Guduja ni jina la mtu ambaye ni mwanamke. Yeye alienda kwa shemeji yake. Huko waliongea maneno yaliyogombanisha watu. Wapatanishi wa ugomvi huo, walisema kwamba, ‘gudula alienda kwa shemeji yake.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni muongo. Mtu huyo hupeleka maneno ya usengenyaji kwenye familia za watu. Yeye hufurahia wanapogombana wenzake. Wale wanaomwelewa mtu huyo husema, ‘gudula alienda kwa shemeji yake.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za uongo, ili watu hao waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.
Yakobo 1:26.
Yakobo 3:5.
Yohane 8:44.
ENGLISH: GUDULA WENT TO HER SISTER-IN-LAW.
The source of this saying is Gudula’s visit to her sister-in-law. Gudula is a name of a person who is a woman in terms of sex. Her visit to her in law was associated with rumourmongering that antagonized some other family members. When mediators were called to resolve the conflict they said ‘Gudula went to her sister-in-law’ to communicate the source of all conflicts they are resolving.
The saying can be compared to a person who is a liar. Such a person sends false information to others that can cause conflicts among family members. Such people with this behaviour enjoy seeing others being in conflict.
The saying teaches people about avoiding giving false information that may disturb peoples’ relationships.
James 1:26.
James 3: 5.
John 8:44.